CCM walienda kufanya "show off" na uvunjifu wa Katiba Yao wenyewe, haukua mkutano!

CCM walienda kufanya "show off" na uvunjifu wa Katiba Yao wenyewe, haukua mkutano!

Determinantor

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
59,045
Reaction score
94,974
Kwa MTU yoyote mwenye akili timamu ambazo haziongozwi na mihemko atakubaliana na habari hii.

Mkutano ulijaa "show off" KULIKO maana halisi za mkutano. Walienda kutuonyesha uwezo wao wa kutumia resources Vibaya. Kwa mfano, Nani mwanachama mwandamizi wa CCM anayefahamu mabasi Yale, baskeli, Boda bado (with individual branding) yalipatikanaje? Ni kweli Yale mabasi ya Ile mojawapo ya state apparatus yaliepenyezewa humo? Tuliache hilo.

Angalia jinsi agenda za mkutano zilivyokua za kijanjajanja, kila MTU anamlia timing mwenzake, kila MTU hajiamini wala hamuamini mwenzake. Huu haukua mkutano wa kupendekeza wagombea.....JK kastukizwa ili kuleta justification ya kilichofanywa... Baraka fake.

Wajumbe wengi wameenda kwa malengo binafsi ya kupata "maisha" na Burudani kutoka kwa wasanii waliokusanywa kila mahali, na wapiga zumari. Ukiwauliza kilichowafanya washangilie kwa kuvunja Katiba Yao wenyewe, watakwambia hawajui..

 
Kwa MTU yoyote mwenye akili timamu ambazo haziongozwi na mihemko atakubaliana na habari hii.

Mkutano ulijaa "show off" KULIKO maana halisi za mkutano. Walienda kutuonyesha uwezo wao wa kutumia resources Vibaya. Kwa mfano, Nani mwanachama mwandamizi wa CCM anayefahamu mabasi Yale, baskeli, Boda bado (with individual branding) yalipatikanaje? Ni kweli Yale mabasi ya Ile mojawapo ya state apparatus yaliepenyezewa humo? Tuliache hilo.

Angalia jinsi agenda za mkutano zilivyokua za kijanjajanja, kila MTU anamlia timing mwenzake, kila MTU hajiamini wala hamuamini mwenzake. Huu haukua mkutano wa kupendekeza wagombea.....JK kastukizwa ili kuleta justification ya kilichofanywa... Baraka fake.

Wajumbe wengi wameenda kwa malengo binafsi ya kupata "maisha" na Burudani kutoka kwa wasanii waliokusanywa kila mahali, na wapiga zumari. Ukiwauliza kilichowafanya washangilie kwa kuvunja Katiba Yao wenyewe, watakwambia hawajui......

Ila kikubwa walichovuna ni U.T.I na wale Ndugu zake.
View attachment 3208215

Specifically.

Wamevunja.

Katiba ya CCM ya 1977 toleo la Disemba 2022, ibara ya 100 (5) c.
 
Kwa MTU yoyote mwenye akili timamu ambazo haziongozwi na mihemko atakubaliana na habari hii.

Mkutano ulijaa "show off" KULIKO maana halisi za mkutano. Walienda kutuonyesha uwezo wao wa kutumia resources Vibaya. Kwa mfano, Nani mwanachama mwandamizi wa CCM anayefahamu mabasi Yale, baskeli, Boda bado (with individual branding) yalipatikanaje? Ni kweli Yale mabasi ya Ile mojawapo ya state apparatus yaliepenyezewa humo? Tuliache hilo.

Angalia jinsi agenda za mkutano zilivyokua za kijanjajanja, kila MTU anamlia timing mwenzake, kila MTU hajiamini wala hamuamini mwenzake. Huu haukua mkutano wa kupendekeza wagombea.....JK kastukizwa ili kuleta justification ya kilichofanywa... Baraka fake.

Wajumbe wengi wameenda kwa malengo binafsi ya kupata "maisha" na Burudani kutoka kwa wasanii waliokusanywa kila mahali, na wapiga zumari. Ukiwauliza kilichowafanya washangilie kwa kuvunja Katiba Yao wenyewe, watakwambia ha
wasaema wanaenda kulingana na upepo unapoelekea.
 
