CCM tulifanya kosa kubwa sana 2015, tusirudie tena. Chuki iliyopo ni kubwa sana

CCM tulifanya kosa kubwa sana 2015, tusirudie tena. Chuki iliyopo ni kubwa sana

Kuna mambo ambayo wanaccm wenzangu hawataki kabisa kuyasoma wakiogopa pengine kwa kudhani kua yatakigawa chama ima yatachochea chuki baina yetu.

Waswahili wanasema...unafuga chatu mwisho wa siku anskugeukia na kukumeza wewe. Huu ni usemi ambao ni kielelezo tosha cha ukweli na uhalisia kwetu wanaccm na taifa kwa ujumla.

Tulifanya kosa kubwa sana kumpa mwendazake nafasi ya kugombea Urais, JK lawama hizi hatazikwepa maana yeye kwa mdomo wake ndiye alikiri kumpatia nafasi hiyo na hatimaye baadaye kupitishwa na mkutano mkuu wa halmashauri kuu ya chama taifa. Hakika tutakubaliana kua pamoja na mazuri ambayo aliyafanya lakini kwa sasa tunaona taifa ni kama linazaliwa upya, taifa ndio kama limepata uhuru.

Kiwango cha chuki kilichopandikizwa kwa takribani miaka 5 iliyopita ni cha hali ya juu sana. Kwa tunayokutana nayo hivi sasa ni majuto na kweli majuto ni mjukuu, tunalia na mjukuu wa majuto.
Umepita katika kipindi ambacho hatujawahi kuona watu watu wakitekwa na kupotezwa kabisa, kipindi ambacho hatujawahi kuona mtu anatandikwa risasi hadharani mchana kweupe, yaani kipindi ambacho kwa mfumo wa vyama vingi chama tawala tunachukua ushindi kwa nguvu hata mahali tusikokubalika, kipindi ambacho chama tawala tunapitisha watu kupita bila kupingwa nchi nzima kwa mara ya kwanza, kipindi ambacho viongozi wa chama wanataka hadharani watu flani wanapaswa kuuawa kwa tofauti tu za kisiasa,kipindi ambacho mkuu wa wilaya au mkoa anaingia kwenye ofisi za watu usiku na kupora mali za watu kibabe. Haya yote nyuma hayakuwepo.

Kwakweli mzee aliiweka nchi mahali pabaya sana. Ni sawa alikua mkali kwenye rasilimali za nchi lakini siyo angetupeleka tulikofika hivi sasa, ninagundua utu wa binadamu ni muhimu kuliko hata barabara au daraja tunalojengewa. Mzee alipaswa kuwa waziri mkuu lakini pawepo na mtu wa kumpa maelekezo na siyo yeye kujiamulia mambo.

Tumelipuuza janga la ugonjwa wa Corona lakini Mola ndio anajua liliondoka na nani hata kama nami nimepoteza ndugu kadhaa kwa uthibitisho wa madaktari. Pamoja na umri wangu pia kujitupa mkono lakini kweli siwezi kuiweka kando na hata vijana wangu na wajukuu nimewasimulia ili kesho wajue wataishije kwa kuushinda unafki,fitina pamoja na tamaa.


Nimalize kwa kusema kwamba CCM tujifunze kwa yaliyopita, kama ni Urais tutazame tutazame matendo ya vijana wetu waliopo katika nafasi mbalubali za serikali na chama. Wapo viongozi wa chama, mawaziri, Wakuu wa wilaya na mikoa, wakurugenzi, mbalizi nk. Kwenye makundi haya hatutakosa wagombea makini. Tusiangalie utendaji tu bali tutazame na utu na kiongozi wa kuliungamisha badala ya kuligawa taifa.

Nitasema kweli daima, fitina kwangu mwiko!
Binadamu wote ni sawa na Afrika ni moja!
Umegusia karibu kila mahali japokuwa umesahau kuua biashara bandiko Bora kabisa hongera sana mkuu
 
Mkuu mara nyingi tumezoea kuona baadhi ya nchi na hata Tanzania wagombea urais ama huwa wana Diplomasia au wanasiasa wabobezi.
CCM mwaka 2015 wameteua mgombea asiyejua siasa wala diplomasia, hilo limeumiza nchi.
Mh rais wa awamu ya 5 hakuwa na ujuzi wa kufanya siasa za ushindani wala hakuwa akijua Diplomasia ya kuishi kwa maelewano na maadui wa ndani na nje ya nchi bila kuwaonyesha chuki.
Ameendesha nchi hii kama jenerali wa jeshi ambaye uongozi wake haukutokana na Katiba ya nchi.
Katiba ilipuuzwa, sheria zimewekwa kando eti mpaka nchi inyooke.
CCM lazima waje waombe radhi na hilo liwe funzo kwao siku zijazo.
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji44]uko sahihi kabisa
 
Kuna mambo ambayo wanaccm wenzangu hawataki kabisa kuyasoma wakiogopa pengine kwa kudhani kua yatakigawa chama ima yatachochea chuki baina yetu.

