Bujibuji hawa Wanasiasa ukiwafuatilia saaana ni kicefuchefu, Nakumbuka pia Yule Mbunge Machachari wa CHADEMA Kamanda Chacha Wangwe alikufa soon baada ya Kuchokonoa Uenyekiti wa KUB ndani ya Chama chake, halafu baada ya Misheni kukamilika yule Bw. Mdogo Mallya aliyefanyakazi kwa Ufanisi akapewa Kitengo ndani ya Chama wala Wanachadema hakuna anayehoji.MAGUFULI, hivi hujui kuwa Ben Saanane alipotea mara tu baada ya kuhoji PhD yako ambayo thesis yako haionekano popote, lakini huoni haja ya kumtafuta, Wala hatujawahi kusikia ukiagoza atafutwe.
TUKUELEWEJE?
Kuna yule Mlinzi wa KUB aliyekutwa Guest Mitaa ya Temeke amekufa mbona hao hatuoji na wakati mkanda mzima unajulikana.
Wanasiasa Mikono yao ni damu tuppuuu tuache kujitoa uffahamu kuwatetea pasipo kufunga milango.
Anyway Bujibuji yule Jini wa kule Mikocheni uliyegonga gari yake urafiki umefikia wapi Mkuuu.