Zinathiri vipi uchumi au shida za watzDJ alikua anapambana na nyagi zake mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zinathiri vipi uchumi au shida za watzDJ alikua anapambana na nyagi zake mkuu
Hakuna haja ya matusi sisi ni CCM, mimi na ww. Tusivuane nguo hadharaniUmeharibikiwa akili kama mgombea wenu chizi, nani hajui mazuri yaliyofanywa na ccm?
Laiti tungalijua, tungewahacha hawa watu waongee, maana watu wangechoka mapema na hii mashambulizi yao isingekuwa kivutio kama ilivyo leo. Kwa hali iliyopo, ukigeuka kulia, watu wanataka kusikia nondo za Lisu. Kuhsoto wataka kumsikiliza Lissu. Kwenye daladala lissu, sehemu za starehe ni Lissu. Makanisani
Ahadi ya katiba mpya ndio hiyo sasa.. Inatakiwa katiba itakayotamka hayo yote.Mwingereza,
Ili kufanikiwa lazima tufike mahali wakuu wa mikoa,wakuu wa Wilaya wateuliwe na Wananchi kama wabunge wanavyoteuliwa.pili lazima wakuu wote wa vyombo vya ulinzi na usalama waombe hizo nafasi na zitangazwe na wapitishwe na bunge.Vinginevyo tutaenda mbele tutarudi nyuma kila mwaka na mwisho Kuna atakayekuja kuiuza SGR mwaka 2030.