Waswahili wanasema...unafuga chatu mwisho wa siku anskugeukia na kukumeza wewe. Huu ni usemi ambao ni kielelezo tosha cha ukweli na uhalisia kwetu wanaccm na taifa kwa ujumla.

Tulifanya kosa kubwa sana kumpa mwendazake nafasi ya kugombea Urais, JK lawama hizi hatazikwepa maana yeye kwa mdomo wake ndiye alikiri kumpatia nafasi hiyo na hatimaye baadaye kupitishwa na mkutano mkuu wa halmashauri kuu ya chama taifa. Hakika tutakubaliana kua pamoja na mazuri ambayo aliyafanya lakini kwa sasa tunaona taifa ni kama linazaliwa upya, taifa ndio kama limepata uhuru.

Kiwango cha chuki kilichopandikizwa kwa takribani miaka 5 iliyopita ni cha hali ya juu sana. Kwa tunayokutana nayo hivi sasa ni majuto na kweli majuto ni mjukuu, tunalia na mjukuu wa majuto.
Umepita katika kipindi ambacho hatujawahi kuona watu watu wakitekwa na kupotezwa kabisa, kipindi ambacho hatujawahi kuona mtu anatandikwa risasi hadharani mchana kweupe, yaani kipindi ambacho kwa mfumo wa vyama vingi chama tawala tunachukua ushindi kwa nguvu hata mahali tusikokubalika, kipindi ambacho chama tawala tunapitisha watu kupita bila kupingwa nchi nzima kwa mara ya kwanza, kipindi ambacho viongozi wa chama wanataka hadharani watu flani wanapaswa kuuawa kwa tofauti tu za kisiasa,kipindi ambacho mkuu wa wilaya au mkoa anaingia kwenye ofisi za watu usiku na kupora mali za watu kibabe. Haya yote nyuma hayakuwepo.

Kwakweli mzee aliiweka nchi mahali pabaya sana. Ni sawa alikua mkali kwenye rasilimali za nchi lakini siyo angetupeleka tulikofika hivi sasa, ninagundua utu wa binadamu ni muhimu kuliko hata barabara au daraja tunalojengewa. Mzee alipaswa kuwa waziri mkuu lakini pawepo na mtu wa kumpa maelekezo na siyo yeye kujiamulia mambo.

Tumelipuuza janga la ugonjwa wa Corona lakini Mola ndio anajua liliondoka na nani hata kama nami nimepoteza ndugu kadhaa kwa uthibitisho wa madaktari. Pamoja na umri wangu pia kujitupa mkono lakini kweli siwezi kuiweka kando na hata vijana wangu na wajukuu nimewasimulia ili kesho wajue wataishije kwa kuushinda unafki,fitina pamoja na tamaa.


Nimalize kwa kusema kwamba CCM tujifunze kwa yaliyopita, kama ni Urais tutazame tutazame matendo ya vijana wetu waliopo katika nafasi mbalubali za serikali na chama. Wapo viongozi wa chama, mawaziri, Wakuu wa wilaya na mikoa, wakurugenzi, mbalizi nk. Kwenye makundi haya hatutakosa wagombea makini. Tusiangalie utendaji tu bali tutazame na utu na kiongozi wa kuliungamisha badala ya kuligawa taifa.

Nitasema kweli daima, fitina kwangu mwiko!
Binadamu wote ni sawa na Afrika ni moja!
Ni dhahiri wale wengi waliokuwa wakiubatiza hata uovu wa magufuli kuwa wema sasa kwa mbaali ubinadamu umeanza kuwarudia.

Nawashukuru wapinzani hawajawahikufikiria bado kurudisha visasi zaidi ya kudeal na kukata mirija yao nje kwa kuyasema maovu yao.

Wapo wanaochukizwa kwa kuikata mirija hii huko nje wakiona si uzalendo kwa sababu tu ya matumbo yao(pesa kuzibwa)

Lakini hapo hapo hawauoni uzalendo mkubwa wa kweli wa wapinzani kutetea damu ya watanzania wanyonge wanaouwawa kwa kupaza sauti kutetea haki zao za msingi.

Yaani ukitetea haki za msingi Tanzania wewe unakuwa mnyarwanda.

Ndio mataga na akili za kimagufuli hizo.
Binafsi wanaopata akili kama wewe muandishi sina kinyongo nawe japo mkumbuke tunakoelekea watanzania hatutakuwa wapole na wenye huruma tena.

