CCM waendelea kuvuana nguo, safari hii ni Bollen Ngeti

Sidhani hapa kama kinachoongelewa ni tabia ya mtu bali kinachoongelewa ni unafiki wa mtu ambaye ndiye chanzo na msaada wa kuingia madarakani mtu ambaye leo tunaaminishwa alikuwa na cheti cha Milembe. Diallo kwa kauli yake anakili alishiriki Kampeni za Uchaguzi kupitia TV yake. Wafanyakazi wake walikuwa wakilipwa na CCM kwa kazi hiyo. Mwenyewe na kampuni wakiahidiwa kitita mambo yakikaa sawa. Leo unakuja kulalamika kuingia kwa kiongozi mwenye cheti cha Milembe?

Diallo ni Mjumbe wa Kamati kuu kwa nafasi yake. Ndani ya chama kuna taratibu za kuwasilisha malalamiko hata ushauri na mawazo ya mtu kama yeye katika vikao. Mwaka wa saba sasa anaingia na kutoka kwenye vikao vya Chama akiwa bubu. leo anatokea kwenye chombo chake cha habari na kutoa shutuma nzito kiasi hiki. Haiendani kabisa na miongozo na maadili ya chama chake. Hayo ya wanachama/viongozi kuropoka, CCM hawakuyazoea ni mambo ya upinzani ambapo kila mtu ni msemaji wa Chama.
 
Asante kwa maelezo mkuu
 
Ni raia wa wapi?

Mnaficha nini kusema uraia wake mkuu
 
Kwenye uraia wa ANTONY NG'WANDU DIALLO Bollen Ngeti anapotosha,au makusudi au kwa kutoujua ukweli.

Uncle Tony ni msukuma original wa Ntunzu. Kwa sababu hiyo uraia wake hauna utata wowote. Ni mtanzania kabisa.
Kumbe NG'WANDU sasa hili jina la AFRIKA MAGHARIBI kalitoa wapi huyu NG'WANDU

Ila kama ameweza kuiba jina basi suala la utajiri wake kuwa una ukakasi linawezekana.
 
Ishu ya msingi hapa ni ule ukweli kwamba jamaa alikuwa mwehu, na yeye mwenyewe aliwahi kusema hivyo. Hayo mambo yenu mengine mpigiane simu msutane
 
Naona akapimwe mirembe tuone kinachomsibu. Unasubiri mtu afariki ndio umshambulie!
 
Tatizo la wanaCCm wengi hawana uwezo wa kujibu hoja. Kwa hiyo wanakimbilia personal issues.
 
Ungeugua covid19 wakati wa Magufuli hata kusema unaugua covid usingesema ili kumfurahisaha.
 
Hawawezi kumuua kirahisi hivyo jasusi mbobezi.. Mzee wa " niguse ninuke"
CCM Wana mbinu za kishamba sana.
Unamuambia mtu aje usiku wa kiza kinene Tena asije na gari lake, utafikiri anamuamrisha mke wa mtu anaetaka kuzini nae.
Damu ya mtu sio kitu Cha mchezo, unaona Sasa wanayaanika hadharani. Na bado.
Kuna atakayesema walivyopanga kumuua Lissu na hata walikompeleka Saanane.
 
Kwenye uraia wa ANTONY NG'WANDU DIALLO Bollen Ngeti anapotosha,au makusudi au kwa kutoujua ukweli.

Uncle Tony ni msukuma original wa Ntunzu. Kwa sababu hiyo uraia wake hauna utata wowote. Ni mtanzania kabisa.
Je,Luna mnyantuzu mwenye Nina DIALLO? Labda tuanzie hapo.
 
Computer servers za Uber ziko overseas utadelete vip tracking records
Kwani nani angejua kuwa katumia Uber? Ukumbuke Huyo Huyo anayetegemewa kufanya uchunguzi ndio Huyo Huyo anayeseti mambo! Just a simple Logic. Kuna jambo ningeliweka kama mfano ila wacha nikae kimya
 
Bollen Ngetti Ni walewale Sema Nini Watanzania Siyo watu was Kumbukumbu pia siyo wasomaji.. mhariri wa Sauti Huru Miaka Hiyo
 
Mwingine ajitokeze kumjibu Boleni panoge zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…