CCM tumfukuze uanachama Askofu Gwajima, hana busara

CCM tumfukuze uanachama Askofu Gwajima, hana busara

Samia kama Raia..., Sio kama Rais..., amfungulie mashitaka kwa kumsingizia slander na aombe kulipwa fidia...., akishinda kesi achukue kila kilichopo na jamaa alipe fidia

Ndio hapo watu watajua kuwa na mdomo haimaanishi useme kila kinachokujia akilini (ukizingatia usemacho kama kinaweza kuleta madhara kwa wengine)
 
Naona una mahaba na wazungu sana
You got inferiority complex disorder...
Mimi ni Mwafrika na mtu mweusi asilia na najivunia hivyo.
Na Afrika ni nyumbani sana tu, Ila imejaa either sellout or imbicel like you with pessimistic mind...
Na hao wazungu mimi ninaishinao na kuwapeleka mputa..
May be I am fool but a fool may be an otherwise intelligent person who has been hoodwinked, but a stupid person is one who lacks intelligence
You are STUPID.....
If you are intelligent enough you would have capture what i wrote. I am sorry to say this, you are too ignorant to analyse the meaning of a single sentence. I just comment on your ignorant views regarding the vaccine referencing your ethnicity without mentioning white people as a comparison with black people. But you came out with your nonsense comparison.
What a shame!!
 
Kama ambavyo tumekuwa tukiimba kwa katiba bora yetu ya Chama kuliko vyama vyote nchini na Afrika,ni wazi kabisa kua Askofu Gwajima ameleta sintofahamu kubwa sana nchini huku akijua kitendo kile kilikua ni cha uchochezi wa makusudi na alidhamiria.

Mwanachama mzima wa CCM huwezi kusimama uansuambia umma kwanini Corona imeibuka baada ya Magufuli kufa, huwezi kumwambia Mkuu wa nchi anashadadia misaa ya Bilgate ili wananchi wachomwe chanjo ya Corona wafe, huu ni upotoshaji, udhalilishaji wa viongozi wa nchi na ni uchochezi mkubwa sana si wa kufumbia macho.Hivi kweli Mhe Rais anaweza kuwaongoza wananchi wake kwenye kifo?

WITO KWA CCM: Naomba Askofu Gwajima achukuliwe hatua kali za kinidhamu ikiwa ni pamoja na kumfuta uanachama ili arudi Kanisani kwake akaendelea kupotosha watu na kuhubiri uongo wake. Jimbo liwekwe wazi kuna wanaccm safi Kawe ni imani yangu kua tukirudia uchaguzi tutashinda tena na tutapata mwakilishi mzuri.

Matamshi ya Gwajima si ya bahati mbaya bali ni kusudi la kutaka kuleta mpasuko wa kitaifa ambao mpaka sasa kuna chuki kubwa sana umejengeka miongoni mwa wananchi.Damage ya matamshi yake ni kubwa sana si wa kuachwa.Amedhalilisha mamlaka za nchi kwa kiasi kikubwa sana.
Dah mtoa mada sitaki kuaminii kwamba mtu akikataa chanjo anakiuka katiba ya sisim,mbona hayati hamkufukuza na yeye alikua anaikataa chanjo hadharani au yeye alikua si mwana chama wa sisim?
 
If you are intelligent enough you would have capture what i wrote. I am sorry to say this, you are too ignorant to analyse the meaning of a single sentence. I just comment on your ignorant views regarding the vaccine referencing your ethnicity without mentioning white people as a comparison with black people. But you came out with your nonsense comparison.
What a shame!!
Referring black people as sub-human, must have reference point for comparison to a complete human in your self hating intellectual ignorance mind....
 
