Uchaguzi 2020 CCM tumefanya makosa kwa miaka mitano. Hakuna wa kumlaumu, sasa tulinywe!

Uchaguzi 2020 CCM tumefanya makosa kwa miaka mitano. Hakuna wa kumlaumu, sasa tulinywe!

Kwa miaka mitano uwanja ulikuwa ni wetu. Tumewafunga minyororo ya miguuni, mikononi na hata shingoni huku midomo yao tumeyafunga kwa vitambaa. Uwanja ulikuwa ni wetu, tumewakejeli, tumewasimanga tumewaita kila haina ya majina huku wasiojulikana wakiwafanyia kweli bila kujulikana.

Tumewasweka lupango, tumewanunua kana kwamba ni mitumba. Tumetumia vyombo vya habari peke yetu. Tuliwazibia kila kona, ilikuwa ni CCM. Tumetembea vifua mbele huku tukijinasibu kama wana maendeleo. Polisi wamewatesa sana wana CHADEMA. Hawa jamaa wamekiona cha moto lakini bado wanapumua !

Tumeimba singeli za Stigllers Gorge, tumenunua midege, SGR, Flyovers, elimu bure, na kila haina ya maendeleo. Hatukuwa na kosa, tulikuwa weupe kama theluji bila kujua kwamba tulikuwa wachafu mithili ya nguruwe alijetumbukiza kwenye matope.

Ghafla bin vuu, maendeleo yote tuliyokuwa tunajivunia imegeuka kuwa kamba ya kutunyongea. Mwenyekiti wangu kakamatwa suruali chini Kibiti, "Anatoa Rushwa".

Maendeleo ya kujenga Uwanja wa ndege Kijijini Chato imegeuka kuwa kashfa ya karne.

Laiti tungalijua, tungewahacha hawa watu waongee, maana watu wangechoka mapema na hii mashambulizi yao isingekuwa kivutio kama ilivyo leo. Kwa hali iliyopo, ukigeuka kulia, watu wanataka kusikia nondo za Lisu. Kuhsoto wataka kumsikiliza Lissu. Kwenye daladala lissu, sehemu za starehe ni Lissu. Makanisani Lissu. Vijijini Lissu kila kona Lissu na Chadema.

Ingawa tumeziba vyombo vya habari kutangaza habari za Chadema, Instagram na mitandaoni ni hoja nzito za Lissu. Mbaya zaidi, muda wa kujitetea haitoshi nikiangalia miaka mitano na siku 60 za kampeni. hesabn haiku bali. Hatuwezi kutoboa

Mikutano yetu iliyokuwa Mubashara toka Ikulu, leo imegeuka kuwa Maigizo ya wana usalama kuchoma mahindi na bastola kiunoni. Maendeleo yetu ya Flyovers imekuwa Wapinzania kutaka kuuza Scrapper. Hoja mfu!

Bandugu kwa miaka mitano tumelikoroga. Sasa inabidi tulinywe. Mwaka huu kuiba kura ni kaa la moto na atakayethubutu anakwenda na maji.

Ama kweli majuto ni mjukuu!
Umeharibikiwa akili kama mgombea wenu chizi, nani hajui mazuri yaliyofanywa na ccm?
 
Kwa miaka mitano uwanja ulikuwa ni wetu. Tumewafunga minyororo ya miguuni, mikononi na hata shingoni huku midomo yao tumeyafunga kwa vitambaa. Uwanja ulikuwa ni wetu, tumewakejeli, tumewasimanga tumewaita kila haina ya majina huku wasiojulikana wakiwafanyia kweli bila kujulikana.

Tumewasweka lupango, tumewanunua kana kwamba ni mitumba. Tumetumia vyombo vya habari peke yetu. Tuliwazibia kila kona, ilikuwa ni CCM. Tumetembea vifua mbele huku tukijinasibu kama wana maendeleo. Polisi wamewatesa sana wana CHADEMA. Hawa jamaa wamekiona cha moto lakini bado wanapumua !

Tumeimba singeli za Stigllers Gorge, tumenunua midege, SGR, Flyovers, elimu bure, na kila haina ya maendeleo. Hatukuwa na kosa, tulikuwa weupe kama theluji bila kujua kwamba tulikuwa wachafu mithili ya nguruwe alijetumbukiza kwenye matope.

