kingukitano
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 1,971
- 497
kingukitano inaonyesha hata hujui katiba ni nini maana uliyotaja yote hayawezi kuwakwa kwenye katiba bala ni kwenye sheria na sera mbalimbali halafu eti unajiona na wewe mwana harakati, nenda shule kwanza.
Hoja ninayojenga hapa Ni kuwa Katiba sio hitaji la nchi,I'm elite najua kabisa kuwa hayo Ni ya kiytendaji na sio ktk katiba,hivyo juhudi kubwa zipelekwe ktk haya
.
Last edited by a moderator: