Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Kuichagua CCM ni kuchagua vyuma kukaza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]alikua kafuga kiotaHivi mfalme alikua amenyoa? Nje ya mada lakini
Azam walichimbwa mkwara na Habassi...!!!Hahaaa kilichotokea juz Azam TV uliona dawa ndio hiyo zima zima hatutak mikelele ya mbu masikioni tunapiga kofi tu vivaaa CCM
Mabeberu ndio wanaotulishaWewe sio kijani aisee kwa saana unaweza kuwa beberu
True tangu nchi hii iumbwe tangu ukoloni hakuna awamu ambayo mtza ameteseka kama awamu hiiHakuna awamu ya uchaguzi iliyo na machungu kwa wananchi kama awamu hii[emoji3]
Watu wamekuwa na machungu na hasira kibubu bubu tu[emoji3]
October ndo wakati pekee wa kulipiza kisasi kwa kupinga na kuukataaa udhalimu na utesaji woteHakuna awamu ya uchaguzi iliyo na machungu kwa wananchi kama awamu hii[emoji3]
Watu wamekuwa na machungu na hasira kibubu bubu tu[emoji3]
Na watanzania wamevumilia. October patachimbikaoctober ndo wakati pekee wa kulipiza kisasi kwa kupinga na kuukataaa udhalimu na utesaji wote
Wakirudia kosa wamekwisha atohitaji kura zao tena Oktoba nafasi pekeeNa watanzania wamevumilia. October patachimbika
Juzi namshangaa anavyolalamika eti wakipata Urais Wapinzani watavunja flyover na ndege zitakuwa scrapers. Nikacheka sana. Nikajisemea moyoni yaani mwenyekiti amekata tamaa hivi kiasi hana hoja tena??Mwenyekiti akajisahau, akawa anaropoka lolote analojisikia!
Kuipigia kura CCM kwa sasa, ni utaahira 100%!