kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,695
- 20,633
Je unakopa kiasi gani?jibu swali wacha story mob, unajua the reason lazima ukope hata kama sio ela za miradi?
mihela yote iyo unakopa hufanyii miradi bro kawadanganye wananchi wa kwimba uko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je unakopa kiasi gani?jibu swali wacha story mob, unajua the reason lazima ukope hata kama sio ela za miradi?
Ukiona mtu anatuma masaa kukwambia alichofanya jua hakuna alichofanya
Kwani wasinge nunua hizo ndege unadhani wasingepanda zingine? Fastjet na precision zilikuwepo, wameshindwa kujiendesha kibiashara ikabidi wazihujumu kampuni zingine ili wabaki wao, so hakuna njia mbadala mana wengine wamewafukuza. Ref: FastjetInshu hapa nikwanini walipanda kitu ambacho hawataki kinunuliwe nchini si Kama siyo wanafiki kweli wangepanda Basi au wakaenda kwa usafiri wa maji wanaoyataka.
Upuuzi na ujinga wa kupinga pinga Kila kitu ndo unaufanya upinzani wa Afrika kuonekana wa hovyo kabisa.
Hata kipindi TANU inasaka uhuru watu kama wewe wa support ukoloni mlikuwepoUkona mtu anakuambia "unasikia", ujue anajua IQ yako iko chini anataka uzingatie. Na hii inathibitika pale mtu anapotaka kusema atajenga ajira, klipa wastaafu kwa mikupuo bila kutuambia how, huku akidhrau misingi iliyopo. Is like a psychotic promising to build a castle in the air!.
Tunashauri reasonable arguments and contention kuepuka portray ya insanity!.
Hata wewe!. Unawezaje kushindwa kuliona hili hadi unasema Magufuli hajafanya? Are you too floating in the sphere of myopia?
Be careful!
Je unakopa kiasi gani?
mihela yote iyo unakopa hufanyii miradi bro kawadanganye wananchi wa kwimba uko.
Hauna tofauti na waliokuwa Wana support ukoloni enzi TANU inatafuta uhuru
Comment ziwe fupi fupi una tumia paragraph kwenye kujaza nafasi zilizo wazi.mm ni mwanachama halali wa NCCR-MAGEUZI lakini ni shabiki mkubwa wa magufuli na hivo lazima nirudi kupigia kura CCM, kama mwananchi mwingine wa kawaida hakuna mtu anavutiwa na siasa za uropokaji, maisha yenyewe kama yenyewe ni magumu we bado unakuja kunpigia story umekoswa risasi 32, so what? how am i even going to benefit from izo news zako! we sio mtu kwa kwanza kutekewa na sio mtu wa mwisho, unapopewa jukumu la kubeba nchi hatuangaii personal stories zako, as i tayar dunia maisha ni magumu, corona kama sio magufuli ndo kabisaaa maisha yangekua hayana mwelekeo sasa ww unakuja kuanza story zako... mjitathmini, mbna zitto alitimuliwa cdm kwa kuomba kua mwenyekiti, lakini ushwahi kuona wanachama wa ACT uku wanaiponda chadema? infact juzi tu wamepokelewa na maelfu ya watu visiwani na wako bussy kuandaa proposal we unatupigia story zako, WTF
Toka lini serikali ya makondoo ikajilinganisha na mabeberu?ndo maaana JPM ametoa elimu bure ili hata nyie watu wazima mnaoaibisha taaifa na bangi zenu mkasome: ebu angalia
THE US NATIONAL DEPT STANDS AT $ 26.52 trillion mpaka july 2020, hakuna nchi ina deni kubwa kama hili na kila dakika ilo deni linaongezeka , mpaka july 2020 kila mwananchi wa marekani
alikua anadaiwa $180,000 kwenye ilo deni lote, we unadhan marekani wamekosa ela mpaka wakope? wao si ndo wanatoa misaada dunia nzima unadhan wamekosa ela? jiulize na ukishindwa rudi shule
Yawezekana na wewe Mr Tyang ni mnufaika wa buk 7. Haya umekwisha ingiza siku nenda Lumumba kakinge ujira wako.Mleta mada Ni hoja zipi unazo mpigia mapambio huyu TL ambazo haziwezi kujibiwa kirahisi?.
