CCM tumfukuze uanachama Askofu Gwajima, hana busara

CCM tumfukuze uanachama Askofu Gwajima, hana busara

Chama cha Mataahira. mnafukuza wenye akili mbaki na sometimes YES sometimes NO
 
captionA protest against vaccinations in New York
Dr Jennifer Kates, vice-president of the Kaiser Family Foundation, which monitors vaccine sentiment, says: "Some people raise safety concerns, and say they may be more likely to get vaccinated when a vaccine is fully approved vs just authorised."

Chanjo kutokuwa na ufanisi na hata watu kukataa sio kitu kibaya kama kitabaki kwa muhusika mwenyewe lkn kukata watu kupata chanjo bila kuwa na mbadala na baadhi yetu wanapoteza maisha na kupoteza wapendwa wao hiyo si sawa

Huu ugonjwa bado upo kwenye hatua ya utafiti na kama ni kutapa tapa ni watu wote na races zote sio eti sababu Mzungu anataka kutumaliza sijui sie ni matajiri sana au kuna watu serikalini wamehongwa na mambo kama hayo

Bado chanjo ndo njia inayoonekana at least inafaaa hata kama kuna mapungufu yake na ibaki suala la mtu binafsi na familia yake kuamua kuchanja au hapana
 
Kama ambavyo tumekuwa tukiimba kwa katiba bora yetu ya Chama kuliko vyama vyote nchini na Afrika,ni wazi kabisa kua Askofu Gwajima ameleta sintofahamu kubwa sana nchini huku akijua kitendo kile kilikua ni cha uchochezi wa makusudi na alidhamiria.

Mwanachama mzima wa CCM huwezi kusimama uansuambia umma kwanini Corona imeibuka baada ya Magufuli kufa, huwezi kumwambia Mkuu wa nchi anashadadia misaa ya Bilgate ili wananchi wachomwe chanjo ya Corona wafe, huu ni upotoshaji, udhalilishaji wa viongozi wa nchi na ni uchochezi mkubwa sana si wa kufumbia macho.Hivi kweli Mhe Rais anaweza kuwaongoza wananchi wake kwenye kifo?

WITO KWA CCM: Naomba Askofu Gwajima achukuliwe hatua kali za kinidhamu ikiwa ni pamoja na kumfuta uanachama ili arudi Kanisani kwake akaendelea kupotosha watu na kuhubiri uongo wake. Jimbo liwekwe wazi kuna wanaccm safi Kawe ni imani yangu kua tukirudia uchaguzi tutashinda tena na tutapata mwakilishi mzuri.

Matamshi ya Gwajima si ya bahati mbaya bali ni kusudi la kutaka kuleta mpasuko wa kitaifa ambao mpaka sasa kuna chuki kubwa sana umejengeka miongoni mwa wananchi.Damage ya matamshi yake ni kubwa sana si wa kuachwa.Amedhalilisha mamlaka za nchi kwa kiasi kikubwa sana.
AFRIKA UKIONGEA UKWELI UNACHUKIWA,VISA DHIDI YAKO VITAANZA!!!
 
Kama ambavyo tumekuwa tukiimba kwa katiba bora yetu ya Chama kuliko vyama vyote nchini na Afrika,ni wazi kabisa kua Askofu Gwajima ameleta sintofahamu kubwa sana nchini huku akijua kitendo kile kilikua ni cha uchochezi wa makusudi na alidhamiria.

Mwanachama mzima wa CCM huwezi kusimama uansuambia umma kwanini Corona imeibuka baada ya Magufuli kufa, huwezi kumwambia Mkuu wa nchi anashadadia misaa ya Bilgate ili wananchi wachomwe chanjo ya Corona wafe, huu ni upotoshaji, udhalilishaji wa viongozi wa nchi na ni uchochezi mkubwa sana si wa kufumbia macho.Hivi kweli Mhe Rais anaweza kuwaongoza wananchi wake kwenye kifo?

