Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
HaijalishiHao vijana wana cheo gani ndani ya CCM?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HaijalishiHao vijana wana cheo gani ndani ya CCM?
Hawana cheo kwanini hakukamatwa?.kwasababu nao wamebadirisha maneno. Hapa ndipo ninapoonanga UONEVU WA WATU WA CCM. Kamata wote .siyo huyu sawa. yule kosa.Hao vijana wana cheo gani ndani ya CCM?
Hakuna offence hapo msilete chuki zenu. Mara ngapi wimbo huo unaimbwa na kuongezewa maneno mengine? Mara ngapi unaboreshwa melody yake? Afrika Kusini na Zimbabwe wanatumia melody hiyo hiyo ya wimbo maneno ubeti wa kwanza sawa kwa asilimia kubwa lkn beti zonazofuata wanaongeza ya kwao. Wanavunja sheria yetu?Sijui kwanini chadema huwa inafanya mambo yake kihuni namna hii
Suala ni kubadiri wimbo wa taifa au kuimba tofauti kwenye shughuli na tukio????Hao vijana walikuwa wanaimba ndani ya tukio rasmi la shughuli za kichama kwa mujibu wa katiba yao?
Je, tulikemea jambo hili wakati huo? Au tuliacha ili nasi tuje kulipa kisasi kwa kurudia kosa?
Kama ni kulipiza, kwa hivyo huu ndio muelekeo wa serikali itakayoundwa ya visasi?
Visasi vitaliponya taifa na mgawanyiko unaolalamikiwa kuongezeka awamu hii?
Ushabiki na mahaba yakituisha kama pombe itokavyo kichwani kwa mlevi tutaanza kuona wapi tulisukumwa na upepo wa kishabiki na kiharakati.
Kuna siku watu watakuja kuamka na kutambua 'Alter Ego' wa shujaa wao ana tabia gani hasi ambazo hawazioni sasa, kwani yeye alipaswa awe wa kwanza kuwakumbusha watu ubaya wa jambo hili walilofanya wanachama.
Yeye ndiye anaenda kukabidhiwa kulinda tunu za taifa, kulinda sheria na katiba, kulinda tamaduni, desturi na maadili ya taifa letu.
Hakuna ubaya kutumia melody ya wimbo wa taifa kuimba jambo zuri ulipendalo. Bongo fleva kuna mmoja aliweka kipande cha wimbo wa taifa, alivunja sheria? Mmekosa hojaHao vijana walikuwa wanaimba ndani ya tukio rasmi la shughuli za kichama kwa mujibu wa katiba yao?
Je, tulikemea jambo hili wakati huo? Au tuliacha ili nasi tuje kulipa kisasi kwa kurudia kosa?
Kama ni kulipiza, kwa hivyo huu ndio muelekeo wa serikali itakayoundwa ya visasi?
Visasi vitaliponya taifa na mgawanyiko unaolalamikiwa kuongezeka awamu hii?
Ushabiki na mahaba yakituisha kama pombe itokavyo kichwani kwa mlevi tutaanza kuona wapi tulisukumwa na upepo wa kishabiki na kiharakati.
Kuna siku watu watakuja kuamka na kutambua 'Alter Ego' wa shujaa wao ana tabia gani hasi ambazo hawazioni sasa, kwani yeye alipaswa awe wa kwanza kuwakumbusha watu ubaya wa jambo hili walilofanya wanachama.
Yeye ndiye anaenda kukabidhiwa kulinda tunu za taifa, kulinda sheria na katiba, kulinda tamaduni, desturi na maadili ya taifa letu.
[emoji28][emoji28][emoji28]Vipi kunguni mkuu hawasumbui?Ngoja nichomekee neti kwanza mbu wananifaidi
ila CHADEMA nao wanazingua aisee kwann wanajitaftia sababu wenyewe za kusumbuliwa?
wanazingua aisee mambo ya kitoto hayo
View attachment 1527153
Katibu Mkuu wa BAVICHA Nusrat Hanje na mratibu wa uhamasishaji taifa Twaha Mwaipaya wapo gerezani yapata mwezi sasa kwa kile kinachodaiwa kuuharibu wimbo wa taifa kwa kusema "Mungu ibariki Chadema, wabariki viongozi wake". Msajili wa vyama vya siasa Jaji Mutungi nae kakipa onyo Chadema kwamba jana wakati wa ufunguzi wa Baraza kuu, wanachama waliongeza ubeti wa 3 kwenye wimbo wa taifa kwa kusema "Mungu ibariki Chadema, wabariki viongozi wake"
_
Wafuasi wa CCM wakashangilia kauli ya Mtungi na wakafurahia akina Nusrat kusota jela kwa madai eti wameharibu wimbo wa taifa. Sasa nawauliza hawa wafuasi wa CCM wenye vichwa kama "Mtungi" je hiki kilichofanywa na vijana wa CCM Temeke ni sawa? Pia muulizeni huyo mwenye "Mtungi" wake hiki ni nini? Je CCM hapa hawajaharibu wimbo wa taifa? Hizi double standard ndio zinafanya Mtungi aonekane Mtungi kweli. Mtungi bhana.!
Credit: Malisa Godlisten
View attachment 1527154
Kijungu kinasaidiaje mustakabali wavtaifa lako?Mashallah,katibu wa Bavicha anakijungu.
Sheria haina cheo.Hao vijana wana vyeo gani ndani ya CCM?
Lissu anaingia ikulu mwaka huu 2020. Amini nakwambiaAnga linazidi kuwakataa chama tawala, upepo unaenda kwa kasi wasiyoitarajia.
Mimi nasema hivi, Lissu akiwakosa 2020, 2025 anakaa IKULU.
Ikiwezekana awe Mwenyekiti wa Chama kabisa.
Sheria haina cheo.
Na iwe hivyo. Amen.Lissu anaingia ikulu mwaka huu 2020. Amini nakwambia