Ghafla bin vuu, maendeleo yote tuliyokuwa tunajivunia imegeuka kuwa kamba ya kutunyongea. Mwenyekiti wangu kakamatwa suruali chini Kibiti, "Anatoa Rushwa".

Maendeleo ya kujenga Uwanja wa ndege Kijijini Chato imegeuka kuwa kashfa ya karne.

Laiti tungalijua, tungewahacha hawa watu waongee, maana watu wangechoka mapema na hii mashambulizi yao isingekuwa kivutio kama ilivyo leo. Kwa hali iliyopo, ukigeuka kulia, watu wanataka kusikia nondo za Lisu. Kuhsoto wataka kumsikiliza Lissu. Kwenye daladala lissu, sehemu za starehe ni Lissu. Makanisani Lissu. Vijijini Lissu kila kona Lissu na Chadema.

Ingawa tumeziba vyombo vya habari kutangaza habari za Chadema, Instagram na mitandaoni ni hoja nzito za Lissu. Mbaya zaidi, muda wa kujitetea haitoshi nikiangalia miaka mitano na siku 60 za kampeni. hesabn haiku bali. Hatuwezi kutoboa

Mikutano yetu iliyokuwa Mubashara toka Ikulu, leo imegeuka kuwa Maigizo ya wana usalama kuchoma mahindi na bastola kiunoni. Maendeleo yetu ya Flyovers imekuwa Wapinzania kutaka kuuza Scrapper. Hoja mfu!

Bandugu kwa miaka mitano tumelikoroga. Sasa inabidi tulinywe. Mwaka huu kuiba kura ni kaa la moto na atakayethubutu anakwenda na maji.

Ama kweli majuto ni mjukuu!
Acha uongo wewe siyo ccm.kwa taarifa yako ccm ushindi ni 95%
 
Siamini kabisa. Tumewaburuza jamaa kwa miaka mitano leo tunaonekana kama mazwazwa hata kujitetetea hatuwezi tunabakia kuwatumia wakina TID. Shame on Polepole. Sijui walimuokota wapi!
Kuna mshenx mwingine nimemsikia akiinanga CHADEMA na TAL-2020 inachekesha Sana....!!
CCM wameishiwa hoja wanatapata na kushika unyasi ilhali Kasi ya mafuriko Ni Kali kuliko 2015....!!

This time around Magufuli a.k.a Jiwe atawajua Watz Ni watu wa aina gani...!!!Watz wanataka kuona MAENDELEO YAO NA SIYO MAENDELEO YA VITU.....!!!
 
Umeharibikiwa akili kama mgombea wenu chizi, nani hajui mazuri yaliyofanywa na ccm?

Mazuri yaliyofanywa na CCM ni kwa ajili ya Wana-CCM na Magufuli wao na siyo Watz wa vyama vingine na Wasio na vyama...!!
Makundi ya WATUMISHI, WAFANYI BIASHARA na GRADUATES wame- suffer sana kwa kipindi hii ya miaka 5 ..!!

Jiwe asitegemee kuata kura yoyote toka Makundi haya labda iwe za kughushi🤣🤣!!!
 
Mazuri yaliyofanywa na CCM ni kwa ajili ya Wana-CCM na Magufuli wao na siyo Watz wa vyama vingine na Wasio na vyama...!!
Makundi ya WATUMISHI, WAFANYI BIASHARA na GRADUATES wame- suffer sana kwa kipindi hii ya miaka 5 ..!!

Jiwe asitegemee kuata kura yoyote toka Makundi haya labda iwe za kughushi🤣🤣!!!
Bila kupokonya kura Magu 2021 harudi
 
Katika Awamu nilizoshuhudia nikiwa najitambua aisee hii awamu iacheni tu imekithiri sana kwa vitu viwili pacha "UONGO NA UNAFKI"
muongo anaeleza uongo wake, alaf mnafki anaukubali uongo kinafki, watoto wa mjini tunasema ngoma ndroo
 
Kwa miaka mitano uwanja ulikuwa ni wetu. Tumewafunga minyororo ya miguuni, mikononi na hata shingoni huku midomo yao tumeyafunga kwa vitambaa. Uwanja ulikuwa ni wetu, tumewakejeli, tumewasimanga tumewaita kila haina ya majina huku wasiojulikana wakiwafanyia kweli bila kujulikana.

