CCM tumfukuze uanachama Askofu Gwajima, hana busara

CCM tumfukuze uanachama Askofu Gwajima, hana busara

Naona povu limekutoka nimemtukana huyo mungu wako , haya nenda kasali atakuepusha na korona
Mimi nilichanjwa miezi 6 iliyopita na ninaupiga mwingi tu...
Mtu mweusi ni mjinga kwel..hv nani aliekwambia ukichanja hupati corona?? Hufuatilii hata habar za kimataifa mzee? Acha kutia aibu jf baas.USA wamechanjaa asimilia kubwaa leo hii statistics zinasema hata waliochanjwaa wanakufa na kupata covid..na mashart ni yale yale uwe umechanjwa hujachanjwaa barakoa lazima.
Sasa ww mmakondee wa huku nanjilinji unakuja kupayuka tuu..aisee africa bado ni gizaa..nacheleaa kisema kuwa black people are Sub-human..
 
Kama ambavyo tumekuwa tukiimba kwa katiba bora yetu ya Chama kuliko vyama vyote nchini na Afrika,ni wazi kabisa kua Askofu Gwajima ameleta sintofahamu kubwa sana nchini huku akijua kitendo kile kilikua ni cha uchochezi wa makusudi na alidhamiria.

Mwanachama mzima wa CCM huwezi kusimama uansuambia umma kwanini Corona imeibuka baada ya Magufuli kufa, huwezi kumwambia Mkuu wa nchi anashadadia misaa ya Bilgate ili wananchi wachomwe chanjo ya Corona wafe, huu ni upotoshaji, udhalilishaji wa viongozi wa nchi na ni uchochezi mkubwa sana si wa kufumbia macho.Hivi kweli Mhe Rais anaweza kuwaongoza wananchi wake kwenye kifo?

WITO KWA CCM: Naomba Askofu Gwajima achukuliwe hatua kali za kinidhamu ikiwa ni pamoja na kumfuta uanachama ili arudi Kanisani kwake akaendelea kupotosha watu na kuhubiri uongo wake. Jimbo liwekwe wazi kuna wanaccm safi Kawe ni imani yangu kua tukirudia uchaguzi tutashinda tena na tutapata mwakilishi mzuri.

Matamshi ya Gwajima si ya bahati mbaya bali ni kusudi la kutaka kuleta mpasuko wa kitaifa ambao mpaka sasa kuna chuki kubwa sana umejengeka miongoni mwa wananchi.Damage ya matamshi yake ni kubwa sana si wa kuachwa.Amedhalilisha mamlaka za nchi kwa kiasi kikubwa sana.
Hawezi kufukuzwa. Itakua huijui siasa wewe

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Huwa najiuliza kwanini Tanzania na labda hata Africa tupo nyuma sana lkn kiukweli tuna watu wengi sana kama huyu Gwajima na hicho ni moja ya vielelezo vyetu ni kwa nini tupo gizani na mbaya ndo wanao tuongoza kuanzia ki imani/kiroho mpaka ktk Siasa /Serikali

Kujadili utimilifu wa Chanjo kwa uhasi au uchanya inaweza kuwa si kitu kibaya lkn kukataza Umma wa watu wote na bila kutoa mbadala wake kwa kigezo cha Mzungu hana nia nzuri na sisi (hapa tuseme kuna labda ukweli kwa ujumla) Lakini tunatumia karibu vitu vingi vya huyo mtu mweupe kwa asilimia kubwa sasa ujanja wetu upo wapi zaidi ya kuonyesha uzuzu wetu au kusema wakuu wa Nchi wamehongwa na kutoa tuhuma nzito kama hiyo ni kielelezo kingine cha hawa manabii au masheikh kutumia ushawishi wao ktk jamii kwa namna hasi (na baadhi yao utakuta wana tuhuma za wazi kabisa za uzinzi, ulawiti, ushirikina) lkn kwa kuwa tuna hofu na kuwapa imani na nguvu kubwa wanatugeuza wanavyotaka kwa ujinga na uzwazwa wetu na tunaona kama ni watu wenye utukufu fulani kumbe ni wajanja wajanja na wanatumia udhaifu wetu wa kupokea bila kuhoji mambo kwa mgongo wa Dini/Mungu