Kwa MTU yoyote mwenye akili timamu ambazo haziongozwi na mihemko atakubaliana na habari hii.

Mkutano ulijaa "show off" KULIKO maana halisi za mkutano. Walienda kutuonyesha uwezo wao wa kutumia resources Vibaya. Kwa mfano, Nani mwanachama mwandamizi wa CCM anayefahamu mabasi Yale, baskeli, Boda bado (with individual branding) yalipatikanaje? Ni kweli Yale mabasi ya Ile mojawapo ya state apparatus yaliepenyezewa humo? Tuliache hilo.

Angalia jinsi agenda za mkutano zilivyokua za kijanjajanja, kila MTU anamlia timing mwenzake, kila MTU hajiamini wala hamuamini mwenzake. Huu haukua mkutano wa kupendekeza wagombea.....JK kastukizwa ili kuleta justification ya kilichofanywa... Baraka fake.

Wajumbe wengi wameenda kwa malengo binafsi ya kupata "maisha" na Burudani kutoka kwa wasanii waliokusanywa kila mahali, na wapiga zumari. Ukiwauliza kilichowafanya washangilie kwa kuvunja Katiba Yao wenyewe, watakwambia hawajui..

View attachment 3208215
CCM sasa imeshaishiwa wazee wenye nguvu na utashi wa kusimamia principles. Hakuna ambaye angediriki kufanya huo unyambilisi mbele ya Mzee Mkapa (RIP)!
 
Kwa MTU yoyote mwenye akili timamu ambazo haziongozwi na mihemko atakubaliana na habari hii.

Mkutano ulijaa "show off" KULIKO maana halisi za mkutano. Walienda kutuonyesha uwezo wao wa kutumia resources Vibaya. Kwa mfano, Nani mwanachama mwandamizi wa CCM anayefahamu mabasi Yale, baskeli, Boda bado (with individual branding) yalipatikanaje? Ni kweli Yale mabasi ya Ile mojawapo ya state apparatus yaliepenyezewa humo? Tuliache hilo.

Angalia jinsi agenda za mkutano zilivyokua za kijanjajanja, kila MTU anamlia timing mwenzake, kila MTU hajiamini wala hamuamini mwenzake. Huu haukua mkutano wa kupendekeza wagombea.....JK kastukizwa ili kuleta justification ya kilichofanywa... Baraka fake.

Wajumbe wengi wameenda kwa malengo binafsi ya kupata "maisha" na Burudani kutoka kwa wasanii waliokusanywa kila mahali, na wapiga zumari. Ukiwauliza kilichowafanya washangilie kwa kuvunja Katiba Yao wenyewe, watakwambia hawajui..

View attachment 3208215
Ile ilikuwa ni laana itakayowatafuna sana mwaka huu.. In fact ni kama sherehe yao ya mwisho
 
Kwa MTU yoyote mwenye akili timamu ambazo haziongozwi na mihemko atakubaliana na habari hii.

Mkutano ulijaa "show off" KULIKO maana halisi za mkutano. Walienda kutuonyesha uwezo wao wa kutumia resources Vibaya. Kwa mfano, Nani mwanachama mwandamizi wa CCM anayefahamu mabasi Yale, baskeli, Boda bado (with individual branding) yalipatikanaje? Ni kweli Yale mabasi ya Ile mojawapo ya state apparatus yaliepenyezewa humo? Tuliache hilo.

Angalia jinsi agenda za mkutano zilivyokua za kijanjajanja, kila MTU anamlia timing mwenzake, kila MTU hajiamini wala hamuamini mwenzake. Huu haukua mkutano wa kupendekeza wagombea.....JK kastukizwa ili kuleta justification ya kilichofanywa... Baraka fake.

Wajumbe wengi wameenda kwa malengo binafsi ya kupata "maisha" na Burudani kutoka kwa wasanii waliokusanywa kila mahali, na wapiga zumari. Ukiwauliza kilichowafanya washangilie kwa kuvunja Katiba Yao wenyewe, watakwambia hawajui..