Tumewasweka lupango, tumewanunua kana kwamba ni mitumba. Tumetumia vyombo vya habari peke yetu. Tuliwazibia kila kona, ilikuwa ni CCM. Tumetembea vifua mbele huku tukijinasibu kama wana maendeleo. Polisi wamewatesa sana wana CHADEMA. Hawa jamaa wamekiona cha moto lakini bado wanapumua !

Tumeimba singeli za Stigllers Gorge, tumenunua midege, SGR, Flyovers, elimu bure, na kila haina ya maendeleo. Hatukuwa na kosa, tulikuwa weupe kama theluji bila kujua kwamba tulikuwa wachafu mithili ya nguruwe alijetumbukiza kwenye matope.

Ghafla bin vuu, maendeleo yote tuliyokuwa tunajivunia imegeuka kuwa kamba ya kutunyongea. Mwenyekiti wangu kakamatwa suruali chini Kibiti, "Anatoa Rushwa".

Maendeleo ya kujenga Uwanja wa ndege Kijijini Chato imegeuka kuwa kashfa ya karne.

Laiti tungalijua, tungewahacha hawa watu waongee, maana watu wangechoka mapema na hii mashambulizi yao isingekuwa kivutio kama ilivyo leo. Kwa hali iliyopo, ukigeuka kulia, watu wanataka kusikia nondo za Lisu. Kuhsoto wataka kumsikiliza Lissu. Kwenye daladala lissu, sehemu za starehe ni Lissu. Makanisani Lissu. Vijijini Lissu kila kona Lissu na Chadema.

Ingawa tumeziba vyombo vya habari kutangaza habari za Chadema, Instagram na mitandaoni ni hoja nzito za Lissu. Mbaya zaidi, muda wa kujitetea haitoshi nikiangalia miaka mitano na siku 60 za kampeni. hesabn haiku bali. Hatuwezi kutoboa

Mikutano yetu iliyokuwa Mubashara toka Ikulu, leo imegeuka kuwa Maigizo ya wana usalama kuchoma mahindi na bastola kiunoni. Maendeleo yetu ya Flyovers imekuwa Wapinzania kutaka kuuza Scrapper. Hoja mfu!

Bandugu kwa miaka mitano tumelikoroga. Sasa inabidi tulinywe. Mwaka huu kuiba kura ni kaa la moto na atakayethubutu anakwenda na maji.

Ama kweli majuto ni mjukuu!
Waafrika kuna mtu alituroga. Kweli mtu anaweza kuandika upuuzi wa namna hii. Eti kwa miaka 5 CCM imelikoroga kwa kununua ndege, ElimuBure, Flyover, SGR na StieglersGorge.

Nimeamini kurudi nyuma kimaendeleo huwa tunamlaumu mzungu bure lakini ni sisi wenyewe. Wakati mwingine unajiuliza hivi binadamu afanyiwe nini mpaka aridhike. Hii ni laana mbaya sana.

Demokrasia haikutakiwa Africa, inaturudisha sana nyuma. Kwasabbu inawafanya mpaka wapumbavu wajione wana haki. Kuna watu bila kutumia mijeledi hawatawaliki.

Sasa hivi tumepata kiongozi anaetupeleka mbele kimaendeleo mpaka tumefikia uchumi wa kati, Leo tumekua nchi ya kwanza Africa kusambaza umeme kwa wananchi, Madini yetu tumeanza kuyalinda na kupata faida. Lakini kiongozi huyu ambao wengi wanamtamani huko nje, sisi tunamuona hafai tunataka kumpa kichaa atuongozee nchi.
 
Napendekeza Bashiru na Polepole wafukuzwe. Sera zao zinaididimiza chama. Hawajui wajibu nini
 
Kitu kilimuuma Magu ni madaraja, ndege, reli zitakupigia kura..alisema siku ile ametoka kuchukua fomu NEC..uso wake ulionyesha hasira za wazi ila akimkumbuka Amsterdam & CO akaishia hiiiiiìiiiii
 
Back
Top Bottom