CCM tumfukuze uanachama Askofu Gwajima, hana busara

CCM tumfukuze uanachama Askofu Gwajima, hana busara

Kama ambavyo tumekuwa tukiimba kwa katiba bora yetu ya Chama kuliko vyama vyote nchini na Afrika,ni wazi kabisa kua Askofu Gwajima ameleta sintofahamu kubwa sana nchini huku akijua kitendo kile kilikua ni cha uchochezi wa makusudi na alidhamiria.

Mwanachama mzima wa CCM huwezi kusimama uansuambia umma kwanini Corona imeibuka baada ya Magufuli kufa, huwezi kumwambia Mkuu wa nchi anashadadia misaa ya Bilgate ili wananchi wachomwe chanjo ya Corona wafe, huu ni upotoshaji, udhalilishaji wa viongozi wa nchi na ni uchochezi mkubwa sana si wa kufumbia macho.Hivi kweli Mhe Rais anaweza kuwaongoza wananchi wake kwenye kifo?

WITO KWA CCM: Naomba Askofu Gwajima achukuliwe hatua kali za kinidhamu ikiwa ni pamoja na kumfuta uanachama ili arudi Kanisani kwake akaendelea kupotosha watu na kuhubiri uongo wake. Jimbo liwekwe wazi kuna wanaccm safi Kawe ni imani yangu kua tukirudia uchaguzi tutashinda tena na tutapata mwakilishi mzuri.

Matamshi ya Gwajima si ya bahati mbaya bali ni kusudi la kutaka kuleta mpasuko wa kitaifa ambao mpaka sasa kuna chuki kubwa sana umejengeka miongoni mwa wananchi.Damage ya matamshi yake ni kubwa sana si wa kuachwa.Amedhalilisha mamlaka za nchi kwa kiasi kikubwa sana.
Wewe wakati Mafuli typo ulikuwepo hapa nchii au ilikuwa hujazaliwa?
Gwajima amezingatia Katiba yenu bora kuliko vyama vyote inayosema "nitasema ukweli daima,fitna kwangu mwiko"
Hoja ya Gwajima haiwezikufifshwa kwa matisho yenu ,kwa ninavyo mjua Gwajima hata mkimtishia na mkamfukuza hamtauondoa uhalisia kwamba mama amekuwa dhaifu na hawezi tena kupambana na wale mnaowaita Mabeberu hulu misaada yao mnaitaka
 
Hawezi mfukuzwa, na akifukuzwa akawa si mwanachama wa ccm na kuupoteza ubunge, kutaibua hoja ya wabunge 19 wa chadema ambao wamevuliwa uanachama na bado ni wabunge. Chezea siasas wewe.
 
Kama ambavyo tumekuwa tukiimba kwa katiba bora yetu ya Chama kuliko vyama vyote nchini na Afrika,ni wazi kabisa kua Askofu Gwajima ameleta sintofahamu kubwa sana nchini huku akijua kitendo kile kilikua ni cha uchochezi wa makusudi na alidhamiria.

Mwanachama mzima wa CCM huwezi kusimama uansuambia umma kwanini Corona imeibuka baada ya Magufuli kufa, huwezi kumwambia Mkuu wa nchi anashadadia misaa ya Bilgate ili wananchi wachomwe chanjo ya Corona wafe, huu ni upotoshaji, udhalilishaji wa viongozi wa nchi na ni uchochezi mkubwa sana si wa kufumbia macho.Hivi kweli Mhe Rais anaweza kuwaongoza wananchi wake kwenye kifo?

WITO KWA CCM: Naomba Askofu Gwajima achukuliwe hatua kali za kinidhamu ikiwa ni pamoja na kumfuta uanachama ili arudi Kanisani kwake akaendelea kupotosha watu na kuhubiri uongo wake. Jimbo liwekwe wazi kuna wanaccm safi Kawe ni imani yangu kua tukirudia uchaguzi tutashinda tena na tutapata mwakilishi mzuri.

Matamshi ya Gwajima si ya bahati mbaya bali ni kusudi la kutaka kuleta mpasuko wa kitaifa ambao mpaka sasa kuna chuki kubwa sana umejengeka miongoni mwa wananchi.Damage ya matamshi yake ni kubwa sana si wa kuachwa.Amedhalilisha mamlaka za nchi kwa kiasi kikubwa sana.
Hivi CCM bado ni chama cha siasa?
 
