Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Hata Albashir pale sudani aliweza kufanya hivyo lkn leo hii yuko wapi?
In God we Trust
Mimi siwezi kwasababu sitaki kununiwa na machalii wangu, ila kwa mujibu wa trends za political dynamics na hii political landscape tuliyonayo sasa, kwa uchaguzi wa 2020 kwa huku bara ni CCM and CCM only.
Trend Reading: Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je tunarejea nchi ya Chama kimoja? - JamiiForums
P
In God we Trust