CCM waanza mchakato wa kumshughulikia Luhanga Mpina, awasili mbele ya kamati ya maadili CCM

CCM waanza mchakato wa kumshughulikia Luhanga Mpina, awasili mbele ya kamati ya maadili CCM

Cdm wasikosee ikitokea lolote huko ccm na kumpa nafasi yoyote ya uongozi. Hao wahuni huwa wanakuja na hizo mbinu za kizamani wakidhani watawapoteza cdm. Cdm wanapaswa kujifunza kwa kosa la Lowassa, Nyalandu nk.
 
Kwa nini asikimbilie mahakamani kama covid-19, akomae humo humo kupiga majizi spana,

Leo nimelala usiku kucha gizani, yaani Tanesco wana mgao hadi wa usiku, na joto hili la Dar na mbu mnalaza watu usiku mzima bila umeme, bado maswala ya kiusalama........wakiongea watu kama Mpina kupinga wizi na matumizi mabaya ya pesa za umma mnawaona maadui.​
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, habari kutoka ndani ya CCM zinabainisha kuwa CCM wameishaanza mchakato wa kumfukuza uanachama mbunge wa Kisesa, ndugu Luhanga Mpina.
View attachment 2882194
Inasemekana kabla mama hajasafiri kwenda Indonesia alitoa maagizo kwamba akirudi asikumkute Mpina bado akiwa ndani ya CCM. Sababu za kufukuzwa nduguMpina hazijawekwa wazi lakini kwa siku za hivi karibuni Mpina amekuwa mwiba mkali kwa mafisadi na chawa wanaofisadi na kuuza rasilimali za taifa kwa wageni huku wananchi wakiendelea kutopea kwenye umaskini na huduma mbovu za jamii.

Habari zaidi zinasema kabla ya kufukuzwa ndugu Mpina atapewa nafasi ya kujitetea mbele ya kamati maalumu ya CCM iliyoteuliwa na Rais kushughulikia suala hili ambalo wao wameliita tatizo la kinidhamu ndani ya chama. Haikuweza kufahamika mara moja kamati hiyo inaundwa na akina nani lakini chanzo kingine kutoka CCM kinadai katika kamati hiyo wamo Kinana, Makonda, Yusufu Makamba na wazee wengine mashuhuri wa CCM.

MAONI YANGU
Kufukuzwa kwa Mpina kutoka CCM kulikuwa dhahiri tangu alipoanza kuwavalia njuga mafisadi, wauza nchi na chawa wanaotafuna rasilimali za nchi bila kuhojiwa. Hili lilikolezwa na msimamo wake dhabiti wa kupinga uuzaji wa bandari kwa waarabu wa DP World.

Jambo ambalo mapaka sasa haliko dhahiri ni kwamba je akifukuzwa CCM atahamia chama gani? Possibly itakuwa CHADEMA kwa sababu baadhi ya wazalendo na wana intelejensia wanadai kuwa Mpina ni kada wa CHADEMA aliyetumwa kuingia ndani ya CCM kimkakati ili kukipeleleza chama hicho. Lakini mpaka sasa hakuna mwenye uhakika 100% kuhusu chama ambacho mpina atatimkia ili kimteue kugombea uchaguzi mkuu 2025 pindi akitupiwa virago na CCM. Huenda hata akuibukia ACT-Wazalendo. You never know but time will tell. Let us wait until the end of the movie.

Pia soma:
1. Tetesi: - Wabunge washauri Luhaga Mpina afukuzwe CCM

2. Tetesi: - Karibu CHADEMA Luhaga Mpina, Kazi tulikutuma CCM umeitendea haki.
Afukuzwe ahamie huko Machadema kwani Kuna shida?
 
Chadema!
Kam atakuja na moto huu huu wa kujitolea kwa ajiri ya wananchi chadema panamfaa
Ila inabidi awe tayari kwa lolote lile
Kutuknwa, kudhiakiwa, kufirisiwa, kuwindwa,
Maana ukiwa chadema matajiri na mafisadi papa wote, na wajinga pamoja na wafitini watakuwa maadui zako
Wengi wameondoka chadema wanabaki waliojitoa kuwatetea wanyonge na wananchi kwa dhati na moyo
Karibu chadema
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, habari kutoka ndani ya CCM zinabainisha kuwa CCM wameishaanza mchakato wa kumfukuza uanachama mbunge wa Kisesa, ndugu Luhanga Mpina.


Inasemekana kabla mama hajasafiri kwenda Indonesia alitoa maagizo kwamba akirudi asikumkute Mpina bado akiwa ndani ya CCM. Sababu za kufukuzwa nduguMpina hazijawekwa wazi lakini kwa siku za hivi karibuni Mpina amekuwa mwiba mkali kwa mafisadi na chawa wanaofisadi na kuuza rasilimali za taifa kwa wageni huku wananchi wakiendelea kutopea kwenye umaskini na huduma mbovu za jamii.

Habari zaidi zinasema kabla ya kufukuzwa ndugu Mpina atapewa nafasi ya kujitetea mbele ya kamati maalumu ya CCM iliyoteuliwa na Rais kushughulikia suala hili ambalo wao wameliita tatizo la kinidhamu ndani ya chama. Haikuweza kufahamika mara moja kamati hiyo inaundwa na akina nani lakini chanzo kingine kutoka CCM kinadai katika kamati hiyo wamo Kinana, Makonda, Yusufu Makamba na wazee wengine mashuhuri wa CCM.

