Msajili kachemsha.Hivyo na sisi tumeharibu wimbo wa Taifa South Africa "Nkosi Sikelei Africa "?Au wao ndo wameharibu wimbo wetu ?
Hapana its now or never..!!!Anga linazidi kuwakataa chama tawala, upepo unaenda kwa kasi wasiyoitarajia.
Mimi nasema hivi, Lissu akiwakosa 2020, 2025 anakaa IKULU.
Ikiwezekana awe Mwenyekiti wa Chama kabisa.
Ikiundwa serikali ya visasi kutakuwa na Jambo jipya hapo? Tusaidie kuelewa manji Yuko wapi au jengo la Tenesco ubungo liko wapo Kama hatuna serikali ya visasi?Hao vijana walikuwa wanaimba ndani ya tukio rasmi la shughuli za kichama kwa mujibu wa katiba yao?
Je, tulikemea jambo hili wakati huo? Au tuliacha ili nasi tuje kulipa kisasi kwa kurudia kosa?
Kama ni kulipiza, kwa hivyo huu ndio muelekeo wa serikali itakayoundwa ya visasi?
Visasi vitaliponya taifa na mgawanyiko unaolalamikiwa kuongezeka awamu hii?
Ushabiki na mahaba yakituisha kama pombe itokavyo kichwani kwa mlevi tutaanza kuona wapi tulisukumwa na upepo wa kishabiki na kiharakati.
Kuna siku watu watakuja kuamka na kutambua 'Alter Ego' wa shujaa wao ana tabia gani hasi ambazo hawazioni sasa, kwani yeye alipaswa awe wa kwanza kuwakumbusha watu ubaya wa jambo hili walilofanya wanachama.
Yeye ndiye anaenda kukabidhiwa kulinda tunu za taifa, kulinda sheria na katiba, kulinda tamaduni, desturi na maadili ya taifa letu.
Hivi mwenye hati miliki ya wimbo wa taifa ni Nani?je ni serikali,je ni mtu aliyeutungs?je ni watanzania,je ni Serikali au CCM? Na nikitaka kuunakili au kufanya remix naomba kibari kwa Nani?Ukisoma huyu muhuni alivyo andika ndio utajua fika chadema kamwe hawagusi ikulu ...angalia anavyo andika! Hivi kosa lq chadema ndio sio kosa kwa sababu lilishafanywa na wanao jiita CCM?
Wakikujibu hili swali nitag. Mtu akibadiri wimbo wa Taifa amevunja kifungu gani cha sheria???Hivi mwenye hati miliki ya wimbo wa taifa ni Nani?je ni serikali,je ni mtu aliyeutungs?je ni watanzania,je ni Serikali au CCM? Na nikitaka kuunakili au kufanya remix naomba kibari kwa Nani?
Jaji Mutungi inaelekea haijui asili ya wimbo huu tunaouita wa taifa, kwa watu wa nchi za kusini mwa Tanzania tyuni ya wimbo huu huimbwa makanisani na Afrika Kusini wao wameitumia kwa nchi yao. Tanzania hawezi kumzuia mtu yoyote kutumia tyuni ya huu wimbo kwani nasi tuliiga, hatua zozote anazochukuliwa mtu kwa kutumia tyuni ya wimbo wa kanisa na kusema kuwa ni wake ni kujimilikisha kitu ambacho wewe haujakitunga.View attachment 1527153
Katibu Mkuu wa BAVICHA Nusrat Hanje na mratibu wa uhamasishaji taifa Twaha Mwaipaya wapo gerezani yapata mwezi sasa kwa kile kinachodaiwa kuuharibu wimbo wa taifa kwa kusema "Mungu ibariki Chadema, wabariki viongozi wake". Msajili wa vyama vya siasa Jaji Mutungi nae kakipa onyo Chadema kwamba jana wakati wa ufunguzi wa Baraza kuu, wanachama waliongeza ubeti wa 3 kwenye wimbo wa taifa kwa kusema "Mungu ibariki Chadema, wabariki viongozi wake"
_
Wafuasi wa CCM wakashangilia kauli ya Mtungi na wakafurahia akina Nusrat kusota jela kwa madai eti wameharibu wimbo wa taifa. Sasa nawauliza hawa wafuasi wa CCM wenye vichwa kama "Mtungi" je hiki kilichofanywa na vijana wa CCM Temeke ni sawa? Pia muulizeni huyo mwenye "Mtungi" wake hiki ni nini? Je CCM hapa hawajaharibu wimbo wa taifa? Hizi double standard ndio zinafanya Mtungi aonekane Mtungi kweli. Mtungi bhana.!
Credit: Malisa Godlisten
View attachment 1527154
Afrika Kusini nao wametumia tyuni ya wimbo wa kikristu ambao huimbwa kwenye makanisa yao.Mutungi ameropoka. Amejiaibisha. Kwa mantiki hiyo, basi pia Tanzania imeunajisi wimbo wa Taifa wa South Africa.
Kinachoongelewa ni kwanini Jaji hakuwaonya hawa wa kwanza, hawa wa pili wasingefanya kosa hilo tusingemsikia Jaji.Mnataka kutuaminisha nini sisi wapiga kura? Kwamba Kama mkipewa nchi mtafanya Yale yanayofanywa na ccm? Kuna haja gani Sasa ya kuwa wapinzani Kama hamuwezi kuonesha njia ya kukosoa makosa ya mahasimu wenu? Yaani Kama ccm inakunya vichakani nanyinyi mnataka mkanye vichakani?
Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
Acha kukaza fuvu! Soma uelewe nilichomaanishaKinachoongelewa ni kwanini Jaji hakuwaonya hawa wa kwanza, hawa wa pili wasingefanya kosa hilo tusingemsikia Jaji.
View attachment 1527153
Katibu Mkuu wa BAVICHA Nusrat Hanje na mratibu wa uhamasishaji taifa Twaha Mwaipaya wapo gerezani yapata mwezi sasa kwa kile kinachodaiwa kuuharibu wimbo wa taifa kwa kusema "Mungu ibariki Chadema, wabariki viongozi wake". Msajili wa vyama vya siasa Jaji Mutungi nae kakipa onyo Chadema kwamba jana wakati wa ufunguzi wa Baraza kuu, wanachama waliongeza ubeti wa 3 kwenye wimbo wa taifa kwa kusema "Mungu ibariki Chadema, wabariki viongozi wake"
_
Wafuasi wa CCM wakashangilia kauli ya Mtungi na wakafurahia akina Nusrat kusota jela kwa madai eti wameharibu wimbo wa taifa. Sasa nawauliza hawa wafuasi wa CCM wenye vichwa kama "Mtungi" je hiki kilichofanywa na vijana wa CCM Temeke ni sawa? Pia muulizeni huyo mwenye "Mtungi" wake hiki ni nini? Je CCM hapa hawajaharibu wimbo wa taifa? Hizi double standard ndio zinafanya Mtungi aonekane Mtungi kweli. Mtungi bhana.!
Credit: Malisa Godlisten
View attachment 1527154
View attachment 1527153
Katibu Mkuu wa BAVICHA Nusrat Hanje na mratibu wa uhamasishaji taifa Twaha Mwaipaya wapo gerezani yapata mwezi sasa kwa kile kinachodaiwa kuuharibu wimbo wa taifa kwa kusema "Mungu ibariki Chadema, wabariki viongozi wake". Msajili wa vyama vya siasa Jaji Mutungi nae kakipa onyo Chadema kwamba jana wakati wa ufunguzi wa Baraza kuu, wanachama waliongeza ubeti wa 3 kwenye wimbo wa taifa kwa kusema "Mungu ibariki Chadema, wabariki viongozi wake"
_
Wafuasi wa CCM wakashangilia kauli ya Mtungi na wakafurahia akina Nusrat kusota jela kwa madai eti wameharibu wimbo wa taifa. Sasa nawauliza hawa wafuasi wa CCM wenye vichwa kama "Mtungi" je hiki kilichofanywa na vijana wa CCM Temeke ni sawa? Pia muulizeni huyo mwenye "Mtungi" wake hiki ni nini? Je CCM hapa hawajaharibu wimbo wa taifa? Hizi double standard ndio zinafanya Mtungi aonekane Mtungi kweli. Mtungi bhana.!
Credit: Malisa Godlisten
View attachment 1527154
Ikiwa CDM wanataka nchi ili waendelee kutugawa na kulipiza kisasi basi CDM wanaenda kuongeza ubaya kwenye mapungufu wanayolalamikia sasa.Ikiundwa serikali ya visasi kutakuwa na Jambo jipya hapo? Tusaidie kuelewa manji Yuko wapi au jengo la Tenesco ubungo liko wapo Kama hatuna serikali ya visasi?
View attachment 1527153
Katibu Mkuu wa BAVICHA Nusrat Hanje na mratibu wa uhamasishaji taifa Twaha Mwaipaya wapo gerezani yapata mwezi sasa kwa kile kinachodaiwa kuuharibu wimbo wa taifa kwa kusema "Mungu ibariki Chadema, wabariki viongozi wake". Msajili wa vyama vya siasa Jaji Mutungi nae kakipa onyo Chadema kwamba jana wakati wa ufunguzi wa Baraza kuu, wanachama waliongeza ubeti wa 3 kwenye wimbo wa taifa kwa kusema "Mungu ibariki Chadema, wabariki viongozi wake"
_
Wafuasi wa CCM wakashangilia kauli ya Mtungi na wakafurahia akina Nusrat kusota jela kwa madai eti wameharibu wimbo wa taifa. Sasa nawauliza hawa wafuasi wa CCM wenye vichwa kama "Mtungi" je hiki kilichofanywa na vijana wa CCM Temeke ni sawa? Pia muulizeni huyo mwenye "Mtungi" wake hiki ni nini? Je CCM hapa hawajaharibu wimbo wa taifa? Hizi double standard ndio zinafanya Mtungi aonekane Mtungi kweli. Mtungi bhana.!
Credit: Malisa Godlisten
View attachment 1527154