Kwani mama yeye anautalamu gani juu ya hizo chanjo

Kwa hiyo gwajima akiongea mnashadadia maneno yake Kama vile mwali wa kizungu

Chanjo sio lazima na gwajima hajafunga watanzania pingu miguuni wasiende kupata hizo chanjo

Yakuambiwa changanya na yako
 
Kama ambavyo tumekuwa tukiimba kwa katiba bora yetu ya Chama kuliko vyama vyote nchini na Afrika,ni wazi kabisa kua Askofu Gwajima ameleta sintofahamu kubwa sana nchini huku akijua kitendo kile kilikua ni cha uchochezi wa makusudi na alidhamiria.

Mwanachama mzima wa CCM huwezi kusimama uansuambia umma kwanini Corona imeibuka baada ya Magufuli kufa, huwezi kumwambia Mkuu wa nchi anashadadia misaa ya Bilgate ili wananchi wachomwe chanjo ya Corona wafe, huu ni upotoshaji, udhalilishaji wa viongozi wa nchi na ni uchochezi mkubwa sana si wa kufumbia macho.Hivi kweli Mhe Rais anaweza kuwaongoza wananchi wake kwenye kifo?

WITO KWA CCM: Naomba Askofu Gwajima achukuliwe hatua kali za kinidhamu ikiwa ni pamoja na kumfuta uanachama ili arudi Kanisani kwake akaendelea kupotosha watu na kuhubiri uongo wake. Jimbo liwekwe wazi kuna wanaccm safi Kawe ni imani yangu kua tukirudia uchaguzi tutashinda tena na tutapata mwakilishi mzuri.

Matamshi ya Gwajima si ya bahati mbaya bali ni kusudi la kutaka kuleta mpasuko wa kitaifa ambao mpaka sasa kuna chuki kubwa sana umejengeka miongoni mwa wananchi.Damage ya matamshi yake ni kubwa sana si wa kuachwa.Amedhalilisha mamlaka za nchi kwa kiasi kikubwa sana.
Mitano tena kwa Gwajima. CCM hoyeee!!! CCM kwa kuokoteza watu haijambo
 
Wewe wakati Mafuli typo ulikuwepo hapa nchii au ilikuwa hujazaliwa?
Gwajima amezingatia Katiba yenu bora kuliko vyama vyote inayosema "nitasema ukweli daima,fitna kwangu mwiko"
Hoja ya Gwajima haiwezikufifshwa kwa matisho yenu ,kwa ninavyo mjua Gwajima hata mkimtishia na mkamfukuza hamtauondoa uhalisia kwamba mama amekuwa dhaifu na hawezi tena kupambana na wale mnaowaita Mabeberu hulu misaada yao mnaitaka
ukiona mtu yeyote anapinga hoja za Gwajima kuhusu chanjo ya covid19 basi ujue huyo ni msukule wa wazungu,na watu hao ni hatari sana kwa taifa na vizazi vijavyo,wanatakiwa wafe na ikiwezekana wauawe kabisa tusafishe nchi.

Mijitu inashindwa hata kutumia akili ya kawaida tu kufiri....iko wapi scientific paper inayoonesha madhara ya muda mfupi na mrefu ya chanjo hii?

Chanjo imetengenezwa haina hata miaka 2,utajuaje madhara ya miaka 10 baadaye?Hivi watu hawaoni kama sisi ndio tumefanywa kuwa guinea pigs?....watu hawaoni kama sisi ndio tunaanza kufanyiwa experiments?Na je kama matokeo hayatakua mazuri itakuaje?

Ukiona daktari au mtu yeyote anayejiita msomi au mwanasayansi anayempinga Gwajima kwenye hili basi huyo mtu ni hatari sana kwa taifa hili na anapaswa asafishwe kutoka kwenye uso wa nchi hii ili kulinda maslahi ya taifa.....

Kumbe bado misukule ya wazungu iko mingi sana.
 
