Uchaguzi 2020 CCM tuwe wakweli, mpaka mwisho wa kampeni tunaweza tukashindwa vibaya sana

Uchaguzi 2020 CCM tuwe wakweli, mpaka mwisho wa kampeni tunaweza tukashindwa vibaya sana

Kitu ambacho narudia mara ya pili kikisisitiza, ni kwanini Mzee baba anafanya kazi ya kujibu hoja za Tundu ambaye ana akili nyingi sana na sasa ameshamjuia anacheza na milio ya midundo yake. Mimi nilisema mzee ajikite zaidi kuelezea anayotaka kuyafanya badala ya kuhangaika kumjibu Tundu, hii kazi ifanywe na kina Polepole. Hivi CCM mpya tuna shida gani tunakosa ubunifu sisi?

Tuelekeako mbele ya safari tutajikuta tunajibu hoja za Tundu tukasahau yaliyoko mbeleni. Huyu jamaa ana taarifa zote za mahali tunakoteleza, wapo watumishi wa umma wasio waaminifu wanatoa haya.Sasa tinavyozidi kumjibu ndivyo anavyozidi kuyatoa mengi ya ndani na sisi tutaendelea kumjibu.

Hawa jamaa ni wa ajabu sana, wameficha silaha zao pembeni za kampeni kama vile katibu mkuu na naibu wake, mwenyekiti wao pia wamemtangulizia Mgombea na mgombea mwenza na viongozi wa kikanda. Wanataka mwishoni watumalize sisi ambao kila safari tunaambatana timu yote.
Well said .... Mkuu anaishiwa cha kuongea kila siku. .... Jana nimemuona anawambiwa watu ilani yetu iko humu huku akiwaonyesha kitabu cha kurasa 500. Sijui anategemea wapiga kura wataenda kukisoma au .... Mpaka sasa tunajua Chadema wao ni Haki, Uhuru na Maendeleo. ACT wao ni Kazi na Bata ..... Hivi CCM wao ni nini .....!!!!?
 
KWA akili zangu timamu upinzani unge waachia KILA kitu CCM
Serikali za mitaa,udiwani, Ubunge na urais Ingenoga sanaa.
Inafikirisha....
Ifikapo 2025 tuwapime.
Yaani wewe huja wapima tuu miaka 60 waliyo tutesa na kuifanya hii nchi takataka? Una taka uwapime kwa miaka mitano? Are you serious??? Mungu akusamehe maana hukui hatma ya maisha yako.
 
Kitu ambacho narudia mara ya pili kikisisitiza, ni kwanini Mzee baba anafanya kazi ya kujibu hoja za Tundu ambaye ana akili nyingi sana na sasa ameshamjuia anacheza na milio ya midundo yake. Mimi nilisema mzee ajikite zaidi kuelezea anayotaka kuyafanya badala ya kuhangaika kumjibu Tundu, hii kazi ifanywe na kina Polepole. Hivi CCM mpya tuna shida gani tunakosa ubunifu sisi?

Tuelekeako mbele ya safari tutajikuta tunajibu hoja za Tundu tukasahau yaliyoko mbeleni. Huyu jamaa ana taarifa zote za mahali tunakoteleza, wapo watumishi wa umma wasio waaminifu wanatoa haya.Sasa tinavyozidi kumjibu ndivyo anavyozidi kuyatoa mengi ya ndani na sisi tutaendelea kumjibu.

Hawa jamaa ni wa ajabu sana, wameficha silaha zao pembeni za kampeni kama vile katibu mkuu na naibu wake, mwenyekiti wao pia wamemtangulizia Mgombea na mgombea mwenza na viongozi wa kikanda. Wanataka mwishoni watumalize sisi ambao kila safari tunaambatana timu yote.
Watumishi ndio hao mnawasema hawawaongezei kitu kwenye kura zenu kwa sababu ni wachache. Kumbe hamkujua wana umuhimu mwingine
 
Hakukuwa na vita!! Kasome historia ya Iraq, uone Sadam alivyowaua raia wake kwa gas ya sumu, kwa sababu tu kwenye eneo hilo la Kaskazini kulionekana kuna watu wengi waliokuwa wakimpinga.

Lakini pia ni uwongo kusema kwamba wakati wa Sadam Iraq ilikuwa na amani. Iraq haikuwa na amani bali ilikuwa na utulivu.

