Kama mitandao inadanganya,na kwenye mainstream media hatangazwi,hao wanaojaa kwenye mikutano yake habari zake wanazitoa wapi?
Ni robot (msukule) pekee unaoweza kufanya kitu kile kile kila wakati.Uchaguzi huu CCM inakwenda kushinda kwa kishindo kwakua upinzani nidhaifu kuliko wakati wowote tangu kuanzishwa kwa vyama vingi.
Hujaona teuzi nyingi tu za jiwe zinaenda na ngono?Ha ha ha, hakuna chama kinachoongoza kwa Rushwa hasa ya ngono kama Chadema. Hadi mwenyekiti anavunja mguu unadhani mchezo. Hakuna Rais wa Tanzania atakayeitwa Tundu sijui matundu hakuna milele daima. Kumpa kura huyo kibaraka wa mabeberu ni kupoteza kura yako. Hima Oct 28, watanzania wote wazalendo twendeni na Jpm.
Hawa achana nao ni mtaji kwetu,wanampepea mfalme katikaiya uwanja wa vitaHalafu asivyojielewa anasema eti watu wanaenda kushangaa helcopter tu. Anasahau mwanzoni walisema watu wanaenda kumshangaa Lissu maana ni msukule.
Lakini ukimwambia kwenye mikutano yao watu wanafuata fiesta hapo hakuelewi wakati picha imeonekana tamasha likiisha watu wanasepa.
Hunaga neno lingne au point ili tusio nachama tuamn natuwape kura?.Sasa nazidi kuamn kuwa waliopo CCM ni mambulura,wapumbavu na wakosa busala...we Kila bandiko neno ilo ilo wakati umenunuliwa bando ili unadi sera tusio na upande tuamue.....Mabwege Kama nyie ndio mnafanya Twaweza waseme 75% yawana CCM hawana uelewaUchaguzi huu CCM inakwenda kushinda kwa kishindo kwakua upinzani nidhaifu kuliko wakati wowote tangu kuanzishwa kwa vyama vingi.
Mbona mnaombea kura mitandaoni sasa....si msubiri hilo box?Kura ni kwenye box sio kakikundi cha watu wachache hapa JF ambao wanamhemko na mropokaji wao.
October 28th jiandaeni kusikia USHINDI wa kishindo kwa JPM
JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Polepole na Bashiru mioyoni mwao ni wapinzani ingawa Usomi hujidai ni CCM, wao wamejipanga kuchukua chao mapema na tayari wamepiga pesa ndefu kwenye bajeti ya kudhoofisha chadema na kuua upinzani, wapo kibiashara zaidi wanajua CCM ikitolewa madarakani wataihama CCM na kurejea upinzani, CCM inazidi kujiharibia zaidi pale inapotumia Polisiccm NECCCM kujaribu kuwahujumu chadema na kibaya kuliko vyote ni huu ushetani wa neno kupita bila kupingwa wakati wamepingwa lakini NECCCM Tumeccm imepora haki za wagombea wa upinzaniNdugu zangu wanaCCM mlioko humu ndani na kwingineko, hali ni ngumu sana huyu mtu anatuzidi kwa kiasi kikubwa sana kwa ninavyotazama mimi na msema kweli mpenzi wa Mungu.
Huyu ni ambaye ni sawa na Faru aliyejeruhiwa yupo Energetic, anaongea mambo magumu yanayogusa ndani, anaijua sheria sana anajiamini. Naomba sana kuelekea mwishoni tujitathmin.
Tusijipe moyo kwakua sisi ni Chama dola kwa maana kwamba tuna uwezo wa kufanya lolote tusalie madarakani, tufahamu kwamba huyu bwana katika hotuba zake kuna zaidi ya dakika 30 za kuielimisha umma namna ya kuzijua haki zao wakati wa uchaguzi. Hawa watu wanaojitokeza kumwangalia ni wengi na Ikumbukwe kwamba uchaguzi uliopita wa serikali za mitaa watu walijitokeza kujiandikisha tena wengine wanalazimishwa na MaDC mwaka jana na wengi tunakumbuka vizuri. Kwahiyo waliojiandikisha ni wengi sana na serikali ilihamasisha hilo mwaka jana.
Tusijivunie wanachama wetu zaidi ya milioni 11 tulionao, wengi ni majeruhi wa kura za maoni wako nasi kwenye nyuso tu lakini moyoni hawapo na tunawaona. Huu umati ukimpiga kura nyingi huyu bwana hatutaweza kulazimisha kumzuia tutaumiza watu. Kama kuna makosa ya kimkakati naona tunataka kuchelewa Muda unayoyoma chama ndio halitajwi sana siyo mitandaoni wala mitaani zaidi utamsikia Tundu Lissu tu. Ukisikia CCM kinatajwa labda siku hiyo kuna kampeni mahali flani.
