CCM "wakiharibu" wimbo wa Taifa: Jicho la Mutungi lina makengeza?

CCM "wakiharibu" wimbo wa Taifa: Jicho la Mutungi lina makengeza?

View attachment 1527153

Katibu Mkuu wa BAVICHA Nusrat Hanje na mratibu wa uhamasishaji taifa Twaha Mwaipaya wapo gerezani yapata mwezi sasa kwa kile kinachodaiwa kuuharibu wimbo wa taifa kwa kusema "Mungu ibariki Chadema, wabariki viongozi wake". Msajili wa vyama vya siasa Jaji Mutungi nae kakipa onyo Chadema kwamba jana wakati wa ufunguzi wa Baraza kuu, wanachama waliongeza ubeti wa 3 kwenye wimbo wa taifa kwa kusema "Mungu ibariki Chadema, wabariki viongozi wake"
_
Wafuasi wa CCM wakashangilia kauli ya Mtungi na wakafurahia akina Nusrat kusota jela kwa madai eti wameharibu wimbo wa taifa. Sasa nawauliza hawa wafuasi wa CCM wenye vichwa kama "Mtungi" je hiki kilichofanywa na vijana wa CCM Temeke ni sawa? Pia muulizeni huyo mwenye "Mtungi" wake hiki ni nini? Je CCM hapa hawajaharibu wimbo wa taifa? Hizi double standard ndio zinafanya Mtungi aonekane Mtungi kweli. Mtungi bhana.!

Credit: Malisa Godlisten

View attachment 1527154

Ukisoma huyu alivyo andika ndio utajua fika chadema kamwe hawagusi ikulu ...angalia anavyo andika! Hivi kosa lq chadema ndio sio kosa kwa sababu lilishafanywa na wanao jiita CCM?
 
Wale ni viongozi wa UVCCM Temeke unajingine.

Sasa Baraza kuu la Chadema akiwemo Mwenyekiti, Katibu mkuu na mgombea uraisi wameona role model wao ni viongozi wa UVCCM Temeke?.

Kwa nini wao wasiwe mfano mzuri kwenye kuheshimu wimbo wa Taifa?
Two wrongs don't make it right!
 
Sasa Baraza kuu la Chadema akiwemo Mwenyekiti, Katibu mkuu na mgombea uraisi wameona role model wao ni viongozi wa UVCCM Temeke?.

Kwa nini wao wasiwe mfano mzuri kwenye kuheshimu wimbo wa Taifa?
Two wrongs don't make it right!
Huna hoja ni kama unapromote double standards.
 
CCM hawajaanza kama wimbo wa taifa ila wapinzani wameimba beti kibao za wimbo wa taifa then yanakuja kumalizia na beti za chama mfu. Hapo lazima mdakwe.
 
View attachment 1527153

Katibu Mkuu wa BAVICHA Nusrat Hanje na mratibu wa uhamasishaji taifa Twaha Mwaipaya wapo gerezani yapata mwezi sasa kwa kile kinachodaiwa kuuharibu wimbo wa taifa kwa kusema "Mungu ibariki Chadema, wabariki viongozi wake". Msajili wa vyama vya siasa Jaji Mutungi nae kakipa onyo Chadema kwamba jana wakati wa ufunguzi wa Baraza kuu, wanachama waliongeza ubeti wa 3 kwenye wimbo wa taifa kwa kusema "Mungu ibariki Chadema, wabariki viongozi wake"
_
Wafuasi wa CCM wakashangilia kauli ya Mtungi na wakafurahia akina Nusrat kusota jela kwa madai eti wameharibu wimbo wa taifa. Sasa nawauliza hawa wafuasi wa CCM wenye vichwa kama "Mtungi" je hiki kilichofanywa na vijana wa CCM Temeke ni sawa? Pia muulizeni huyo mwenye "Mtungi" wake hiki ni nini? Je CCM hapa hawajaharibu wimbo wa taifa? Hizi double standard ndio zinafanya Mtungi aonekane Mtungi kweli. Mtungi bhana.!

Credit: Malisa Godlisten

View attachment 1527154
Duh! Kuna watu wako 'informed' kwa kila jambo linalotokea. Ndiyo faida mojawapo ya teknolojia ya mawasialiano. Kweli kuna shida mahali fulani.
 
Hicho ni kiherehere tu cha Jaji Mutungi......

Hivi kosa likifanywa na Chadema peke yake na likifanywa na CCM siyo kosa?

Hii double standards inayoendeshwa nchi hii na watendaji wa serikali kwa ajili ya kumfurahisha Jiwe, italifikisha Taifa hili pabaya
Kwa hii double standard kiongozi wa kariba ya Lissu ndio mwarobaini hatutaki kumwachia MUNGU,kulialia au kulalamika tena ni jino kwa jino mpaka tutaelewana tu .
 
Hicho ni kiherehere tu cha Jaji Mutungi......

Hivi kosa likifanywa na Chadema peke yake na likifanywa na CCM siyo kosa?

