CCM waanza mchakato wa kumshughulikia Luhanga Mpina, awasili mbele ya kamati ya maadili CCM

CCM waanza mchakato wa kumshughulikia Luhanga Mpina, awasili mbele ya kamati ya maadili CCM

Haya ndio mambo ambayo wezi wa CCM hawapendi kuambiwa:

 
Ashukuru Mungu kuwa CCM ni wavumilivu huyu angestahili awe ameshafukuzwa siku nyingi saana
Ni kweli kabisa mkuu. CCM hawapendi mtu anayefunua ufisadi wao kwa wananchi na kuwafumbua macho juu ya ufisadi wa kutisha unaoendelea katika nchi hii. CCM ni zaidi ya wachawi, majambazi na wanyang'anyi.
 
Mimi naomba CCM ishughulike na umeme kwanza wamuweke pending mpina

Kama ni muhimu sana kumshughulikia.

 
chama cha mapinduzi ni makini nafikiri chadema hawajajifunza hilo bado
Kweli kabisa mkuu. CCM wapo makini kwenye ufisadi, unafiq, utapeli, ujambazi, uchawa, ukupe na utapanyaji wa kila namna wa rasilimali za taifa. Wako vizuri sana.
 
Duh mchakato,wa kumshugulikia [emoji1]

Ccm hawapendi kupingwa

Ova
 
Duh mchakato,wa kumshugulikia [emoji1]

Ccm hawapendi kupingwa

Ova
CCM ni ukoo wa panya. Panya siku zote huwa hawapendi kupingwa kwa namna yoyote ile.
 
Mpina anaijua ccm vizuri,nilikuwa nashangaa ukosoaji ule.
CCM ni ukoo wa panya—babu mwizi, baba mwizi, watoto wezi, wajukuu wezi, vitukuu wezi, vilembwe wezi na vining’ina wezi! Ukoo huu wa panya walikuwa wanasafiri katika boti la muhogo, lakini kwa sababu ya uroho wao, walianza kulitafuna boti! Kilichofuata ni ukoo mzima wa kizazi cha panya kuzama na kuangamia.
 
CCM ni ukoo wa panya—babu mwizi, baba mwizi, watoto wezi, wajukuu wezi, vitukuu wezi, vilembwe wezi na vining’ina wezi! Ukoo huu wa panya walikuwa wanasafiri katika boti la muhogo, lakini kwa sababu ya uroho wao, walianza kulitafuna boti! Kilichofuata ni ukoo mzima wa kizazi cha panya kuzama na kuangamia.
Angetumia vikao vya ndani kukosoa ingependeza zaidi
 
Angetumia vikao vya ndani kukosoa ingependeza zaidi
Vikao vya ndani wote ni nyani tu. Kesi ya ngedere huwezi kuipeleka kwa nyani. Ndio maana aliamua kuliweka wazi kwenye kikao cha wananchi.
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, habari kutoka ndani ya CCM zinabainisha kuwa CCM wameishaanza mchakato wa kumfukuza uanachama mbunge wa Kisesa, ndugu Luhanga Mpina.

View attachment 2882194

Inasemekana kabla mama hajasafiri kwenda Indonesia alitoa maagizo kwamba akirudi asikumkute Mpina bado akiwa ndani ya CCM. Sababu za kufukuzwa ndugu Mpina hazijawekwa wazi lakini kwa siku za hivi karibuni Mpina amekuwa mwiba mkali kwa mafisadi na chawa wanaofisadi na kuuza rasilimali za taifa kwa wageni huku wananchi wakiendelea kutopea kwenye umaskini na huduma mbovu za jamii.

Habari zaidi zinasema kabla ya kufukuzwa ndugu Mpina atapewa nafasi ya kujitetea mbele ya kamati maalumu ya CCM iliyoteuliwa na Rais kushughulikia suala hili ambalo wao wameliita "tatizo la kinidhamu ndani ya chama". Haikuweza kufahamika mara moja kamati hiyo inaundwa na akina nani lakini chanzo kingine kutoka CCM kinadai katika kamati hiyo wamo Kinana, Makonda, Yusufu Makamba na wazee wengine mashuhuri wa CCM.


----
Mpina awasili mbele ya kamati ya maadili CCM

Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina ameitikia wito wa Ofisi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Meatu, mkoani Simiyu iliyomtaka afike leo, Alhamisi 2024 kwa ajili ya mahojiano ya masuala mbalimbali.
Mpina aliyewahi kuwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi amewasili mchana wa leo Alhamisi, Januari 25, 2024 kwa ajili ya kuhojiwa na Kamati ya Usalama na Maadili ya wilaya hiyo.

