CCM tulifanya kosa kubwa sana 2015, tusirudie tena. Chuki iliyopo ni kubwa sana

CCM tulifanya kosa kubwa sana 2015, tusirudie tena. Chuki iliyopo ni kubwa sana

Kuna mambo ambayo wanaccm wenzangu hawataki kabisa kuyasoma wakiogopa pengine kwa kudhani kua yatakigawa chama ima yatachochea chuki baina yetu.

Waswahili wanasema...unafuga chatu mwisho wa siku anskugeukia na kukumeza wewe. Huu ni usemi ambao ni kielelezo tosha cha ukweli na uhalisia kwetu wanaccm na taifa kwa ujumla.

Tulifanya kosa kubwa sana kumpa mwendazake nafasi ya kugombea Urais, JK lawama hizi hatazikwepa maana yeye kwa mdomo wake ndiye alikiri kumpatia nafasi hiyo na hatimaye baadaye kupitishwa na mkutano mkuu wa halmashauri kuu ya chama taifa. Hakika tutakubaliana kua pamoja na mazuri ambayo aliyafanya lakini kwa sasa tunaona taifa ni kama linazaliwa upya, taifa ndio kama limepata uhuru.

Kiwango cha chuki kilichopandikizwa kwa takribani miaka 5 iliyopita ni cha hali ya juu sana. Kwa tunayokutana nayo hivi sasa ni majuto na kweli majuto ni mjukuu, tunalia na mjukuu wa majuto.

Umepita katika kipindi ambacho hatujawahi kuona watu watu wakitekwa na kupotezwa kabisa, kipindi ambacho hatujawahi kuona mtu anatandikwa risasi hadharani mchana kweupe, yaani kipindi ambacho kwa mfumo wa vyama vingi chama tawala tunachukua ushindi kwa nguvu hata mahali tusikokubalika, kipindi ambacho chama tawala tunapitisha watu kupita bila kupingwa nchi nzima kwa mara ya kwanza, kipindi ambacho viongozi wa chama wanataka hadharani watu flani wanapaswa kuuawa kwa tofauti tu za kisiasa,kipindi ambacho mkuu wa wilaya au mkoa anaingia kwenye ofisi za watu usiku na kupora mali za watu kibabe. Haya yote nyuma hayakuwepo.

Kwakweli mzee aliiweka nchi mahali pabaya sana. Ni sawa alikua mkali kwenye rasilimali za nchi lakini siyo angetupeleka tulikofika hivi sasa, ninagundua utu wa binadamu ni muhimu kuliko hata barabara au daraja tunalojengewa. Mzee alipaswa kuwa waziri mkuu lakini pawepo na mtu wa kumpa maelekezo na siyo yeye kujiamulia mambo.

Tumelipuuza janga la ugonjwa wa Corona lakini Mola ndio anajua liliondoka na nani hata kama nami nimepoteza ndugu kadhaa kwa uthibitisho wa madaktari. Pamoja na umri wangu pia kujitupa mkono lakini kweli siwezi kuiweka kando na hata vijana wangu na wajukuu nimewasimulia ili kesho wajue wataishije kwa kuushinda unafki,fitina pamoja na tamaa.

Nimalize kwa kusema kwamba CCM tujifunze kwa yaliyopita, kama ni Urais tutazame tutazame matendo ya vijana wetu waliopo katika nafasi mbalubali za serikali na chama. Wapo viongozi wa chama, mawaziri, Wakuu wa wilaya na mikoa, wakurugenzi, mbalizi nk.

Kwenye makundi haya hatutakosa wagombea makini. Tusiangalie utendaji tu bali tutazame na utu na kiongozi wa kuliungamisha badala ya kuligawa taifa.

Nitasema kweli daima, fitina kwangu mwiko!

