CCM tumshauri Rais Samia asigombee 2025

CCM tumshauri Rais Samia asigombee 2025

Mleta mada sijui una umri gani... mwaka 95 wapo walioamini huu ujinga kama ww, kuwa CCM imegawanyika na kwamba huo ndio mwanya wa mgombea uraisi wa kipindi hicho ndugu Augustino .L. Mrema kushinda uchaguzi. Cha kushangaza uchaguzi ulipofika wale waliogawanyika walikuwa upande wa adui yao (mgombea uraisi wa CCM) enzi hizo hayati Benjamini Mkapa na umoja huo ukachangia ushindi wa mgombea wao. Mwaka 2005 hivo hivo style ilikuwa ni ile ile ya kuanzisha zengwe baina yao ili kuwapoteza maboya wapinzani wao, na uchaguzi ulipofika wakawa kitu kimoja kumpigania mgombea wao hadi akapata ushindi wa kishindo ambao ulikuwa zaidi ya ule wa mwaka 95. Mwaka 2015 CCM ika change strategy kwa kuanzisha ugomvi ambao safari hii ulionekana kama vile ni wa mafahari wawili wasiotaka kukaa zizi moja (JK na Lowasa) Hii ikapelekea wapinzani kuingia mkenge na kujaribu kumkaribisha fahari mmoja katika zizi lao bila kujua hasa hatima ya mipango yao (CCM) kilichofatia kila mtu anakijua. Ushindi kwa kambi ya upinzani ukosekana na chama kikasambaratika, kwa fahari huyo kurudi alipotoka na mbaya zaidi akaondoka na wabunge, madiwani na viongozi wengine wa chama. Sasa safari hii wameanza tena mchezo ule ule afu mleta mada unakuja na kushauri watu ujinga kwa lengo wa kuliingiza tena mkenge kundi fulani.
 
Nawasalimia kwa jina la JMT wanajukwaa.

Ndugu zangu hasa Makada wa CCM mliopo humu msinihukumu kua natumikia kundi au mlengo flani ndani ya chama. Niwe muwazi ni kwamba kwa sasa binafsi naridhika sana na utendaji wa Mama kwa miaka 5 tu aliyeachiwa na hayati JPM. Angeishia miaka hii 5 tu.

Sisemi kua haziwezi siasa lakini kwa hali ninayoitazama mbele ya safari inaweza kua ngumu zaidi, wapinzani wetu wapo kimya lakini hatujui wanawaza nini na mshindani wa Mama atakua nani. Kwanza CCM imeshaanza kugawanyika makundi ambayo binafsi sioni mtu wa kuyaweka pamoja kwa sasa, haya makundi kuna yapo yanayougulia maumivu makali sana na kuna yapo yanayopooza maumivu makali. Shida kubwa ni kwamba hayupo wa kuyaweka haya makundi pamoja, tofauti ya mitizamo ni kubwa mno.

Tunaweza kujifariji kwa kuzuia suala la katiba mpya itakayoondoa uwezekano wa Makada wenzetu kusimamia uchaguzi, lakini kuna wakati unaweza kufanya hujuma kubwa mpaka ukaaibika, huenda tunaweza kuelekea mahali ambapo mtu akishinda wananchi hawatakubali aporwe ushindi wake. Tusijifariji kuja kutegemea Dola itusaidie, tunaweza kuja kuaibika vibaya mno. Dola kuna wakati inachoka kutumiwa itakapobidi.
Tumshauri Mama asimame kwa miaka mitano aliyorithi toka kwa JPM.

Gharama za maisha zinapanda kimya kimya, Miamala ya simu na vifurushi vya internet zinapandishwa kimya kimya, gharama mafuta ya kula,sukari, petroli,diesel,mafuta ya taa, vifaa vya ujenzi usiseme, Luku makato bila ya watu kuridhia, vurugu kwa wamachinga. Kiukweli watanzania siyo wajinga tusubiri tuadhibiwe ili tupate adabu miaka mitano watakayobeba wapinzani.

