CCM waeneza propaganda Dodoma kumtuhumu Warioba kuvuruga bunge leo jioni

CCM waeneza propaganda Dodoma kumtuhumu Warioba kuvuruga bunge leo jioni

kingukitano inaonyesha hata hujui katiba ni nini maana uliyotaja yote hayawezi kuwakwa kwenye katiba bala ni kwenye sheria na sera mbalimbali halafu eti unajiona na wewe mwana harakati, nenda shule kwanza.

Hoja ninayojenga hapa Ni kuwa Katiba sio hitaji la nchi,I'm elite najua kabisa kuwa hayo Ni ya kiytendaji na sio ktk katiba,hivyo juhudi kubwa zipelekwe ktk haya


.
 
Last edited by a moderator:
Acha wehu,aliyekuambia muundo WA serikali tatu Ni utetezi na kusimama na wanyonge Ni nani?huu Ni uwendawazimu sikiliza na soma hitaji la wanyonge.

1.Elimu bora kwa Watanzania hasa maskini vijijini
2.Upatikanaji WA uhakika WA chakula na Madawa
3.Upatikanaji WA miundombinu ya Maji,umwagiliaji,barabara,Viwanda bei nzuri za mazao kama pamba,Korosho.
4.uwepo wa maeneo tengwa kwa wafugaji na wakulima
4.Uwepo wa vitanda na dawa zakutosha katika mahospitali
5.Uwepo wa uhakika wa ajira kwa kuongeza tija ya uzalishaji na kuanzisha viwanda vya kuongeza thamani,

Hitaji la serikali tatu Ni,hitaji la kishetani.

hitaji la Umma Ni kuongeza ufaulu na kuwalipa vema walimu mishahara,

kujenga nyumba za waalimu na kuwapa mahitaji madaktari,

Serikali tatu Ni porojo za kishetani zinazolenga kulivuruga Taifa.

Huyo malaika apaswaye kuyatimiza hayo mambo matano uliyoyasema akijaribu kujitokeza shetani ccm watampiga bomu la nyigulia atawanyike yasipatikane mabaki yake popote.

UKOME KUITA SERIKALI TATU NI POROJO ZA KISHETANI
nakutafutia tusi nikubandike usoni ili kila atakayekuona akudharau
 
Hebu soma kanuni ya 47-1 na kanuni 31-1 ya kanuni na sheria ya mabadiliko ya katiba 20-3 kisha tunaweza kujua tatizo.
 
Acha wehu,aliyekuambia muundo WA serikali tatu Ni utetezi na kusimama na wanyonge Ni nani?huu Ni uwendawazimu sikiliza na soma hitaji la wanyonge.

1.Elimu bora kwa Watanzania hasa maskini vijijini
2.Upatikanaji WA uhakika WA chakula na Madawa
3.Upatikanaji WA miundombinu ya Maji,umwagiliaji,barabara,Viwanda bei nzuri za mazao kama pamba,Korosho.
4.uwepo wa maeneo tengwa kwa wafugaji na wakulima
4.Uwepo wa vitanda na dawa zakutosha katika mahospitali
5.Uwepo wa uhakika wa ajira kwa kuongeza tija ya uzalishaji na kuanzisha viwanda vya kuongeza thamani,

Hitaji la serikali tatu Ni,hitaji la kishetani.

hitaji la Umma Ni kuongeza ufaulu na kuwalipa vema walimu mishahara,

kujenga nyumba za waalimu na kuwapa mahitaji madaktari,

Serikali tatu Ni porojo za kishetani zinazolenga kulivuruga Taifa.

Hayo ni maoni yako wewe usitake yawe ya wtz wote Kama z'bar wana serikali yao why not Tanganyika? Kwanza sioni faida ya muungano, kwenda z'bar niwe na p'port wao tz free
 
Hili Bunge bora livunjwe tu kuliko kulinda maslai ya ccm.!
 
bantulile wakati bunge jioni linaamza prof lipumba alisimama kuomba mwongozo ili kanuni zifuatwe lakini sitta alikataa na kumuita warioba kuja kuanza kusoma. Kukawa hakuna room ya kuzuia uvunjaji kanuni zaidi ya kuwasha moto juu ya moto liwalo na liwe
 
Last edited by a moderator:
Acha wehu,aliyekuambia muundo WA serikali tatu Ni utetezi na kusimama na wanyonge Ni nani?huu Ni uwendawazimu sikiliza na soma hitaji la wanyonge.

