CCM waanza mchakato wa kumshughulikia Luhanga Mpina, awasili mbele ya kamati ya maadili CCM

CCM waanza mchakato wa kumshughulikia Luhanga Mpina, awasili mbele ya kamati ya maadili CCM

Trillion mbili maana yake Mwigulu ni dollar billionaire kwa hela hiyo anaingia kwenye exclusive club ya watu 3000 plus pekee duniani wenye kufikia iko kiwango cha hela na kuvuka.

Ndio atukatai Mwigulu ni lijizi kama wezi wengine huko serikalini ila hela hiyo hana. Sanasana anachoweza fanya apendelee tender apate hongo, lakini akwapue dollar billion moja bila ya madhara uwezo huo hata huyo ‘bi tozo’ hana.

Comparison zake Mpina za kuongezeka kwa gharama za mradi wa SGR per/km uliacha factors nyingi sana kama material inflation, exchange rate, operation costs na mambo kadha wa kadha. Kila akielimishwa huko bungeni aelewi somo yeye hataki kubadili msimamo na hoja zake which lack economic justifications.

DP World mimi na wewe hatujui kama tuna mkataba mzuri au la; tumeshaelezwa sana maswala ya ‘consideration’ ya kwenye mkataba (value of exchange) yatajadiliwa huko kwenye ‘concession agreement’ na makubaliano hayo hatujaona.

Otherwise IGA ni framework tu na ime cover sana kwenye maswala ya ‘stabilisation clauses’ ni muhimu kwenye kulinda uwekezaji na ni mambo ya kawaida sana kwenye international business law.

Mmeelimishwa na serikali amtaki kuelewa mnataka kuamini interpretation za Nshala, Madeleka, Mwabukusi na Twitter republic opinion, sasa serikali ifanye nini tena. Iachane na uwekezaji wenye tija kisa wananchi wameamua kuamini nadharia potofu.
Watu kama wewe mnaotetea wizi wa rasilimali za umma, with baseless facts, ndio mnaosababisha ufisadi uendelee kutamalaki katika nchi hii. Ukute wewe ni Mwigulu unajitetea kwa kutumia fake ID.
 
Watu kama wewe mnaotetea wizi wa rasilimali za umma with baseless facts. ndio mnasababisha ufisadi uendelee kutamalaki katika nchi hii. Ukute wewe ni Mwigulu unajitetea kwa kutumia fake ID.

We unashangaa kuongezeka kwa trillion mbili tu.

Soma hiyo article waingereza walikuwa na mradi wa high speed railway umbali wake ni mdogo sana kulinganisha na SGR ya Tanzania.

Budget ya mradi wakati bunge linaridhia 2009 ilikuwa £37.5 billion, wamesuasua wametaka kuufufua 2020 gharama yake with inflation adjustment mradi huo huo £106 billlion; imebidi serikali uufute rasmi hawana hela ya kupeleka huko kwa sasa.

Mengi yametokea baada ya COVID kwenye uchumi wa dunia to do with inflation, pamoja na hayo hizo phase za SGR pia hazipiti njia tambarare kila phase ina changamoto zake za kuchonga njia. Kwa hivyo average cost per/km ya phases ni rahisi sana kupishana.

Ni hivi Mpina hakuweza ku-justify hoja zake wala report ya CAG iliyoongelea ongezeko la hizo gharama aina justifiable details za ongezeko zaidi ya mention tu. Serikali imelitolea maelezo ya kina isipokuwa kama ilivyo adha yetu watanzania tukiamua kuamini kitu, hata tuelimishwe vipi hatutaki kuelewa somo.

Ni kawaida sana kwenye large infrastructure projects duniani ambao ujenzi wake ni wa miaka mingi kuongezeka kwa gharama zaidi ya budget yake ya mwanzo (with justifications).
 
Mengi yametokea baada ya COVID kwenye uchumi wa dunia to do with inflation, pamoja na hayo hizo phase za SGR pia hazipiti njia tambarare kila phase ina changamoto zake za kuchonga njia. Kwa hivyo average cost per/km ya phases ni rahisi sana kupishana.
Hii hoia yako ni dhaifu sana ndugu Mwigulu. Kwani hamkufanya feasibility study? Costs zenu zilibase kwenye nini ikiwa hili halikufanyika? Ni mwehu pekee anayeweza kukubaliana na hoja hii ya kimchongo.
#Bringbackourmoney#
 
Ni hivi Mpina hakuweza ku-justify hoja zake wala report ya CAG iliyoongelea ongezeko la hizo gharama aina justifiable details za ongezeko zaidi ya mention tu. Serikali imelitolea maelezo ya kina isipokuwa kama ilivyo adha yetu watanzania tukiamua kuamini kitu, hata tuelimishwe vipi hatutaki kuelewa somo.
Kwanini ulikimbia mdahalo na Mpina sasa unakuja hapa mitandaoni kulialia? Wewe mwizi tu.
#Bringbackourmoney#
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, habari kutoka ndani ya CCM zinabainisha kuwa CCM wameishaanza mchakato wa kumfukuza uanachama mbunge wa Kisesa, ndugu Luhanga Mpina.

