Pre GE2025 CCM Tumeamua Kumpa Mitano Tena Rais Samia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Umeamua wewe na nani? Maana unasema tumeamua
 
Kimsingi CCM hawachagui rais, Watanzania ndio wanachagua rais.

Labda kama unaongelea kuiba uchaguzi na kubadilisha matokeo.
Hawa hapa ndio wanaomchagua Rais👎
Your browser is not able to display this video.
 
Ndio Katiba ya CCM inavyotaka? Kama ndivyo si hadi Watanzania wapige kura 2025? Au ni kwa mujibu wa kauli ya Nape?
 
Toeni matokeo tu si mmeshachakata kule maporini mbona nyuzi zimezidi? Mmekosa confidence? Wekeni tu 99% mmeshinda kama jiwe aliyegeuka vumbi tuendelee na maisha! Tushachoka nyuzi mpya kila dakika
 
Mpeni mia
 
Ni raha na furaha kwa watanzania kuongozwa na Rais Samia.kila mmoja anajiona furaha sana na hata kupona akimskia au kumuona Rais Samia.Mama ndio chaguo la mamilioni ya watanzania View attachment 3114252

Umati wa watu sio ishu Kwa ccm
Ni Jambo dogo Sana

Hapo chini nimekuwekea magu na jk

So ishu za watu kujaa sio ishu tena

Shida yenu mnakosa hoja za msingi ndio maana mnakuja na ishu za kujaza watu kitu ambacho ni kawaida Kwa cc
 

Attachments

  • 3.jpg
    198 KB · Views: 2
  • _MG_9248.jpg
    184.7 KB · Views: 2
Umati wa watu sio ishu Kwa ccm
Ni Jambo dogo Sana

Hapo chini nimekuwekea magu na jk

So ishu za watu kujaa sio ishu tena

Shida yenu mnakosa hoja za msingi ndio maana mnakuja na ishu za kujaza watu kitu ambacho ni kawaida Kwa cc
Kwa hiyo ni lazima ufahamu ya kuwa CCM ndio iliyobeba matumaini ya mamilioni ya watanzania.kwa sasa mamilioni hayo ya watanzania wameamua kumpatia Mama Miaka Mitano kwa kishindo
 
Rais hajachaguliwa, msijimwambafy kuwa mmeamua.

Yule mwingine Magufuli mlipiga kelele hivihivi mitano tena akaishia kujifia zake mbali huko.
Suala la kifo ni mapenzi na mipango ya Mungu.hata wewe utakufa.Suala la ushindi kishindoo wa Rais Samia lipo wazi kabisa kuwa ni lazima ashindeee tu mtake msitake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…