Mimi siwezi kwasababu sitaki kununiwa na machalii wangu, ila kwa mujibu wa trends za political dynamics na hii political landscape tuliyonayo sasa, kwa uchaguzi wa 2020 kwa huku bara ni CCM and CCM only.
Trend Reading: Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je tunarejea nchi ya Chama kimoja? - JamiiForums
P
Wacha kumchuuza mwenzako maana atapigwa za shingo kama agent wenu Mbatia alivyo chakazwa na huyo Kipi alivyo nawishwaSheikh ungefaa sana, better than wote hawa wanaobeba majina ya Baba Zao, ama huyu dada aliyewasahau wapiga kura wake na kubakia activists kama musiba.
Nakushauri usife moyo hata chembe go for it, once ukishaamua tutakushauri mapungufu yako, yanayohitaji marekebisho.
Sent using Jamii Forums mobile app
Trend yako ina uwezekano mkubwa kutokea.
Bunge likiwa na chama kimoja linaweza kuwa bunge la ajabu maana wengi hata kwenye kutimiza majukumu yao watajificha kwenye kichaka cha kujikomba kupata uwaziri.
To be honest, CDM enzi zile Dr. Slaa akiwa mjengoni ilikuwa na wabunge wachache sana, ila walikuwa very clinical.
Msimu wa "Baba" kuna Watanzania wachache sana wenye ujasiri wa kumwambia "Baba" hili sio sawa, ungefanya hivi matokeo yake yangekuwa bora zaidi.
Mnazareth aliwahi kuuliza; atakapukuja ataikuta imani???
Imani moja wapo ni ku-reason kwa pamoja na wakubwa/mkubwa kwa hoja pasi uwoga. Maana Muumba mwenyewe kuna sehemu kasema ...come and let us reason reason together...
Sent using Jamii Forums mobile app
Pascal, tumehuru inakuja hivyo mawazo hayo ondoa kuhusu CCM. Jamaa safari hii wamedinda, hakuna tumehuru hakuna uchaguzi. Na Nina kuhakikishia kama hili wanalidhania ni utani basi vita yetu ya ndani yaja.
Na huo ujeuri utaleta hivyo vita, watu watakufa maana ni vita. Wao watakufa na sisi walala hoi tutakufa.
Wakubwa watakapopoteza wapendwa wao ndio watajua haya tuyasemayo Leo yalikuwa ya nia njema kunusuru nchi.
TUMEHURU NDIO AMANI YA NCHI
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi pia kwetu Kawe ukweli ni kwamba kihalali Halima Mdee hawezi kushidwa. Kipi Warioba aliiba sana lakini akashidwa na sasa Halima ni mtu mzima zaidi na anapedwa zaidi. Vijana wa vijiwe wote ni wa Halima saaa ni ngumu sana. Ukienda kwenye masoko ya samaki , stendi za bodaboda wote Halima. Kihalali pale pa gumu ni fujo tu mnaandaa.
Kule ununio hatuoni pesa ya kodi serikali inapeleka wapi hakuna barabara za ndani wakati sisi niwalipa kodi wakubwa sana umeme tumevuta wenyewe, maji tumeweka wenyewe hata kituo cha polisi tunataka kujenga wenyewe lakini serikali inataka tuwape pesa wajenge!. Yaani kila mtu anaweka ulinzi binafsi kwenye nyuma wakati tungeweza kuwa na polisi na tukamlipa lakini tatizo sio Mbunge. Mbunge anadai mambo yote na watu wanaona hilo tatizo ni serikali ya mkoa. Barabara chafu wakati watu wanalipia kodi
Sijui kama atakuwa na sifa za kugombea tena hata kama atakuwa uraiani. Hii ni kutokana na kosa la kiufundi la kujipeleka Segerea na hatimaye kaambulia kesi ya kufanya fujo magereza.Mimi pia kwetu Kawe ukweli ni kwamba kihalali Halima Mdee hawezi kushidwa. Kipi Warioba aliiba sana lakini akashidwa na sasa Halima ni mtu mzima zaidi na anapedwa zaidi. Vijana wa vijiwe wote ni wa Halima saaa ni ngumu sana. Ukienda kwenye masoko ya samaki , stendi za bodaboda wote Halima. Kihalali pale pa gumu ni fujo tu mnaandaa.
Kule ununio hatuoni pesa ya kodi serikali inapeleka wapi hakuna barabara za ndani wakati sisi niwalipa kodi wakubwa sana umeme tumevuta wenyewe, maji tumeweka wenyewe hata kituo cha polisi tunataka kujenga wenyewe lakini serikali inataka tuwape pesa wajenge!. Yaani kila mtu anaweka ulinzi binafsi kwenye nyuma wakati tungeweza kuwa na polisi na tukamlipa lakini tatizo sio Mbunge. Mbunge anadai mambo yote na watu wanaona hilo tatizo ni serikali ya mkoa. Barabara chafu wakati watu wanalipia kodi
Tuombee Sheria ya mgombea binafsiDuh...!. Mimi mwenyewe naishi Kawe na nilipanga..