Tunaweza kufika mahali wapinzani wetu wakalazimisha katiba mpya wakatoka barabarani nchi nzima kuiomba, hivi polisi wanaweza kukamata kwa mfano wanachama wa CHADEMA million 6 nchi nzima? Watawaweka mahabusu zipi? Hata wakitoka milion 3 watawaweka wapi? Kuna mambo tunayafanyia mzaha lakini CCM mbele yetu hali ni tete. Tungeruhusu katiba mpya tupambane kwa huo mfumo mpya badala ya mazoea na kuwapa kiki wapinzani. Hawa wapinzani tumewapa pumzi ya kua nje ya bunge miaka 5, hatujui wanarudi vipi na nguvu mpya.

Ni mawazo ya kada huru, hulazimishwa kuyachukua au kuyasoma.

Weekend njema!
Mimi simpendi Mama na sijali kama ataongoza kipindi kimoja au viwili. Ninachojali chama changu cha CCM kipo madarakani.
 
Moja wewe sio kada.
Mbili hufikirii kama kada.
Kada wa CCM.
Screenshot_20210914-144411.jpg
 
Nawasalimia kwa jina la JMT wanajukwaa.

Ndugu zangu hasa Makada wa CCM mliopo humu msinihukumu kua natumikia kundi au mlengo flani ndani ya chama. Niwe muwazi ni kwamba kwa sasa binafsi naridhika sana na utendaji wa Mama kwa miaka 5 tu aliyeachiwa na hayati JPM. Angeishia miaka hii 5 tu.

Sisemi kua haziwezi siasa lakini kwa hali ninayoitazama mbele ya safari inaweza kua ngumu zaidi, wapinzani wetu wapo kimya lakini hatujui wanawaza nini na mshindani wa Mama atakua nani. Kwanza CCM imeshaanza kugawanyika makundi ambayo binafsi sioni mtu wa kuyaweka pamoja kwa sasa, haya makundi kuna yapo yanayougulia maumivu makali sana na kuna yapo yanayopooza maumivu makali. Shida kubwa ni kwamba hayupo wa kuyaweka haya makundi pamoja, tofauti ya mitizamo ni kubwa mno.

Tunaweza kujifariji kwa kuzuia suala la katiba mpya itakayoondoa uwezekano wa Makada wenzetu kusimamia uchaguzi, lakini kuna wakati unaweza kufanya hujuma kubwa mpaka ukaaibika, huenda tunaweza kuelekea mahali ambapo mtu akishinda wananchi hawatakubali aporwe ushindi wake. Tusijifariji kuja kutegemea Dola itusaidie, tunaweza kuja kuaibika vibaya mno. Dola kuna wakati inachoka kutumiwa itakapobidi.
Tumshauri Mama asimame kwa miaka mitano aliyorithi toka kwa JPM.

Gharama za maisha zinapanda kimya kimya, Miamala ya simu na vifurushi vya internet zinapandishwa kimya kimya, gharama mafuta ya kula,sukari, petroli,diesel,mafuta ya taa, vifaa vya ujenzi usiseme, Luku makato bila ya watu kuridhia, vurugu kwa wamachinga. Kiukweli watanzania siyo wajinga tusubiri tuadhibiwe ili tupate adabu miaka mitano watakayobeba wapinzani.

Tunaweza kufika mahali wapinzani wetu wakalazimisha katiba mpya wakatoka barabarani nchi nzima kuiomba, hivi polisi wanaweza kukamata kwa mfano wanachama wa CHADEMA million 6 nchi nzima? Watawaweka mahabusu zipi? Hata wakitoka milion 3 watawaweka wapi? Kuna mambo tunayafanyia mzaha lakini CCM mbele yetu hali ni tete. Tungeruhusu katiba mpya tupambane kwa huo mfumo mpya badala ya mazoea na kuwapa kiki wapinzani. Hawa wapinzani tumewapa pumzi ya kua nje ya bunge miaka 5, hatujui wanarudi vipi na nguvu mpya.

