Mwalimu wa tuisheni
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 6,602
- 10,801
ππππ hali inazidi kuwa mbaya haki tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πππMtu wa aina hii umwambie habari za No reform No election ataelewa? Pascal Mayalla aliwashauri vizuri sana.
Dear eX NumbisaAisee!!
Cc:Numbisa
Msipoangalia vijana watapindua nchi hii kwa huu upuuzi wenu
Halafu nchi haipinduliwi. Mamlaka ya kupindua nchi ni ya Mungu.πππ
Zama za inzi wa kijani kubagulowa haziko mbaliView attachment 3257510
Hakika mama anaupiga nwingi, kwa sasa tunasubiri simu za Samia Lucas Mwashambwa umeshajipatia yako?
johnthebaptist
Mapinduzi ya kwanza yatatokea huko unyumbuni ikiwa waliokamuliwa ma'tone' yao, wengine ndo ya mwisho hayo, hawatoelewa yameenda wapi.Msipoangalia vijana watapindua nchi hii kwa huu upuuzi wenu nawaambia.
Pamoja na kampeni hizo zote haramu lakini bado wanaogopa kufanya uchaguzi huru.CCM kweli imejipanga, hivi siku za karibuni nimekuwa nikiona bidhaa za aina mbalimbali zikimwaga mtaani kwa ajili ya kumkampenia Rais Samia, ni hatua nzuri sana ila wahakikishe walau zinapatikana kwa bei rafiki ili hata Mababu zangu kule Katerero waweze kuzimudu.
Tupia bidhaa nyingine ya CCM tusiyoijua
View attachment 3257470View attachment 3257471
Hii ndio FILA ya CCM
CCM ikizalisha hizo bidhaa ni nongwa ila kina Yanga na Simba wao ni sawa ππCCM kweli imejipanga, hivi siku za karibuni nimekuwa nikiona bidhaa za aina mbalimbali zikimwaga mtaani kwa ajili ya kumkampenia Rais Samia, ni hatua nzuri sana ila wahakikishe walau zinapatikana kwa bei rafiki ili hata Mababu zangu kule Katerero waweze kuzimudu.
Tupia bidhaa nyingine ya CCM tusiyoijua
View attachment 3257470View attachment 3257471
Huyo ni Lucas Mwashambwa
Poor ccmCCM kweli imejipanga, hivi siku za karibuni nimekuwa nikiona bidhaa za aina mbalimbali zikimwaga mtaani kwa ajili ya kumkampenia Rais Samia, ni hatua nzuri sana ila wahakikishe walau zinapatikana kwa bei rafiki ili hata Mababu zangu kule Katerero waweze kuzimudu.
Tupia bidhaa nyingine ya CCM tusiyoijua
View attachment 3257470View attachment 3257471
Na huyuHuyo ni Lucas Mwashambwa
Huyo ni Malaria 2