Hii double standards inayoendeshwa nchi hii na watendaji wa serikali kwa ajili ya kumfurahisha Jiwe, italifikisha Taifa hili pabaya
Huyo ni Jaji Mutungi jina zuri tu la kijadi angechunga asiwe mtungi . Mbili na mbili ni nne anatakiwa ajue lakini mtungi atakaesema mbili na mbili ni Tano huto hawezi kuwa Jaji Mutungi maana hiyo si mbili na mbili. Jaji Mutungi alitakiwa ajue kuna Serkali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, nchi ya Tanzania na Chama cha CCM lakini Serkali ya Magufuli, Tanzania ya Magufuli na Chama Kipya Cha CCM Cha Magufuli Jaji Mutungi angetufafanulia hata Wananchi wa Magufuli ndo nani na kwao wapi.
 
Mnataka kutuaminisha nini sisi wapiga kura? Kwamba Kama mkipewa nchi mtafanya Yale yanayofanywa na ccm? Kuna haja gani Sasa ya kuwa wapinzani Kama hamuwezi kuonesha njia ya kukosoa makosa ya mahasimu wenu? Yaani Kama ccm inakunya vichakani nanyinyi mnataka mkanye vichakani?

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
JF Kiboko mtu mzima anaumbuka mchana kweupeeeeee!
 
View attachment 1527153

Katibu Mkuu wa BAVICHA Nusrat Hanje na mratibu wa uhamasishaji taifa Twaha Mwaipaya wapo gerezani yapata mwezi sasa kwa kile kinachodaiwa kuuharibu wimbo wa taifa kwa kusema "Mungu ibariki Chadema, wabariki viongozi wake". Msajili wa vyama vya siasa Jaji Mutungi nae kakipa onyo Chadema kwamba jana wakati wa ufunguzi wa Baraza kuu, wanachama waliongeza ubeti wa 3 kwenye wimbo wa taifa kwa kusema "Mungu ibariki Chadema, wabariki viongozi wake"
_
Wafuasi wa CCM wakashangilia kauli ya Mtungi na wakafurahia akina Nusrat kusota jela kwa madai eti wameharibu wimbo wa taifa. Sasa nawauliza hawa wafuasi wa CCM wenye vichwa kama "Mtungi" je hiki kilichofanywa na vijana wa CCM Temeke ni sawa? Pia muulizeni huyo mwenye "Mtungi" wake hiki ni nini? Je CCM hapa hawajaharibu wimbo wa taifa? Hizi double standard ndio zinafanya Mtungi aonekane Mtungi kweli. Mtungi bhana.!

Credit: Malisa Godlisten

View attachment 1527154
Huu sio wimbo wa taifa, umefanana maneno ya kwanza but hauna harmony yoyote ya wimbo wa taifa.
 
CCM hawajaanza kama wimbo wa taifa ila wapinzani wameimba beti kibao za wimbo wa taifa then yanakuja kumalizia na beti za chama mfu. Hapo lazima mdakwe.
Wimbo wa Taifa ni neno kwa neno,koma kwa koma, nukta kwa nukta na beti kwa beti katika lughà ya Taifa. Chochote kikizidi au kupungua basi huo siyo Wimbo wa Taifa. Wimbo wa Taifa ukiimbwa Kisukuma ni sahihi? Kwenu wanasheria!
 
Ila CHADEMA nao wanazingua aisee kwann wanajitaftia sababu wenyewe za kusumbuliwa?

wanazingua aisee mambo ya kitoto hayo
Headline wanatafuta umaarufu ni umaarufu tu akirudi osama akagombea urais watu watamchagua maana ni maarufu
 
View attachment 1527153

Katibu Mkuu wa BAVICHA Nusrat Hanje na mratibu wa uhamasishaji taifa Twaha Mwaipaya wapo gerezani yapata mwezi sasa kwa kile kinachodaiwa kuuharibu wimbo wa taifa kwa kusema "Mungu ibariki Chadema, wabariki viongozi wake". Msajili wa vyama vya siasa Jaji Mutungi nae kakipa onyo Chadema kwamba jana wakati wa ufunguzi wa Baraza kuu, wanachama waliongeza ubeti wa 3 kwenye wimbo wa taifa kwa kusema "Mungu ibariki Chadema, wabariki viongozi wake"
_
Wafuasi wa CCM wakashangilia kauli ya Mtungi na wakafurahia akina Nusrat kusota jela kwa madai eti wameharibu wimbo wa taifa. Sasa nawauliza hawa wafuasi wa CCM wenye vichwa kama "Mtungi" je hiki kilichofanywa na vijana wa CCM Temeke ni sawa? Pia muulizeni huyo mwenye "Mtungi" wake hiki ni nini? Je CCM hapa hawajaharibu wimbo wa taifa? Hizi double standard ndio zinafanya Mtungi aonekane Mtungi kweli. Mtungi bhana.!

Credit: Malisa Godlisten

View attachment 1527154
Maendeleo hayana vyama... wakiimba wakaugeuza watakavyo wimbo wa Taifa aaah hao ndio watanzania kuliko wengine
 
Ila CHADEMA nao wanazingua aisee kwann wanajitaftia sababu wenyewe za kusumbuliwa?

wanazingua aisee mambo ya kitoto hayo
Umemsoma na kumuelewa mleta mada? Ameweka.evidence ya Wimbo wa Taifa ukimuomba Mungu ambariki Magufuli! Kwahio akitajwa Magufuli it's okay ila akitajwa mwingine dhambi!!!
 
Back
Top Bottom