Kama ambavyo tumekuwa tukiimba kwa katiba bora yetu ya Chama kuliko vyama vyote nchini na Afrika,ni wazi kabisa kua Askofu Gwajima ameleta sintofahamu kubwa sana nchini huku akijua kitendo kile kilikua ni cha uchochezi wa makusudi na alidhamiria.

Mwanachama mzima wa CCM huwezi kusimama uansuambia umma kwanini Corona imeibuka baada ya Magufuli kufa, huwezi kumwambia Mkuu wa nchi anashadadia misaa ya Bilgate ili wananchi wachomwe chanjo ya Corona wafe, huu ni upotoshaji, udhalilishaji wa viongozi wa nchi na ni uchochezi mkubwa sana si wa kufumbia macho.Hivi kweli Mhe Rais anaweza kuwaongoza wananchi wake kwenye kifo?

WITO KWA CCM: Naomba Askofu Gwajima achukuliwe hatua kali za kinidhamu ikiwa ni pamoja na kumfuta uanachama ili arudi Kanisani kwake akaendelea kupotosha watu na kuhubiri uongo wake. Jimbo liwekwe wazi kuna wanaccm safi Kawe ni imani yangu kua tukirudia uchaguzi tutashinda tena na tutapata mwakilishi mzuri.

Matamshi ya Gwajima si ya bahati mbaya bali ni kusudi la kutaka kuleta mpasuko wa kitaifa ambao mpaka sasa kuna chuki kubwa sana umejengeka miongoni mwa wananchi.Damage ya matamshi yake ni kubwa sana si wa kuachwa.Amedhalilisha mamlaka za nchi kwa kiasi kikubwa sana.
Mbona Magu hamkumfukuza???
 
Huwa najiuliza kwanini Tanzania na labda hata Africa tupo nyuma sana lkn kiukweli tuna watu wengi sana kama huyu Gwajima na hicho ni moja ya vielelezo vyetu ni kwa nini tupo gizani na mbaya ndo wanao tuongoza kuanzia ki imani/kiroho mpaka ktk Siasa /Serikali

Kujadili utimilifu wa Chanjo kwa uhasi au uchanya inaweza kuwa si kitu kibaya lkn kukataza Umma wa watu wote na bila kutoa mbadala wake kwa kigezo cha Mzungu hana nia nzuri na sisi (hapa tuseme kuna labda ukweli kwa ujumla) Lakini tunatumia karibu vitu vingi vya huyo mtu mweupe kwa asilimia kubwa sasa ujanja wetu upo wapi zaidi ya kuonyesha uzuzu wetu au kusema wakuu wa Nchi wamehongwa na kutoa tuhuma nzito kama hiyo ni kielelezo kingine cha hawa manabii au masheikh kutumia ushawishi wao ktk jamii kwa namna hasi (na baadhi yao utakuta wana tuhuma za wazi kabisa za uzinzi, ulawiti, ushirikina) lkn kwa kuwa tuna hofu na kuwapa imani na nguvu kubwa wanatugeuza wanavyotaka kwa ujinga na uzwazwa wetu na tunaona kama ni watu wenye utukufu fulani kumbe ni wajanja wajanja na wanatumia udhaifu wetu wa kupokea bila kuhoji mambo kwa mgongo wa Dini/Mungu

Na mbaya zaidi sie Waafrika tunaweza pinga mambo mengi ya watu weupe (Wazungu) japokuwa kiukweli hatuna hata mikakati ya kuwa na vya kwetu kama jamii zingine hasa za Asia lkn kwenye hizi dini zilizoletwa tena na huyo mtu mweupe tumefika mpaka tunamuona yeye ndo hamjui Mungu sie ndo tunamjua ( hapa tuliiga mpaka tumezidisha)

Israel ndo Taifa linalo ongoza kwa kuwapatia chanjo ya Covid kwa asilimia kubwa Raia wake,Papa kachanjwa , na huko Mecca hata kuhiji imekuwa tabu lkn Gwajima wa hapo sijui Kimara Baruti eti ndo mtaalam kuliko wengine dah inasikitisha sana

Watu wa aina hii ni kielelezo kwa zama hizi tunaishi ki primitive

Kujadili ufanisi wa chanjo sio shida bali kutoa suluhisho bila mbadala (sio nyungu maana kuna mazingira imeshindwa nayo) ni tatizo na ikizingatiwa ktk jamii yetu kuna wenzetu wamepoteza wapendwa wao kwa huu ugonjwa

Nimekusoma mkubwa na kuielewa concern yako...

