Nandagala One
JF-Expert Member
- Aug 19, 2020
- 1,913
- 2,286
Ni hatari sana kuwa na Taifa lenye matangazo mengi ya kumtangaza mtu kuliko kutangaza utalii wa nchi husika!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiona hivyo ujue chama kimegeuka genge la walaji wanaojua fika kuwa hawaungwi mkono tena na wananchi. Ni hatari!CCM kweli imejipanga, hivi siku za karibuni nimekuwa nikiona bidhaa za aina mbalimbali zikimwaga mtaani kwa ajili ya kumkampenia Rais Samia, ni hatua nzuri sana ila wahakikishe walau zinapatikana kwa bei rafiki ili hata Mababu zangu kule Katerero waweze kuzimudu.
Tupia bidhaa nyingine ya CCM tusiyoijua
View attachment 3257470View attachment 3257471
Air Mac Muga😃
CCM kweli imejipanga, hivi siku za karibuni nimekuwa nikiona bidhaa za aina mbalimbali zikimwaga mtaani kwa ajili ya kumkampenia Rais Samia, ni hatua nzuri sana ila wahakikishe walau zinapatikana kwa bei rafiki ili hata Mababu zangu kule Katerero waweze kuzimudu.
Tupia bidhaa nyingine ya CCM tusiyoijua
View attachment 3257470View attachment 3257471
Tulia we mchepuko wa king'ang'anizi wa madaraka.Mtu wa aina hii umwambie habari za No reform No election ataelewa? Pascal Mayalla aliwashauri vizuri sana.
Ni kwa sababu tu pumzi ya mwenyezi Mungu , vinginevyo nayo wangeweza iwekea kiperushi cha SSHCCM kweli imejipanga, hivi siku za karibuni nimekuwa nikiona bidhaa za aina mbalimbali zikimwaga mtaani kwa ajili ya kumkampenia Rais Samia, ni hatua nzuri sana ila wahakikishe walau zinapatikana kwa bei rafiki ili hata Mababu zangu kule Katerero waweze kuzimudu.
Tupia bidhaa nyingine ya CCM tusiyoijua
View attachment 3257470View attachment 3257471
Haitakusaidia kitu…. Mnapuyanga bure tu kama malaya wazee!!Tulia we mchepuko wa king'ang'anizi wa madaraka.
Huyu dikteta wa kwanza mwanamke ana uchu wa kutisha wa madaraka, naamini kubwa hata akirudi madarakani hatakapiza miaka mitano madarakani. Utunze hii kwa ajili ya baadayeCCM kweli imejipanga, hivi siku za karibuni nimekuwa nikiona bidhaa za aina mbalimbali zikimwaga mtaani kwa ajili ya kumkampenia Rais Samia, ni hatua nzuri sana ila wahakikishe walau zinapatikana kwa bei rafiki ili hata Mababu zangu kule Katerero waweze kuzimudu.
Tupia bidhaa nyingine ya CCM tusiyoijua
View attachment 3257470View attachment 3257471
Bado hujasema, hadi useme😂Haitakusaidia kitu…. Mnapuyanga bure tu kama malaya wazee!!
CCM kweli imejipanga, hivi siku za karibuni nimekuwa nikiona bidhaa za aina mbalimbali zikimwaga mtaani kwa ajili ya kumkampenia Rais Samia, ni hatua nzuri sana ila wahakikishe walau zinapatikana kwa bei rafiki ili hata Mababu zangu kule Katerero waweze kuzimudu.
Tupia bidhaa nyingine ya CCM tusiyoijua
View attachment 3257470View attachment 3257471
Niseme nini mbwembwe zote zile hadi leo mna milioni 64 za tone tone na huyo mzee tumbotumbo kaenda kuzitumbua Uganda? Nitasema nini mbele ya lile tumbo kubwa la Lissu na ule ulafi? Halafu mwambieni apunguze jazba mambo bado!Bado hujasema, hadi useme😂
Simba na yanga ni vyama vya siasa?CCM ikizalisha hizo bidhaa ni nongwa ila kina Yanga na Simba wao ni sawa 😂😂
Wanafanya upuuzi huo wote halafu baadaye wanaiba na uchaguzi.Akili za Kima kabisaCCM kweli imejipanga, hivi siku za karibuni nimekuwa nikiona bidhaa za aina mbalimbali zikimwaga mtaani kwa ajili ya kumkampenia Rais Samia, ni hatua nzuri sana ila wahakikishe walau zinapatikana kwa bei rafiki ili hata Mababu zangu kule Katerero waweze kuzimudu.
Tupia bidhaa nyingine ya CCM tusiyoijua
View attachment 3257470View attachment 3257471