CCM wakataa Baba yake Sabaya kuhojiwa kuhusu kuchoma nyumba za Wamasai akiwa DC, wasema hilo siyo swali

CCM wakataa Baba yake Sabaya kuhojiwa kuhusu kuchoma nyumba za Wamasai akiwa DC, wasema hilo siyo swali

Wameshaona kama hivi nchi ni urithi wao kama wa familia wanafanya wanavyoweza sasa sisi tutafanyaje ila amini ipo siku watajuta kwa vitendo wanavyofanya coz wanaona wananchi kam tumetulia niwajinga lakin watambue sisi tunapenda peace ingekuwa ni kenya xaiv wote ao washatoka vitini au nchi ichafukeee
 
Muuliza swali ni kiherehere tangu shule namfahamu na alifukuzwa Udsm Kwa ajili hiyo ...sasa ivi anajiita wakili WA mchongo hapa mjini ..nahisi alitumwa na halikuwa swali ni kashfa na msimamizi alishasema hataki kejeli wala kashfa..
Ndio unacho waza namawazo yako mafupi yaliyoishia apooo ila wew na mwijaku na babalevo nawengine kama wew ni machawa nawabinafsi mtasema nchi niya babayako naukweli ampendagi kuambiwa ukweli makazi yenu mnatka mtunyonye alafu tunyamaz nakwambia ikifika 2030 hiiii nchi mtaisahau
 
Ndio unacho waza namawazo yako mafupi yaliyoishia apooo ila wew na mwijaku na babalevo nawengine kama wew ni machawa nawabinafsi mtasema nchi niya babayako naukweli ampendagi kuambiwa ukweli makazi yenu mnatka mtunyonye alafu tunyamaz nakwambia ikifika 2030 hiiii nchi mtaisahau
Acha uchawa alafu tuone kama utaishi
 
Back
Top Bottom