Lakini mimi nina neno moja kwa namna ninavyolitazama jambo hili...

Kwamba, mara baada ya huyu mchungaji mwaka 2020 kutangaza kuingia ktk siasa za majukwaani moja kwa moja kupitia CCM na kugombea ubunge jimbo la Kawe, DSM nilishangaa sana na kuona sasa anapotea katika huduma ya kiroho...

Sasa bila shaka yoyote, nimetambua kuwa, kumbe I was wrong...!!

Nimetambua bila shaka yoyote kuwa, kumbe Bishop Rev. Josephat Gwajima yuko CCM na kupewa ubunge kwa kusudi maalumu la ki - Mungu..

Wote tunafahamu kuwa chini ya mfumo wetu utawala uliopo, watu wengi wanaingia ktk siasa na kuwania nafasi za uongozi wa kisiasa kama udiwani au ubunge kwa kutazamia kunufaika kimaslahi ya kimwili zaidi...

Lakini kwa Bishop Rev. Josephat Gwajima siyo kwani hahitaji fedha chafu za kisiasa. Tayari baba yake [Mungu Yehova] amempa na anampa fedha nyingi na utajiri usio wa kawaida kawaida..!!

That's to say, he is there for a special mission ambayo hata serikali na CCM hawaijui na hawakuweza kuijua kwa sababu mission hiyo inawalenga wao, ni rungu lao la kuwapiga...

Point yangu ni hii;

KWANZA, Rev. Gwajima hatabadili msimamo wake

PILI, kadiri watakavyoendelea kumsakama naye ndivyo atakavyoendelea kukusisitiza na kukandamiza anachokiamini tena kwa maneno makali zaidi yatakayowakera wenye mamlaka...

Wenye kumbukumbu rejeeni ishu ya mahakama ya kadhi mwaka 2012/2013 wakati wa Kikwete na mgogoro wa yeye na Paul Makonda aliyekuwa RC DSM few years ago...

TATU, Bishop Rev. Josephat Gwajima akiingia kwenye mgogoro na mamlaka za kidunia au serikali za kibinadamu aidha serikali nzima au kiongozi mmoja mmoja huwa HASHINDWI bali mara zote HUSHINDA...!

Na sababu ni moja tu: Yeye anatumikia ufalme wenye nguvu zaidi kuliko falme zote duniani wanaozitumikia hao anaoingia nao kwenye mgogoro...

Na ufalme anaoutumikia ni ule wa mbinguni na mfalme wake ni YESU KRISTO mfalme wa wafalme. Hakuna mfalme au ufalme ulio juu ya huu...!!!

WHAT THEY SHOULD TO DO?

1. AIDHA, wafuate ushauri na maelekezo yake kuhusu haya mambo huku wakijua kuwa asemaye ni "JITU LILILOTOKA MBINGUNI"

2. AMA, wapuuze na wamkabili kwa kutumia ushauri kama huu unaotolewa humu na mleta mada. Na wote tunaelewa ujinga wa utawala wa CCM. Hawataishia kumfukuza uanachama tu bali watajaribu hata kumdhuru ikiwemo kumuua....

What they don't know about this man is that, HE IS IMMORTA, he is indestructible...

WHAT I PERSONALLY SEE IS;

Possibility kubwa ni kutumia option namber two. Watamkabili na ikifanyika hili KUSUDI LA HUYU MTU KUWA MBUNGE WA CCM litakuwa wazi na litaanza kutekelezeka vigorously kinyume na matarajio ya serikali ya CCM kupitia mtu waliyemdhania yuko upande wao...!!

Ni mtazamo na maoni yangu tu haya
 
Kama ya Kigwangala na Gwaji girl
Mawazo ya kidikiteta haya. Si mwenyekiti wa CCM keshasema chanjo ni hiari? Gwajima anapita mulemule. Una haki ya kumsikiliza na kumuamini 'askofu' Gwajima, Dr. Gwajima au Samia Suluhu. Jifunzeni kuwa wavumilivu kusikia vitu msivyovipenda

Gwajima amekataa unafiki na ile tabia ya woga/kufuata mkumbo.
 