Na mbaya zaidi sie Waafrika tunaweza pinga mambo mengi ya watu weupe (Wazungu) japokuwa kiukweli hatuna hata mikakati ya kuwa na vya kwetu kama jamii zingine hasa za Asia lkn kwenye hizi dini zilizoletwa tena na huyo mtu mweupe tumefika mpaka tunamuona yeye ndo hamjui Mungu sie ndo tunamjua ( hapa tuliiga mpaka tumezidisha)

Israel ndo Taifa linalo ongoza kwa kuwapatia chanjo ya Covid kwa asilimia kubwa Raia wake,Papa kachanjwa , na huko Mecca hata kuhiji imekuwa tabu lkn Gwajima wa hapo sijui Kimara Baruti eti ndo mtaalam kuliko wengine dah inasikitisha sana

Watu wa aina hii ni kielelezo kwa zama hizi tunaishi ki primitive

Kujadili ufanisi wa chanjo sio shida bali kutoa suluhisho bila mbadala (sio nyungu maana kuna mazingira imeshindwa nayo) ni tatizo na ikizingatiwa ktk jamii yetu kuna wenzetu wamepoteza wapendwa wao kwa huu ugonjwa
Shida sio chanjo tu ( kikwetu chanjo ni kiota cha ndege anamolala mule na kutaga plus kuatamia) tatizo ni chanjo gani ? Ndiyo yenyewe? Au Huku bara letu tunapigwa trial? Ngoma bado iko kwenye utafiti.

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
USA wamechanjaa asimilia kubwaa
USA wamechanja asilimia ngapi? Ukitaja neno statistics hakikisha unaweka namba.
USA walikuwa na Magufuli wao, wananchi wakampiga chini.
Sisi tulikuwa na Magufuli wetu tukashindwa kumpiga chini...
Mungu akatuonea huruma na kumchomoa asiendelee kutupa madhara.
leo hii statistics zinasema hata waliochanjwaa wanakufa
Asilimia 98% ya wanaokufa walikataa chanjo kama awali walivyokataa uvaaji wa barakoa.
na kupata covid.
Wanapata dalili za Covid lakini hawalazwi, waliojaa hospitalini ni waliokataa chanjo na asilimia ndogo sana hupona.
Waliopona wamekuwa wahamasishaji wakubwa wa chanjo wakikumbuka mateso waliyopitia.

na mashart ni yale yale uwe umechanjwa hujachanjwaa barakoa lazima.
Hali hii inasababishwa na baadhi ya watu kukataa chanjo na ndio husababisha variants ya Covid-19 ...watu hao hao kukataa chanjo.
 
Kama ambavyo tumekuwa tukiimba kwa katiba bora yetu ya Chama kuliko vyama vyote nchini na Afrika,ni wazi kabisa kua Askofu Gwajima ameleta sintofahamu kubwa sana nchini huku akijua kitendo kile kilikua ni cha uchochezi wa makusudi na alidhamiria.

Mwanachama mzima wa CCM huwezi kusimama uansuambia umma kwanini Corona imeibuka baada ya Magufuli kufa, huwezi kumwambia Mkuu wa nchi anashadadia misaa ya Bilgate ili wananchi wachomwe chanjo ya Corona wafe, huu ni upotoshaji, udhalilishaji wa viongozi wa nchi na ni uchochezi mkubwa sana si wa kufumbia macho.Hivi kweli Mhe Rais anaweza kuwaongoza wananchi wake kwenye kifo?

WITO KWA CCM: Naomba Askofu Gwajima achukuliwe hatua kali za kinidhamu ikiwa ni pamoja na kumfuta uanachama ili arudi Kanisani kwake akaendelea kupotosha watu na kuhubiri uongo wake. Jimbo liwekwe wazi kuna wanaccm safi Kawe ni imani yangu kua tukirudia uchaguzi tutashinda tena na tutapata mwakilishi mzuri.