Anayefanya Iraq isitawalike mpaka leo ni Sadam. Madikteta wote Duniani hawatengenezi mifumo, hivyo akiondoka tu lazimu mtaangukia kwenye vita. Madikteta wanapenda kuua mifumo, na hupenda matakwa yao ndiyo yawe mfumo na sheria. Na hiyo imeanza taratibu hapa kwetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ahaa wewe jamaa unatoa historia nusunusu ili ufunike kombe mwanaharamu apite.
Wakurdi walishika silaha wakitaka kuimega sehemu ya Iraq,Uturuki,Syria na Iran ili kuundaa taifa lao la Kurdistan.
mara kadhaa washapanga mipango ya kumuuwa Sadam.
Mataifa yote hayo niliyoyataja washatembeza kichapo kwa jamii ya wakurdi.
Sasa watu wenye nia ya kuimega nchi na kutaka kumuuwa Rais wa nchi unataka wapewe aiskrimu na keki za mayai?
 
Kitu ambacho narudia mara ya pili kikisisitiza, ni kwanini Mzee baba anafanya kazi ya kujibu hoja za Tundu ambaye ana akili nyingi sana na sasa ameshamjuia anacheza na milio ya midundo yake. Mimi nilisema mzee ajikite zaidi kuelezea anayotaka kuyafanya badala ya kuhangaika kumjibu Tundu, hii kazi ifanywe na kina Polepole. Hivi CCM mpya tuna shida gani tunakosa ubunifu sisi?

Tuelekeako mbele ya safari tutajikuta tunajibu hoja za Tundu tukasahau yaliyoko mbeleni. Huyu jamaa ana taarifa zote za mahali tunakoteleza, wapo watumishi wa umma wasio waaminifu wanatoa haya.Sasa tinavyozidi kumjibu ndivyo anavyozidi kuyatoa mengi ya ndani na sisi tutaendelea kumjibu.

Hawa jamaa ni wa ajabu sana, wameficha silaha zao pembeni za kampeni kama vile katibu mkuu na naibu wake, mwenyekiti wao pia wamemtangulizia Mgombea na mgombea mwenza na viongozi wa kikanda. Wanataka mwishoni watumalize sisi ambao kila safari tunaambatana timu yote.
Sikio la kufa halina dawa. Ccm ni KANU tarajiwa.
 
Hoja ya kuigawa nchi katika majimbo ndiyo hiyo unasema. duuuuuuuuuuuuuuuuuu
Hiyo hoja ya majimbo ipo vizuri tena sana, Hata ukiamua kuipotosha kama CCM wanavyojaribu kufanya lakini haipotosheki! Huwezi kusema eti mkiigawa nchi katika majimbo basi mtaleta mfarakano na mgawanyiko, hii kauli nyepesi sana! Hebu tupe mfano wa nchi iliyokuwa katika mfumo wa majimbo kukatokea mfarakano na kwasababu au mazingira yapi? Mbona Marekani ambao ni taifa kubwa na lilioendelea duniani ndio mfumo wao wa kiutawala wanaoutumia siku zote na hatujaona mifarakano wala migawanyiko! Hapo ni suala, la sera , sheria na miongozo ya kusimamia utaratibu huu, hayo yakiwekwa vizuri lazima tutavuka tu! Ni bora tukajaribu mfumo mpya wa kiutawala kuliko kuendelea kung'ang'ania mfumo ulioshindwa!
 
" wapo watumishi wa umma wasio waaminifu wanatoa haya"Lissu ongeza dozi
 
Hivi kwa chama kilicho tawala 60 yrs, kina stahili kufanya kampeni au kilistahili kurudi kwa wananchi kuelezea kilivyo simamia maendeleo ya nchi? Hivyo kuomba ridhaa ya kuendelea kuongoza?

Maana kwa sasa tuna ona CCM wana fanya kampeni kuliko hata vyama vya upinzani. Hii ni kuonyesha CCM kwenye muda wote wa utawala wamekuwa walaghai na hawastahili tena kuongoza hii nchi. Ifike mahali sasa Watanzania tuseme Sasaaa! Baaaaasiii!!
Hili swali nilijiuliza baada ya kuona mabango na mabendera ya CCM yanalazimishwa kila kona mpaka maeneo ambayo hayastahili.