"Miundo mbinu ya Tanzania iliyopo imejengwa na Wajerumani" TL
"Serikali ya Magufuli haijafanya lolote jipya ilililofanya nikupeleka mbuga ya wanyama chato" TL
"Kupinga ushoga nikutengeneza mazingira ya kutengwa na umoja wa mataifa kwa kukiuka haki za binadamu" TL
"Tanzania Corona bado ipo Sana na Hali si shwali" TL.
"Hakuna sheria inayosema usiongeze Neno/Maneno katika Wimbo wa Taifa" TL
Mkuu kwa upupu huu wa TL Wachana na kujibiwa na watu wazima above 18, hata under18 Alie ishia lasaba anaweza kujibu hoja hizo dhaifu na Tena zingine atazipuuza maana hazina Maana. Sasa sijui Ni hoja gani unazosimea.
Kweli wewe msege ni mse.ge. Haijalishi kama wataiba kura au kutomtangaza Lissu akishinda ila wananchi wa Tanzania lazima tuseme hatumtaki Mkoloni toka Chato. Enough is enough!! Ikibidi tumtoe kwa bunduki tutafanya.Umesahau msemo kuwa, raisi wa nchi hii hapatikani kwa makaratasi ya kuwekwa kwenye box?. Wewe endelea kubwabwaja tu.
Utanishawishi endapo utanambia kuwa chadamu mna katiba mpya na tume yenu ya uchaguzi siyo ile ya Dodoma. Fomu ya kugombea upewe Dodoma makao makuu ya CCM alafu ukabidhiwe Ikulu Dodoma makao makuu ya CCM? Ikulu yenyewe ndiyo imeanza kujengwa hata mjui inajengwaje ... Endeleeni kuota mchana.
Comment ziwe fupi fupi una tumia paragraph kwenye kujaza nafasi zilizo wazi.
NCCR-MAGEUZI ni chama pinzani au ni chama pinzani cha vyama pinzani?
"Ndo" huu ni ujinga gani ndiyo maana nchi inakwenda mramadoesnt matter ndo msimamo wngu, vyovyote utakavoiita
Kwa hakika Kuna mambo ni surprise aisee,nimeshangaa Sana kwamba eti kwa miaka 5 tu, tumekopa zaidi ya Trilioni 40!(Kama hii ni kweli) hii nchi tutakuwa tumerogwa haki ya Mungu, hivi kweli tunakopa pesa nyingi kiasi hicho zinakwenda wapi? Ndiyo haya madaraja, barabara, ndege na vivuko?
Kama ndiyo ina maana kila kitu tunafanya kwa kukopa? Makusanyo yetu yaliyoongezeka yanakwenda wapi?
Kama kweli haya yametokea, (kukopa zaidi ya trilioni 40 kwa miaka 5 tu) itakuwa ni UHUJUMU UCHUMI WA KIWANGO CHA JUU ZAIDI HAPA NCHINI!
Kwamba hakujenga Uwanja wa ndege chatle au hajapeleka Mbuga ya wanyama kwao? Lisu anasema hii kuwajulisha mabwege wanaoaminishwa kuwa anapambana na ufisadi kumbe porojo tu!
Bia Yetu sijui yuko wapi siku hizi?
"Ndo" huu ni ujinga gani ndiyo maana nchi inakwenda mrama
.Kwani wasinge nunua hizo ndege unadhani wasingepanda zingine? Fastjet na precision zilikuwepo, wameshindwa kujiendesha kibiashara ikabidi wazihujumu kampuni zingine ili wabaki wao, so hakuna njia mbadala mana wengine wamewafukuza. Ref: Fastjet
Mkuu wao walikuwa na haraka ya kufika huko, je unadhani wangekodi nini kama ndege zenyewe ziko hizo tu pekee, mkuu matanga siyo justification ya kuwa mjinga,.
Mkuu hujaelewa mjadala pengine inshu hapa nikwamba; inasemekana Hawa watu wanaosadikika Ni wapinzani hawataki serikali inunue ndege Wala kufufua shirika la ndege badala yake wanataka serikali ilete maji kwa wananchi, lakini Cha Ajabu Sasa hao hao wasiozitaka hizo ndege wanatumia ruzuku za vyama vyao kukodi hizo ndege wasizo zitaka ziletwe nchini kwenda kuombea maridhiano ya kisiasa ng'ambo ya pili.
Swali; Kama kweli Hawa watu wanaosadikika Ni wapinzani hawataki ndege kwanini walishindwa kukodi hata luxury bus ya kuwapeleka mwanza badala yake wakakodi ndege?
Je huo siyo unafiki?