Matamshi ya Gwajima si ya bahati mbaya bali ni kusudi la kutaka kuleta mpasuko wa kitaifa ambao mpaka sasa kuna chuki kubwa sana umejengeka miongoni mwa wananchi.Damage ya matamshi yake ni kubwa sana si wa kuachwa.Amedhalilisha mamlaka za nchi kwa kiasi kikubwa sana.
KWANI GWAJIMA KWELI NI MWANACHAMA WA CCM, NDIO MADHARA YA KUOKOTA WATU WAKATI WA UCHAGUZI
 
Kama ambavyo tumekuwa tukiimba kwa katiba bora yetu ya Chama kuliko vyama vyote nchini na Afrika,ni wazi kabisa kua Askofu Gwajima ameleta sintofahamu kubwa sana nchini huku akijua kitendo kile kilikua ni cha uchochezi wa makusudi na alidhamiria.

Mwanachama mzima wa CCM huwezi kusimama uansuambia umma kwanini Corona imeibuka baada ya Magufuli kufa, huwezi kumwambia Mkuu wa nchi anashadadia misaa ya Bilgate ili wananchi wachomwe chanjo ya Corona wafe, huu ni upotoshaji, udhalilishaji wa viongozi wa nchi na ni uchochezi mkubwa sana si wa kufumbia macho.Hivi kweli Mhe Rais anaweza kuwaongoza wananchi wake kwenye kifo?

WITO KWA CCM: Naomba Askofu Gwajima achukuliwe hatua kali za kinidhamu ikiwa ni pamoja na kumfuta uanachama ili arudi Kanisani kwake akaendelea kupotosha watu na kuhubiri uongo wake. Jimbo liwekwe wazi kuna wanaccm safi Kawe ni imani yangu kua tukirudia uchaguzi tutashinda tena na tutapata mwakilishi mzuri.

Matamshi ya Gwajima si ya bahati mbaya bali ni kusudi la kutaka kuleta mpasuko wa kitaifa ambao mpaka sasa kuna chuki kubwa sana umejengeka miongoni mwa wananchi.Damage ya matamshi yake ni kubwa sana si wa kuachwa.Amedhalilisha mamlaka za nchi kwa kiasi kikubwa sana.
Bado sijaona kosa la askofu Gwajima!
Yeye kawasemea watz wengi! Na huu si ndio uhuru wa maoni!? Tena yana lengo zuri!
Mahasidi sageni chupa mnywe!
 
Huwa najiuliza kwanini Tanzania na labda hata Africa tupo nyuma sana lkn kiukweli tuna watu wengi sana kama huyu Gwajima na hicho ni moja ya vielelezo vyetu ni kwa nini tupo gizani na mbaya ndo wanao tuongoza kuanzia ki imani/kiroho mpaka ktk Siasa /Serikali

Kujadili utimilifu wa Chanjo kwa uhasi au uchanya inaweza kuwa si kitu kibaya lkn kukataza Umma wa watu wote na bila kutoa mbadala wake kwa kigezo cha Mzungu hana nia nzuri na sisi (hapa tuseme kuna labda ukweli kwa ujumla) Lakini tunatumia karibu vitu vingi vya huyo mtu mweupe kwa asilimia kubwa sasa ujanja wetu upo wapi zaidi ya kuonyesha uzuzu wetu au kusema wakuu wa Nchi wamehongwa na kutoa tuhuma nzito kama hiyo ni kielelezo kingine cha hawa manabii au masheikh kutumia ushawishi wao ktk jamii kwa namna hasi (na baadhi yao utakuta wana tuhuma za wazi kabisa za uzinzi, ulawiti, ushirikina) lkn kwa kuwa tuna hofu na kuwapa imani na nguvu kubwa wanatugeuza wanavyotaka kwa ujinga na uzwazwa wetu na tunaona kama ni watu wenye utukufu fulani kumbe ni wajanja wajanja na wanatumia udhaifu wetu wa kupokea bila kuhoji mambo kwa mgongo wa Dini/Mungu

Na mbaya zaidi sie Waafrika tunaweza pinga mambo mengi ya watu weupe (Wazungu) japokuwa kiukweli hatuna hata mikakati ya kuwa na vya kwetu kama jamii zingine hasa za Asia lkn kwenye hizi dini zilizoletwa tena na huyo mtu mweupe tumefika mpaka tunamuona yeye ndo hamjui Mungu sie ndo tunamjua ( hapa tuliiga mpaka tumezidisha)

Israel ndo Taifa linalo ongoza kwa kuwapatia chanjo ya Covid kwa asilimia kubwa Raia wake,Papa kachanjwa , na huko Mecca hata kuhiji imekuwa tabu lkn Gwajima wa hapo sijui Kimara Baruti eti ndo mtaalam kuliko wengine dah inasikitisha sana