Amefanya kitendo kinachoitwa insubordination, ambacho kimsingi anatakiwa Kufukuzwa. CCM wakiendelea kumchekea atafanya material damage na kuchanganya wananchi. Kwa hakika anatakiwa apigwe stop hata kwa lazima. Kama hana cha kuhubiri mambo ya Mungu huko kanisani, issue za kitabibu alizisomea wapi?!
Uko sawa
 
Kama ambavyo tumekuwa tukiimba kwa katiba bora yetu ya Chama kuliko vyama vyote nchini na Afrika,ni wazi kabisa kua Askofu Gwajima ameleta sintofahamu kubwa sana nchini huku akijua kitendo kile kilikua ni cha uchochezi wa makusudi na alidhamiria.

Mwanachama mzima wa CCM huwezi kusimama uansuambia umma kwanini Corona imeibuka baada ya Magufuli kufa, huwezi kumwambia Mkuu wa nchi anashadadia misaa ya Bilgate ili wananchi wachomwe chanjo ya Corona wafe, huu ni upotoshaji, udhalilishaji wa viongozi wa nchi na ni uchochezi mkubwa sana si wa kufumbia macho.Hivi kweli Mhe Rais anaweza kuwaongoza wananchi wake kwenye kifo?

WITO KWA CCM: Naomba Askofu Gwajima achukuliwe hatua kali za kinidhamu ikiwa ni pamoja na kumfuta uanachama ili arudi Kanisani kwake akaendelea kupotosha watu na kuhubiri uongo wake. Jimbo liwekwe wazi kuna wanaccm safi Kawe ni imani yangu kua tukirudia uchaguzi tutashinda tena na tutapata mwakilishi mzuri.

Matamshi ya Gwajima si ya bahati mbaya bali ni kusudi la kutaka kuleta mpasuko wa kitaifa ambao mpaka sasa kuna chuki kubwa sana umejengeka miongoni mwa wananchi.Damage ya matamshi yake ni kubwa sana si wa kuachwa.Amedhalilisha mamlaka za nchi kwa kiasi kikubwa sana.
Zamani wenye shingo nene walikuwa wanatuhumiwa kwamba wanaweza wakawa magaidi walikuwa wanazuiliwa kwaaili ya kuhojiwa
 
Kama ambavyo tumekuwa tukiimba kwa katiba bora yetu ya Chama kuliko vyama vyote nchini na Afrika,ni wazi kabisa kua Askofu Gwajima ameleta sintofahamu kubwa sana nchini huku akijua kitendo kile kilikua ni cha uchochezi wa makusudi na alidhamiria.

Mwanachama mzima wa CCM huwezi kusimama uansuambia umma kwanini Corona imeibuka baada ya Magufuli kufa, huwezi kumwambia Mkuu wa nchi anashadadia misaa ya Bilgate ili wananchi wachomwe chanjo ya Corona wafe, huu ni upotoshaji, udhalilishaji wa viongozi wa nchi na ni uchochezi mkubwa sana si wa kufumbia macho.Hivi kweli Mhe Rais anaweza kuwaongoza wananchi wake kwenye kifo?

WITO KWA CCM: Naomba Askofu Gwajima achukuliwe hatua kali za kinidhamu ikiwa ni pamoja na kumfuta uanachama ili arudi Kanisani kwake akaendelea kupotosha watu na kuhubiri uongo wake. Jimbo liwekwe wazi kuna wanaccm safi Kawe ni imani yangu kua tukirudia uchaguzi tutashinda tena na tutapata mwakilishi mzuri.

Matamshi ya Gwajima si ya bahati mbaya bali ni kusudi la kutaka kuleta mpasuko wa kitaifa ambao mpaka sasa kuna chuki kubwa sana umejengeka miongoni mwa wananchi.Damage ya matamshi yake ni kubwa sana si wa kuachwa.Amedhalilisha mamlaka za nchi kwa kiasi kikubwa sana.
Kumbe CCM tuna watu mazuzu namna hii!Yaani afukuzwe kwa kusema ukweli ambao utasaidia kuwalinda Watanzania!Kwa hiyo CCM imegeuka ya wauaji sasa.Dah,hii ni ngumu kumeza.Wewe na genge lako mnaopanga mipango miovu ya genocide dhidi ya Watanzania ndio mnaopaswa kufukuzwa CCM,sio Gwajima.
 
