CCM tumfukuze uanachama Askofu Gwajima, hana busara

CCM tumfukuze uanachama Askofu Gwajima, hana busara

Hana maadili ya uongozi, CCM ifuate mfano wa klabu ya simba kumtimua Manara
Amefanya kitendo kinachoitwa insubordination, ambacho kimsingi anatakiwa Kufukuzwa. CCM wakiendelea kumchekea atafanya material damage na kuchanganya wananchi. Kwa hakika anatakiwa apigwe stop hata kwa lazima. Kama hana cha kuhubiri mambo ya Mungu huko kanisani, issue za kitabibu alizisomea wapi?!
 
Mawazo ya kidikiteta haya. Si mwenyekiti wa CCM keshasema chanjo ni hiari? Gwajima anapita mulemule. Una haki ya kumsikiliza na kumuamini 'askofu' Gwajima, Dr. Gwajima au Samia Suluhu. Jifunzeni kuwa wavumilivu kusikia vitu msivyovipenda

Gwajima amekataa unafiki na ile tabia ya woga/kufuata mkumbo.
Hapana, siyo udikiteta mkuu, alikua na uwezo wa kuwaambia watu wake, lakini siyo kupotosha eti watu watakua Mazombie, ni mjinga pekee atakubaliana na upuuzi ule.
 
Wewe wakati Mafuli typo ulikuwepo hapa nchii au ilikuwa hujazaliwa?
Gwajima amezingatia Katiba yenu bora kuliko vyama vyote inayosema "nitasema ukweli daima,fitna kwangu mwiko"
Hoja ya Gwajima haiwezikufifshwa kwa matisho yenu ,kwa ninavyo mjua Gwajima hata mkimtishia na mkamfukuza hamtauondoa uhalisia kwamba mama amekuwa dhaifu na hawezi tena kupambana na wale mnaowaita Mabeberu hulu misaada yao mnaitaka
Ni nani aliweza kupambana na mabeberu? Upuuzi mtupu
 
Kama ambavyo tumekuwa tukiimba kwa katiba bora yetu ya Chama kuliko vyama vyote nchini na Afrika,ni wazi kabisa kua Askofu Gwajima ameleta sintofahamu kubwa sana nchini huku akijua kitendo kile kilikua ni cha uchochezi wa makusudi na alidhamiria.

Mwanachama mzima wa CCM huwezi kusimama uansuambia umma kwanini Corona imeibuka baada ya Magufuli kufa, huwezi kumwambia Mkuu wa nchi anashadadia misaa ya Bilgate ili wananchi wachomwe chanjo ya Corona wafe, huu ni upotoshaji, udhalilishaji wa viongozi wa nchi na ni uchochezi mkubwa sana si wa kufumbia macho.Hivi kweli Mhe Rais anaweza kuwaongoza wananchi wake kwenye kifo?

WITO KWA CCM: Naomba Askofu Gwajima achukuliwe hatua kali za kinidhamu ikiwa ni pamoja na kumfuta uanachama ili arudi Kanisani kwake akaendelea kupotosha watu na kuhubiri uongo wake. Jimbo liwekwe wazi kuna wanaccm safi Kawe ni imani yangu kua tukirudia uchaguzi tutashinda tena na tutapata mwakilishi mzuri.

Matamshi ya Gwajima si ya bahati mbaya bali ni kusudi la kutaka kuleta mpasuko wa kitaifa ambao mpaka sasa kuna chuki kubwa sana umejengeka miongoni mwa wananchi.Damage ya matamshi yake ni kubwa sana si wa kuachwa.Amedhalilisha mamlaka za nchi kwa kiasi kikubwa sana.
Kwanini usipendekeze ccm wamfute uanachama Magufuli posthumously kabisa sababu ndio mwanzishi wa falsafa anazoeneza gwajima...na wamkane hadharani kabisa...unajaribu kum attack jpm kwa mgongo wa gwajima wewe..jitokeze bayana
 
Kama ambavyo tumekuwa tukiimba kwa katiba bora yetu ya Chama kuliko vyama vyote nchini na Afrika,ni wazi kabisa kua Askofu Gwajima ameleta sintofahamu kubwa sana nchini huku akijua kitendo kile kilikua ni cha uchochezi wa makusudi na alidhamiria.

Mwanachama mzima wa CCM huwezi kusimama uansuambia umma kwanini Corona imeibuka baada ya Magufuli kufa, huwezi kumwambia Mkuu wa nchi anashadadia misaa ya Bilgate ili wananchi wachomwe chanjo ya Corona wafe, huu ni upotoshaji, udhalilishaji wa viongozi wa nchi na ni uchochezi mkubwa sana si wa kufumbia macho.Hivi kweli Mhe Rais anaweza kuwaongoza wananchi wake kwenye kifo?

WITO KWA CCM: Naomba Askofu Gwajima achukuliwe hatua kali za kinidhamu ikiwa ni pamoja na kumfuta uanachama ili arudi Kanisani kwake akaendelea kupotosha watu na kuhubiri uongo wake. Jimbo liwekwe wazi kuna wanaccm safi Kawe ni imani yangu kua tukirudia uchaguzi tutashinda tena na tutapata mwakilishi mzuri.

