Uchaguzi 2020 CCM tumezidiwa sana na tunaweza tusimalize vizuri. Huyu mtu kasi yake ya ajabu

Uchaguzi 2020 CCM tumezidiwa sana na tunaweza tusimalize vizuri. Huyu mtu kasi yake ya ajabu

Mlipanda miba hata mmeweke busta wakati wa kuvuna haisaidii kitu
 
Mwanadamu usiringie afya kwa kumkufuru Mola wako aliyekuwa akipiga push up kumdhihaki Lowasa anashinda garage, aliyepigwa risasi ili afe yu mzima na fiti akichanja mbuga
 
Mitandao inawadanganya sana na mnaamini. Ukiingia Jamii Forums ukakuta threads za kumpa moyo Lissu unaona kama kashakuwa Rais na CCM imechemka.

Lissu hawezi kuja kuwa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania. Sio 2020 bali ni kamwe (NEVER). CCM sio wajinga wapo jikoni wanaset mitambo wakati nyie mmekazana na Mambo yasiyo na impact mpo bize kushangilia helicopter aliyokodi Lissu. Kwa akili hizi za kujipa moyo CCM itaondoka madarakani miaka 50 ijayo.
Hadi wanyama awahitaki ccm sembuse watz
 

Attachments

  • Screenshot_20201018_163151.jpg
    Screenshot_20201018_163151.jpg
    59 KB · Views: 2
  • Screenshot_20201018_154306.jpg
    Screenshot_20201018_154306.jpg
    107.8 KB · Views: 2
  • Screenshot_20201018_154328.jpg
    Screenshot_20201018_154328.jpg
    92.1 KB · Views: 2
Mitandao inawadanganya sana na mnaamini. Ukiingia Jamii Forums ukakuta threads za kumpa moyo Lissu unaona kama kashakuwa Rais na CCM imechemka.

Lissu hawezi kuja kuwa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania. Sio 2020 bali ni kamwe (NEVER). CCM sio wajinga wapo jikoni wanaset mitambo wakati nyie mmekazana na Mambo yasiyo na impact mpo bize kushangilia helicopter aliyokodi Lissu. Kwa akili hizi za kujipa moyo CCM itaondoka madarakani miaka 50 ijayo.
Lissu Rais wa mitandao ka alikiba...amuulize Mange Kimambii
 
wanategemea vyombo vya dola. umma ukiwakataa kwenye sanduku la kura watataka kulazimisha. wakifanya hivyo wataua watu wasiokuwa na hatia, wakiisha kuua kinachofuata ni safari ya The Hague.
Jamaa anasema akishindwa kwa haki atakuwa wa kwanza kutangaza kwamba kashindwa! Ila sasa siioni haki ikitamalaki ktk uchaguzi huu, kwa hiyo ni mwendo wa kujiandaa kuingia barabarani mapema!
 
Ndugu zangu wanaCCM mlioko humu ndani na kwingineko, hali ni ngumu sana huyu mtu anatuzidi kwa kiasi kikubwa sana kwa ninavyotazama mimi na msema kweli mpenzi wa Mungu.

Huyu ni ambaye ni sawa na Faru aliyejeruhiwa yupo Energetic, anaongea mambo magumu yanayogusa ndani, anaijua sheria sana anajiamini. Naomba sana kuelekea mwishoni tujitathmini.

Tusijipe moyo kwakuwa sisi ni Chama dola kwa maana kwamba tuna uwezo wa kufanya lolote tusalie madarakani, tufahamu kwamba huyu bwana katika hotuba zake kuna zaidi ya dakika 30 za kuelimisha umma namna ya kuzijua haki zao wakati wa uchaguzi. Hawa watu wanaojitokeza kumwangalia ni wengi na Ikumbukwe kwamba uchaguzi uliopita wa serikali za mitaa watu walijitokeza kujiandikisha tena wengine wanalazimishwa na MaDC mwaka jana na wengi tunakumbuka vizuri. Kwahiyo waliojiandikisha ni wengi sana na serikali ilihamasisha hilo mwaka jana.

Tusijivunie wanachama wetu zaidi ya milioni 11 tulionao, wengi ni majeruhi wa kura za maoni wako nasi kwenye nyuso tu lakini moyoni hawapo na tunawaona. Huu umati ukimpiga kura nyingi huyu bwana hatutaweza kulazimisha kumzuia tutaumiza watu. Kama kuna makosa ya kimkakati naona tunataka kuchelewa Muda unayoyoma chama ndio halitajwi sana siyo mitandaoni wala mitaani zaidi utamsikia Tundu Lissu tu. Ukisikia CCM kinatajwa labda siku hiyo kuna kampeni mahali flani.

Mara nyingi CCM tumekua wagumu hatushauriani na tunajiona tunajua sana hasa katibu wetu wa Itikadi na wenezi , tunaenda kuumia na mimi naenda kukata tamaa walai.
Wanategemea wale magaidi wanaovaa nguo za mapolisi
 
Umeongea kipumbavu sana. Bahati mbaya upumbavu ni kipaji..
Watu kama nyie eti ndo mnaosikilizwa kwenye Chama. Akili zenu zinawaza miaka iliyopita ilihali uhalisia ni tofauti.
Mmeifanya CCM ipuuzwe hadi na Watoto. Leo CCM inafanya kampeni utadhani ni Chama cha upinzani, kumbe ni Chama kilichopo madarakani..