Ni mawazo ya kada huru, hulazimishwa kuyachukua au kuyasoma.

Weekend njema!

Kwani mwenyewe si kasema 2025 rais si mwanamke ambaye ndiyo yeye?

Hiiiiii bagosha!
 
Nawasalimia kwa jina la JMT wanajukwaa.

Ndugu zangu hasa Makada wa CCM mliopo humu msinihukumu kua natumikia kundi au mlengo flani ndani ya chama. Niwe muwazi ni kwamba kwa sasa binafsi naridhika sana na utendaji wa Mama kwa miaka 5 tu aliyeachiwa na hayati JPM. Angeishia miaka hii 5 tu.

Sisemi kua haziwezi siasa lakini kwa hali ninayoitazama mbele ya safari inaweza kua ngumu zaidi, wapinzani wetu wapo kimya lakini hatujui wanawaza nini na mshindani wa Mama atakua nani. Kwanza CCM imeshaanza kugawanyika makundi ambayo binafsi sioni mtu wa kuyaweka pamoja kwa sasa, haya makundi kuna yapo yanayougulia maumivu makali sana na kuna yapo yanayopooza maumivu makali. Shida kubwa ni kwamba hayupo wa kuyaweka haya makundi pamoja, tofauti ya mitizamo ni kubwa mno.

Tunaweza kujifariji kwa kuzuia suala la katiba mpya itakayoondoa uwezekano wa Makada wenzetu kusimamia uchaguzi, lakini kuna wakati unaweza kufanya hujuma kubwa mpaka ukaaibika, huenda tunaweza kuelekea mahali ambapo mtu akishinda wananchi hawatakubali aporwe ushindi wake. Tusijifariji kuja kutegemea Dola itusaidie, tunaweza kuja kuaibika vibaya mno. Dola kuna wakati inachoka kutumiwa itakapobidi.
Tumshauri Mama asimame kwa miaka mitano aliyorithi toka kwa JPM.

Gharama za maisha zinapanda kimya kimya, Miamala ya simu na vifurushi vya internet zinapandishwa kimya kimya, gharama mafuta ya kula,sukari, petroli,diesel,mafuta ya taa, vifaa vya ujenzi usiseme, Luku makato bila ya watu kuridhia, vurugu kwa wamachinga. Kiukweli watanzania siyo wajinga tusubiri tuadhibiwe ili tupate adabu miaka mitano watakayobeba wapinzani.

Tunaweza kufika mahali wapinzani wetu wakalazimisha katiba mpya wakatoka barabarani nchi nzima kuiomba, hivi polisi wanaweza kukamata kwa mfano wanachama wa CHADEMA million 6 nchi nzima? Watawaweka mahabusu zipi? Hata wakitoka milion 3 watawaweka wapi? Kuna mambo tunayafanyia mzaha lakini CCM mbele yetu hali ni tete. Tungeruhusu katiba mpya tupambane kwa huo mfumo mpya badala ya mazoea na kuwapa kiki wapinzani. Hawa wapinzani tumewapa pumzi ya kua nje ya bunge miaka 5, hatujui wanarudi vipi na nguvu mpya.

Ni mawazo ya kada huru, hulazimishwa kuyachukua au kuyasoma.

Weekend njema!
Waambie Polepole na Bashiru (maana tunajua ndio waliokutuma) Mama hatoki hadi 2030 watake wasitake kama vipi wahamie Burundi.
 
Nawasalimia kwa jina la JMT wanajukwaa.

Ndugu zangu hasa Makada wa CCM mliopo humu msinihukumu kua natumikia kundi au mlengo flani ndani ya chama. Niwe muwazi ni kwamba kwa sasa binafsi naridhika sana na utendaji wa Mama kwa miaka 5 tu aliyeachiwa na hayati JPM. Angeishia miaka hii 5 tu.

