Uchaguzi 2020 CCM Vijijini Tundu Lissu ametikisa ngome ni muda wa CCM kubadili itikadi na mikakati

Korshow
 
Your browser is not able to display this video.
 
Umeandika kweli tupu ccm ibadilishe propaganda na I hire watu smart wakuendana na hichi kizazi maana uelewa wa wananchi ni mkubwa hawadaganyiki mipasho haina nafasi. Ccm ishukuru kubebwa na Dola bila hvo ingeshazikwa siku nyingi na kusahaulika
 
Kupiga wananchi mabomu ni uduanzi.Manake wao ndio wapiga kura.Leo wakimsikiliza Jiwe kesho watamsiliza TL.Sasa kama watu waliokusikiliza Jana halafu leo unawapiga mabomu Bado unategemea wakupigie kura?Au ndio sikio la kufa halisikii dawa!
 
Mkuu hapa umeongea ukweli kama Mtanzania Mzalendo. Sijawahi ku like comments zako tangu 2014 lkn leo nimekupatia.

Tunahitaji mawazo ya kuijenga Nchi yetu kwani Tanzania ni yetu sote. Hawa wachache wanaojiona kuwa ni bora kuliko wengine leo wamejifunza kitu kutoka kwako.

Siasa siyo uadui. Siasa safi na uongozi bora hudumisha amani kwenye Nchi yetu. Tukizingatia hayo kama Nchi tutapiga hatua kiuchumi. Na uchumi huo utaonekana kwenye maisha yetu ya kila siku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…