Kinachoendelea sasa ni hukumu ya Watanzania dhidi ya mawazo ya kijinga kama yako.
Mnashindwa kutambua kwamba ni watu walioiweka CCM madarakani, na ni watu watakaoiondoa CCM madarakani.
Vyama vyote vilivyopigania Uhuru Afrika hii vilijenga kiburi cha kijinga kama ulivyo mtazamo wako, leo vipo hoi kwenye Nchi zao.
Ukiacha unafiki utagundua CCM ilikufa miaka 10 iliyopita...kinachoishikilia leo ni nguvu ya Dola, ambayo huwa haina maisha marefu wenye Nchi wakiamua kuiangamiza.
Mitandao inawadanganya sana na mnaamini. Ukiingia Jamii Forums ukakuta threads za kumpa moyo Lissu unaona kama kashakuwa Rais na CCM imechemka.

Lissu hawezi kuja kuwa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania. Sio 2020 bali ni kamwe (NEVER). CCM sio wajinga wapo jikoni wanaset mitambo wakati nyie mmekazana na Mambo yasiyo na impact mpo bize kushangilia helicopter aliyokodi Lissu. Kwa akili hizi za kujipa moyo CCM itaondoka madarakani miaka 50 ijayo.
 
Hebu zingatia utabiri wangu wa October 28th yaani kura nyingi za KISHINDO kwa JPM.

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Mbona mnaombea kura mitandaoni sasa....si msubiri hilo box?
Kwani ni dhambi?

Tunaomba kura yako kwa MAENDELEO ya Tanzania please vote for Magufuli.

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Mitandao inawadanganya sana na mnaamini. Ukiingia Jamii Forums ukakuta threads za kumpa moyo Lissu unaona kama kashakuwa Rais na CCM imechemka.

Lissu hawezi kuja kuwa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania. Sio 2020 bali ni kamwe (NEVER). CCM sio wajinga wapo jikoni wanaset mitambo wakati nyie mmekazana na Mambo yasiyo na impact mpo bize kushangilia helicopter aliyokodi Lissu. Kwa akili hizi za kujipa moyo CCM itaondoka madarakani miaka 50 ijayo.

Mitandao yenyewe ndio hii.
Atuwaonei huruma this time
 

Attachments

  • Screenshot_20201019_095904.jpg
    Screenshot_20201019_095904.jpg
    90.2 KB · Views: 2
Inavoonekana ww unaweza hata kukaa na mgonjwa wa ukimwi kwa kumpa tamaa kama hatokufa

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
We ulisikia wapi mtu akiwa mgonjwa wa UKIMWI basi yeye ni kifo tuu? Unaishi Dunia ya wapi wewe? Mtu anaweza kuwa na HIV/AIDS na bado akadunda kwa muda mrefu.

October 28th kura za ndio ni kwa JPM

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Kikundi hicho ndo chawapiga kuraa tar28, au mnahisi vinavyopostiwa huku au mtandaoni kama mnavyosema ni robot zinatumika
Na bila shaka kitamchagua Magufuli.

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Mitandao inawadanganya sana na mnaamini. Ukiingia Jamii Forums ukakuta threads za kumpa moyo Lissu unaona kama kashakuwa Rais na CCM imechemka.

Lissu hawezi kuja kuwa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania. Sio 2020 bali ni kamwe (NEVER). CCM sio wajinga wapo jikoni wanaset mitambo wakati nyie mmekazana na Mambo yasiyo na impact mpo bize kushangilia helicopter aliyokodi Lissu. Kwa akili hizi za kujipa moyo CCM itaondoka madarakani miaka 50 ijayo.
Mmeanza kupunguza tena... mlituambia ccm itakaa milele madarakani... imeshapungua tena kua 50!
 
Tanzania sio mali ya ccm bali ni mali ya Mungu watanzania wote wataitawala maana ni nchi yao wamepewa na Mungu unapobweka hapa kuwa CCM ndio watawala pekee Tanzania hata shetani anakushangaa fala wewe
Mitandao inawadanganya sana na mnaamini. Ukiingia Jamii Forums ukakuta threads za kumpa moyo Lissu unaona kama kashakuwa Rais na CCM imechemka.

Lissu hawezi kuja kuwa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania. Sio 2020 bali ni kamwe (NEVER). CCM sio wajinga wapo jikoni wanaset mitambo wakati nyie mmekazana na Mambo yasiyo na impact mpo bize kushangilia helicopter aliyokodi Lissu. Kwa akili hizi za kujipa moyo CCM itaondoka madarakani miaka 50 ijayo.
 
Hakuna namna aisee JPM anaenda kushinda kwa KISHINDO.

October 28th kura zote za ndio ni kwa JPM

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Huku mtaani hali ni ngumu sana,biashara haziendi,mzunguko wa pesa ni mgumu sana, ukosefu wa ajira kwa vijana unazidi kuongezeka kila leo.Viwanda mlivyojinasibu navyo viko wapi?, Mbona saruji inazidi kuongezeka bei kila kukicha?,Soko la mazao kwanini nipangiwe na nyie,wakati wa kulima mlinisaidia?.Halafu unaendelea kutupigia kelele hapa.

Sent from my TECNO WX3 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom