Uchaguzi 2020 CCM tumezidiwa sana na tunaweza tusimalize vizuri. Huyu mtu kasi yake ya ajabu

Uchaguzi 2020 CCM tumezidiwa sana na tunaweza tusimalize vizuri. Huyu mtu kasi yake ya ajabu

Halafu asivyojielewa anasema eti watu wanaenda kushangaa helcopter tu. Anasahau mwanzoni walisema watu wanaenda kumshangaa Lissu maana ni msukule.

Lakini ukimwambia kwenye mikutano yao watu wanafuata fiesta hapo hakuelewi wakati picha imeonekana tamasha likiisha watu wanasepa.
Waswahili wanasema"Nyani haoni kundule".

Sent from my TECNO WX3 using JamiiForums mobile app
 
Tatizo ambalo CCM hawataki kuliona ni hili la kuruhusu Polisi na NEC kuonea wagombea na Washabiki wa Vyama vya Upinzani. Ukichukua hali hiyo ukichanganya na risasi za TL unajikuta Mwana CCM unapatwa na hasira hata ulilokuwa nalo moyoni linalazimika kuondoka kwa kutovumilia madhira wanayopata Watanzania wenzetu eti kwasababu tu wanashabikia upinzani. Huu ni ujinga mwingine ambao kama Viongozi wa CCM hawatauona na kuuondoa ujinga huu, basi tutegemee Wanachama wengi zaidi wenye hofu ya MUNGU kuikacha CCM na kujiunga na hawa wanaonadi HAKI, UHURU na MAENDELEO YA WATU.
 
Jibu la nini tena maana October 28th mimi najua ni Magufuli 5 Tenaaa.

Tujitokeze October 28th tukampe kura za ndio JPM

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Vipi kule utokako bukoba watampa kura? Maana aliwachana Sana kipindi Cha tetemeko! Ukiweza kuwashawishi watu wa kwenu kumchafua magu Basi nami nitayasadiki maneno yako na kinyume chake jiandae kisaikolojia kuongozwa na cdm!
 
Jana Lissu alikuwa anaongea ,alisema polisi lindeni raia mliapa kulinda raia ,kupiga raia na kufanya vitendo vinavyovunja sheria mtajutia ,list imeshafika the Hague na kuweni makini kuongezwa humo
 
Tatizo ambalo CCM hawataki kuliona ni hili la kuruhusu Polisi na NEC kuonea wagombea na Washabiki wa Vyama vya Upinzani. Ukichukua hali hiyo ukichanganya na risasi za TL unajikuta Mwana CCM unapatwa na hasira hata ulilokuwa nalo moyoni linalazimika kuondoka kwa kutovumilia madhira wanayopata Watanzania wenzetu eti kwasababu tu wanashabikia upinzani. Huu ni ujinga mwingine ambao kama Viongozi wa CCM hawatauona na kuuondoa ujinga huu, basi tutegemee Wanachama wengi zaidi wenye hofu ya MUNGU kuikacha CCM na kujiunga na hawa wanaonadi HAKI, UHURU na MAENDELEO YA WATU.
Mahakamaccm Polisiccm vyombo vya kulinda usalama na vyombo vya haki kugeuka kuwa chombo binafsi cha CCM ndiyo kero kubwa zaidi Nchini Tanzania,kibaya zaidi ni huu mfumo haramu wa Neno kapita bila kupingwa Yaani NECCCM Tumeccm wanawachagulia wananchi mbunge asiye chaguo lao kwa nguvu za kishetani kabsa, wabunge wa kupita bila kupingwa si wabunge chaguo la wapiga kura iweje waongoze jimbo pasipo ridhaa ya wananchi wa eneo husika? Huu ndiyo ushetani mkubwa kupita ushetani wote Duniani.
 
umekula kiporo
Mitandao inawadanganya sana na mnaamini. Ukiingia Jamii Forums ukakuta threads za kumpa moyo Lissu unaona Kama kashakuwa Raisi na CCM imechemka.

Lissu hawezi kuja kuwa Raisi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania. Sio 2020 bali ni kamwe (NEVER). CCM sio wajinga wapo jikoni wanaset mitambo wakati nyie mmekazana na Mambo yasiyo na impact mpo bize kushangilia helicopter aliyokodi Lissu. Kwa akili hizi za kujipa moyo CCM itaondoka madarakani miaka 50 ijayo.
 