Binadamu wote ni sawa na Afrika ni moja!
𝙽𝚊𝚘𝚖𝚋𝚊 𝚔𝚞𝚎𝚕𝚒𝚖𝚒𝚜𝚑𝚠𝚊! 𝙷𝚒𝚟𝚒 𝙲𝙲𝙼 𝚒𝚖𝚊𝚛𝚊 𝚗𝚒 𝚑𝚒𝚙𝚒? 𝚊𝚗𝚣𝚒𝚊 𝚊𝚠𝚊𝚖𝚞 𝚠𝚊 𝚔𝚠𝚊𝚗𝚣𝚊 𝚖𝚙𝚊𝚔𝚊 𝚢𝚊 5 𝙲𝙲𝙼 𝚑𝚒𝚙𝚒 𝚒𝚕𝚒𝚔𝚠𝚊 𝚒𝚖𝚊𝚛𝚊 𝚌𝚑𝚒𝚗𝚒 𝚢𝚊 𝚖𝚠𝚎𝚗𝚢𝚎𝚔𝚒𝚝𝚒 𝚢𝚞𝚙𝚒?
 
Subiri mataga waje watamtukana balaa.
Ukisema Mataga unakosea,,sema genge" kwani mataga wengi waliishi kinafki lakini hawakupenda tabia za jiwe. Mataga imegawanyika kuna ambao wapo na mama na wale wa legacy[emoji3].
Hawa wa legacy ndiyo mashabiki wa , makonda ,sabaya ,musiba na wengine sampuli hizo.
 
Yule bwana tangu day one sikuwahi kumkubali. Hua natafakari sana kama nchi tulikofikia lkn watu wakaamua kukaa kimya na kama sio zawadi ya kifo aliyoitoa Mungu kwa mwanadamu sijui ingekuwaje.
 
Kuna mambo ambayo wana CCM wenzangu hawataki kabisa kuyasoma wakiogopa pengine kwa kudhani kua yatakigawa chama ima yatachochea chuki baina yetu.

Waswahili wanasema, unafuga chatu mwisho wa siku anskugeukia na kukumeza wewe. Huu ni usemi ambao ni kielelezo tosha cha ukweli na uhalisia kwetu wana CCM na taifa kwa ujumla.

Tulifanya kosa kubwa sana kumpa mwendazake nafasi ya kugombea Urais, JK lawama hizi hatazikwepa maana yeye kwa mdomo wake ndiye alikiri kumpatia nafasi hiyo na hatimaye baadaye kupitishwa na mkutano mkuu wa halmashauri kuu ya chama taifa. Hakika tutakubaliana kua pamoja na mazuri ambayo aliyafanya lakini kwa sasa tunaona taifa ni kama linazaliwa upya, taifa ndio kama limepata uhuru.

Kiwango cha chuki kilichopandikizwa kwa takribani miaka 5 iliyopita ni cha hali ya juu sana. Kwa tunayokutana nayo hivi sasa ni majuto na kweli majuto ni mjukuu, tunalia na mjukuu wa majuto.

Umepita katika kipindi ambacho hatujawahi kuona watu watu wakitekwa na kupotezwa kabisa, kipindi ambacho hatujawahi kuona mtu anatandikwa risasi hadharani mchana kweupe, yaani kipindi ambacho kwa mfumo wa vyama vingi chama tawala tunachukua ushindi kwa nguvu hata mahali tusikokubalika, kipindi ambacho chama tawala tunapitisha watu kupita bila kupingwa nchi nzima kwa mara ya kwanza, kipindi ambacho viongozi wa chama wanataka hadharani watu flani wanapaswa kuuawa kwa tofauti tu za kisiasa, kipindi ambacho mkuu wa wilaya au mkoa anaingia kwenye ofisi za watu usiku na kupora mali za watu kibabe. Haya yote nyuma hayakuwepo.

Kwakweli mzee aliiweka nchi mahali pabaya sana. Ni sawa alikua mkali kwenye rasilimali za nchi lakini siyo angetupeleka tulikofika hivi sasa, ninagundua utu wa binadamu ni muhimu kuliko hata barabara au daraja tunalojengewa. Mzee alipaswa kuwa waziri mkuu lakini pawepo na mtu wa kumpa maelekezo na siyo yeye kujiamulia mambo.