Nikajiuliza kwa muda ambao CCM imetawala walikuwa hawana hata haja ya kuvaa sare wala kutumia wasanii na nguvu kubwa kiasi hicho,

Ukiona nguvu kubwa inatumika ujue hawakubaliki na wao wanatambua hivyo.
 
Mimi ni Chadema ila Ilani yetu hailewek i ya ubabaishaji mno.suala la majimbo limetuvua nguo
Wewe umevuliwa nguo na mashabibi acha kusingizia Ilani....Kam huelewi hoja ya Majimbo...mamlaka kwa wananchi nashauri uendelee kuvuliwa nhuo hukohuko!
Na natumaini utazoea tu!
 
Kitu ambacho narudia mara ya pili kikisisitiza, ni kwanini Mzee baba anafanya kazi ya kujibu hoja za Tundu ambaye ana akili nyingi sana na sasa ameshamjuia anacheza na milio ya midundo yake. Mimi nilisema mzee ajikite zaidi kuelezea anayotaka kuyafanya badala ya kuhangaika kumjibu Tundu, hii kazi ifanywe na kina Polepole. Hivi CCM mpya tuna shida gani tunakosa ubunifu sisi?

Tuelekeako mbele ya safari tutajikuta tunajibu hoja za Tundu tukasahau yaliyoko mbeleni. Huyu jamaa ana taarifa zote za mahali tunakoteleza, wapo watumishi wa umma wasio waaminifu wanatoa haya.Sasa tinavyozidi kumjibu ndivyo anavyozidi kuyatoa mengi ya ndani na sisi tutaendelea kumjibu.

Hawa jamaa ni wa ajabu sana, wameficha silaha zao pembeni za kampeni kama vile katibu mkuu na naibu wake, mwenyekiti wao pia wamemtangulizia Mgombea na mgombea mwenza na viongozi wa kikanda. Wanataka mwishoni watumalize sisi ambao kila safari tunaambatana timu yote.
Ukweli ni kwamba Campaign Team ya CCM bado haijajipanga. Hawa wasanii wanatoa a misleading message.

Ni ngumu kujua Kama kweli mnaungwa mkono au watu wanafwata wasanii. Kwa Hali ilivyo ni ngumu kufanya tathmini ya kweli ya namna mnavyokubalika wkt muda wooote mnazungukwa na mamia ya wasanii.

Tathmini ya Hali halisi ingesaidia kufanya maboresho ya mtindo wa kwenda nao kufikia ushindi.
 
Uelewa wako ni mdogo sana.. huwezi kuwa kwenye chama cha chadema.. wwe ni mamluki tu..
Wananchi hatuna haja na ilani za kwenye makaratasi TAL tunamwelewa sana,akiongea hayohayo anayoongea tunaelewa mno
 
Kitu ambacho narudia mara ya pili kikisisitiza, ni kwanini Mzee baba anafanya kazi ya kujibu hoja za Tundu ambaye ana akili nyingi sana na sasa ameshamjuia anacheza na milio ya midundo yake. Mimi nilisema mzee ajikite zaidi kuelezea anayotaka kuyafanya badala ya kuhangaika kumjibu Tundu, hii kazi ifanywe na kina Polepole. Hivi CCM mpya tuna shida gani tunakosa ubunifu sisi?

Tuelekeako mbele ya safari tutajikuta tunajibu hoja za Tundu tukasahau yaliyoko mbeleni. Huyu jamaa ana taarifa zote za mahali tunakoteleza, wapo watumishi wa umma wasio waaminifu wanatoa haya.Sasa tinavyozidi kumjibu ndivyo anavyozidi kuyatoa mengi ya ndani na sisi tutaendelea kumjibu.

Hawa jamaa ni wa ajabu sana, wameficha silaha zao pembeni za kampeni kama vile katibu mkuu na naibu wake, mwenyekiti wao pia wamemtangulizia Mgombea na mgombea mwenza na viongozi wa kikanda. Wanataka mwishoni watumalize sisi ambao kila safari tunaambatana timu yote.
Pumzi meko imekata,hata nusu ya kampeni hajafika keshataga,tiss,policeccm ndio tegemeo lake
Screenshot_20200922-122419_Twitter.jpeg
 
Back
Top Bottom