Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 13,942
- 15,371
Mkuu bora uahirishe usije ukaambulia aibu! Hao wenzio wenyewe wanategemea nguvu ya wizi wa kura hadharani maana najua kama sanduku la haki bin haki wa kumtoa Halima bado hajazaliwa! Kipi bora abaki na u-DC wake asije akakosa vyote!Duh...!. Mimi mwenyewe naishi Kawe na nilipanga..
P