tpaul
JF-Expert Member
- Feb 3, 2008
- 24,225
- 22,632
- Thread starter
- #61
Mawazo ya kipuuzi kama haya yako ndiyo yanaifanya CCM iendelee kubaki madarakani na kutafuna rasilimali za taifa. Ni lini watanzania mtaamka kutoka usingizini?Kwangu Mpina ndiye aliyekuwa mtu sahihi wa kuchukua fomu! Ni chapa ya Mwendazake!
Lakini ili asijimalize kabisa kisiasa ni vizuri aombe radhi abakie CCM! Asithubutu kwenda chama kingine, ajifunze kwa waliofanya hivyo wako wapi?
Huwezi ukapambana na CCM ukaweza! Iwe ndani au nje!
Nchi ni ya CCM, Vyombo vya Ulinzi na Usalama ni vya CCM, Serikali na taasisi zake ni za CCM!
Ataenda wapi? Atafanya nini?