Uchaguzi 2020 CCM wajipanga kumng'oa Halima Mdee Jimbo la Kawe

Uchaguzi 2020 CCM wajipanga kumng'oa Halima Mdee Jimbo la Kawe

CCM kwanza pambana na Corona ndio mpinzani namba mmoja
 
Kama mkaazi wa Kawe tumejipanga kumchukulia fomu Halima Mdee na kumlipia fees zote huduma.


Ni hayo kwa leo Naomba niishie hapo.
 
Hali ya kisiasa jimbo la Kawe kwa sasa ni kama CCM inajipanga kupata mgombea safi kuweza kumng'oa mbunge wa sasa Halima Mdee.

Wanaotajwa upande wa CCM ni Kipi warioba, Angela Kiziga, Benjamini Sita na vigogo wengine wawili waliokuwa wabunge 3 wa majimbo ya mikoa ya bara na sasa wanapanga kugombea jimbo la Kawe

Then what?
 
Badala ya kujipanga waiondoe Corona wao wanapambana na Halima Mdee,
Kweli CCM imefilisika kisiasa.
 
Hali ya kisiasa jimbo la Kawe kwa sasa ni kama CCM inajipanga kupata mgombea safi kuweza kumng'oa mbunge wa sasa Halima Mdee.

Wanaotajwa upande wa CCM ni Kipi warioba, Angela Kiziga, Benjamini Sita na vigogo wengine wawili waliokuwa wabunge 3 wa majimbo ya mikoa ya bara na sasa wanapanga kugombea jimbo la Kawe
Wajipange kuing'oa Corona nchini kwanza. CCM na Corona lao moja
 
Mimi siwezi kwasababu sitaki kununiwa na machalii wangu, ila kwa mujibu wa trends za political dynamics na hii political landscape tuliyonayo sasa, kwa uchaguzi wa 2020 kwa huku bara ni CCM and CCM only.
Trend Reading: Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je tunarejea nchi ya Chama kimoja? - JamiiForums
P
Kwaniw mwaka huu wewe naw chama chako mtafanya uchaguzi gani tena?si mmeshapita bila kupingwa.Kama mazingaombwe ya Serikali za mitaa.
 
Hapo kitengeeeeeeeeeee anagombea za chini ya kapeti
Hali ya kisiasa jimbo la Kawe kwa sasa ni kama CCM inajipanga kupata mgombea safi kuweza kumng'oa mbunge wa sasa Halima Mdee.

Wanaotajwa upande wa CCM ni Kipi warioba, Angela Kiziga, Benjamini Sita na vigogo wengine wawili waliokuwa wabunge 3 wa majimbo ya mikoa ya bara na sasa wanapanga kugombea jimbo la Kawe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Kihava, Corona ni janga deadly si busara kuifananisha na chama chochote cha siasa.
Kuna kichaa mmoja aliofananisha Corona na wapinzani, hata mpinzani anayefananisha Corona na CCM ni kichaa tuu.
P
Mbona hukumkemea huyo kichaa ukaishia tu kusema du! Kumbukumbu tunazo
 
Siasa zimebadilika Halima Hali yake jimboni mbaya
 
Hali ya kisiasa jimbo la Kawe kwa sasa ni kama CCM inajipanga kupata mgombea safi kuweza kumng'oa mbunge wa sasa Halima Mdee.

Wanaotajwa upande wa CCM ni Kipi warioba, Angela Kiziga, Benjamini Sita na vigogo wengine wawili waliokuwa wabunge 3 wa majimbo ya mikoa ya bara na sasa wanapanga kugombea jimbo la Kawe
Watanzania wenzangu mwaka 2020 ni wakati muafaka kuwapumzisha wale wabungeni "wapenda kesi" wakajitafakari kuna mtu miaka mitano yote yeye na kesi tu pale Kisutu huku jimbo amelitelekeza. Ikiisha moja anakimbilia kutafuta nyingine kwa nguvu zote.
 
Sijui kama atakuwa na sifa za kugombea tena hata kama atakuwa uraiani. Hii ni kutokana na kosa la kiufundi la kujipeleka Segerea na hatimaye kaambulia kesi ya kufanya fujo magereza.

Hizi kesi za kubambikwa tu. Chochote kinaweza kutokea kwenye nchi yetu ya mateso. Nchi ya sita kutoka chini Dunia nzima kwa watu wasio na furaha. Kumtoa Halima kwa mizengwe haitasaidia taifa kwa lolote. Tatizo ni viongozi wa mkoa je kuna kitu gani ambacho wanashidwa kufanya sasa mfano usafi, barabara nk. Yaani watu hawana raha kuliko nchi za kivita na ukimbizi halafu badala ya kujiuliza mnaendelea kunyanyasa watu hii ni timing bomb
 
Back
Top Bottom