Jana Jumatano, Katibu wa CCM Wilaya ya Meatu, Joel Makwaia aliiambia Mwananchi Digital kuwa wamemwita Mpina mbele ya kamati hiyo kutokana na mambo mbalimbali yaliyojitokeza.


---
MAONI YANGU
Kufukuzwa kwa Mpina kutoka CCM kulikuwa dhahiri tangu alipoanza kuwavalia njuga mafisadi, wauza nchi na chawa wanaotafuna rasilimali za nchi bila kuhojiwa. Hili lilikolezwa na msimamo wake dhabiti wa kupinga uuzaji wa bandari kwa waarabu wa DP World.

Jambo ambalo mpaka sasa haliko dhahiri ni kwamba je akifukuzwa CCM atahamia chama gani? Possibly itakuwa CHADEMA kwa sababu baadhi ya wazalendo na wana intelejensia wanadai kuwa Mpina ni kada wa CHADEMA aliyetumwa kuingia ndani ya CCM kimkakati ili kukipeleleza chama hicho.

Lakini mpaka sasa hakuna mwenye uhakika 100% kuhusu chama ambacho mpina atatimkia ili kimteue kugombea kwenye uchaguzi mkuu 2025 pindi akitupiwa virago na CCM. Huenda hata akuibukia ACT-Wazalendo. You never know but time will tell. Let us wait until the end of the movie.

Pia soma:
1.
Tetesi: - Wabunge washauri Luhaga Mpina afukuzwe CCM

2.
Tetesi: - Karibu CHADEMA Luhaga Mpina, Kazi tulikutuma CCM umeitendea haki.
Wasiishie hapo waende na kwa yule konda mtukutu🤔
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, habari kutoka ndani ya CCM zinabainisha kuwa CCM wameishaanza mchakato wa kumfukuza uanachama mbunge wa Kisesa, ndugu Luhanga Mpina.

View attachment 2882194

Inasemekana kabla mama hajasafiri kwenda Indonesia alitoa maagizo kwamba akirudi asikumkute Mpina bado akiwa ndani ya CCM. Sababu za kufukuzwa ndugu Mpina hazijawekwa wazi lakini kwa siku za hivi karibuni Mpina amekuwa mwiba mkali kwa mafisadi na chawa wanaofisadi na kuuza rasilimali za taifa kwa wageni huku wananchi wakiendelea kutopea kwenye umaskini na huduma mbovu za jamii.

Habari zaidi zinasema kabla ya kufukuzwa ndugu Mpina atapewa nafasi ya kujitetea mbele ya kamati maalumu ya CCM iliyoteuliwa na Rais kushughulikia suala hili ambalo wao wameliita "tatizo la kinidhamu ndani ya chama". Haikuweza kufahamika mara moja kamati hiyo inaundwa na akina nani lakini chanzo kingine kutoka CCM kinadai katika kamati hiyo wamo Kinana, Makonda, Yusufu Makamba na wazee wengine mashuhuri wa CCM.


----
Mpina awasili mbele ya kamati ya maadili CCM

Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina ameitikia wito wa Ofisi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Meatu, mkoani Simiyu iliyomtaka afike leo, Alhamisi 2024 kwa ajili ya mahojiano ya masuala mbalimbali.
Mpina aliyewahi kuwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi amewasili mchana wa leo Alhamisi, Januari 25, 2024 kwa ajili ya kuhojiwa na Kamati ya Usalama na Maadili ya wilaya hiyo.

Jana Jumatano, Katibu wa CCM Wilaya ya Meatu, Joel Makwaia aliiambia Mwananchi Digital kuwa wamemwita Mpina mbele ya kamati hiyo kutokana na mambo mbalimbali yaliyojitokeza.


---
MAONI YANGU
Kufukuzwa kwa Mpina kutoka CCM kulikuwa dhahiri tangu alipoanza kuwavalia njuga mafisadi, wauza nchi na chawa wanaotafuna rasilimali za nchi bila kuhojiwa. Hili lilikolezwa na msimamo wake dhabiti wa kupinga uuzaji wa bandari kwa waarabu wa DP World.

Jambo ambalo mpaka sasa haliko dhahiri ni kwamba je akifukuzwa CCM atahamia chama gani? Possibly itakuwa CHADEMA kwa sababu baadhi ya wazalendo na wana intelejensia wanadai kuwa Mpina ni kada wa CHADEMA aliyetumwa kuingia ndani ya CCM kimkakati ili kukipeleleza chama hicho.

Lakini mpaka sasa hakuna mwenye uhakika 100% kuhusu chama ambacho mpina atatimkia ili kimteue kugombea kwenye uchaguzi mkuu 2025 pindi akitupiwa virago na CCM. Huenda hata akuibukia ACT-Wazalendo. You never know but time will tell. Let us wait until the end of the movie.