Matamshi ya Gwajima si ya bahati mbaya bali ni kusudi la kutaka kuleta mpasuko wa kitaifa ambao mpaka sasa kuna chuki kubwa sana umejengeka miongoni mwa wananchi.Damage ya matamshi yake ni kubwa sana si wa kuachwa.Amedhalilisha mamlaka za nchi kwa kiasi kikubwa sana.
GWAJI MA JESHI KUBWA YULE.MKUU OOOH MKIJARIBU MTACHEKA KISPANYOLA PALE KAWE ......
SOMA UJUMBE WAKE WA MWISHO NIMEJITOA MUHANGAOGOPA SANA HAWA WA AINA HII HATA UBUNGE KWAO N NTNG...WAKO KWA KUNYOOSHA....
OTHERWISE KILA LAKHERI MJAZE THREAD....
UNTOUCHABLE DK BISHOP Gwajima
 
Kama ambavyo tumekuwa tukiimba kwa katiba bora yetu ya Chama kuliko vyama vyote nchini na Afrika,ni wazi kabisa kua Askofu Gwajima ameleta sintofahamu kubwa sana nchini huku akijua kitendo kile kilikua ni cha uchochezi wa makusudi na alidhamiria.

Mwanachama mzima wa CCM huwezi kusimama uansuambia umma kwanini Corona imeibuka baada ya Magufuli kufa, huwezi kumwambia Mkuu wa nchi anashadadia misaa ya Bilgate ili wananchi wachomwe chanjo ya Corona wafe, huu ni upotoshaji, udhalilishaji wa viongozi wa nchi na ni uchochezi mkubwa sana si wa kufumbia macho.Hivi kweli Mhe Rais anaweza kuwaongoza wananchi wake kwenye kifo?

WITO KWA CCM: Naomba Askofu Gwajima achukuliwe hatua kali za kinidhamu ikiwa ni pamoja na kumfuta uanachama ili arudi Kanisani kwake akaendelea kupotosha watu na kuhubiri uongo wake. Jimbo liwekwe wazi kuna wanaccm safi Kawe ni imani yangu kua tukirudia uchaguzi tutashinda tena na tutapata mwakilishi mzuri.

Matamshi ya Gwajima si ya bahati mbaya bali ni kusudi la kutaka kuleta mpasuko wa kitaifa ambao mpaka sasa kuna chuki kubwa sana umejengeka miongoni mwa wananchi.Damage ya matamshi yake ni kubwa sana si wa kuachwa.Amedhalilisha mamlaka za nchi kwa kiasi kikubwa sana.
Umeniboa kusema katiba bora afrika
ANC tutaisemeaje

Ccm uwongo nilini tutaacha
 
SERIKALI YA BURUNDI
WAIMESEMA IMEAMUA KUKUBALI CHANJO YAO KWA KUWA IMESUSITIZWA NA BENKI YA DUNIA

NAKAMWE HAWATASISITIZA WALA KUHAMASISHA WATU KUCHANJA ANAETAKA AENDE KIVYAKE..OOOH
MMELEWA SASA ISSUE IKOWAPI...
 
Jaman,tuweni wakweli nawazarendo. Gwajima Hana kosa lolote kwani msimamowake nisawa na wa marehemu mpendwawetu Dr John Pombe Magufuli, Sasa kama JPM hamkumfukuza,iweje gwajima afukuzwe?
 
Kwani mama yeye anautalamu gani juu ya hizo chanjo

Kwa hiyo gwajima akiongea mnashadadia maneno yake Kama vile mwali wa kizungu

Chanjo sio lazima na gwajima hajafunga watanzania pingu miguuni wasiende kupata hizo chanjo

Yakuambiwa changanya na yako
Waache wamfukeze,Moto wa Gwajima akiuwasha hakuna wa kuuzima kwa Sasa ndani ya CCM.
Mkapa na Magufuli ndo wangeamua lolote kwa yeyote hata kwa nguvu.

watu wengi Sasa wanaona Gwajima ndo mtetezi wao baada ya Mwendazake.
 
Nileteeni Gwajima,nileteeni Gwajima,nileteeni Gwajima.

Tumepata msemaji,ni chuma kama JPM.
Gwajima Hajawahi kia mnafiki Tangu na mjua,ni vile wewe utatafuta upande pindi likikufika na ndo role ya wasema kweli duniani.

Hata kipindi wazee wa kusubiria siri za mbele jumapili(CDM) walienjoy wakati anampa ukweli wake J.K,lengo na hata Makonda so msishangae mtulie muone si Kila mtu mnafiki wa leo kusema Huyu fisadi kesho anakua Mgombea wetu wa Urais ,leo hatukurupuki kwenye chanjo na kupiga nyungu/dawa asili kesho eti wazee wa chanjo.


Wazee wa siasa maslahi/uongo na kudanganya wananchi wameungana tena kumpiga vita gwajima wabaki wao na maigizo yao ya siasa za upinzani na serikali.

Watu cream kama gwajima hawaezi kukumbatia ubunge walau kuhofu kupoteza ubunge KWA unafiki.

Hayo mambo watu kama kina msigwa mchungaji ndo wanayaweza
 
Back
Top Bottom