Itakuwa ni jino kwa jino, katiba ya kikondoo haitatutosha. Na ccm ndiyo itakuwa imetufikisha hapo.
 
Kuna mambo ambayo wanaccm wenzangu hawataki kabisa kuyasoma wakiogopa pengine kwa kudhani kua yatakigawa chama ima yatachochea chuki baina yetu.

Waswahili wanasema...unafuga chatu mwisho wa siku anskugeukia na kukumeza wewe. Huu ni usemi ambao ni kielelezo tosha cha ukweli na uhalisia kwetu wanaccm na taifa kwa ujumla.

Tulifanya kosa kubwa sana kumpa mwendazake nafasi ya kugombea Urais, JK lawama hizi hatazikwepa maana yeye kwa mdomo wake ndiye alikiri kumpatia nafasi hiyo na hatimaye baadaye kupitishwa na mkutano mkuu wa halmashauri kuu ya chama taifa. Hakika tutakubaliana kua pamoja na mazuri ambayo aliyafanya lakini kwa sasa tunaona taifa ni kama linazaliwa upya, taifa ndio kama limepata uhuru.

Kiwango cha chuki kilichopandikizwa kwa takribani miaka 5 iliyopita ni cha hali ya juu sana. Kwa tunayokutana nayo hivi sasa ni majuto na kweli majuto ni mjukuu, tunalia na mjukuu wa majuto.
Umepita katika kipindi ambacho hatujawahi kuona watu watu wakitekwa na kupotezwa kabisa, kipindi ambacho hatujawahi kuona mtu anatandikwa risasi hadharani mchana kweupe, yaani kipindi ambacho kwa mfumo wa vyama vingi chama tawala tunachukua ushindi kwa nguvu hata mahali tusikokubalika, kipindi ambacho chama tawala tunapitisha watu kupita bila kupingwa nchi nzima kwa mara ya kwanza, kipindi ambacho viongozi wa chama wanataka hadharani watu flani wanapaswa kuuawa kwa tofauti tu za kisiasa,kipindi ambacho mkuu wa wilaya au mkoa anaingia kwenye ofisi za watu usiku na kupora mali za watu kibabe. Haya yote nyuma hayakuwepo.

Kwakweli mzee aliiweka nchi mahali pabaya sana. Ni sawa alikua mkali kwenye rasilimali za nchi lakini siyo angetupeleka tulikofika hivi sasa, ninagundua utu wa binadamu ni muhimu kuliko hata barabara au daraja tunalojengewa. Mzee alipaswa kuwa waziri mkuu lakini pawepo na mtu wa kumpa maelekezo na siyo yeye kujiamulia mambo.

Tumelipuuza janga la ugonjwa wa Corona lakini Mola ndio anajua liliondoka na nani hata kama nami nimepoteza ndugu kadhaa kwa uthibitisho wa madaktari. Pamoja na umri wangu pia kujitupa mkono lakini kweli siwezi kuiweka kando na hata vijana wangu na wajukuu nimewasimulia ili kesho wajue wataishije kwa kuushinda unafki,fitina pamoja na tamaa.


Nimalize kwa kusema kwamba CCM tujifunze kwa yaliyopita, kama ni Urais tutazame tutazame matendo ya vijana wetu waliopo katika nafasi mbalubali za serikali na chama. Wapo viongozi wa chama, mawaziri, Wakuu wa wilaya na mikoa, wakurugenzi, mbalizi nk. Kwenye makundi haya hatutakosa wagombea makini. Tusiangalie utendaji tu bali tutazame na utu na kiongozi wa kuliungamisha badala ya kuligawa taifa.

Nitasema kweli daima, fitina kwangu mwiko!
Binadamu wote ni sawa na Afrika ni moja!
Chuki iliyopo ndio freshi, acha impe somo delila...
 
Kuna mambo ambayo wanaccm wenzangu hawataki kabisa kuyasoma wakiogopa pengine kwa kudhani kua yatakigawa chama ima yatachochea chuki baina yetu.

Waswahili wanasema...unafuga chatu mwisho wa siku anskugeukia na kukumeza wewe. Huu ni usemi ambao ni kielelezo tosha cha ukweli na uhalisia kwetu wanaccm na taifa kwa ujumla.

Tulifanya kosa kubwa sana kumpa mwendazake nafasi ya kugombea Urais, JK lawama hizi hatazikwepa maana yeye kwa mdomo wake ndiye alikiri kumpatia nafasi hiyo na hatimaye baadaye kupitishwa na mkutano mkuu wa halmashauri kuu ya chama taifa. Hakika tutakubaliana kua pamoja na mazuri ambayo aliyafanya lakini kwa sasa tunaona taifa ni kama linazaliwa upya, taifa ndio kama limepata uhuru.