Pia soma:
1.
Tetesi: - Wabunge washauri Luhaga Mpina afukuzwe CCM

2.
Tetesi: - Karibu CHADEMA Luhaga Mpina, Kazi tulikutuma CCM umeitendea haki.
amebwekabweka weee saiv ana mbwela mbwela tu,

eti alitumwa na chadema 🤣
ndezi kweli..

kuachwa ni kitu mbaya sana aise 🐒
 
CCM ni ukoo wa panya—babu mwizi, baba mwizi, watoto wezi, wajukuu wezi, vitukuu wezi, vilembwe wezi na vining’ina wezi! Ukoo huu wa panya walikuwa wanasafiri katika boti la muhogo, lakini kwa sababu ya uroho wao, walianza kulitafuna boti! Kilichofuata ni ukoo mzima wa kizazi cha panya kuzama na kuangamia.
Ingekuwa ukoo huu wa panya uliangamia wote katika lile boti la muhugo tusingeona tusinge ona vituko na vimbwanga vya ukoo huu hata leo vya kutafuna boti tunayosafiria wote yawazekana katika boti ya awali iliyozamishwa kwa wizi walikuwepo manusura wa ukoo ulio laaniwa wa panya 😃
 
Ni Msema kweli na mpenda haki. Hizo sifa CCM HAZIHITAJIKI na HAZIPO, Yeyote aliye nazo anitwa muongo, na mchonganishi. Luhaga Mpina aliitwa na kamati ya maadili ya bunge akawapa shule na Spika Tulia aktangaza kwamba mashauri yote aliyoitiwa Luhaga Mpina kayajibu na ushahidi aliupeleka ukapokelewa na kuthibitisha alichokisema hakikuwa uongo, na akawa huru.
Hata hili hawatamuweza, atawashinda mapema sana.
 
Chadema!
Kam atakuja na moto huu huu wa kujitolea kwa ajiri ya wananchi chadema panamfaa
Ila inabidi awe tayari kwa lolote lile
Kutuknwa, kudhiakiwa, kufirisiwa, kuwindwa,
Maana ukiwa chadema matajiri na mafisadi papa wote, na wajinga pamoja na wafitini watakuwa maadui zako
Wengi wameondoka chadema wanabaki waliojitoa kuwatetea wanyonge na wananchi kwa dhati na moyo
Karibu chadema
Ila hivi karibuni chadem kidogo wadumbukie kwenye mzinga wa nyuki .baadhi lakini
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, habari kutoka ndani ya CCM zinabainisha kuwa CCM wameishaanza mchakato wa kumfukuza uanachama mbunge wa Kisesa, ndugu Luhanga Mpina.

View attachment 2882194

Inasemekana kabla mama hajasafiri kwenda Indonesia alitoa maagizo kwamba akirudi asikumkute Mpina bado akiwa ndani ya CCM. Sababu za kufukuzwa ndugu Mpina hazijawekwa wazi lakini kwa siku za hivi karibuni Mpina amekuwa mwiba mkali kwa mafisadi na chawa wanaofisadi na kuuza rasilimali za taifa kwa wageni huku wananchi wakiendelea kutopea kwenye umaskini na huduma mbovu za jamii.

Habari zaidi zinasema kabla ya kufukuzwa ndugu Mpina atapewa nafasi ya kujitetea mbele ya kamati maalumu ya CCM iliyoteuliwa na Rais kushughulikia suala hili ambalo wao wameliita "tatizo la kinidhamu ndani ya chama". Haikuweza kufahamika mara moja kamati hiyo inaundwa na akina nani lakini chanzo kingine kutoka CCM kinadai katika kamati hiyo wamo Kinana, Makonda, Yusufu Makamba na wazee wengine mashuhuri wa CCM.


----
Mpina awasili mbele ya kamati ya maadili CCM

Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina ameitikia wito wa Ofisi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Meatu, mkoani Simiyu iliyomtaka afike leo, Alhamisi 2024 kwa ajili ya mahojiano ya masuala mbalimbali.
Mpina aliyewahi kuwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi amewasili mchana wa leo Alhamisi, Januari 25, 2024 kwa ajili ya kuhojiwa na Kamati ya Usalama na Maadili ya wilaya hiyo.

Jana Jumatano, Katibu wa CCM Wilaya ya Meatu, Joel Makwaia aliiambia Mwananchi Digital kuwa wamemwita Mpina mbele ya kamati hiyo kutokana na mambo mbalimbali yaliyojitokeza.


---
MAONI YANGU
Kufukuzwa kwa Mpina kutoka CCM kulikuwa dhahiri tangu alipoanza kuwavalia njuga mafisadi, wauza nchi na chawa wanaotafuna rasilimali za nchi bila kuhojiwa. Hili lilikolezwa na msimamo wake dhabiti wa kupinga uuzaji wa bandari kwa waarabu wa DP World.