Watu wa aina hii ni kielelezo kwa zama hizi tunaishi ki primitive

Kujadili ufanisi wa chanjo sio shida bali kutoa suluhisho bila mbadala (sio nyungu maana kuna mazingira imeshindwa nayo) ni tatizo na ikizingatiwa ktk jamii yetu kuna wenzetu wamepoteza wapendwa wao kwa huu ugonjwa
Hata mimi nimeshagazwa sana na huyu gwajima, kama wazungu nikutufanya hivyo wangeshatufanya, zamani ??
 
Hapo nimeamini Gwajima ana power. Hadi watu mnamwogopa kiasi hicho.
Kwa maoni yangu Gwajima yupo sahihi kabisa.
Haihitaji mtu aende chuo kikuu ili kujua walakini ya chanjo hii ya Corona.
Ivi kama mtu akichanjwa halafu anaendelea kuvaa Barakoa kama kawaida, anaendelea kuambukizwa na kuambukizwa Corona kama kawaida, anaendelea kutumia sanitizer kama kawaida nk.
Je, manufaa ya chanjo yanakuwa wapi?
 
Mtu mweusi ni mjinga kwel..hv nani aliekwambia ukichanja hupati corona?? Hufuatilii hata habar za kimataifa mzee? Acha kutia aibu jf baas.USA wamechanjaa asimilia kubwaa leo hii statistics zinasema hata waliochanjwaa wanakufa na kupata covid..na mashart ni yale yale uwe umechanjwa hujachanjwaa barakoa lazima.
Sasa ww mmakondee wa huku nanjilinji unakuja kupayuka tuu..aisee africa bado ni gizaa..nacheleaa kisema kuwa black people are Sub-human..
Naona una mahaba na wazungu sana
You got inferiority complex disorder...
Mimi ni Mwafrika na mtu mweusi asilia na najivunia hivyo.
Na Afrika ni nyumbani sana tu, Ila imejaa either sellout or imbicel like you with pessimistic mind...
Na hao wazungu mimi ninaishinao na kuwapeleka mputa..
May be I am fool but a fool may be an otherwise intelligent person who has been hoodwinked, but a stupid person is one who lacks intelligence
You are STUPID.....
 
Hajazungumzia ila ametoa maoni yake kanisani kwake...apingwe kwa hoja zenye nguvu.
Anapingwa kwa hoja za kisayansi alizozipinga yule mwendazake na ikala kwake...
Ni kweli ana uhuru wa kutoa maoni yake kwa wafuasi wake aliowashika akili (poverty is a buzz word)
Kama CCM ndio wangekuwa wanaendana na ukweli wa sayansi halafu Gwajima ni pande ya Upinzani...
Kila mwenye kuelewa anafahamu Gwajima angekuwa wapi sasa hivi......
 
Covid 19 ni chakula cha manabii.

Waacheni manabii nao watambe kidogo.
 
Huwa najiuliza kwanini Tanzania na labda hata Africa tupo nyuma sana lkn kiukweli tuna watu wengi sana kama huyu Gwajima na hicho ni moja ya vielelezo vyetu ni kwa nini tupo gizani na mbaya ndo wanao tuongoza kuanzia ki imani/kiroho mpaka ktk Siasa /Serikali

Kujadili utimilifu wa Chanjo kwa uhasi au uchanya inaweza kuwa si kitu kibaya lkn kukataza Umma wa watu wote na bila kutoa mbadala wake kwa kigezo cha Mzungu hana nia nzuri na sisi (hapa tuseme kuna labda ukweli kwa ujumla) Lakini tunatumia karibu vitu vingi vya huyo mtu mweupe kwa asilimia kubwa sasa ujanja wetu upo wapi zaidi ya kuonyesha uzuzu wetu au kusema wakuu wa Nchi wamehongwa na kutoa tuhuma nzito kama hiyo ni kielelezo kingine cha hawa manabii au masheikh kutumia ushawishi wao ktk jamii kwa namna hasi (na baadhi yao utakuta wana tuhuma za wazi kabisa za uzinzi, ulawiti, ushirikina) lkn kwa kuwa tuna hofu na kuwapa imani na nguvu kubwa wanatugeuza wanavyotaka kwa ujinga na uzwazwa wetu na tunaona kama ni watu wenye utukufu fulani kumbe ni wajanja wajanja na wanatumia udhaifu wetu wa kupokea bila kuhoji mambo kwa mgongo wa Dini/Mungu