Kiwango cha chuki kilichopandikizwa kwa takribani miaka 5 iliyopita ni cha hali ya juu sana. Kwa tunayokutana nayo hivi sasa ni majuto na kweli majuto ni mjukuu, tunalia na mjukuu wa majuto.
Umepita katika kipindi ambacho hatujawahi kuona watu watu wakitekwa na kupotezwa kabisa, kipindi ambacho hatujawahi kuona mtu anatandikwa risasi hadharani mchana kweupe, yaani kipindi ambacho kwa mfumo wa vyama vingi chama tawala tunachukua ushindi kwa nguvu hata mahali tusikokubalika, kipindi ambacho chama tawala tunapitisha watu kupita bila kupingwa nchi nzima kwa mara ya kwanza, kipindi ambacho viongozi wa chama wanataka hadharani watu flani wanapaswa kuuawa kwa tofauti tu za kisiasa,kipindi ambacho mkuu wa wilaya au mkoa anaingia kwenye ofisi za watu usiku na kupora mali za watu kibabe. Haya yote nyuma hayakuwepo.

Kwakweli mzee aliiweka nchi mahali pabaya sana. Ni sawa alikua mkali kwenye rasilimali za nchi lakini siyo angetupeleka tulikofika hivi sasa, ninagundua utu wa binadamu ni muhimu kuliko hata barabara au daraja tunalojengewa. Mzee alipaswa kuwa waziri mkuu lakini pawepo na mtu wa kumpa maelekezo na siyo yeye kujiamulia mambo.

Tumelipuuza janga la ugonjwa wa Corona lakini Mola ndio anajua liliondoka na nani hata kama nami nimepoteza ndugu kadhaa kwa uthibitisho wa madaktari. Pamoja na umri wangu pia kujitupa mkono lakini kweli siwezi kuiweka kando na hata vijana wangu na wajukuu nimewasimulia ili kesho wajue wataishije kwa kuushinda unafki,fitina pamoja na tamaa.


Nimalize kwa kusema kwamba CCM tujifunze kwa yaliyopita, kama ni Urais tutazame tutazame matendo ya vijana wetu waliopo katika nafasi mbalubali za serikali na chama. Wapo viongozi wa chama, mawaziri, Wakuu wa wilaya na mikoa, wakurugenzi, mbalizi nk. Kwenye makundi haya hatutakosa wagombea makini. Tusiangalie utendaji tu bali tutazame na utu na kiongozi wa kuliungamisha badala ya kuligawa taifa.

Nitasema kweli daima, fitina kwangu mwiko!
Binadamu wote ni sawa na Afrika ni moja!
Hizi blah blah tu.
Tunataaka mama atupatie katiba mpya na tume huru ya uchaguzi ili tuwaondoe kabisa ccm, hatuwezi kung'ang'ania majaambazi, kama mmeweza kufanya hayo yote huku tunapoelekea si mnatuua wote kabisa?
Ccm hata shetani anawaogopa, sina urafiki wala undugu na mwanaccm yeyote, mmeyataka wenyewe, akifa ccm kwetu sisi ni bia na nyama choma tunasherehekea
 
Kuna mambo ambayo wanaccm wenzangu hawataki kabisa kuyasoma wakiogopa pengine kwa kudhani kua yatakigawa chama ima yatachochea chuki baina yetu.

Waswahili wanasema...unafuga chatu mwisho wa siku anskugeukia na kukumeza wewe. Huu ni usemi ambao ni kielelezo tosha cha ukweli na uhalisia kwetu wanaccm na taifa kwa ujumla.

Tulifanya kosa kubwa sana kumpa mwendazake nafasi ya kugombea Urais, JK lawama hizi hatazikwepa maana yeye kwa mdomo wake ndiye alikiri kumpatia nafasi hiyo na hatimaye baadaye kupitishwa na mkutano mkuu wa halmashauri kuu ya chama taifa. Hakika tutakubaliana kua pamoja na mazuri ambayo aliyafanya lakini kwa sasa tunaona taifa ni kama linazaliwa upya, taifa ndio kama limepata uhuru.

Kiwango cha chuki kilichopandikizwa kwa takribani miaka 5 iliyopita ni cha hali ya juu sana. Kwa tunayokutana nayo hivi sasa ni majuto na kweli majuto ni mjukuu, tunalia na mjukuu wa majuto.
Umepita katika kipindi ambacho hatujawahi kuona watu watu wakitekwa na kupotezwa kabisa, kipindi ambacho hatujawahi kuona mtu anatandikwa risasi hadharani mchana kweupe, yaani kipindi ambacho kwa mfumo wa vyama vingi chama tawala tunachukua ushindi kwa nguvu hata mahali tusikokubalika, kipindi ambacho chama tawala tunapitisha watu kupita bila kupingwa nchi nzima kwa mara ya kwanza, kipindi ambacho viongozi wa chama wanataka hadharani watu flani wanapaswa kuuawa kwa tofauti tu za kisiasa,kipindi ambacho mkuu wa wilaya au mkoa anaingia kwenye ofisi za watu usiku na kupora mali za watu kibabe. Haya yote nyuma hayakuwepo.

