LGE2024 CCM: TAMISEMI itambue demokrasia yetu ni changa, ipuuze makosa madogomadogo katika hatua ya rufaa uchaguzi Serikali za mitaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Semeni wote walioomba wapitishwe kwa sababu wengi wenye ubora wameenguliwa, nao wameamua kutokata rufaa kwa sababu wanajua kifuatacho itv.
 
Mimi naona hapa ni kama Mamba kumlilia machozi dagaa! Ni unafiki mtupu!
 
Kila ukifika wakati wa uchaguzi demokrasia inadumaa, (inakuwa changa). Swali fikirishi ni nani anaidumaza demokrasia Tanzania?
 
Na yote yaliyofanyika ni wazi kabsa kulikuwa na maelekezo toka juu.
 
Sifa na pongezi zimfikie mwenyekiti wa CCM kwa kuamuru wapinzani walioenguliwa kwenye wagombea wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa warejeshwe, hata hivyo jambo hili lilitegemewa ili zile 4R zionekane bado zinanguvu.
Je, wapinzani watampongeza anayeandaa uchaguzi ambaye ndiye aliyewaengua kwa hila kwenye uchaguzi huo? Hebu tusubiri upande wa vile vyama vinavyozinduliwa wakati wa uchaguzi tu vitatoa sifa zipi.
 
Bado naendelea kusisitiza na kuwakumbusha wapinzani, Rais Samia ni muumini wa utawala wa sheria na katiba, haki na demokrasia. Anafanya kila linalowezekana kukuza demokrasia. Hata kama nabii hakubaliki kwao, mkubalini nabii huyu kwa maendeleo ya nchi yetu, mtabarikiwa sana.

Kuna siku naamini uzi huu wa huyu mdau utafunguliwa na kujadiliwa kwa kina Rais Samia ndio Magareth Thatcher wa leo, Mwanamapinduzi na Mwanamageuzi wa kweli
 
Lakini hata Vyama vya Upinzani ni Wazembe!
Kwa nini vyama visitoe elimu kwa wale wanaotia nia ya kugombea katika chaguzi hizo?
Lakini siyo hilo tu! Vyama vya Upinzani vingekuwa vinahakiki fomu zao kabla ya kuzirudisha!
Ndiyo maana CCM wanatumia mwanya huo wa uzembe wa vyama kama huu.
 
Kiongozi mwenye maono makubwa ya kuleta maendeleo hawezi kuuchekea huu upinzani wa wabembeleza Ruzuku

Hivi Vyama vya Upinzani viliundwa kwa hisani ya Mwalimu Nyerere kwa ajili ya kuombea misaada kwa Wazungu

We fikiria Chama Cha Upinzani kinaamrishwa na CCM kikate Rufaa na chenyewe kinakubali kama mazuzu vile 🐼

Yaani unakata Rufaa kwa CCM ile ile πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Bure Kabisa 🐼
 
Akili yako fupi, inaona nchi moja mbele.

Wenzako wanafuata taratibu zote ili mwisho wa siku wawe na uhalali wa katumia njia mbadala
 
BUNGE LOTE LAO WAMELETA NN ZAID YA UTEKAJI NA KUUZA BANDARI ZETU NAKUGAWA MAPORI KWA WAARABU KM PIPI?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…