WITO KWA CCM: Naomba Askofu Gwajima achukuliwe hatua kali za kinidhamu ikiwa ni pamoja na kumfuta uanachama ili arudi Kanisani kwake akaendelea kupotosha watu na kuhubiri uongo wake. Jimbo liwekwe wazi kuna wanaccm safi Kawe ni imani yangu kua tukirudia uchaguzi tutashinda tena na tutapata mwakilishi mzuri.

Matamshi ya Gwajima si ya bahati mbaya bali ni kusudi la kutaka kuleta mpasuko wa kitaifa ambao mpaka sasa kuna chuki kubwa sana umejengeka miongoni mwa wananchi.Damage ya matamshi yake ni kubwa sana si wa kuachwa.Amedhalilisha mamlaka za nchi kwa kiasi kikubwa sana.


Hapana Gwajima asifukuzwe kwani nimejaribu kutafakari kwa kina na kugundua kuwa Gwajima ni MwanaCCM halisi kama walivyo wakina Sabaya ,Makonda, Musukuma , DC Kheri, Polepole, RPC wa Kinondoni, RPC wa Mwanza, Mrundi Bashiru na Warundi Wengine.
CCM ni Chama Kinachotegemea watu wenye Roho Mbaya au Wanafiki au Wapenda mdaraka au Wakabila kama Gwajima na S. Gang wenzake wanaoiyumbisha nchi.

Mwenda Zake alipiga mzinga wa Nyuki mawe sasa nyuki wamesambaa wanauma watu ovyo. Ukabila kwa miaka mitano ulijengwa kisawasawa. Gwajima kwenye nchi inayojipambanua kuwa ni nchi isiyo na dini hakustahili kupewa Ubunge kabla ya kutangaza kuwa ameacha kazi za madhebahuni.
Bila shaka aliruhusiwa kuchanganya dini na siasa kutokana na kabila lake.
Gwajima ni bilionea anayemiliki Kanisa lake hakupaswa kuwa mbunge tena kwa wizi wa kura.
Gwajima anashangaa kuwa chanjo ni ya wazungu wakati anatumia ndege ya mzungu na vipaza sauti vya wazungu na magari ya wazungu na TV na simu za wazungu.


Mungu anauchukia unafiki wa Waafrika kuliko ujanja wa wazungu.
Unafiki ni dhambi, uzinzi ni dhambi, wizi ni dhambi ,uuaji ni dhambi ubaguzi ni dhambi, kushitaki mtu kwa uongo ni dhambi,ushahidi wa uongo ni dhambi, dhulma ni zambi, uroho wa mali na fedha ni dhambi, kupotosha ukweli wa kura ni dhambi, chuki ni dhambi, kiburi ni dhambi, uonevu ni dhambi , kukiuka kiapo ni dhambi, ulevi ni dhambi, kutoa unabii wa uongo ni dhambi, kupora wake za watu ni dhambi, kutumia madhebahu kujitajirisha kupita kiasi ni dhambi.
CCM wote na Gwajima wana Sifa na madhambi yote hayo. Kumfukuza Gwajima ni kuhadaa umma.

Gwajima na wanaCCM wenzake ni Watu wenye roho Mbaya wanaofurahi mateso ya Watu wema yanayofanywa kwa manufaa ya Watawala walioshiba kwa dhulma.

Alikaa kimya Akwiline alipopasuliwa kichwa risasi za CCM ili tu Mgombea wa Chadema asipigiwe kura halali akamshinda yule muovu wa CCM.
Laana kwa Afrka na TZ imetokana na Viongozi wa Dini walioshikamana na Watawala Waovu kwa sababu ya fedha.

Gwajima atubu na kuhubiri toba kwa watanzania vinginevyo anajifariji tu kwani upanga umeshawekwa juu ya waovu.
 
Back
Top Bottom