Mkuu bora uahirishe usije ukaambulia aibu! Hao wenzio wenyewe wanategemea nguvu ya wizi wa kura hadharani maana najua kama sanduku la haki bin haki wa kumtoa Halima bado hajazaliwa! Kipi bora abaki na u-DC wake asije akakosa vyote!Duh...!. Mimi mwenyewe naishi Kawe na nilipanga..
P
kweli Halima jembe lakini limechomekwa kwenye mpini dhaifu. hata ikibidi majimbo yote yawe YA CCM 2020 sawa tu sisi tunataka maendeleo.na CCM imejipambanua kwamba kumbe inaweza kusimamia na kufanya mambo.Mimi siwezi kwasababu sitaki kununiwa na machalii wangu, ila kwa mujibu wa trends za political dynamics na hii political landscape tuliyonayo sasa, kwa uchaguzi wa 2020 kwa huku bara ni CCM and CCM only.
Trend Reading: Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je tunarejea nchi ya Chama kimoja? - JamiiForums
P
CCM wazee wa kucheza rafu za waziwazi.....walinichekesha sana pale kinondoni walipoamua kuachana na wizi wa kura wa kujificha wakaamua kukimbizana na mabox ya kura mchana nchana kweupe bila aibu....wakisaidiana na washirika wao wa wizi !!PoliccmHali ya kisiasa jimbo la Kawe kwa sasa ni kama CCM inajipanga kupata mgombea safi kuweza kumng'oa mbunge wa sasa Halima Mdee.
Wanaotajwa upande wa CCM ni Kipi warioba, Angela Kiziga, Benjamini Sita na vigogo wengine wawili waliokuwa wabunge 3 wa majimbo ya mikoa ya bara na sasa wanapanga kugombea jimbo la Kawe