Na mbaya zaidi sie Waafrika tunaweza pinga mambo mengi ya watu weupe (Wazungu) japokuwa kiukweli hatuna hata mikakati ya kuwa na vya kwetu kama jamii zingine hasa za Asia lkn kwenye hizi dini zilizoletwa tena na huyo mtu mweupe tumefika mpaka tunamuona yeye ndo hamjui Mungu sie ndo tunamjua ( hapa tuliiga mpaka tumezidisha)

Israel ndo Taifa linalo ongoza kwa kuwapatia chanjo ya Covid kwa asilimia kubwa Raia wake,Papa kachanjwa , na huko Mecca hata kuhiji imekuwa tabu lkn Gwajima wa hapo sijui Kimara Baruti eti ndo mtaalam kuliko wengine dah inasikitisha sana

Watu wa aina hii ni kielelezo kwa zama hizi tunaishi ki primitive

Kujadili ufanisi wa chanjo sio shida bali kutoa suluhisho bila mbadala (sio nyungu maana kuna mazingira imeshindwa nayo) ni tatizo na ikizingatiwa ktk jamii yetu kuna wenzetu wamepoteza wapendwa wao kwa huu ugonjwa
captionA protest against vaccinations in New York
Dr Jennifer Kates, vice-president of the Kaiser Family Foundation, which monitors vaccine sentiment, says: "Some people raise safety concerns, and say they may be more likely to get vaccinated when a vaccine is fully approved vs just authorised."
 
Mtajisifiaje kuwa mna demokrasia iwapo mtaziba uwanja unaoqapa watu uhuru wa kutoa maoni yao kuhusu suala linalojadilika?
Huo ni ufinyu wa mawazo.
 
ukiona mtu yeyote anapinga hoja za Gwajima kuhusu chanjo ya covid19 basi ujue huyo ni msukule wa wazungu,na watu hao ni hatari sana kwa taifa na vizazi vijavyo,wanatakiwa wafe na ikiwezekana wauawe kabisa tusafishe nchi.

Mijitu inashindwa hata kutumia akili ya kawaida tu kufiri....iko wapi scientific paper inayoonesha madhara ya muda mfupi na mrefu ya chanjo hii?

Chanjo imetengenezwa haina hata miaka 2,utajuaje madhara ya miaka 10 baadaye?Hivi watu hawaoni kama sisi ndio tumefanywa kuwa guinea pigs?....watu hawaoni kama sisi ndio tunaanza kufanyiwa experiments?Na je kama matokeo hayatakua mazuri itakuaje?

Ukiona daktari au mtu yeyote anayejiita msomi au mwanasayansi anayempinga Gwajima kwenye hili basi huyo mtu ni hatari sana kwa taifa hili na anapaswa asafishwe kutoka kwenye uso wa nchi hii ili kulinda maslahi ya taifa.....

Kumbe bado misukule ya wazungu iko mingi sana.

Kuhoji ufanisi na ubora wa Chanjo sio tatizo na ni mjadala wenye tija ili kupata uhakika wa kitu

Lkn kwa Gwajima kaenda mbali zaidi maana kawatuhumu watu ( Wazungu na viongozi wakuu serikalini ) na pia amepinga na kukataza watu wasiende kupata hiyo chanjo tena mbele ya vyombo vya habari ina maana ametangazia umma mzima

Je yeye ana uweredi gani wa taaluma ya afya?

Pia kwa wenzetu walio poteza ndugu zao kwa huu ugonjwa na tena kwa ushahidi wanawekwa njia panda kwa kiwango gani? Pindi nao wakitaka wajilinde kwa afya zao labda kupata hizo chanzo

Gwajima kaisha jiona ni mkubwa sana na mwenye akili timilifu kwa sababu ya upuuzi wetu wa kuwachekea watu kama hawa kwa mambo ya msingi na hasa hili la afya ( hataki chanjo akae kimya au aongee na inner circle yake tu kuhusu msimamo wake)
 
Back
Top Bottom