View attachment 2882194

Inasemekana kabla mama hajasafiri kwenda Indonesia alitoa maagizo kwamba akirudi asikumkute Mpina bado akiwa ndani ya CCM. Sababu za kufukuzwa ndugu Mpina hazijawekwa wazi lakini kwa siku za hivi karibuni Mpina amekuwa mwiba mkali kwa mafisadi na chawa wanaofisadi na kuuza rasilimali za taifa kwa wageni huku wananchi wakiendelea kutopea kwenye umaskini na huduma mbovu za jamii.

Habari zaidi zinasema kabla ya kufukuzwa ndugu Mpina atapewa nafasi ya kujitetea mbele ya kamati maalumu ya CCM iliyoteuliwa na Rais kushughulikia suala hili ambalo wao wameliita "tatizo la kinidhamu ndani ya chama". Haikuweza kufahamika mara moja kamati hiyo inaundwa na akina nani lakini chanzo kingine kutoka CCM kinadai katika kamati hiyo wamo Kinana, Makonda, Yusufu Makamba na wazee wengine mashuhuri wa CCM.

MAONI YANGU
Kufukuzwa kwa Mpina kutoka CCM kulikuwa dhahiri tangu alipoanza kuwavalia njuga mafisadi, wauza nchi na chawa wanaotafuna rasilimali za nchi bila kuhojiwa. Hili lilikolezwa na msimamo wake dhabiti wa kupinga uuzaji wa bandari kwa waarabu wa DP World.

Jambo ambalo mpaka sasa haliko dhahiri ni kwamba je akifukuzwa CCM atahamia chama gani? Possibly itakuwa CHADEMA kwa sababu baadhi ya wazalendo na wana intelejensia wanadai kuwa Mpina ni kada wa CHADEMA aliyetumwa kuingia ndani ya CCM kimkakati ili kukipeleleza chama hicho.

Lakini mpaka sasa hakuna mwenye uhakika 100% kuhusu chama ambacho mpina atatimkia ili kimteue kugombea kwenye uchaguzi mkuu 2025 pindi akitupiwa virago na CCM. Huenda hata akuibukia ACT-Wazalendo. You never know but time will tell. Let us wait until the end of the movie.

Pia soma:
1.
Tetesi: - Wabunge washauri Luhaga Mpina afukuzwe CCM

2.
Tetesi: - Karibu CHADEMA Luhaga Mpina, Kazi tulikutuma CCM umeitendea haki.
Chadema twende na mpina 2025 atavusha salamaa.
 
Ni kawaida sana kwenye large infrastructure projects duniani ambao ujenzi wake ni wa miaka mingi kuongezeka kwa gharama zaidi ya budget yake ya mwanzo (with justifications).
Andiko la mradi wa SGR halikuzingatia hizi projections wala SWOT analysis? Acha kuudanganya umma mkuu. Mungu anakuona.
 
Hii hoia yako ni dhaifu sana ndugu Mwigulu. Kwani hamkufanya feasibility study? Costs zenu zilibase kwenye nini ikiwa hili halikufanyika? Ni mwehu pekee anayeweza kukubaliana na hoja hii ya kimchongo.
#Bringbaclourmoney#
AADD2774-C3BB-4CD4-BBA0-96A24D16433D.jpeg


Hiyo ni bei ya Iron Ore (raw material). Kutoka 2018 mradi ulipoanza ilikuwa $70 leo $120 per/kg (ongezeko la $50), hiyo tu inaongeza average costs ya mradi.

Halafu hiki kipindi uko kwenye nchi zinazo influence bei ya chuma sasa kuna retraction kwenye chumi zao demand ya iron ore imepungua ndio bei hiyo. Uchumi wao ukianza kuchangamka hiyo bei itapanda tena.

Moreover baada ya covid wakati Report ya CAG inatoka bei ya chuma ilikuwa $160 ni more than $90 dollar.

Bado ujaweka gharama za kupanda kwa nishati ya umeme, mafuta, insurance costs ya meli, increased shipping costs na mambo mengine mengi.

Ni hivi to justify huo ni ufisadi inabidi ufanye breakdown ya costs, si ajabu mkandarasi wa kituruki sasa hivi hana faida kwa sababu bei yake ilikuwa chini sana ndio maana hiyo kampuni huko kwao sasa hivi inaelekea kwenye bankruptcies.
 