Jambo ambalo mpaka sasa haliko dhahiri ni kwamba je akifukuzwa CCM atahamia chama gani? Possibly itakuwa CHADEMA kwa sababu baadhi ya wazalendo na wana intelejensia wanadai kuwa Mpina ni kada wa CHADEMA aliyetumwa kuingia ndani ya CCM kimkakati ili kukipeleleza chama hicho.

Lakini mpaka sasa hakuna mwenye uhakika 100% kuhusu chama ambacho mpina atatimkia ili kimteue kugombea kwenye uchaguzi mkuu 2025 pindi akitupiwa virago na CCM. Huenda hata akuibukia ACT-Wazalendo. You never know but time will tell. Let us wait until the end of the movie.

Pia soma:
1.
Tetesi: - Wabunge washauri Luhaga Mpina afukuzwe CCM

2. K
Tetesi: - Karibu CHADEMA Luhaga Mpina, Kazi tulikutuma CCM umeitendea
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, habari kutoka ndani ya CCM zinabainisha kuwa CCM wameishaanza mchakato wa kumfukuza uanachama mbunge wa Kisesa, ndugu Luhanga Mpina.

View attachment 2882194

Inasemekana kabla mama hajasafiri kwenda Indonesia alitoa maagizo kwamba akirudi asikumkute Mpina bado akiwa ndani ya CCM. Sababu za kufukuzwa ndugu Mpina hazijawekwa wazi lakini kwa siku za hivi karibuni Mpina amekuwa mwiba mkali kwa mafisadi na chawa wanaofisadi na kuuza rasilimali za taifa kwa wageni huku wananchi wakiendelea kutopea kwenye umaskini na huduma mbovu za jamii.

Habari zaidi zinasema kabla ya kufukuzwa ndugu Mpina atapewa nafasi ya kujitetea mbele ya kamati maalumu ya CCM iliyoteuliwa na Rais kushughulikia suala hili ambalo wao wameliita "tatizo la kinidhamu ndani ya chama". Haikuweza kufahamika mara moja kamati hiyo inaundwa na akina nani lakini chanzo kingine kutoka CCM kinadai katika kamati hiyo wamo Kinana, Makonda, Yusufu Makamba na wazee wengine mashuhuri wa CCM.


----
Mpina awasili mbele ya kamati ya maadili CCM

Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina ameitikia wito wa Ofisi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Meatu, mkoani Simiyu iliyomtaka afike leo, Alhamisi 2024 kwa ajili ya mahojiano ya masuala mbalimbali.
Mpina aliyewahi kuwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi amewasili mchana wa leo Alhamisi, Januari 25, 2024 kwa ajili ya kuhojiwa na Kamati ya Usalama na Maadili ya wilaya hiyo.

Jana Jumatano, Katibu wa CCM Wilaya ya Meatu, Joel Makwaia aliiambia Mwananchi Digital kuwa wamemwita Mpina mbele ya kamati hiyo kutokana na mambo mbalimbali yaliyojitokeza.


---
MAONI YANGU
Kufukuzwa kwa Mpina kutoka CCM kulikuwa dhahiri tangu alipoanza kuwavalia njuga mafisadi, wauza nchi na chawa wanaotafuna rasilimali za nchi bila kuhojiwa. Hili lilikolezwa na msimamo wake dhabiti wa kupinga uuzaji wa bandari kwa waarabu wa DP World.

Jambo ambalo mpaka sasa haliko dhahiri ni kwamba je akifukuzwa CCM atahamia chama gani? Possibly itakuwa CHADEMA kwa sababu baadhi ya wazalendo na wana intelejensia wanadai kuwa Mpina ni kada wa CHADEMA aliyetumwa kuingia ndani ya CCM kimkakati ili kukipeleleza chama hicho.

Lakini mpaka sasa hakuna mwenye uhakika 100% kuhusu chama ambacho mpina atatimkia ili kimteue kugombea kwenye uchaguzi mkuu 2025 pindi akitupiwa virago na CCM. Huenda hata akuibukia ACT-Wazalendo. You never know but time will tell. Let us wait until the end of the movie.

Pia soma:
1.
Tetesi: - Wabunge washauri Luhaga Mpina afukuzwe CCM

2.
Tetesi: - Karibu CHADEMA Luhaga Mpina, Kazi tulikutuma CCM umeitendea haki.

Wanataka kumtengeneza Membe na Lowassa wa kizazi hiki. Wanataka aende chama cha upinzani halafu agombee uchaguzi ukiisha arudi kama Membe lakini haitawezekana
 
Back
Top Bottom