Kwakweli mzee aliiweka nchi mahali pabaya sana. Ni sawa alikua mkali kwenye rasilimali za nchi lakini siyo angetupeleka tulikofika hivi sasa, ninagundua utu wa binadamu ni muhimu kuliko hata barabara au daraja tunalojengewa. Mzee alipaswa kuwa waziri mkuu lakini pawepo na mtu wa kumpa maelekezo na siyo yeye kujiamulia mambo.

Tumelipuuza janga la ugonjwa wa Corona lakini Mola ndio anajua liliondoka na nani hata kama nami nimepoteza ndugu kadhaa kwa uthibitisho wa madaktari. Pamoja na umri wangu pia kujitupa mkono lakini kweli siwezi kuiweka kando na hata vijana wangu na wajukuu nimewasimulia ili kesho wajue wataishije kwa kuushinda unafki,fitina pamoja na tamaa.


Nimalize kwa kusema kwamba CCM tujifunze kwa yaliyopita, kama ni Urais tutazame tutazame matendo ya vijana wetu waliopo katika nafasi mbalubali za serikali na chama. Wapo viongozi wa chama, mawaziri, Wakuu wa wilaya na mikoa, wakurugenzi, mbalizi nk. Kwenye makundi haya hatutakosa wagombea makini. Tusiangalie utendaji tu bali tutazame na utu na kiongozi wa kuliungamisha badala ya kuligawa taifa.

Nitasema kweli daima, fitina kwangu mwiko!
Binadamu wote ni sawa na Afrika ni moja!
Nilimpenda Hayati Rais Dkt. Magufuli kwa Kujenga Misingi hasa ya Kiuchumi, Utaratibu na Kurejesha tu Nidhamu iliyopotea kwa muda mrefu Serikalini.

Ila Sikumpenda Hayati Rais Dkt. Magufuli kwa tabia yake ya ' Kuwalea ' na kuwapa ' Viburi ' hawa ' Intarahamwe ' Watatu akina Sabaya, Makonda na Mnyeti.

Nimeenda mbali zaidi na kuhisi kuwa huenda hata Yeye Hayati Rais Dkt. Magufuli nae alikuwa na hizi Roho za hawa ' Intarahamwe ' Watatu aliowapenda mno na kuwapa ' Viburi ' vyote vya ' Kimamlaka ' katika Tanzania yetu hii.

CCM ( Chama Changu Shabikia ) nitoe RAI Kwenu kuwa Siku zingine mkiwa mnafanya ' Michakato ' yenu ya Kumpata Mgombea Urais zingatieni sana Kigezo cha Kumpima Akili huyo Mgombea lakini pia angalieni Rekodi zake za nyuma ( hasa Kimaadili ) kama hakuwahi hata Kuvuta Bange / Bangi au Kunusa Petroli.

Kwa haya ' Mabaya ' yote yaliyofanywa ndani ya Serikali ya Hayati Rais Dkt. Magufuli na hawa ' Intarahamwe ' wake Watatu Sabaya, Makonda na Mnyeti ( kwa Uratibu wa karibu kabisa wa Mpwa wake Dotto James ) CCM tusikwepe ' Lawama ' hizi na badala yake tukiri tulifanya Makosa na ikitupendeza ( japo nadhani ni Muhimu na kuna Ulazima ) basi Chama kiwaombe Radhi ( Msamaha ) Wananchi na hasa hasa wale Wahanga wa ' Madhila ' yote na ' tutubu ' pia Dhambi zetu kwa Mwenyezi Mungu.
 
Kuna mambo ambayo wanaccm wenzangu hawataki kabisa kuyasoma wakiogopa pengine kwa kudhani kua yatakigawa chama ima yatachochea chuki baina yetu.

Waswahili wanasema...unafuga chatu mwisho wa siku anskugeukia na kukumeza wewe. Huu ni usemi ambao ni kielelezo tosha cha ukweli na uhalisia kwetu wanaccm na taifa kwa ujumla.

Tulifanya kosa kubwa sana kumpa mwendazake nafasi ya kugombea Urais, JK lawama hizi hatazikwepa maana yeye kwa mdomo wake ndiye alikiri kumpatia nafasi hiyo na hatimaye baadaye kupitishwa na mkutano mkuu wa halmashauri kuu ya chama taifa. Hakika tutakubaliana kua pamoja na mazuri ambayo aliyafanya lakini kwa sasa tunaona taifa ni kama linazaliwa upya, taifa ndio kama limepata uhuru.

