Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahio pengine leo tungekua tunaandiki Membe (R.I.P) badala yake tunaandika Mwendazake.....
Kumbuka Membe ni jasusi mbobevu anajua namna ya kujihami!Kwahio pengine leo tungekua tunaandiki Membe (R.I.P) badala yake tunaandika Mwendazake.....
Kwa hili nimeamini! Aliitwa usiku kwa masharti ya kupanda "Uber" na sio gari take! Ina maana angeenda peke take bila hata walinzi wake wala dereva wake.Kumbuka Membe ni jasusi mbobevu anajua namna ya kujihami!
Kwahio Dialo sio Mtanzania? Niliwahi kufanya kazi na Jamaa anaitwa Mohammed Diallo kutoka SenegalNgeti waambie Watanzania, huyu bwana ni raia wa nchi gani? Kwa Kuwa umeamua kufunguka, funguka numla......
Who is Ngeti?This time ni Magufuli, Diallo, Membe na Ngeti. Watatajana tu
Another CCM's opportunistic!Who is Ngeti?
Naunga mkono hoja hii na inazidi kudhihirisha ukweli wa alichosema DialloHapa Ngetti anataka kusema kuwa Mwendazake kwa kushirikiana na Uncle Tony walimtaka kum-suicide Mzee Member?
Aje usiku na "uber"! Ngeti akahojiwe na Polisi atakua anajua mengi
Kwa hiyo ni vema akajikita zaidi kutusimulia mipango na matendo ya kihalifu waliyokuwa wametekeleza,wanatekeleza na wanayotarajia kutekeleza.Kama hapo alipoeleza jinsi ambavyo "kumkalasisha" Membe ilikuwa "arbotive mission"!🤔🤔🤔🤔🤔Kwenye uraia wa ANTONY NG'WANDU DIALLO Bollen Ngeti anapotosha,au makusudi au kwa kutoujua ukweli.
Uncle Tony ni msukuma original wa Ntunzu. Kwa sababu hiyo uraia wake hauna utata wowote. Ni mtanzania kabisa.
Kwani ni raia wa wapi Mimi najua ni Mtanzania wa mwanza kabila lake n msukumaMimi kuhusu hayo mambo yake ya siasa na kufukuza wafanyakazi wake kazi,sina uelewa wa ndani lakini kuhusu uraia wake,na ohd yake nina uhakika wake 100 kwa 100,nakuomba umfuatilie kwenye vile vyuo alivyosoma utapewa facts kuwa kusoma kasoma
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Nimefail kumfaham kwakweli....Another CCM's opportunistic!
CCM ni genge LA MafiaDiallo kaita watu vichaa
Ngetti nae kaonesha kuna watu walikua wauaji
Huyu nae ahojiwe