Jana Lissu alikuwa anaongea ,alisema polisi lindeni raia mliapa kulinda raia ,kupiga raia na kufanya vitendo vinavyovunja sheria mtajutia ,list imeshafika the Hague na kuweni makini kuongezwa humo
Polisiccm wote hasa maRPC OCD wote walioshiriki vitendo haramu vya kuwapiga kuwanyanyasa kuwakamata hovyo hovyo wapinzani kipindi hiki cha kampeni mara baada ya uchaguzi mkuu watafikishwa ICC The Hague kujibu tuhuma zao
 
Polisiccm wote hasa maRPC OCD wote walioshiriki vitendo haramu vya kuwapiga kuwanyanyasa kuwakamata hovyo hovyo wapinzani kipindi hiki cha kampeni mara baada ya uchaguzi mkuu watafikishwa ICC The Hague kujibu tuhuma zao
Wanajifariji kwamba the Hague haihaingaiki na vitu vidogo lakini wanasahau kwamba hakuna mgombea mwanasheria mwenye upeo mpana na connection ya wanasheria kama lissu ,hata kwenye kampeni nec na polisi wameshindwa kuonea maana huwezi kuleta sheria na kanuni fake ,watajifariji lakini ipo siku itakula kwao
 
Ndugu zangu wanaCCM mlioko humu ndani na kwingineko, hali ni ngumu sana huyu mtu anatuzidi kwa kiasi kikubwa sana kwa ninavyotazama mimi na msema kweli mpenzi wa Mungu.
Huyu ni ambaye ni sawa na Faru aliyejeruhiwa yupo Energetic, anaongea mambo magumu yanayogusa ndani, anaijua sheria sana anajiamini. Naomba sana kuelekea mwishoni tujitathmini.

Tusijipe moyo kwakuwa sisi ni Chama dola kwa maana kwamba tuna uwezo wa kufanya lolote tusalie madarakani, tufahamu kwamba huyu bwana katika hotuba zake kuna zaidi ya dakika 30 za kuelimisha umma namna ya kuzijua haki zao wakati wa uchaguzi. Hawa watu wanaojitokeza kumwangalia ni wengi na Ikumbukwe kwamba uchaguzi uliopita wa serikali za mitaa watu walijitokeza kujiandikisha tena wengine wanalazimishwa na MaDC mwaka jana na wengi tunakumbuka vizuri. Kwahiyo waliojiandikisha ni wengi sana na serikali ilihamasisha hilo mwaka jana.

Tusijivunie wanachama wetu zaidi ya milioni 11 tulionao, wengi ni majeruhi wa kura za maoni wako nasi kwenye nyuso tu lakini moyoni hawapo na tunawaona. Huu umati ukimpiga kura nyingi huyu bwana hatutaweza kulazimisha kumzuia tutaumiza watu. Kama kuna makosa ya kimkakati naona tunataka kuchelewa Muda unayoyoma chama ndio halitajwi sana siyo mitandaoni wala mitaani zaidi utamsikia Tundu Lissu tu. Ukisikia CCM kinatajwa labda siku hiyo kuna kampeni mahali flani.

Mara nyingi CCM tumekua wagumu hatushsuriani na tunaiona tunajua sana hasa katibu wetu wa Itikadi na wenezi , tunaenda kuumia na mimi naenda kukata tamaa walai.
Rudi kundini mkuu!!
 
wanategemea vyombo vya dola. umma ukiwakataa kwenye sanduku la kura watataka kulazimisha. wakifanya hivyo wataua watu wasiokuwa na hatia, wakiisha kuua kinachofuata ni safari ya The Hague.
 
Mitandao inawadanganya sana na mnaamini. Ukiingia Jamii Forums ukakuta threads za kumpa moyo Lissu unaona kama kashakuwa Rais na CCM imechemka.

Lissu hawezi kuja kuwa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania. Sio 2020 bali ni kamwe (NEVER). CCM sio wajinga wapo jikoni wanaset mitambo wakati nyie mmekazana na Mambo yasiyo na impact mpo bize kushangilia helicopter aliyokodi Lissu. Kwa akili hizi za kujipa moyo CCM itaondoka madarakani miaka 50 ijayo.
Hata mikutano nafigisu huvioni chukua macho yatoe utosini yaweke mahala pake usoni
 
Mitandao inawadanganya sana na mnaamini. Ukiingia Jamii Forums ukakuta threads za kumpa moyo Lissu unaona kama kashakuwa Rais na CCM imechemka.

Lissu hawezi kuja kuwa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania. Sio 2020 bali ni kamwe (NEVER). CCM sio wajinga wapo jikoni wanaset mitambo wakati nyie mmekazana na Mambo yasiyo na impact mpo bize kushangilia helicopter aliyokodi Lissu. Kwa akili hizi za kujipa moyo CCM itaondoka madarakani miaka 50 ijayo.
Nikukumbushe tu hawa waliopo mtandaoni ndo wapiga kura.
 
Kura ni kwenye box sio kakikundi cha watu wachache hapa JF ambao wana mihemko na mropokaji wao.

October 28th jiandaeni kusikia USHINDI wa kishindo kwa JPM

JPM anatosha
CCM kwa maendeleo ya Tanzania.
Kikundi hicho ndo chawapiga kuraa tar28, au mnahisi vinavyopostiwa huku au mtandaoni kama mnavyosema ni robot zinatumika
 
Back
Top Bottom