Sisemi kua haziwezi siasa lakini kwa hali ninayoitazama mbele ya safari inaweza kua ngumu zaidi, wapinzani wetu wapo kimya lakini hatujui wanawaza nini na mshindani wa Mama atakua nani. Kwanza CCM imeshaanza kugawanyika makundi ambayo binafsi sioni mtu wa kuyaweka pamoja kwa sasa, haya makundi kuna yapo yanayougulia maumivu makali sana na kuna yapo yanayopooza maumivu makali. Shida kubwa ni kwamba hayupo wa kuyaweka haya makundi pamoja, tofauti ya mitizamo ni kubwa mno.

Tunaweza kujifariji kwa kuzuia suala la katiba mpya itakayoondoa uwezekano wa Makada wenzetu kusimamia uchaguzi, lakini kuna wakati unaweza kufanya hujuma kubwa mpaka ukaaibika, huenda tunaweza kuelekea mahali ambapo mtu akishinda wananchi hawatakubali aporwe ushindi wake. Tusijifariji kuja kutegemea Dola itusaidie, tunaweza kuja kuaibika vibaya mno. Dola kuna wakati inachoka kutumiwa itakapobidi.
Tumshauri Mama asimame kwa miaka mitano aliyorithi toka kwa JPM.

Gharama za maisha zinapanda kimya kimya, Miamala ya simu na vifurushi vya internet zinapandishwa kimya kimya, gharama mafuta ya kula,sukari, petroli,diesel,mafuta ya taa, vifaa vya ujenzi usiseme, Luku makato bila ya watu kuridhia, vurugu kwa wamachinga. Kiukweli watanzania siyo wajinga tusubiri tuadhibiwe ili tupate adabu miaka mitano watakayobeba wapinzani.

Tunaweza kufika mahali wapinzani wetu wakalazimisha katiba mpya wakatoka barabarani nchi nzima kuiomba, hivi polisi wanaweza kukamata kwa mfano wanachama wa CHADEMA million 6 nchi nzima? Watawaweka mahabusu zipi? Hata wakitoka milion 3 watawaweka wapi? Kuna mambo tunayafanyia mzaha lakini CCM mbele yetu hali ni tete. Tungeruhusu katiba mpya tupambane kwa huo mfumo mpya badala ya mazoea na kuwapa kiki wapinzani. Hawa wapinzani tumewapa pumzi ya kua nje ya bunge miaka 5, hatujui wanarudi vipi na nguvu mpya.

Ni mawazo ya kada huru, hulazimishwa kuyachukua au kuyasoma.

Weekend njema!
Mpuuzi wewe, misukule ya magufuli mtapata tabu Sana, hizo chuki zenu za kidini na ukanda zitawaghalimu
 
Dah ila Africa sijui nani atakuja kutupandikiza akili timamu, kiongoz msomi anafanya mambo usiyoyatarajia,

Wenzetu wanazid kufanya maendeleo kitechnolojia sisi tunapambana na wapinzani. Sijui ni lini tutapambana na ujinga.
 
Mleta mada sijui una umri gani... mwaka 95 wapo walioamini huu ujinga kama ww, kuwa CCM imegawanyika na kwamba huo ndio mwanya wa mgombea uraisi wa kipindi hicho ndugu Augustino .L. Mrema kushinda uchaguzi. Cha kushangaza uchaguzi ulipofika wale waliogawanyika walikuwa upande wa adui yao (mgombea uraisi wa CCM) enzi hizo hayati Benjamini Mkapa na umoja huo ukachangia ushindi wa mgombea wao. Mwaka 2005 hivo hivo style ilikuwa ni ile ile ya kuanzisha zengwe baina yao ili kuwapoteza maboya wapinzani wao, na uchaguzi ulipofika wakawa kitu kimoja kumpigania mgombea wao hadi akapata ushindi wa kishindo ambao ulikuwa zaidi ya ule wa mwaka 95. Mwaka 2015 CCM ika change strategy kwa kuanzisha ugomvi ambao safari hii ulionekana kama vile ni wa mafahari wawili wasiotaka kukaa zizi moja (JK na Lowasa) Hii ikapelekea wapinzani kuingia mkenge na kujaribu kumkaribisha fahari mmoja katika zizi lao bila kujua hasa hatima ya mipango yao (CCM) kilichofatia kila mtu anakijua. Ushindi kwa kambi ya upinzani ukosekana na chama kikasambaratika, kwa fahari huyo kurudi alipotoka na mbaya zaidi akaondoka na wabunge, madiwani na viongozi wengine wa chama. Sasa safari hii wameanza tena mchezo ule ule afu mleta mada unakuja na kushauri watu ujinga kwa lengo wa kuliingiza tena mkenge kundi fulani.
Napendekeza badala yake Dudumizi apitishwe kuwa mgombea pekee,tena Bila kupingwa.
 
