CCM waendelea kuvuana nguo, safari hii ni Bollen Ngeti

Hapa Ngetti anataka kusema kuwa Mwendazake kwa kushirikiana na Uncle Tony walimtaka kum-suicide Mzee Member?

Aje usiku na "uber"! Ngeti akahojiwe na Polisi atakua anajua mengi
Subir kwanza mkuu Ngetti yupo kwny matibabu na leo kwa mujibu wake ni siku ya tisa akipona tu akatoe maelezo vizuri
 
Elli M.... Benard Membe. Antony Diallo.... Senegal, Togo, Burkinabee...Uhamiaji??
 
Kwenye uraia wa ANTONY NG'WANDU DIALLO Bollen Ngeti anapotosha,au makusudi au kwa kutoujua ukweli.

Uncle Tony ni msukuma original wa Ntunzu. Kwa sababu hiyo uraia wake hauna utata wowote. Ni mtanzania kabisa.
Ntuzu sehemu gani mkuu ukoo wa nani?
Primary alisoma wapi na upili
Hawa watu watatuambia kweli tusiwawekee maneno kinywani
 
LABLA KITU AMBACHO WEWE HUJUI CCM WOTEEE NI WATU WA MASLAHI NA WANAFIKI NAMBA MOJA HAPA DUNIANI. UKIJUA HAYA HUTASHANGAA TENA HUKO MBELENI.
 
Ni kichaa ama sio kichaa? Ulipaswa kujibu hili na kuleta ushahidi wa jibu lako. Hayo mengine uliyoaandika umetuongezea jambo jipya ka mpiago ya mwendazako kummaliza Membe kwa kupitia Dialo
 
Alicho ongea Tony Diallo ndo kweli, mengine ni maigizo na utopolo.
 
Subiri Jobo atatoa siri ya Covid 19
Anaosema atawalinda kwa nguvu zote hadi kaburini
 
hahahahahahahahahahahhhahhaha...Ngeti nini tena, hayo ya chumbani yabaki huko...Wazee wa "niguse ninuke".... mchuano ulikuwa mkali..hatimaye niguse ninuke na wazee wa saigoni wameshinda vita zote mbili....dah kweli vita akili..
 
Ulitaka ajitokeze wakati wa Magufuli??

Ukikutana na simba amefura anataka kula nyama ukajifanya una mvimbia akakutafuna ukafa huo ni Ushujaa au ujuha??

Diallo alikaa kimya na sio kujiona shujaa kwa kusimama mbele ya simba. Ilikuwa ni lazima akae kimya uhai wako uwe salama na sasa kapata fursa ya kusema. Unasimama mbele ya Bunduki ili uonekane shujaa?? utakuwa mjinga. M
 
hahahahahahahahahahahhhahhaha...Ngeti nini tena, hayo ya chumbani yabaki huko...Wazee wa "niguse ninuke".... mchuano ulikuwa mkali..hatimaye niguse ninuke na wazee wa saigoni wameshinda vita zote mbili....dah kweli vita akili..
fita ni fita mura. Vyovyote ilivyokuwa Mungu ashukuriwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…