kingukitano
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 1,971
- 497
kingukitano inaonyesha hata hujui katiba ni nini maana uliyotaja yote hayawezi kuwakwa kwenye katiba bala ni kwenye sheria na sera mbalimbali halafu eti unajiona na wewe mwana harakati, nenda shule kwanza.
Acha wehu,aliyekuambia muundo WA serikali tatu Ni utetezi na kusimama na wanyonge Ni nani?huu Ni uwendawazimu sikiliza na soma hitaji la wanyonge.
1.Elimu bora kwa Watanzania hasa maskini vijijini
2.Upatikanaji WA uhakika WA chakula na Madawa
3.Upatikanaji WA miundombinu ya Maji,umwagiliaji,barabara,Viwanda bei nzuri za mazao kama pamba,Korosho.
4.uwepo wa maeneo tengwa kwa wafugaji na wakulima
4.Uwepo wa vitanda na dawa zakutosha katika mahospitali
5.Uwepo wa uhakika wa ajira kwa kuongeza tija ya uzalishaji na kuanzisha viwanda vya kuongeza thamani,
Hitaji la serikali tatu Ni,hitaji la kishetani.
hitaji la Umma Ni kuongeza ufaulu na kuwalipa vema walimu mishahara,
kujenga nyumba za waalimu na kuwapa mahitaji madaktari,
Serikali tatu Ni porojo za kishetani zinazolenga kulivuruga Taifa.
Acha wehu,aliyekuambia muundo WA serikali tatu Ni utetezi na kusimama na wanyonge Ni nani?huu Ni uwendawazimu sikiliza na soma hitaji la wanyonge.
1.Elimu bora kwa Watanzania hasa maskini vijijini
2.Upatikanaji WA uhakika WA chakula na Madawa
3.Upatikanaji WA miundombinu ya Maji,umwagiliaji,barabara,Viwanda bei nzuri za mazao kama pamba,Korosho.
4.uwepo wa maeneo tengwa kwa wafugaji na wakulima
4.Uwepo wa vitanda na dawa zakutosha katika mahospitali
5.Uwepo wa uhakika wa ajira kwa kuongeza tija ya uzalishaji na kuanzisha viwanda vya kuongeza thamani,
Hitaji la serikali tatu Ni,hitaji la kishetani.
hitaji la Umma Ni kuongeza ufaulu na kuwalipa vema walimu mishahara,
kujenga nyumba za waalimu na kuwapa mahitaji madaktari,
Serikali tatu Ni porojo za kishetani zinazolenga kulivuruga Taifa.
Acha wehu,aliyekuambia muundo WA serikali tatu Ni utetezi na kusimama na wanyonge Ni nani?huu Ni uwendawazimu sikiliza na soma hitaji la wanyonge.
1.Elimu bora kwa Watanzania hasa maskini vijijini
2.Upatikanaji WA uhakika WA chakula na Madawa
3.Upatikanaji WA miundombinu ya Maji,umwagiliaji,barabara,Viwanda bei nzuri za mazao kama pamba,Korosho.
4.uwepo wa maeneo tengwa kwa wafugaji na wakulima
4.Uwepo wa vitanda na dawa zakutosha katika mahospitali
5.Uwepo wa uhakika wa ajira kwa kuongeza tija ya uzalishaji na kuanzisha viwanda vya kuongeza thamani,
Hitaji la serikali tatu Ni,hitaji la kishetani.
hitaji la Umma Ni kuongeza ufaulu na kuwalipa vema walimu mishahara,
kujenga nyumba za waalimu na kuwapa mahitaji madaktari,
Serikali tatu Ni porojo za kishetani zinazolenga kulivuruga Taifa.
Hoja ninayojenga hapa Ni kuwa Katiba sio hitaji la nchi,I'm elite najua kabisa kuwa hayo Ni ya kiytendaji na sio ktk katiba,hivyo juhudi kubwa zipelekwe ktk haya
.
warioba amemsaliti kambarage nyerere.
Generalize katika kujenga hoja inaakisi mapungufu yaliyoko ndani ya hoja na kutokana na mapungufu hayo, unatumia mbinu ya mwanvuli kujaribu kuyafunika.
Unapoleta hoja ukisema CCM wanaeneza propaganda, kwa mtu mwenye maono pevu atafahamu hoja yako iko based on institution na kila institution ina taratibu na sheria katika uendeshaji wake.
CCM ina wasemaji wake na katika wasemaji wake ndiyo tamko au sauti rasmi ya CCM linapotolewa, kinyume cha hivyo, kutumia neno CCM katika kubainisha individuals within CCM ni upofu wa fikra na kama siyo upofu wa fikra, basi unachokifanya ni mwendelezo wa propaganda za kilaghai.
Kama kuna watu wamemtuhumu Mzee Warioba wana uhuru wa kufanya hivyo hasa ikichukuliwa kuwa hayo ni mawazo ya individuals kama wabunge wa bunge la Katiba. Kwa mtazamo wako unataka kutuambia kuwa hakuna wanaCCM waliozomea bungeni au kupinga Rasimu ya pili ya Katiba kuwasilishwa kabla ya hotuba ya Rais Kikwete ya kulifungua Rasmi Bunge la Katiba. Kama wapo, unawaweka wapi katika hoja yako hii.
Wewe ndiyo unaeneza propaganda kutaka kutushawishi kuwa chama cha CCM kina tatizo na utendaji wa Mzee Warioba kama vile Rasimu ya Katiba iliandikwa na mjumbe mmoja.
Huu upotoshaji wenu hautawasaidia katika kupata kile mnachokitafuta kwa mlango wa nyuma.
Maamuzi ya kuridhia Katiba mpya yako mikononi mwa wananchi wengi.
Acha wehu,aliyekuambia muundo WA serikali tatu Ni utetezi na kusimama na wanyonge Ni nani?huu Ni uwendawazimu sikiliza na soma hitaji la wanyonge.
1.Elimu bora kwa Watanzania hasa maskini vijijini
2.Upatikanaji WA uhakika WA chakula na Madawa
3.Upatikanaji WA miundombinu ya Maji,umwagiliaji,barabara,Viwanda bei nzuri za mazao kama pamba,Korosho.
4.uwepo wa maeneo tengwa kwa wafugaji na wakulima
4.Uwepo wa vitanda na dawa zakutosha katika mahospitali
5.Uwepo wa uhakika wa ajira kwa kuongeza tija ya uzalishaji na kuanzisha viwanda vya kuongeza thamani,
Hitaji la serikali tatu Ni,hitaji la kishetani.
hitaji la Umma Ni kuongeza ufaulu na kuwalipa vema walimu mishahara,
kujenga nyumba za waalimu na kuwapa mahitaji madaktari,
Serikali tatu Ni porojo za kishetani zinazolenga kulivuruga Taifa.
Wote wanaopenda ukweli na utaratibu wapo nyuma ya Mzee wetu Warioba!Mkuu Mwana Mpotevu,propaganda hizo zitashindwa na Jaji Warioba atatetea anachokiamini kama Mwenyekiti wa Tume ya Katiba
warioba amemsaliti kambarage nyerere.
Kwa hiyo Ndugai anafurahia kuwa Sita hamzidi akili wala uwezo, wote ni flat.
ndugai anachekelea kijinopembehahaha ngoma droo mjomba