Kama ambavyo tumekuwa tukiimba kwa katiba bora yetu ya Chama kuliko vyama vyote nchini na Afrika,ni wazi kabisa kua Askofu Gwajima ameleta sintofahamu kubwa sana nchini huku akijua kitendo kile kilikua ni cha uchochezi wa makusudi na alidhamiria.

Mwanachama mzima wa CCM huwezi kusimama uansuambia umma kwanini Corona imeibuka baada ya Magufuli kufa, huwezi kumwambia Mkuu wa nchi anashadadia misaa ya Bilgate ili wananchi wachomwe chanjo ya Corona wafe, huu ni upotoshaji, udhalilishaji wa viongozi wa nchi na ni uchochezi mkubwa sana si wa kufumbia macho.Hivi kweli Mhe Rais anaweza kuwaongoza wananchi wake kwenye kifo?

WITO KWA CCM: Naomba Askofu Gwajima achukuliwe hatua kali za kinidhamu ikiwa ni pamoja na kumfuta uanachama ili arudi Kanisani kwake akaendelea kupotosha watu na kuhubiri uongo wake. Jimbo liwekwe wazi kuna wanaccm safi Kawe ni imani yangu kua tukirudia uchaguzi tutashinda tena na tutapata mwakilishi mzuri.

Matamshi ya Gwajima si ya bahati mbaya bali ni kusudi la kutaka kuleta mpasuko wa kitaifa ambao mpaka sasa kuna chuki kubwa sana umejengeka miongoni mwa wananchi.Damage ya matamshi yake ni kubwa sana si wa kuachwa.Amedhalilisha mamlaka za nchi kwa kiasi kikubwa sana.

1627656255010.png
 
toeni majibu ya maswali ya wananchi msikimbilie ku acuse watu!!!

toeni majibu ya haya maswali-

1.ukichanja uendelee kuvaa barakoa,social distance na tahadhari zote!?=ndio

2.ukichanjwa chanjo ya korona unaweza kuambukizwa!?=ndio

3.ikiwa Kama swali namba 2,jibu ni ndiyo ! basi unaweza pia kuambukiza !?=

leteni majibu acheni ubabaishaji,hata Kama watu hawajaenda shule ,sio muwachukulie poa wanaweza kupokea kila utopolo mnaotaka kuwa feed!.
 
Naunga Mkono hoja. Afukuzwe uanachama kwa kwenda kinyume na msimamo wa Rais ambaye pia ni mwenyekiti wa chama tawala. Kama alikuwa na hoja ya msingi angekwenda kuhoji kimyakimya.


kama hataki kuchanja asitumie nafasi yake kupotosha wengine
 
Awamu ile hata kutamka Corona ilikuwa kama kufanya kosa la uhaini!

Eti wengine wakawa wanaita changamoto ya kupumua [emoji848][emoji848]

Dunia ina mambo hii!

Sijui huwa inakuwaje mambo haya ?!

Ndiyo maana wenye maono ya mbali wanataka Kuandikwa kwa Katiba upya.
 
Naona una mahaba na wazungu sana
You got inferiority complex disorder...
Mimi ni Mwafrika na mtu mweusi asilia na najivunia hivyo.
Na Afrika ni nyumbani sana tu, Ila imejaa either sellout or imbicel like you with pessimistic mind...
Na hao wazungu mimi ninaishinao na kuwapeleka mputa..
May be I am fool but a fool may be an otherwise intelligent person who has been hoodwinked, but a stupid person is one who lacks intelligence
You are STUPID.....
Si uandike kwa kiswahili tu ili kuimarisha mahaba yako kwa Mwafrika? Naona kizungu chenyewe kidogo kiko upande.
 
Ana kosa gani?Si anamuenzi shujaa?Kumuenzi shujaa ni kosa?
 
Kama ambavyo tumekuwa tukiimba kwa katiba bora yetu ya Chama kuliko vyama vyote nchini na Afrika,ni wazi kabisa kua Askofu Gwajima ameleta sintofahamu kubwa sana nchini huku akijua kitendo kile kilikua ni cha uchochezi wa makusudi na alidhamiria.