Mara nyingi CCM tumekua wagumu hatushsuriani na tunaiona tunajua sana hasa katibu wetu wa Itikadi na wenezi , tunaenda kuumia na mimi naenda kukata tamaa walai.
Alidanganywa na akina cyprian Musiba kuwa anapendwa hakujua kuwa unyanyasaji uonevu uovu wake wa kuwabambikia kesi kesi kuwapiga risasi wapinzani umemjengea chuki kubwa toka kwa wananchiNi kweli kama gari la mkaa.. siku 2 jukwaani, siku 8 gereji, yaani jiwe kachemka vibaya!
Wanufaika wa udhalimu wa CCM akina le mutuz cyprian Musiba sasa wanapiga pesa kupitia mradi wa kuleta waganga wa kienyeji toka mataifa mbalimbali na kuwa madalali wao kwa wanaccm.Kwisha habari yenu mnaenda kuwa Kama tlp ya mrema, waambie mapolisi na ma tiss wakusaidieni maana waovndo wanufaika,wazee wa kazi wamekugomeeni wao waliapa kulinda nchi na sio kulinda mtu watasimama na wananchi awako tayari nchi iangamie sababu ya matumbo ya wachache. Kwishaa kabisa, tulikuonyeni wekezeni katika watu mkawekeza kwenye dola hata mtumie euro au paund anga limekukataeni mnapambana na wakati.
Mbona kwa CCM hawajikusanyi mpaka wamuone Diamond na wengine wasombwe na mafuso kwenda kurundikwa huko?watu wanajaa kwenye minada ya vitu vibovu sembusebkwa lissu,kama huamini chukua speaker anza kupiga kelel watu wakusanyike uone kama hutapata ng'ombe hata watatu.
Inavoonekana ww unaweza hata kukaa na mgonjwa wa ukimwi kwa kumpa tamaa kama hatokufaKura ni kwenye box sio kakikundi cha watu wachache hapa JF ambao wanamhemko na mropokaji wao.
October 28th jiandaeni kusikia USHINDI wa kishindo kwa JPM
JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Una miaka 25 upo hapa unaongea ongea ujinga,baba yako kuwa dereva wa halmashauri ya wilaya unajikuta na wewe mwamba kumbe njaa tu,ccm kama inajiamini itashinda kwa kishindo mbona mnaweweseka kiasi hiki?mnatuma msg za kuomba kuchaguliwa kwa watu ambao hata hatuna vyama mbona wapinzani hajanitumia kama ilivyofanya ccm?Hakuna mtu wa kuumia katika hili tutashina na hakuna mtu aliye tushawishi kushindwaaa ni lazimaaa tushindeee tena kawa kishindooooo
Nduma zilishaexpire walikiuka masharti baada ya kulewa.Wanufaika wa udhalimu wa CCM akina le mutuz cyprian Musiba sasa wanapiga pesa kupitia mradi wa kuleta waganga wa kienyeji toka mataifa mbalimbali na kuwa madalali wao kwa wanaccm.
Mkuu unaelewa maana ya kampeni za kisayansi ? Ndugu Humphrey Polepole ameshaelezea, CCM imeshashinda uchaguzi kabla hata ya kuanza kampeni. Sijui kwa nini hamuelewi, hata wakipiga kwingine CCM ndio inaenda kuunda serikali baada ya uchaguzi huuNdugu zangu wanaCCM mlioko humu ndani na kwingineko, hali ni ngumu sana huyu mtu anatuzidi kwa kiasi kikubwa sana kwa ninavyotazama mimi na msema kweli mpenzi wa Mungu.
Huyu ni ambaye ni sawa na Faru aliyejeruhiwa yupo Energetic, anaongea mambo magumu yanayogusa ndani, anaijua sheria sana anajiamini. Naomba sana kuelekea mwishoni tujitathmin.
Tusijipe moyo kwakua sisi ni Chama dola kwa maana kwamba tuna uwezo wa kufanya lolote tusalie madarakani, tufahamu kwamba huyu bwana katika hotuba zake kuna zaidi ya dakika 30 za kuielimisha umma namna ya kuzijua haki zao wakati wa uchaguzi. Hawa watu wanaojitokeza kumwangalia ni wengi na Ikumbukwe kwamba uchaguzi uliopita wa serikali za mitaa watu walijitokeza kujiandikisha tena wengine wanalazimishwa na MaDC mwaka jana na wengi tunakumbuka vizuri. Kwahiyo waliojiandikisha ni wengi sana na serikali ilihamasisha hilo mwaka jana.