Kiwango cha chuki kilichopandikizwa kwa takribani miaka 5 iliyopita ni cha hali ya juu sana. Kwa tunayokutana nayo hivi sasa ni majuto na kweli majuto ni mjukuu, tunalia na mjukuu wa majuto.
Umepita katika kipindi ambacho hatujawahi kuona watu watu wakitekwa na kupotezwa kabisa, kipindi ambacho hatujawahi kuona mtu anatandikwa risasi hadharani mchana kweupe, yaani kipindi ambacho kwa mfumo wa vyama vingi chama tawala tunachukua ushindi kwa nguvu hata mahali tusikokubalika, kipindi ambacho chama tawala tunapitisha watu kupita bila kupingwa nchi nzima kwa mara ya kwanza, kipindi ambacho viongozi wa chama wanataka hadharani watu flani wanapaswa kuuawa kwa tofauti tu za kisiasa,kipindi ambacho mkuu wa wilaya au mkoa anaingia kwenye ofisi za watu usiku na kupora mali za watu kibabe. Haya yote nyuma hayakuwepo.

Kwakweli mzee aliiweka nchi mahali pabaya sana. Ni sawa alikua mkali kwenye rasilimali za nchi lakini siyo angetupeleka tulikofika hivi sasa, ninagundua utu wa binadamu ni muhimu kuliko hata barabara au daraja tunalojengewa. Mzee alipaswa kuwa waziri mkuu lakini pawepo na mtu wa kumpa maelekezo na siyo yeye kujiamulia mambo.

Tumelipuuza janga la ugonjwa wa Corona lakini Mola ndio anajua liliondoka na nani hata kama nami nimepoteza ndugu kadhaa kwa uthibitisho wa madaktari. Pamoja na umri wangu pia kujitupa mkono lakini kweli siwezi kuiweka kando na hata vijana wangu na wajukuu nimewasimulia ili kesho wajue wataishije kwa kuushinda unafki,fitina pamoja na tamaa.


Nimalize kwa kusema kwamba CCM tujifunze kwa yaliyopita, kama ni Urais tutazame tutazame matendo ya vijana wetu waliopo katika nafasi mbalubali za serikali na chama. Wapo viongozi wa chama, mawaziri, Wakuu wa wilaya na mikoa, wakurugenzi, mbalizi nk. Kwenye makundi haya hatutakosa wagombea makini. Tusiangalie utendaji tu bali tutazame na utu na kiongozi wa kuliungamisha badala ya kuligawa taifa.

Nitasema kweli daima, fitina kwangu mwiko!
Binadamu wote ni sawa na Afrika ni moja!
Kuna mambo yenye uharisia na fake hapa.

Tafadhari, ukiandika vitu ujitahidi kuandikaa vyenye uharisia tu. na kama ni vya uongo basi vyote viwe vya uongo. Ukivichanganya tu vyote vinakuwa vya uongo.
 
Kuna mambo ambayo wanaccm wenzangu hawataki kabisa kuyasoma wakiogopa pengine kwa kudhani kua yatakigawa chama ima yatachochea chuki baina yetu.

Waswahili wanasema...unafuga chatu mwisho wa siku anskugeukia na kukumeza wewe. Huu ni usemi ambao ni kielelezo tosha cha ukweli na uhalisia kwetu wanaccm na taifa kwa ujumla.

Tulifanya kosa kubwa sana kumpa mwendazake nafasi ya kugombea Urais, JK lawama hizi hatazikwepa maana yeye kwa mdomo wake ndiye alikiri kumpatia nafasi hiyo na hatimaye baadaye kupitishwa na mkutano mkuu wa halmashauri kuu ya chama taifa. Hakika tutakubaliana kua pamoja na mazuri ambayo aliyafanya lakini kwa sasa tunaona taifa ni kama linazaliwa upya, taifa ndio kama limepata uhuru.

Kiwango cha chuki kilichopandikizwa kwa takribani miaka 5 iliyopita ni cha hali ya juu sana. Kwa tunayokutana nayo hivi sasa ni majuto na kweli majuto ni mjukuu, tunalia na mjukuu wa majuto.
Umepita katika kipindi ambacho hatujawahi kuona watu watu wakitekwa na kupotezwa kabisa, kipindi ambacho hatujawahi kuona mtu anatandikwa risasi hadharani mchana kweupe, yaani kipindi ambacho kwa mfumo wa vyama vingi chama tawala tunachukua ushindi kwa nguvu hata mahali tusikokubalika, kipindi ambacho chama tawala tunapitisha watu kupita bila kupingwa nchi nzima kwa mara ya kwanza, kipindi ambacho viongozi wa chama wanataka hadharani watu flani wanapaswa kuuawa kwa tofauti tu za kisiasa,kipindi ambacho mkuu wa wilaya au mkoa anaingia kwenye ofisi za watu usiku na kupora mali za watu kibabe. Haya yote nyuma hayakuwepo.