Mwanachama mzima wa CCM huwezi kusimama uansuambia umma kwanini Corona imeibuka baada ya Magufuli kufa, huwezi kumwambia Mkuu wa nchi anashadadia misaa ya Bilgate ili wananchi wachomwe chanjo ya Corona wafe, huu ni upotoshaji, udhalilishaji wa viongozi wa nchi na ni uchochezi mkubwa sana si wa kufumbia macho.Hivi kweli Mhe Rais anaweza kuwaongoza wananchi wake kwenye kifo?

WITO KWA CCM: Naomba Askofu Gwajima achukuliwe hatua kali za kinidhamu ikiwa ni pamoja na kumfuta uanachama ili arudi Kanisani kwake akaendelea kupotosha watu na kuhubiri uongo wake. Jimbo liwekwe wazi kuna wanaccm safi Kawe ni imani yangu kua tukirudia uchaguzi tutashinda tena na tutapata mwakilishi mzuri.

Matamshi ya Gwajima si ya bahati mbaya bali ni kusudi la kutaka kuleta mpasuko wa kitaifa ambao mpaka sasa kuna chuki kubwa sana umejengeka miongoni mwa wananchi.Damage ya matamshi yake ni kubwa sana si wa kuachwa.Amedhalilisha mamlaka za nchi kwa kiasi kikubwa sana.
Jimbo kama vipi arejeshewe binti mdee
 
Kama ambavyo tumekuwa tukiimba kwa katiba bora yetu ya Chama kuliko vyama vyote nchini na Afrika,ni wazi kabisa kua Askofu Gwajima ameleta sintofahamu kubwa sana nchini huku akijua kitendo kile kilikua ni cha uchochezi wa makusudi na alidhamiria.

Mwanachama mzima wa CCM huwezi kusimama uansuambia umma kwanini Corona imeibuka baada ya Magufuli kufa, huwezi kumwambia Mkuu wa nchi anashadadia misaa ya Bilgate ili wananchi wachomwe chanjo ya Corona wafe, huu ni upotoshaji, udhalilishaji wa viongozi wa nchi na ni uchochezi mkubwa sana si wa kufumbia macho.Hivi kweli Mhe Rais anaweza kuwaongoza wananchi wake kwenye kifo?

WITO KWA CCM: Naomba Askofu Gwajima achukuliwe hatua kali za kinidhamu ikiwa ni pamoja na kumfuta uanachama ili arudi Kanisani kwake akaendelea kupotosha watu na kuhubiri uongo wake. Jimbo liwekwe wazi kuna wanaccm safi Kawe ni imani yangu kua tukirudia uchaguzi tutashinda tena na tutapata mwakilishi mzuri.

Matamshi ya Gwajima si ya bahati mbaya bali ni kusudi la kutaka kuleta mpasuko wa kitaifa ambao mpaka sasa kuna chuki kubwa sana umejengeka miongoni mwa wananchi.Damage ya matamshi yake ni kubwa sana si wa kuachwa.Amedhalilisha mamlaka za nchi kwa kiasi kikubwa sana.
Akifukuzwa ndio tutamwaamini zaidi yeye kuliko nini, kwani kosa liko wapi, mbona hamukumfukuza mwendazake?au sababu ni Gwajima,jibuni hoja ,hoja inapingwa kwa hoja na si vinginevyo.
 
Kama ambavyo tumekuwa tukiimba kwa katiba bora yetu ya Chama kuliko vyama vyote nchini na Afrika,ni wazi kabisa kua Askofu Gwajima ameleta sintofahamu kubwa sana nchini huku akijua kitendo kile kilikua ni cha uchochezi wa makusudi na alidhamiria.

Mwanachama mzima wa CCM huwezi kusimama uansuambia umma kwanini Corona imeibuka baada ya Magufuli kufa, huwezi kumwambia Mkuu wa nchi anashadadia misaa ya Bilgate ili wananchi wachomwe chanjo ya Corona wafe, huu ni upotoshaji, udhalilishaji wa viongozi wa nchi na ni uchochezi mkubwa sana si wa kufumbia macho.Hivi kweli Mhe Rais anaweza kuwaongoza wananchi wake kwenye kifo?