1.Elimu bora kwa Watanzania hasa maskini vijijini
2.Upatikanaji WA uhakika WA chakula na Madawa
3.Upatikanaji WA miundombinu ya Maji,umwagiliaji,barabara,Viwanda bei nzuri za mazao kama pamba,Korosho.
4.uwepo wa maeneo tengwa kwa wafugaji na wakulima
4.Uwepo wa vitanda na dawa zakutosha katika mahospitali
5.Uwepo wa uhakika wa ajira kwa kuongeza tija ya uzalishaji na kuanzisha viwanda vya kuongeza thamani,

Hitaji la serikali tatu Ni,hitaji la kishetani.

hitaji la Umma Ni kuongeza ufaulu na kuwalipa vema walimu mishahara,

kujenga nyumba za waalimu na kuwapa mahitaji madaktari,

Serikali tatu Ni porojo za kishetani zinazolenga kulivuruga Taifa.

Lazma una matatizo katika kusoma mambo na kuyaelewa na kuweza kutofuatisha muktadha wa kila jambo and its application, sion sababu ya kumtukana huyo uliyemquote.
 
Hoja ninayojenga hapa Ni kuwa Katiba sio hitaji la nchi,I'm elite najua kabisa kuwa hayo Ni ya kiytendaji na sio ktk katiba,hivyo juhudi kubwa zipelekwe ktk haya


.

Kingukitano, kwa mchango wako wa awali na haya unayoyasema u dont fall within the ambit of being called an elite. Nenda kasome kwanza ujue kipi ni kipi na kinafaa wapi, unataka ujenzi wa madarasa na nyumba za walimu utajwe kwenye katiba?
 
Generalize katika kujenga hoja inaakisi mapungufu yaliyoko ndani ya hoja na kutokana na mapungufu hayo, unatumia mbinu ya mwanvuli kujaribu kuyafunika.

Unapoleta hoja ukisema CCM wanaeneza propaganda, kwa mtu mwenye maono pevu atafahamu hoja yako iko based on institution na kila institution ina taratibu na sheria katika uendeshaji wake.

CCM ina wasemaji wake na katika wasemaji wake ndiyo tamko au sauti rasmi ya CCM linapotolewa, kinyume cha hivyo, kutumia neno CCM katika kubainisha individuals within CCM ni upofu wa fikra na kama siyo upofu wa fikra, basi unachokifanya ni mwendelezo wa propaganda za kilaghai.

Kama kuna watu wamemtuhumu Mzee Warioba wana uhuru wa kufanya hivyo hasa ikichukuliwa kuwa hayo ni mawazo ya individuals kama wabunge wa bunge la Katiba. Kwa mtazamo wako unataka kutuambia kuwa hakuna wanaCCM waliozomea bungeni au kupinga Rasimu ya pili ya Katiba kuwasilishwa kabla ya hotuba ya Rais Kikwete ya kulifungua Rasmi Bunge la Katiba. Kama wapo, unawaweka wapi katika hoja yako hii.

Wewe ndiyo unaeneza propaganda kutaka kutushawishi kuwa chama cha CCM kina tatizo na utendaji wa Mzee Warioba kama vile Rasimu ya Katiba iliandikwa na mjumbe mmoja.

Huu upotoshaji wenu hautawasaidia katika kupata kile mnachokitafuta kwa mlango wa nyuma.

Maamuzi ya kuridhia Katiba mpya yako mikononi mwa wananchi wengi.

Acha kutetea CCM,ni upuuzi mtupu,inaumiza sana kuona kodi zetu zinachezewa
 
Acha wehu,aliyekuambia muundo WA serikali tatu Ni utetezi na kusimama na wanyonge Ni nani?huu Ni uwendawazimu sikiliza na soma hitaji la wanyonge.

1.Elimu bora kwa Watanzania hasa maskini vijijini
2.Upatikanaji WA uhakika WA chakula na Madawa
3.Upatikanaji WA miundombinu ya Maji,umwagiliaji,barabara,Viwanda bei nzuri za mazao kama pamba,Korosho.
4.uwepo wa maeneo tengwa kwa wafugaji na wakulima
4.Uwepo wa vitanda na dawa zakutosha katika mahospitali
5.Uwepo wa uhakika wa ajira kwa kuongeza tija ya uzalishaji na kuanzisha viwanda vya kuongeza thamani,

Hitaji la serikali tatu Ni,hitaji la kishetani.

hitaji la Umma Ni kuongeza ufaulu na kuwalipa vema walimu mishahara,

kujenga nyumba za waalimu na kuwapa mahitaji madaktari,

Serikali tatu Ni porojo za kishetani zinazolenga kulivuruga Taifa.

Mimi nadhani wewe ndiye mwehu kidogo labda!!

Sasa haya yoote utayapata kupitia mfumo gani??
 
Kwa hiyo Ndugai anafurahia kuwa Sita hamzidi akili wala uwezo, wote ni flat.
 
Back
Top Bottom