Tusijivunie wanachama wetu zaidi ya milioni 11 tulionao, wengi ni majeruhi wa kura za maoni wako nasi kwenye nyuso tu lakini moyoni hawapo na tunawaona. Huu umati ukimpiga kura nyingi huyu bwana hatutaweza kulazimisha kumzuia tutaumiza watu. Kama kuna makosa ya kimkakati naona tunataka kuchelewa Muda unayoyoma chama ndio halitajwi sana siyo mitandaoni wala mitaani zaidi utamsikia Tundu Lissu tu. Ukisikia CCM kinatajwa labda siku hiyo kuna kampeni mahali flani.
Mara nyingi CCM tumekua wagumu hatushsuriani na tunaiona tunajua sana hasa katibu wetu wa Itikadi na wenezi , tunaenda kuumia na mimi naenda kukata tamaa walai.
Labda mwana CCM fake wewe!Ndani ya CCM wengi tunataka Magufuli ashindwe amekiharibu hata Chama. Rushwa mpaka ya ngono ni kubwa sana ndani ya Chama CCM. Tunaojua tunaugulia tu chini. Wanaonyoosha midomo kumsifia ni wale njaa njaa. Nimeongea na Nape Mwigulu January , Mzee Kinana na wanachama wetu wengine maarufu hawampigii Magufuli kama unaweza weka kamera uone wanaccm tunavompigia Lissu. Yaani hali ni mbaya. Imebaki kuiba tu na kujitangaza. CCM tuna hali mbayaaaa.
Tatizo la wanasiasa wengi duniani ni kuwaaminisha wananchi kuwa maadui zao ni maadui pia wa wananchiNdugu zangu wanaCCM mlioko humu ndani na kwingineko, hali ni ngumu sana huyu mtu anatuzidi kwa kiasi kikubwa sana kwa ninavyotazama mimi na msema kweli mpenzi wa Mungu.
Huyu ni ambaye ni sawa na Faru aliyejeruhiwa yupo Energetic, anaongea mambo magumu yanayogusa ndani, anaijua sheria sana anajiamini. Naomba sana kuelekea mwishoni tujitathmin.
Tusijipe moyo kwakua sisi ni Chama dola kwa maana kwamba tuna uwezo wa kufanya lolote tusalie madarakani, tufahamu kwamba huyu bwana katika hotuba zake kuna zaidi ya dakika 30 za kuielimisha umma namna ya kuzijua haki zao wakati wa uchaguzi. Hawa watu wanaojitokeza kumwangalia ni wengi na Ikumbukwe kwamba uchaguzi uliopita wa serikali za mitaa watu walijitokeza kujiandikisha tena wengine wanalazimishwa na MaDC mwaka jana na wengi tunakumbuka vizuri. Kwahiyo waliojiandikisha ni wengi sana na serikali ilihamasisha hilo mwaka jana.
Tusijivunie wanachama wetu zaidi ya milioni 11 tulionao, wengi ni majeruhi wa kura za maoni wako nasi kwenye nyuso tu lakini moyoni hawapo na tunawaona. Huu umati ukimpiga kura nyingi huyu bwana hatutaweza kulazimisha kumzuia tutaumiza watu. Kama kuna makosa ya kimkakati naona tunataka kuchelewa Muda unayoyoma chama ndio halitajwi sana siyo mitandaoni wala mitaani zaidi utamsikia Tundu Lissu tu. Ukisikia CCM kinatajwa labda siku hiyo kuna kampeni mahali flani.
Mara nyingi CCM tumekua wagumu hatushsuriani na tunaiona tunajua sana hasa katibu wetu wa Itikadi na wenezi , tunaenda kuumia na mimi naenda kukata tamaa walai.
Duh!!!,shida sana,kuna watu wengine ndani ya ccm wanamsifia hadi naona kinyaa,kwasababu yule ni binadamu siyo Mungu, lkn utakuta mtu mzima kila akitaka kutamka jambo Fulani anaanza tunamshukuru sana mheshimiwa....,Hatukatai kumshukuru na kumpongeza mtu aliyefanya vizuri ktk majukumu yake km ni kweli, lkn isiwe too much,maana tutakoelekea sasa ni Kumkufuru Mungu.Ndani ya CCM wengi tunataka Magufuli ashindwe amekiharibu hata Chama. Rushwa mpaka ya ngono ni kubwa sana ndani ya Chama CCM. Tunaojua tunaugulia tu chini. Wanaonyoosha midomo kumsifia ni wale njaa njaa. Nimeongea na Nape Mwigulu January , Mzee Kinana na wanachama wetu wengine maarufu hawampigii Magufuli kama unaweza weka kamera uone wanaccm tunavompigia Lissu. Yaani hali ni mbaya. Imebaki kuiba tu na kujitangaza. CCM tuna hali mbayaaaa.
Watu wanaugulia moyoniHii Dhulma imeumiza hata Wana CCM..
Kuondoa FAO la kujitoa
Wabunge wa CCM na Rais Kuondoa FAO la kujitoa inatesa wafanyakazi wengi