WITO KWA CCM: Naomba Askofu Gwajima achukuliwe hatua kali za kinidhamu ikiwa ni pamoja na kumfuta uanachama ili arudi Kanisani kwake akaendelea kupotosha watu na kuhubiri uongo wake. Jimbo liwekwe wazi kuna wanaccm safi Kawe ni imani yangu kua tukirudia uchaguzi tutashinda tena na tutapata mwakilishi mzuri.

Matamshi ya Gwajima si ya bahati mbaya bali ni kusudi la kutaka kuleta mpasuko wa kitaifa ambao mpaka sasa kuna chuki kubwa sana umejengeka miongoni mwa wananchi.Damage ya matamshi yake ni kubwa sana si wa kuachwa.Amedhalilisha mamlaka za nchi kwa kiasi kikubwa sana.

Wamfute kwa kosa gani?!..

JPM alishasema chanjo haifai kuna baadhi ya watanzania na nchi za mbele wanaamini kwenye hilo km chanjo haifai...

Serikali ya sasa hv inasema chanjo inafaa hapo ndio mkanganyiko ulipoanza, Gwajima yeye ni kama amefufua mtazamo wa JPM kuhusu chanjo...ila chanjo ishasemwa ni hiari na serikali ya sasa...iwepo freedom of speech kuhusu chanjo..serikali ifanye yake kuelimisha na jumuiya zisizo amini chanjo zihubiri yake..mimi naamini kuna madaktari wa hapa Tanzania wapo ambao hawaamini kwenye chanjo hii ya Corona ila hawana ujasiri wa kuzungumza hadharani...so wenye ujasiri wapewe nafasi waelimishe pia...mwisho wa siku ni mwananchi mwenyewe kwa hiari yake achague anataka lipi
 
Referring black people as sub-human, must have reference point for comparison to a complete human in your self hating intellectual ignorance mind....
Its simple..if black people are sub-human that means the reference is human..no where i pointed white people as the only human..infact there is no white people..all people are coloured..if you think there are white people you are still a slave.
Poor ignorant slave.
 
Weee
Kama ambavyo tumekuwa tukiimba kwa katiba bora yetu ya Chama kuliko vyama vyote nchini na Afrika,ni wazi kabisa kua Askofu Gwajima ameleta sintofahamu kubwa sana nchini huku akijua kitendo kile kilikua ni cha uchochezi wa makusudi na alidhamiria.

Mwanachama mzima wa CCM huwezi kusimama uansuambia umma kwanini Corona imeibuka baada ya Magufuli kufa, huwezi kumwambia Mkuu wa nchi anashadadia misaa ya Bilgate ili wananchi wachomwe chanjo ya Corona wafe, huu ni upotoshaji, udhalilishaji wa viongozi wa nchi na ni uchochezi mkubwa sana si wa kufumbia macho.Hivi kweli Mhe Rais anaweza kuwaongoza wananchi wake kwenye kifo?

WITO KWA CCM: Naomba Askofu Gwajima achukuliwe hatua kali za kinidhamu ikiwa ni pamoja na kumfuta uanachama ili arudi Kanisani kwake akaendelea kupotosha watu na kuhubiri uongo wake. Jimbo liwekwe wazi kuna wanaccm safi Kawe ni imani yangu kua tukirudia uchaguzi tutashinda tena na tutapata mwakilishi mzuri.

Matamshi ya Gwajima si ya bahati mbaya bali ni kusudi la kutaka kuleta mpasuko wa kitaifa ambao mpaka sasa kuna chuki kubwa sana umejengeka miongoni mwa wananchi.Damage ya matamshi yake ni kubwa sana si wa kuachwa.Amedhalilisha mamlaka za nchi kwa kiasi kikubwa sana.
Wee ulitaka kwsbb ni CCM kila kitu kiwe ndiyo???
 
Back
Top Bottom