Mkimshauri msimshauri ,CCM sahauni kushinda uchaguzi halali wa nchi hii,sahauni kama mlivyosahaulishwa kule Pemba kwenye kisiwa cha karafuu.
 
Nawasalimia kwa jina la JMT wanajukwaa.

Ndugu zangu hasa Makada wa CCM mliopo humu msinihukumu kua natumikia kundi au mlengo flani ndani ya chama. Niwe muwazi ni kwamba kwa sasa binafsi naridhika sana na utendaji wa Mama kwa miaka 5 tu aliyeachiwa na hayati JPM. Angeishia miaka hii 5 tu.

Sisemi kuwa haziwezi siasa lakini kwa hali ninayoitazama mbele ya safari inaweza kuwa ngumu zaidi, wapinzani wetu wapo kimya lakini hatujui wanawaza nini na mshindani wa Mama atakuwa nani. Kwanza CCM imeshaanza kugawanyika makundi ambayo binafsi sioni mtu wa kuyaweka pamoja kwa sasa, haya makundi kuna yapo yanayougulia maumivu makali sana na kuna yapo yanayopooza maumivu makali. Shida kubwa ni kwamba hayupo wa kuyaweka haya makundi pamoja, tofauti ya mitizamo ni kubwa mno.

Tunaweza kujifariji kwa kuzuia suala la katiba mpya itakayoondoa uwezekano wa Makada wenzetu kusimamia uchaguzi, lakini kuna wakati unaweza kufanya hujuma kubwa mpaka ukaaibika, huenda tunaweza kuelekea mahali ambapo mtu akishinda wananchi hawatakubali aporwe ushindi wake. Tusijifariji kuja kutegemea Dola itusaidie, tunaweza kuja kuaibika vibaya mno. Dola kuna wakati inachoka kutumiwa itakapobidi. Tumshauri Mama asimame kwa miaka mitano aliyorithi toka kwa JPM.

Gharama za maisha zinapanda kimya kimya, Miamala ya simu na vifurushi vya internet zinapandishwa kimya kimya, gharama mafuta ya kula,sukari, petroli,diesel,mafuta ya taa, vifaa vya ujenzi usiseme, Luku makato bila ya watu kuridhia, vurugu kwa wamachinga. Kiukweli watanzania siyo wajinga tusubiri tuadhibiwe ili tupate adabu miaka mitano watakayobeba wapinzani.

Tunaweza kufika mahali wapinzani wetu wakalazimisha katiba mpya wakatoka barabarani nchi nzima kuiomba, hivi polisi wanaweza kukamata kwa mfano wanachama wa CHADEMA million 6 nchi nzima? Watawaweka mahabusu zipi? Hata wakitoka milion 3 watawaweka wapi? Kuna mambo tunayafanyia mzaha lakini CCM mbele yetu hali ni tete.

Tungeruhusu katiba mpya tupambane kwa huo mfumo mpya badala ya mazoea na kuwapa kiki wapinzani. Hawa wapinzani tumewapa pumzi ya kua nje ya bunge miaka 5, hatujui wanarudi vipi na nguvu mpya.