Tumelipuuza janga la ugonjwa wa Corona lakini Mola ndio anajua liliondoka na nani hata kama nami nimepoteza ndugu kadhaa kwa uthibitisho wa madaktari. Pamoja na umri wangu pia kujitupa mkono lakini kweli siwezi kuiweka kando na hata vijana wangu na wajukuu nimewasimulia ili kesho wajue wataishije kwa kuushinda unafki,fitina pamoja na tamaa.

Nimalize kwa kusema kwamba CCM tujifunze kwa yaliyopita, kama ni Urais tutazame tutazame matendo ya vijana wetu waliopo katika nafasi mbalubali za serikali na chama. Wapo viongozi wa chama, mawaziri, Wakuu wa wilaya na mikoa, wakurugenzi, mbalizi nk.

Kwenye makundi haya hatutakosa wagombea makini. Tusiangalie utendaji tu bali tutazame na utu na kiongozi wa kuliungamisha badala ya kuligawa taifa.

Nitasema kweli daima, fitina kwangu mwiko!

Binadamu wote ni sawa na Afrika ni moja!

Ni maoni yako, hongera, nitayaheshimu licha ya kuwa sikubaliani nayo. maana yamejikita kwenye upande mmoja tu wa pande mbili za binadamu. kwa asili binadamu hakosi udhaifu, lakini pia hakosi uhodari.
Hili andiko, binafsi naona kama ni namna ya kueneza chuki dhidi ya rais aliyeondoka. Ambalo linajaribu kumuua Magufuli, lakini nieleze kwa kifupi tu, "wanaotaka kumuua Magufuli hawatafanikiwa".
 
Hata siku moja hatakuja rais aliyekamilika. Tukipata mwanadiplomasia mzuri atakuwa na sifa fulani ya uvivu. Huyo JK CCM ambako ndiko nyumbani palipomkuza mpaka akawa maarufu palielekea kumshinda mpaka ukaandaliwa mkakati maalum wa kumtumia Asha Migiro na Mzee Kinana ili waende wakapige magoti kwa wananchi, walitumia mkakati wa 'kuangukia' watu waliokuwa wamechoshwa na madudu.

JPM alifanya kazi ngumu ya kufufua ATCL huku akilazimika kuwa mkali ili wale waliozoea kufanya kazi kizembe waweze kuchangamshwa.

Kufufua shirika la reli ambalo JK na BWM walilishindwa kabisa haikuwa kazi ndogo, alihitajika JPM asiyecheka na kima ili safari ya treni iweze kufika Moshi baada ya miaka 25.

JPM hakuwa mwanadiplomasia, hakuwa na nguvu ya ushawishi ambayo ni sifa ya kawaida ya mwanasiasa mwenye kuongoza nchi, alijaaliwa uwezo mkubwa wa kusimamia wote waliokuwa chini yake.

Tumuongelee JPM kwa udhaifu aliokuwa nao lakini JPM baada ya kuondoka JKN alipaswa kuwa rais wa pili. Nchi yetu ambayo ndio inakaribia kufikisha umeme katika vijiji vyote ilimhitaji kiongozi mchapakazi wa kweli mwaka 1985, leo hii tungekuwa tumeshaweza kufanya mengi makubwa.

Hivyo ushawishi wa JK wa awamu hii ya sita bado hauna nguvu ya kuweza kuwasahaulisha watu udhaifu wa awamu yake.
 
Subiri mataga waje watamtukana balaa.
Dk aliong'olewa meno Kwa plaizi lini, mwandishi wa mbeya alitumbuliwa utumbo lini?,kiufupi serikali zote no dhalimu ukiwasumbua wanakukili.
 
Kuna mambo ambayo wana CCM wenzangu hawataki kabisa kuyasoma wakiogopa pengine kwa kudhani kua yatakigawa chama ima yatachochea chuki baina yetu.

