Uchaguzi 2020 CCM wajipanga kumng'oa Halima Mdee Jimbo la Kawe

Uchaguzi 2020 CCM wajipanga kumng'oa Halima Mdee Jimbo la Kawe

Sheikh ungefaa sana, better than wote hawa wanaobeba majina ya Baba Zao, ama huyu dada aliyewasahau wapiga kura wake na kubakia activists kama musiba.

Nakushauri usife moyo hata chembe go for it, once ukishaamua tutakushauri mapungufu yako, yanayohitaji marekebisho.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wacha kumchuuza mwenzako maana atapigwa za shingo kama agent wenu Mbatia alivyo chakazwa na huyo Kipi alivyo nawishwa

In God we Trust
 
Kama wanavyo jikomba sasa hivi yaani hakuna cha maadili sasa ni full kujikomba tu
Trend yako ina uwezekano mkubwa kutokea.

Bunge likiwa na chama kimoja linaweza kuwa bunge la ajabu maana wengi hata kwenye kutimiza majukumu yao watajificha kwenye kichaka cha kujikomba kupata uwaziri.

To be honest, CDM enzi zile Dr. Slaa akiwa mjengoni ilikuwa na wabunge wachache sana, ila walikuwa very clinical.

Msimu wa "Baba" kuna Watanzania wachache sana wenye ujasiri wa kumwambia "Baba" hili sio sawa, ungefanya hivi matokeo yake yangekuwa bora zaidi.
Mnazareth aliwahi kuuliza; atakapukuja ataikuta imani???
Imani moja wapo ni ku-reason kwa pamoja na wakubwa/mkubwa kwa hoja pasi uwoga. Maana Muumba mwenyewe kuna sehemu kasema ...come and let us reason reason together...


Sent using Jamii Forums mobile app

In God we Trust
 
Wape salaaaam
Pascal, tumehuru inakuja hivyo mawazo hayo ondoa kuhusu CCM. Jamaa safari hii wamedinda, hakuna tumehuru hakuna uchaguzi. Na Nina kuhakikishia kama hili wanalidhania ni utani basi vita yetu ya ndani yaja.
Na huo ujeuri utaleta hivyo vita, watu watakufa maana ni vita. Wao watakufa na sisi walala hoi tutakufa.
Wakubwa watakapopoteza wapendwa wao ndio watajua haya tuyasemayo Leo yalikuwa ya nia njema kunusuru nchi.
TUMEHURU NDIO AMANI YA NCHI

Sent using Jamii Forums mobile app

In God we Trust
 
Wape salaaaaam hao maccm
Mimi pia kwetu Kawe ukweli ni kwamba kihalali Halima Mdee hawezi kushidwa. Kipi Warioba aliiba sana lakini akashidwa na sasa Halima ni mtu mzima zaidi na anapedwa zaidi. Vijana wa vijiwe wote ni wa Halima saaa ni ngumu sana. Ukienda kwenye masoko ya samaki , stendi za bodaboda wote Halima. Kihalali pale pa gumu ni fujo tu mnaandaa.

Kule ununio hatuoni pesa ya kodi serikali inapeleka wapi hakuna barabara za ndani wakati sisi niwalipa kodi wakubwa sana umeme tumevuta wenyewe, maji tumeweka wenyewe hata kituo cha polisi tunataka kujenga wenyewe lakini serikali inataka tuwape pesa wajenge!. Yaani kila mtu anaweka ulinzi binafsi kwenye nyuma wakati tungeweza kuwa na polisi na tukamlipa lakini tatizo sio Mbunge. Mbunge anadai mambo yote na watu wanaona hilo tatizo ni serikali ya mkoa. Barabara chafu wakati watu wanalipia kodi

In God we Trust
 
Mimi pia kwetu Kawe ukweli ni kwamba kihalali Halima Mdee hawezi kushidwa. Kipi Warioba aliiba sana lakini akashidwa na sasa Halima ni mtu mzima zaidi na anapedwa zaidi. Vijana wa vijiwe wote ni wa Halima saaa ni ngumu sana. Ukienda kwenye masoko ya samaki , stendi za bodaboda wote Halima. Kihalali pale pa gumu ni fujo tu mnaandaa.

Kule ununio hatuoni pesa ya kodi serikali inapeleka wapi hakuna barabara za ndani wakati sisi niwalipa kodi wakubwa sana umeme tumevuta wenyewe, maji tumeweka wenyewe hata kituo cha polisi tunataka kujenga wenyewe lakini serikali inataka tuwape pesa wajenge!. Yaani kila mtu anaweka ulinzi binafsi kwenye nyuma wakati tungeweza kuwa na polisi na tukamlipa lakini tatizo sio Mbunge. Mbunge anadai mambo yote na watu wanaona hilo tatizo ni serikali ya mkoa. Barabara chafu wakati watu wanalipia kodi
Sijui kama atakuwa na sifa za kugombea tena hata kama atakuwa uraiani. Hii ni kutokana na kosa la kiufundi la kujipeleka Segerea na hatimaye kaambulia kesi ya kufanya fujo magereza.
 
NIKWAMBIE USIJARIBU

CCM najua itafanya kuharibu na kuiba haki za watu Paskali usiwe mmoja wao katika jambo hili.
Hautakuwa na amani kamwe na utalaaniwa mpk na watoto, na maisha yako yote utatakiwa uwe mwana siasa ili kutuliza hofu na laana unapopewa vizawadi vya kisiasa.