Kwakweli mzee aliiweka nchi mahali pabaya sana. Ni sawa alikua mkali kwenye rasilimali za nchi lakini siyo angetupeleka tulikofika hivi sasa, ninagundua utu wa binadamu ni muhimu kuliko hata barabara au daraja tunalojengewa. Mzee alipaswa kuwa waziri mkuu lakini pawepo na mtu wa kumpa maelekezo na siyo yeye kujiamulia mambo.

Tumelipuuza janga la ugonjwa wa Corona lakini Mola ndio anajua liliondoka na nani hata kama nami nimepoteza ndugu kadhaa kwa uthibitisho wa madaktari. Pamoja na umri wangu pia kujitupa mkono lakini kweli siwezi kuiweka kando na hata vijana wangu na wajukuu nimewasimulia ili kesho wajue wataishije kwa kuushinda unafki,fitina pamoja na tamaa.


Nimalize kwa kusema kwamba CCM tujifunze kwa yaliyopita, kama ni Urais tutazame tutazame matendo ya vijana wetu waliopo katika nafasi mbalubali za serikali na chama. Wapo viongozi wa chama, mawaziri, Wakuu wa wilaya na mikoa, wakurugenzi, mbalizi nk. Kwenye makundi haya hatutakosa wagombea makini. Tusiangalie utendaji tu bali tutazame na utu na kiongozi wa kuliungamisha badala ya kuligawa taifa.

Nitasema kweli daima, fitina kwangu mwiko!
Binadamu wote ni sawa na Afrika ni moja!
Wakati utafika kuna watu watawajibika kwa yaliyotokea kuanzia Samia, JK na wengine. Nani angeamini kwamba Sabaya angefungwa pingu na maaskari waliokuwa wakimpigia saluti?
 
Kuna mambo ambayo wanaccm wenzangu hawataki kabisa kuyasoma wakiogopa pengine kwa kudhani kua yatakigawa chama ima yatachochea chuki baina yetu.

Waswahili wanasema...unafuga chatu mwisho wa siku anskugeukia na kukumeza wewe. Huu ni usemi ambao ni kielelezo tosha cha ukweli na uhalisia kwetu wanaccm na taifa kwa ujumla.

Tulifanya kosa kubwa sana kumpa mwendazake nafasi ya kugombea Urais, JK lawama hizi hatazikwepa maana yeye kwa mdomo wake ndiye alikiri kumpatia nafasi hiyo na hatimaye baadaye kupitishwa na mkutano mkuu wa halmashauri kuu ya chama taifa. Hakika tutakubaliana kua pamoja na mazuri ambayo aliyafanya lakini kwa sasa tunaona taifa ni kama linazaliwa upya, taifa ndio kama limepata uhuru.

Kiwango cha chuki kilichopandikizwa kwa takribani miaka 5 iliyopita ni cha hali ya juu sana. Kwa tunayokutana nayo hivi sasa ni majuto na kweli majuto ni mjukuu, tunalia na mjukuu wa majuto.

Umepita katika kipindi ambacho hatujawahi kuona watu watu wakitekwa na kupotezwa kabisa, kipindi ambacho hatujawahi kuona mtu anatandikwa risasi hadharani mchana kweupe, yaani kipindi ambacho kwa mfumo wa vyama vingi chama tawala tunachukua ushindi kwa nguvu hata mahali tusikokubalika, kipindi ambacho chama tawala tunapitisha watu kupita bila kupingwa nchi nzima kwa mara ya kwanza, kipindi ambacho viongozi wa chama wanataka hadharani watu flani wanapaswa kuuawa kwa tofauti tu za kisiasa,kipindi ambacho mkuu wa wilaya au mkoa anaingia kwenye ofisi za watu usiku na kupora mali za watu kibabe. Haya yote nyuma hayakuwepo.

Kwakweli mzee aliiweka nchi mahali pabaya sana. Ni sawa alikua mkali kwenye rasilimali za nchi lakini siyo angetupeleka tulikofika hivi sasa, ninagundua utu wa binadamu ni muhimu kuliko hata barabara au daraja tunalojengewa. Mzee alipaswa kuwa waziri mkuu lakini pawepo na mtu wa kumpa maelekezo na siyo yeye kujiamulia mambo.

Tumelipuuza janga la ugonjwa wa Corona lakini Mola ndio anajua liliondoka na nani hata kama nami nimepoteza ndugu kadhaa kwa uthibitisho wa madaktari. Pamoja na umri wangu pia kujitupa mkono lakini kweli siwezi kuiweka kando na hata vijana wangu na wajukuu nimewasimulia ili kesho wajue wataishije kwa kuushinda unafki,fitina pamoja na tamaa.

Nimalize kwa kusema kwamba CCM tujifunze kwa yaliyopita, kama ni Urais tutazame tutazame matendo ya vijana wetu waliopo katika nafasi mbalubali za serikali na chama. Wapo viongozi wa chama, mawaziri, Wakuu wa wilaya na mikoa, wakurugenzi, mbalizi nk.

Kwenye makundi haya hatutakosa wagombea makini. Tusiangalie utendaji tu bali tutazame na utu na kiongozi wa kuliungamisha badala ya kuligawa taifa.

Nitasema kweli daima, fitina kwangu mwiko!

Binadamu wote ni sawa na Afrika ni moja!
Wanasiasa na wana CCM walioiva na kukomaa kisiasa kama wewe ni wachache sana...wamebaki lundo la wajinga na wafata mkumbo. Na Waimba mapambio
 
Kuna mambo ambayo wanaccm wenzangu hawataki kabisa kuyasoma wakiogopa pengine kwa kudhani kua yatakigawa chama ima yatachochea chuki baina yetu.

Waswahili wanasema...unafuga chatu mwisho wa siku anskugeukia na kukumeza wewe. Huu ni usemi ambao ni kielelezo tosha cha ukweli na uhalisia kwetu wanaccm na taifa kwa ujumla.

Tulifanya kosa kubwa sana kumpa mwendazake nafasi ya kugombea Urais, JK lawama hizi hatazikwepa maana yeye kwa mdomo wake ndiye alikiri kumpatia nafasi hiyo na hatimaye baadaye kupitishwa na mkutano mkuu wa halmashauri kuu ya chama taifa. Hakika tutakubaliana kua pamoja na mazuri ambayo aliyafanya lakini kwa sasa tunaona taifa ni kama linazaliwa upya, taifa ndio kama limepata uhuru.

Kiwango cha chuki kilichopandikizwa kwa takribani miaka 5 iliyopita ni cha hali ya juu sana. Kwa tunayokutana nayo hivi sasa ni majuto na kweli majuto ni mjukuu, tunalia na mjukuu wa majuto.

Umepita katika kipindi ambacho hatujawahi kuona watu watu wakitekwa na kupotezwa kabisa, kipindi ambacho hatujawahi kuona mtu anatandikwa risasi hadharani mchana kweupe, yaani kipindi ambacho kwa mfumo wa vyama vingi chama tawala tunachukua ushindi kwa nguvu hata mahali tusikokubalika, kipindi ambacho chama tawala tunapitisha watu kupita bila kupingwa nchi nzima kwa mara ya kwanza, kipindi ambacho viongozi wa chama wanataka hadharani watu flani wanapaswa kuuawa kwa tofauti tu za kisiasa,kipindi ambacho mkuu wa wilaya au mkoa anaingia kwenye ofisi za watu usiku na kupora mali za watu kibabe. Haya yote nyuma hayakuwepo.

Kwakweli mzee aliiweka nchi mahali pabaya sana. Ni sawa alikua mkali kwenye rasilimali za nchi lakini siyo angetupeleka tulikofika hivi sasa, ninagundua utu wa binadamu ni muhimu kuliko hata barabara au daraja tunalojengewa. Mzee alipaswa kuwa waziri mkuu lakini pawepo na mtu wa kumpa maelekezo na siyo yeye kujiamulia mambo.

Tumelipuuza janga la ugonjwa wa Corona lakini Mola ndio anajua liliondoka na nani hata kama nami nimepoteza ndugu kadhaa kwa uthibitisho wa madaktari. Pamoja na umri wangu pia kujitupa mkono lakini kweli siwezi kuiweka kando na hata vijana wangu na wajukuu nimewasimulia ili kesho wajue wataishije kwa kuushinda unafki,fitina pamoja na tamaa.

Nimalize kwa kusema kwamba CCM tujifunze kwa yaliyopita, kama ni Urais tutazame tutazame matendo ya vijana wetu waliopo katika nafasi mbalubali za serikali na chama. Wapo viongozi wa chama, mawaziri, Wakuu wa wilaya na mikoa, wakurugenzi, mbalizi nk.

Kwenye makundi haya hatutakosa wagombea makini. Tusiangalie utendaji tu bali tutazame na utu na kiongozi wa kuliungamisha badala ya kuligawa taifa.

Nitasema kweli daima, fitina kwangu mwiko!

Binadamu wote ni sawa na Afrika ni moja!
"Mungu tu ndo anajua corona imeondoka na nani"
 
Back
Top Bottom