Waswahili wanasema, unafuga chatu mwisho wa siku anskugeukia na kukumeza wewe. Huu ni usemi ambao ni kielelezo tosha cha ukweli na uhalisia kwetu wana CCM na taifa kwa ujumla.

Tulifanya kosa kubwa sana kumpa mwendazake nafasi ya kugombea Urais, JK lawama hizi hatazikwepa maana yeye kwa mdomo wake ndiye alikiri kumpatia nafasi hiyo na hatimaye baadaye kupitishwa na mkutano mkuu wa halmashauri kuu ya chama taifa. Hakika tutakubaliana kua pamoja na mazuri ambayo aliyafanya lakini kwa sasa tunaona taifa ni kama linazaliwa upya, taifa ndio kama limepata uhuru.

Kiwango cha chuki kilichopandikizwa kwa takribani miaka 5 iliyopita ni cha hali ya juu sana. Kwa tunayokutana nayo hivi sasa ni majuto na kweli majuto ni mjukuu, tunalia na mjukuu wa majuto.

Umepita katika kipindi ambacho hatujawahi kuona watu watu wakitekwa na kupotezwa kabisa, kipindi ambacho hatujawahi kuona mtu anatandikwa risasi hadharani mchana kweupe, yaani kipindi ambacho kwa mfumo wa vyama vingi chama tawala tunachukua ushindi kwa nguvu hata mahali tusikokubalika, kipindi ambacho chama tawala tunapitisha watu kupita bila kupingwa nchi nzima kwa mara ya kwanza, kipindi ambacho viongozi wa chama wanataka hadharani watu flani wanapaswa kuuawa kwa tofauti tu za kisiasa, kipindi ambacho mkuu wa wilaya au mkoa anaingia kwenye ofisi za watu usiku na kupora mali za watu kibabe. Haya yote nyuma hayakuwepo.

Kwakweli mzee aliiweka nchi mahali pabaya sana. Ni sawa alikua mkali kwenye rasilimali za nchi lakini siyo angetupeleka tulikofika hivi sasa, ninagundua utu wa binadamu ni muhimu kuliko hata barabara au daraja tunalojengewa. Mzee alipaswa kuwa waziri mkuu lakini pawepo na mtu wa kumpa maelekezo na siyo yeye kujiamulia mambo.

Tumelipuuza janga la ugonjwa wa Corona lakini Mola ndio anajua liliondoka na nani hata kama nami nimepoteza ndugu kadhaa kwa uthibitisho wa madaktari. Pamoja na umri wangu pia kujitupa mkono lakini kweli siwezi kuiweka kando na hata vijana wangu na wajukuu nimewasimulia ili kesho wajue wataishije kwa kuushinda unafki,fitina pamoja na tamaa.

Nimalize kwa kusema kwamba CCM tujifunze kwa yaliyopita, kama ni Urais tutazame tutazame matendo ya vijana wetu waliopo katika nafasi mbalubali za serikali na chama. Wapo viongozi wa chama, mawaziri, Wakuu wa wilaya na mikoa, wakurugenzi, mbalizi nk.

Kwenye makundi haya hatutakosa wagombea makini. Tusiangalie utendaji tu bali tutazame na utu na kiongozi wa kuliungamisha badala ya kuligawa taifa.

Nitasema kweli daima, fitina kwangu mwiko!

Binadamu wote ni sawa na Afrika ni moja!
Wewe hujitambui na huijui CCM ya 2015 ilikuwaje. Wewe ungeweza kupita Kariakoo na gwanda la CCM? Makosa yalizoeleka ndani ya CCM kiasi bado mtu kama wewe unatamani kurudi kwenye ushenzi tuliofanyiwa kabla ya hapo.
 
Natamani Kikwete asome uzi huu!!na Nape,kinana!!wajue mwendazake katufanya wazee kabla ya wakati!!ona sura za vijana zilivyokunjamana!!!
 
Back
Top Bottom