Laana ya Bwana i katika nyumba ya waovu, Bali huibariki maskani ya mwenye haki. Mithali 3:33. Usiingie katika njia ya waovu, Wala usitembee katika njia ya wabaya. Mithali 4:14

Mimi naamini ushindi wa hira ni laana mbele za MUNGU chama cha ccm kinaweza kuonekana machoni pako ni kizuri sana lkn kuna mambo ya hira na uporaji wa haki.
Nimekwambia usije sema hapo baadae hatukukwambia, mjumbe hauawi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Trend yako ina uwezekano mkubwa kutokea.

Bunge likiwa na chama kimoja linaweza kuwa bunge la ajabu maana wengi hata kwenye kutimiza majukumu yao watajificha kwenye kichaka cha kujikomba kupata uwaziri.

To be honest, CDM enzi zile Dr. Slaa akiwa mjengoni ilikuwa na wabunge wachache sana, ila walikuwa very clinical.

Msimu wa "Baba" kuna Watanzania wachache sana wenye ujasiri wa kumwambia "Baba" hili sio sawa, ungefanya hivi matokeo yake yangekuwa bora zaidi.
Mnazareth aliwahi kuuliza; atakapukuja ataikuta imani???
Imani moja wapo ni ku-reason kwa pamoja na wakubwa/mkubwa kwa hoja pasi uwoga. Maana Muumba mwenyewe kuna sehemu kasema ...come and let us reason reason together...


Sent using Jamii Forums mobile app
Unayoisema enzi, ni wakati angalau utawala wa kikatiba ulikuwa unaheshimiwa. Enzi za sasa, zimebadilika... SIasa imerudi kwenye harakati, kwa sababu ya kitisho cha aina ya utawala wa sasa... Nafikiri una macho na ufahamu wa kutambua mabadiliko..Hata hicho unachokisifu kilitokana na utendaji wa kuruhusu upinzani, bila kupigana.
 
Hali ya kisiasa jimbo la Kawe kwa sasa ni kama CCM inajipanga kupata mgombea safi kuweza kumng'oa mbunge wa sasa Halima Mdee. Wanaotajwa upande wa CCM ni Kipi warioba, Angela Kiziga, Benjamini Sita na vigogo wengine wawili waliokuwa wabunge 3 wa majimbo ya mikoa ya bara na sasa wanapanga kugombea jimbo la Kawe
Hao uliowataja wote hakuna mbunge hapo.

Kawe inamsubiri Dr Slaa!
 
Hali ya kisiasa jimbo la Kawe kwa sasa ni kama CCM inajipanga kupata mgombea safi kuweza kumng'oa mbunge wa sasa Halima Mdee.

Wanaotajwa upande wa CCM ni Kipi warioba, Angela Kiziga, Benjamini Sita na vigogo wengine wawili waliokuwa wabunge 3 wa majimbo ya mikoa ya bara na sasa wanapanga kugombea jimbo la Kawe
 
huyo kippi huyo kila chaguzi za jimbo la kawe anagaragazwa na Halima, ebu mleteni tena 2020 muone atakavyo isoma namba!
 
ccm badala ya kuhangaikia mambo yenye tija kwa taifa na majanga yanayohusu nchi wao wanapanga wizi wa kura kumuondoa mdee! shame to ccm!
 
Sheikh ungefaa sana, better than wote hawa wanaobeba majina ya Baba Zao, ama huyu dada aliyewasahau wapiga kura wake na kubakia activists kama musiba.

Nakushauri usife moyo hata chembe go for it, once ukishaamua tutakushauri mapungufu yako, yanayohitaji marekebisho.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani Mayalla ni jina la mama yake!?
 
Mimi siwezi kwasababu sitaki kununiwa na machalii wangu, ila kwa mujibu wa trends za political dynamics na hii political landscape tuliyonayo sasa, kwa uchaguzi wa 2020 kwa huku bara ni CCM and CCM only.
Trend Reading: Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je tunarejea nchi ya Chama kimoja? - JamiiForums
P
Itasaidia nini P. Kuwa na CCM 100% huku bara ?!
Je ndiyo maendeleo tuliyoahidiwa na awamu hii ?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hali ya kisiasa jimbo la Kawe kwa sasa ni kama CCM inajipanga kupata mgombea safi kuweza kumng'oa mbunge wa sasa Halima Mdee.

Wanaotajwa upande wa CCM ni Kipi warioba, Angela Kiziga, Benjamini Sita na vigogo wengine wawili waliokuwa wabunge 3 wa majimbo ya mikoa ya bara na sasa wanapanga kugombea jimbo la Kawe
Badala ya kung'oa matatizo wanang'oa watu,sisasa za kijinga
Kwani majimbo ya sana ccm yana maendeleo yepi?
 
Pascal, tumehuru inakuja hivyo mawazo hayo ondoa kuhusu CCM. Jamaa safari hii wamedinda, hakuna tumehuru hakuna uchaguzi. Na Nina kuhakikishia kama hili wanalidhania ni utani basi vita yetu ya ndani yaja.
Na huo ujeuri utaleta hivyo vita, watu watakufa maana ni vita. Wao watakufa na sisi walala hoi tutakufa.
Wakubwa watakapopoteza wapendwa wao ndio watajua haya tuyasemayo Leo yalikuwa ya nia njema kunusuru nchi.
TUMEHURU NDIO AMANI YA NCHI

Sent using Jamii Forums mobile app
Pamoja Mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom