Pre GE2025 CCM waanza kuzalisha bidhaa zinazomnadi Rais Samia kuelekea uchaguzi mkuu

Pre GE2025 CCM waanza kuzalisha bidhaa zinazomnadi Rais Samia kuelekea uchaguzi mkuu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ni hatari sana kuwa na Taifa lenye matangazo mengi ya kumtangaza mtu kuliko kutangaza utalii wa nchi husika!!
 
1000024959.jpg
 
Hawajatengeneza t.paper zenye picha ya mama? Tunazihitaji sana hizo.
 
CCM kweli imejipanga, hivi siku za karibuni nimekuwa nikiona bidhaa za aina mbalimbali zikimwaga mtaani kwa ajili ya kumkampenia Rais Samia, ni hatua nzuri sana ila wahakikishe walau zinapatikana kwa bei rafiki ili hata Mababu zangu kule Katerero waweze kuzimudu.

Tupia bidhaa nyingine ya CCM tusiyoijua

View attachment 3257470View attachment 3257471
Ukiona hivyo ujue chama kimegeuka genge la walaji wanaojua fika kuwa hawaungwi mkono tena na wananchi. Ni hatari!
 
CCM kweli imejipanga, hivi siku za karibuni nimekuwa nikiona bidhaa za aina mbalimbali zikimwaga mtaani kwa ajili ya kumkampenia Rais Samia, ni hatua nzuri sana ila wahakikishe walau zinapatikana kwa bei rafiki ili hata Mababu zangu kule Katerero waweze kuzimudu.

Tupia bidhaa nyingine ya CCM tusiyoijua

View attachment 3257470View attachment 3257471

Chema chajiuza na kibaya chajitembeza!
 
CCM kweli imejipanga, hivi siku za karibuni nimekuwa nikiona bidhaa za aina mbalimbali zikimwaga mtaani kwa ajili ya kumkampenia Rais Samia, ni hatua nzuri sana ila wahakikishe walau zinapatikana kwa bei rafiki ili hata Mababu zangu kule Katerero waweze kuzimudu.

Tupia bidhaa nyingine ya CCM tusiyoijua

View attachment 3257470View attachment 3257471
Ni kwa sababu tu pumzi ya mwenyezi Mungu , vinginevyo nayo wangeweza iwekea kiperushi cha SSH
 
Duh
Kweli kua uyaone, mtu hai anasifiwa zaidi ya MAREHEMU kisa tu amepata Unyerere..hatari
 
CCM kweli imejipanga, hivi siku za karibuni nimekuwa nikiona bidhaa za aina mbalimbali zikimwaga mtaani kwa ajili ya kumkampenia Rais Samia, ni hatua nzuri sana ila wahakikishe walau zinapatikana kwa bei rafiki ili hata Mababu zangu kule Katerero waweze kuzimudu.

Tupia bidhaa nyingine ya CCM tusiyoijua

View attachment 3257470View attachment 3257471
Huyu dikteta wa kwanza mwanamke ana uchu wa kutisha wa madaraka, naamini kubwa hata akirudi madarakani hatakapiza miaka mitano madarakani. Utunze hii kwa ajili ya baadaye
 
CCM kweli imejipanga, hivi siku za karibuni nimekuwa nikiona bidhaa za aina mbalimbali zikimwaga mtaani kwa ajili ya kumkampenia Rais Samia, ni hatua nzuri sana ila wahakikishe walau zinapatikana kwa bei rafiki ili hata Mababu zangu kule Katerero waweze kuzimudu.

Tupia bidhaa nyingine ya CCM tusiyoijua

View attachment 3257470View attachment 3257471

Pesa za Wajomba hizo. Hakuna kinachouzwa hapo..... Yaani wagawe Bodaboda, Kinga. Vitenge na Tshirt bure halafu wakuuzie opener?
 
Bado hujasema, hadi useme😂
Niseme nini mbwembwe zote zile hadi leo mna milioni 64 za tone tone na huyo mzee tumbotumbo kaenda kuzitumbua Uganda? Nitasema nini mbele ya lile tumbo kubwa la Lissu na ule ulafi? Halafu mwambieni apunguze jazba mambo bado!
 
Kungekuwa na kampeni ya leta kanga, pesa, redio, viatu na mazaga yote ya mama tuvune ila KURA kwa CDM.
 
CCM kweli imejipanga, hivi siku za karibuni nimekuwa nikiona bidhaa za aina mbalimbali zikimwaga mtaani kwa ajili ya kumkampenia Rais Samia, ni hatua nzuri sana ila wahakikishe walau zinapatikana kwa bei rafiki ili hata Mababu zangu kule Katerero waweze kuzimudu.

Tupia bidhaa nyingine ya CCM tusiyoijua

View attachment 3257470View attachment 3257471
Wanafanya upuuzi huo wote halafu baadaye wanaiba na uchaguzi.Akili za Kima kabisa
 
Back
Top Bottom