MAONI YANGU
Kufukuzwa kwa Mpina kutoka CCM kulikuwa dhahiri tangu alipoanza kuwavalia njuga mafisadi, wauza nchi na chawa wanaotafuna rasilimali za nchi bila kuhojiwa. Hili lilikolezwa na msimamo wake dhabiti wa kupinga uuzaji wa bandari kwa waarabu wa DP World.

Jambo ambalo mpaka sasa haliko dhahiri ni kwamba je akifukuzwa CCM atahamia chama gani? Possibly itakuwa CHADEMA kwa sababu baadhi ya wazalendo na wana intelejensia wanadai kuwa Mpina ni kada wa CHADEMA aliyetumwa kuingia ndani ya CCM kimkakati ili kukipeleleza chama hicho.

Lakini mpaka sasa hakuna mwenye uhakika 100% kuhusu chama ambacho mpina atatimkia ili kimteue kugombea kwenye uchaguzi mkuu 2025 pindi akitupiwa virago na CCM. Huenda hata akuibukia ACT-Wazalendo. You never know but time will tell. Let us wait until the end of the movie.

Pia soma:
1.
Tetesi: - Wabunge washauri Luhaga Mpina afukuzwe CCM

2.
Tetesi: - Karibu CHADEMA Luhaga Mpina, Kazi tulikutuma CCM umeitendea haki.
NAWASHAURI CCM WAWACHUKUE KINA HALIMA MDEE NA WENZAKE KWANI IMEWABEBA SANA

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
CCM unapogusa maslahi yao binafsi huwa wanafinyika kirahisi mno! Huwa hawapendi kabisa ukosoaji mkubwa kwenye maslahi yao hasa ukiwa mwanachama wao prominent
Hawezi kufukuzwa huyo. CCM hawafukuzi mtu kwa kutoa maoni au kwa kuzungumza bungeni. Hii ndiyo tofauti kati ya ccm na wapinzani, wao wapinzani hawana uvumilivu hata wa maoni ndani ya chama. Mpaka usikie mtu kafukuzwa ccm basi ni issue kubwa. Usije kushangaa Mpina akarudi tena kupitishwa kugombea ubunge.
Refer to Nape, alimtusi mhe Mwenyekiti na bado jina likarudi!!
 
Kwa nini asikimbilie mahakamani kama covid-19, akomae humo humo kupiga majizi spana,

Leo nimelala usiku kucha gizani, yaani Tanesco wana mgao hadi wa usiku, na joto hili la Dar na mbu mnalaza watu usiku mzima bila umeme, bado maswala ya kiusalama........wakiongea watu kama Mpina kupinga wizi na matumizi mabaya ya pesa za umma mnawaona maadui.​
Mahakama inaamua kwa maelekezo ya mwenyekiti wa ccm
 
CCM unapogusa maslahi yao binafsi huwa wanafinyika kirahisi mno! Huwa hawapendi kabisa ukosoaji mkubwa kwenye maslahi yao hasa ukiwa mwanachama wao prominent
Chadema inahujumiwa na viongozi wao wanaokula meza moja na ccm kwa Siri lakini mbele ya wanachama wao wanajifanya mahasimu wa ccm!!
Ndio maana wafuasi wao wengi wamelitambua hilo siku hizi na nyongo imewatumbukia! They are no longer enthusiastic na chama na ndio maana hata hayo maandamano yalikuwa hafifu!
Viongozi wajitafakari na kuona kama kuendelea kuwepo kwao kuna faida kwa chama au ni kwa maslahi yao na familia zao.
 
Hawezi kufukuzwa huyo. CCM hawafukuzi mtu kwa kutoa maoni au kwa kuzungumza bungeni. Hii ndiyo tofauti kati ya ccm na wapinzani, wao wapinzani hawana uvumilivu hata wa maoni ndani ya chama. Mpaka usikie mtu kafukuzwa ccm basi ni issue kubwa. Usije kushangaa Mpina akarudi tena kupitishwa kugombea ubunge.
Refer to Nape, alimtusi mhe Mwenyekiti na bado jina likarudi!!
Nawe usikariri; kila siku sio jumamosi. Alifukuzwa Sofia Simba sembuse Mpina. Acha kukariri matukio.
 
Hawezi kufukuzwa huyo. CCM hawafukuzi mtu kwa kutoa maoni au kwa kuzungumza bungeni. Hii ndiyo tofauti kati ya ccm na wapinzani, wao wapinzani hawana uvumilivu hata wa maoni ndani ya chama. Mpaka usikie mtu kafukuzwa ccm basi ni issue kubwa. Usije kushangaa Mpina akarudi tena kupitishwa kugombea ubunge.
Refer to Nape, alimtusi mhe Mwenyekiti na bado jina likarudi!!
Usijitoe ufahamu, huyo Nape si alienda jumba jeupe kumpigia magoti jiwe ndo "yakaisha"!
Kama si hivyo "kilema" angekipata
 
Back
Top Bottom