Ni mawazo ya kada huru, hulazimishwa kuyachukua au kuyasoma.

Weekend njema!
Hahahaha sasa ni vibaya chadema wakishinda 2025? Ama ajira yako ni siasa itapotea?
 
Nawasalimia kwa jina la JMT wanajukwaa.

Ndugu zangu hasa Makada wa CCM mliopo humu msinihukumu kua natumikia kundi au mlengo flani ndani ya chama. Niwe muwazi ni kwamba kwa sasa binafsi naridhika sana na utendaji wa Mama kwa miaka 5 tu aliyeachiwa na hayati JPM. Angeishia miaka hii 5 tu.

Sisemi kuwa haziwezi siasa lakini kwa hali ninayoitazama mbele ya safari inaweza kuwa ngumu zaidi, wapinzani wetu wapo kimya lakini hatujui wanawaza nini na mshindani wa Mama atakuwa nani. Kwanza CCM imeshaanza kugawanyika makundi ambayo binafsi sioni mtu wa kuyaweka pamoja kwa sasa, haya makundi kuna yapo yanayougulia maumivu makali sana na kuna yapo yanayopooza maumivu makali. Shida kubwa ni kwamba hayupo wa kuyaweka haya makundi pamoja, tofauti ya mitizamo ni kubwa mno.

Tunaweza kujifariji kwa kuzuia suala la katiba mpya itakayoondoa uwezekano wa Makada wenzetu kusimamia uchaguzi, lakini kuna wakati unaweza kufanya hujuma kubwa mpaka ukaaibika, huenda tunaweza kuelekea mahali ambapo mtu akishinda wananchi hawatakubali aporwe ushindi wake. Tusijifariji kuja kutegemea Dola itusaidie, tunaweza kuja kuaibika vibaya mno. Dola kuna wakati inachoka kutumiwa itakapobidi. Tumshauri Mama asimame kwa miaka mitano aliyorithi toka kwa JPM.

Gharama za maisha zinapanda kimya kimya, Miamala ya simu na vifurushi vya internet zinapandishwa kimya kimya, gharama mafuta ya kula,sukari, petroli,diesel,mafuta ya taa, vifaa vya ujenzi usiseme, Luku makato bila ya watu kuridhia, vurugu kwa wamachinga. Kiukweli watanzania siyo wajinga tusubiri tuadhibiwe ili tupate adabu miaka mitano watakayobeba wapinzani.

Tunaweza kufika mahali wapinzani wetu wakalazimisha katiba mpya wakatoka barabarani nchi nzima kuiomba, hivi polisi wanaweza kukamata kwa mfano wanachama wa CHADEMA million 6 nchi nzima? Watawaweka mahabusu zipi? Hata wakitoka milion 3 watawaweka wapi? Kuna mambo tunayafanyia mzaha lakini CCM mbele yetu hali ni tete.

Tungeruhusu katiba mpya tupambane kwa huo mfumo mpya badala ya mazoea na kuwapa kiki wapinzani. Hawa wapinzani tumewapa pumzi ya kua nje ya bunge miaka 5, hatujui wanarudi vipi na nguvu mpya.

Ni mawazo ya kada huru, hulazimishwa kuyachukua au kuyasoma.

Weekend njema!
Tufanye ni kweli CHADEMA wana wanachama mil. 6
Una uhakika gani kwamba wote wako LOYAL kwa chama chao? Mnapoitisha maandamano, mbona hawajitokezi?
Mh. Mbowe alipoitaka serikali itamke chanjo ya uviko 19 iwe lazima kwa kila mtz mbona wanaCHADEMA hawajajitokeza kuchanja kwa wingi? (Ushahidi ni huu: Miezi miwili tangu chanjo iletwe waliochanja hawazidi laki 5. Wafuasi wa CHADEMA kama wangejitokeza wote kuchanja dozi mil 1 zingekuwa zimeshaisha).
 
Back
Top Bottom