Ndugu katibu mkuu CCM,
Ndugu wanachama,
Ni dhahiri chama kinasimamia Serikali,
Wabunge 19 waliopo bungeni bila ridhaa ya Chadema ni mtaji kwa CCM kwa sasa. Madhara yake baadae ni makubwa.
Nashauri serikali iwasimamishie mishahara yao mara moja hawa waliingia kwa jinai bungeni kupitia Chadema)
Ikiwa hoja kubalance sheria za mabunge kimataifa tunao ACT Wazalendo
CCM tutaendelea kuthibitisha kuwa hata matokeo ya uchaguzi baadhi ya maeneo ni kweli tulifoji.
Chuki za Chadema na CCM zitadumu kwasababu hatuheshimu maamuzi ya taasisi ya Chadema.
Ile kauli ya nape bungeni iheshimiwe.
Ndugu wanachama,
Ni dhahiri chama kinasimamia Serikali,
Wabunge 19 waliopo bungeni bila ridhaa ya Chadema ni mtaji kwa CCM kwa sasa. Madhara yake baadae ni makubwa.
Nashauri serikali iwasimamishie mishahara yao mara moja hawa waliingia kwa jinai bungeni kupitia Chadema)
Ikiwa hoja kubalance sheria za mabunge kimataifa tunao ACT Wazalendo
CCM tutaendelea kuthibitisha kuwa hata matokeo ya uchaguzi baadhi ya maeneo ni kweli tulifoji.
Chuki za Chadema na CCM zitadumu kwasababu hatuheshimu maamuzi ya taasisi ya Chadema.
Ile kauli ya nape bungeni iheshimiwe.