Hii hoia yako ni dhaifu sana ndugu Mwigulu. Kwani hamkufanya feasibility study? Costs zenu zilibase kwenye nini ikiwa hili halikufanyika? Ni mwehu pekee anayeweza kukubaliana na hoja hii ya kimchongo.
#Bringbaclourmoney#
Sina sababu ya kutetea jitu jizi kama Mwigulu.

But then also siafiki kitu ambacho unjustifiable kama hoja za Mpina ni mambo anayojitungia tu.
 
Andiko la mradi wa SGR halikuzingatia hizi projections wala SWOT analysis? Acha kuudanganya umma mkuu. Mungu anakuona.

Hayo planning ni story nyingine ndefu.

Until later mchana mwema.

👋
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, habari kutoka ndani ya CCM zinabainisha kuwa CCM wameishaanza mchakato wa kumfukuza uanachama mbunge wa Kisesa, ndugu Luhanga Mpina.

View attachment 2882194

Inasemekana kabla mama hajasafiri kwenda Indonesia alitoa maagizo kwamba akirudi asikumkute Mpina bado akiwa ndani ya CCM. Sababu za kufukuzwa ndugu Mpina hazijawekwa wazi lakini kwa siku za hivi karibuni Mpina amekuwa mwiba mkali kwa mafisadi na chawa wanaofisadi na kuuza rasilimali za taifa kwa wageni huku wananchi wakiendelea kutopea kwenye umaskini na huduma mbovu za jamii.

Habari zaidi zinasema kabla ya kufukuzwa ndugu Mpina atapewa nafasi ya kujitetea mbele ya kamati maalumu ya CCM iliyoteuliwa na Rais kushughulikia suala hili ambalo wao wameliita "tatizo la kinidhamu ndani ya chama". Haikuweza kufahamika mara moja kamati hiyo inaundwa na akina nani lakini chanzo kingine kutoka CCM kinadai katika kamati hiyo wamo Kinana, Makonda, Yusufu Makamba na wazee wengine mashuhuri wa CCM.


----
Mpina awasili mbele ya kamati ya maadili CCM

Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina ameitikia wito wa Ofisi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Meatu, mkoani Simiyu iliyomtaka afike leo, Alhamisi 2024 kwa ajili ya mahojiano ya masuala mbalimbali.
Mpina aliyewahi kuwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi amewasili mchana wa leo Alhamisi, Januari 25, 2024 kwa ajili ya kuhojiwa na Kamati ya Usalama na Maadili ya wilaya hiyo.

Jana Jumatano, Katibu wa CCM Wilaya ya Meatu, Joel Makwaia aliiambia Mwananchi Digital kuwa wamemwita Mpina mbele ya kamati hiyo kutokana na mambo mbalimbali yaliyojitokeza.


---
MAONI YANGU
Kufukuzwa kwa Mpina kutoka CCM kulikuwa dhahiri tangu alipoanza kuwavalia njuga mafisadi, wauza nchi na chawa wanaotafuna rasilimali za nchi bila kuhojiwa. Hili lilikolezwa na msimamo wake dhabiti wa kupinga uuzaji wa bandari kwa waarabu wa DP World.

Jambo ambalo mpaka sasa haliko dhahiri ni kwamba je akifukuzwa CCM atahamia chama gani? Possibly itakuwa CHADEMA kwa sababu baadhi ya wazalendo na wana intelejensia wanadai kuwa Mpina ni kada wa CHADEMA aliyetumwa kuingia ndani ya CCM kimkakati ili kukipeleleza chama hicho.

Lakini mpaka sasa hakuna mwenye uhakika 100% kuhusu chama ambacho mpina atatimkia ili kimteue kugombea kwenye uchaguzi mkuu 2025 pindi akitupiwa virago na CCM. Huenda hata akuibukia ACT-Wazalendo. You never know but time will tell. Let us wait until the end of the movie.

Pia soma:
1.
Tetesi: - Wabunge washauri Luhaga Mpina afukuzwe CCM

2.
Tetesi: - Karibu CHADEMA Luhaga Mpina, Kazi tulikutuma CCM umeitendea haki.
Ashukuru Mungu kuwa CCM ni wavumilivu huyu angestahili awe ameshafukuzwa siku nyingi saana
 
Cdm wasikosee ikitokea lolote huko ccm na kumpa nafasi yoyote ya uongozi. Hao wahuni huwa wanakuja na hizo mbinu za kizamani wakidhani watawapoteza cdm. Cdm wanapaswa kujifunza kwa kosa la Lowassa, Nyalandu nk.
Kwa CDM wanaweza pata wapi viongozi
 
Back
Top Bottom