Kama ambavyo tumekuwa tukiimba kwa katiba bora yetu ya Chama kuliko vyama vyote nchini na Afrika,ni wazi kabisa kua Askofu Gwajima ameleta sintofahamu kubwa sana nchini huku akijua kitendo kile kilikua ni cha uchochezi wa makusudi na alidhamiria.

Mwanachama mzima wa CCM huwezi kusimama uansuambia umma kwanini Corona imeibuka baada ya Magufuli kufa, huwezi kumwambia Mkuu wa nchi anashadadia misaa ya Bilgate ili wananchi wachomwe chanjo ya Corona wafe, huu ni upotoshaji, udhalilishaji wa viongozi wa nchi na ni uchochezi mkubwa sana si wa kufumbia macho.Hivi kweli Mhe Rais anaweza kuwaongoza wananchi wake kwenye kifo?

WITO KWA CCM: Naomba Askofu Gwajima achukuliwe hatua kali za kinidhamu ikiwa ni pamoja na kumfuta uanachama ili arudi Kanisani kwake akaendelea kupotosha watu na kuhubiri uongo wake. Jimbo liwekwe wazi kuna wanaccm safi Kawe ni imani yangu kua tukirudia uchaguzi tutashinda tena na tutapata mwakilishi mzuri.

Matamshi ya Gwajima si ya bahati mbaya bali ni kusudi la kutaka kuleta mpasuko wa kitaifa ambao mpaka sasa kuna chuki kubwa sana umejengeka miongoni mwa wananchi.Damage ya matamshi yake ni kubwa sana si wa kuachwa.Amedhalilisha mamlaka za nchi kwa kiasi kikubwa sana.
Serikali itakuwa wapuuzi Kama hawatomshugulikia Huyo Taperi, kinachomfaa ni kifo tu hakuna lingine,mtu ambae anailetea dharau serikali na kupotosha watu,Ni muhaini kabisa huyo
 
Basi mataga kwa niaba ya jiwe waombeni msamaha Dr Nyambura Moremi, Lawrence Mafuru na Ernest Mangu.
Taifa ili liendelee linahitaji fikra mbali mbali.

Hivyo basi sio sahihi kuzodoana mtu anapotoa maoni yake ambayo unafikiri hayaendani na yako.

Ndio Mungu katuumba namna hiyo hatuwezi fanana wote namna ya kufikiri.
 
Kama ambavyo tumekuwa tukiimba kwa katiba bora yetu ya Chama kuliko vyama vyote nchini na Afrika,ni wazi kabisa kua Askofu Gwajima ameleta sintofahamu kubwa sana nchini huku akijua kitendo kile kilikua ni cha uchochezi wa makusudi na alidhamiria.

Mwanachama mzima wa CCM huwezi kusimama uansuambia umma kwanini Corona imeibuka baada ya Magufuli kufa, huwezi kumwambia Mkuu wa nchi anashadadia misaa ya Bilgate ili wananchi wachomwe chanjo ya Corona wafe, huu ni upotoshaji, udhalilishaji wa viongozi wa nchi na ni uchochezi mkubwa sana si wa kufumbia macho.Hivi kweli Mhe Rais anaweza kuwaongoza wananchi wake kwenye kifo?

WITO KWA CCM: Naomba Askofu Gwajima achukuliwe hatua kali za kinidhamu ikiwa ni pamoja na kumfuta uanachama ili arudi Kanisani kwake akaendelea kupotosha watu na kuhubiri uongo wake. Jimbo liwekwe wazi kuna wanaccm safi Kawe ni imani yangu kua tukirudia uchaguzi tutashinda tena na tutapata mwakilishi mzuri.

Matamshi ya Gwajima si ya bahati mbaya bali ni kusudi la kutaka kuleta mpasuko wa kitaifa ambao mpaka sasa kuna chuki kubwa sana umejengeka miongoni mwa wananchi.Damage ya matamshi yake ni kubwa sana si wa kuachwa.Amedhalilisha mamlaka za nchi kwa kiasi kikubwa sana.
Atekwe. Apelekwe polisi; na afunguliwe kesi ya ugaidi na uhaini.
 
Back
Top Bottom