P
Unayoisema enzi, ni wakati angalau utawala wa kikatiba ulikuwa unaheshimiwa. Enzi za sasa, zimebadilika... SIasa imerudi kwenye harakati, kwa sababu ya kitisho cha aina ya utawala wa sasa... Nafikiri una macho na ufahamu wa kutambua mabadiliko..Hata hicho unachokisifu kilitokana na utendaji wa kuruhusu upinzani, bila kupigana.Trend yako ina uwezekano mkubwa kutokea.
Bunge likiwa na chama kimoja linaweza kuwa bunge la ajabu maana wengi hata kwenye kutimiza majukumu yao watajificha kwenye kichaka cha kujikomba kupata uwaziri.
To be honest, CDM enzi zile Dr. Slaa akiwa mjengoni ilikuwa na wabunge wachache sana, ila walikuwa very clinical.
Msimu wa "Baba" kuna Watanzania wachache sana wenye ujasiri wa kumwambia "Baba" hili sio sawa, ungefanya hivi matokeo yake yangekuwa bora zaidi.
Mnazareth aliwahi kuuliza; atakapukuja ataikuta imani???
Imani moja wapo ni ku-reason kwa pamoja na wakubwa/mkubwa kwa hoja pasi uwoga. Maana Muumba mwenyewe kuna sehemu kasema ...come and let us reason reason together...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao uliowataja wote hakuna mbunge hapo.Hali ya kisiasa jimbo la Kawe kwa sasa ni kama CCM inajipanga kupata mgombea safi kuweza kumng'oa mbunge wa sasa Halima Mdee. Wanaotajwa upande wa CCM ni Kipi warioba, Angela Kiziga, Benjamini Sita na vigogo wengine wawili waliokuwa wabunge 3 wa majimbo ya mikoa ya bara na sasa wanapanga kugombea jimbo la Kawe
Hali ya kisiasa jimbo la Kawe kwa sasa ni kama CCM inajipanga kupata mgombea safi kuweza kumng'oa mbunge wa sasa Halima Mdee.
Wanaotajwa upande wa CCM ni Kipi warioba, Angela Kiziga, Benjamini Sita na vigogo wengine wawili waliokuwa wabunge 3 wa majimbo ya mikoa ya bara na sasa wanapanga kugombea jimbo la Kawe
Calamitous anko PMimi siwezi kwasababu sitaki kununiwa na machalii wangu, ila kwa mujibu wa trends za political dynamics na hii political landscape tuliyonayo sasa, kwa uchaguzi wa 2020 kwa huku bara ni CCM and CCM only.
Trend Reading: Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je tunarejea nchi ya Chama kimoja? - JamiiForums
P
Kwani Mayalla ni jina la mama yake!?Sheikh ungefaa sana, better than wote hawa wanaobeba majina ya Baba Zao, ama huyu dada aliyewasahau wapiga kura wake na kubakia activists kama musiba.
Nakushauri usife moyo hata chembe go for it, once ukishaamua tutakushauri mapungufu yako, yanayohitaji marekebisho.
Sent using Jamii Forums mobile app
Itasaidia nini P. Kuwa na CCM 100% huku bara ?!Mimi siwezi kwasababu sitaki kununiwa na machalii wangu, ila kwa mujibu wa trends za political dynamics na hii political landscape tuliyonayo sasa, kwa uchaguzi wa 2020 kwa huku bara ni CCM and CCM only.
Trend Reading: Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je tunarejea nchi ya Chama kimoja? - JamiiForums
P
Gombea broo ukikosa utapewa hata udc maana huwa unapoint sana na unatokea kanda pendwaDuh...!.
P
akili yangu na yako ziko sawa. nilishangaa mabadiliko makubwa ya machapisho yake humu.Kachukue sisi wanaJF TUTAKUPIGA TAFU MKUU TUKO ZAIDI YA 1m tukikuchangia mawazo na rasilimali kama chadema mbona unaupata.......ila sasa uwe nutral
Badala ya kung'oa matatizo wanang'oa watu,sisasa za kijingaHali ya kisiasa jimbo la Kawe kwa sasa ni kama CCM inajipanga kupata mgombea safi kuweza kumng'oa mbunge wa sasa Halima Mdee.
Wanaotajwa upande wa CCM ni Kipi warioba, Angela Kiziga, Benjamini Sita na vigogo wengine wawili waliokuwa wabunge 3 wa majimbo ya mikoa ya bara na sasa wanapanga kugombea jimbo la Kawe
Pamoja Mkuu.Pascal, tumehuru inakuja hivyo mawazo hayo ondoa kuhusu CCM. Jamaa safari hii wamedinda, hakuna tumehuru hakuna uchaguzi. Na Nina kuhakikishia kama hili wanalidhania ni utani basi vita yetu ya ndani yaja.
Na huo ujeuri utaleta hivyo vita, watu watakufa maana ni vita. Wao watakufa na sisi walala hoi tutakufa.
Wakubwa watakapopoteza wapendwa wao ndio watajua haya tuyasemayo Leo yalikuwa ya nia njema kunusuru nchi.
TUMEHURU NDIO AMANI YA NCHI
Sent using Jamii Forums mobile app