View attachment 3208215
Lilikuwa tamasha la ngono, muziki, pombe na nyama choma
 
Kwa MTU yoyote mwenye akili timamu ambazo haziongozwi na mihemko atakubaliana na habari hii.

Mkutano ulijaa "show off" KULIKO maana halisi za mkutano. Walienda kutuonyesha uwezo wao wa kutumia resources Vibaya. Kwa mfano, Nani mwanachama mwandamizi wa CCM anayefahamu mabasi Yale, baskeli, Boda bado (with individual branding) yalipatikanaje? Ni kweli Yale mabasi ya Ile mojawapo ya state apparatus yaliepenyezewa humo? Tuliache hilo.

Angalia jinsi agenda za mkutano zilivyokua za kijanjajanja, kila MTU anamlia timing mwenzake, kila MTU hajiamini wala hamuamini mwenzake. Huu haukua mkutano wa kupendekeza wagombea.....JK kastukizwa ili kuleta justification ya kilichofanywa... Baraka fake.

Wajumbe wengi wameenda kwa malengo binafsi ya kupata "maisha" na Burudani kutoka kwa wasanii waliokusanywa kila mahali, na wapiga zumari. Ukiwauliza kilichowafanya washangilie kwa kuvunja Katiba Yao wenyewe, watakwambia hawajui..

View attachment 3208215
Mkuu huu ni mpango maalum wa utekelezaji wa hatua za utekaji uhuru na haki za watanzania.

Hatua ya kwanza ilikuwa ni utekaji wa wapinzani. Tayari imepita hiyo.

Hatua ya tatu ilikuwa ni utekaji wa uchaguzi wa serikali za mtaa nchini kote. Tayari imepita hiyo.

Hatua ya tatu ilikuwa ni utekaji wa mchakato wa uchaguzi za viongozi wa vyama vya upinzani. Hii nayo tayari.

Hatua ya nne ilikuwa ni utekaji wa katiba na mchakato mzima wa uchaguzi viongozi wa CCM wenyewe. Hii ndio imeshudiwa juzi.

Hatua ya tano itakuwa ni utekaji wa mchakato wa uchaguzi na uchaguzi Mkuu, hii hatua haina budi kutimia Oktoba 2025.

Na hatimaye hatua ya mwisho itakuwa ni utekaji wa bunge, habari na rasilimali zote muhimu za nchi.

Kazi ipo, kazi iendelee, mwingi unapigwa na mama!
 
Mkuu ungemalizia kwa kutamka jinsi ibara inavyosema. Maana sio kila mtu ni mwanachama wa CCM.
Hapo ningekuwa nakutafsiria kama mtoto mdogo asiyejua kusoma.

Mimi pia si mwanachama wa CCM.

Katiba ya CCM ipo mtandaoni, access ya mtandao uliyo nayo wewe ndiyo hiyo hiyo ninayo mimi, sasa kwa nini unataka nikusomee na kukutafsiria?
 
Mkuu huu ni mpango maalum wa utekelezaji wa hatua za utekaji uhuru na haki za watanzania.

Hatua ya kwanza ilikuwa ni utekaji wa wapinzani. Tayari imepita hiyo.

Hatua ya tatu ilikuwa ni utekaji wa uchaguzi wa serikali za mtaa nchini kote. Tayari imepita hiyo.

Hatua ya tatu ilikuwa ni utekaji wa mchakato wa uchaguzi za viongozi wa vyama vya upinzani. Hii nayo tayari.

Hatua ya nne ilikuwa ni utekaji wa katiba na mchakato mzima wa uchaguzi viongozi wa CCM wenyewe. Hii ndio imeshudiwa juzi.

Hatua ya tano itakuwa ni utekaji wa mchakato wa uchaguzi na uchaguzi Mkuu, hii hatua haina budi kutimia Oktoba 2025.

Na hatimaye hatua ya mwisho itakuwa ni utekaji wa bunge, habari na rasilimali zote muhimu za nchi.

Kazi ipo, kazi iendelee, mwingi unapigwa na mama!
Hizo hatua zako ni za mtu mwenye matege au miguu ya gongo la gofu, ya kwanza, ya tatu, ya tatu! ya nne.
 
Back
Top Bottom