CCM walienda kufanya "show off" na uvunjifu wa Katiba Yao wenyewe, haukua mkutano!

CCM walienda kufanya "show off" na uvunjifu wa Katiba Yao wenyewe, haukua mkutano!

Ukitulia na kuangalia mambo yanavyoenda, yanaogopesha.

Mwenyezi Mungu atunusuru. Tuendelee kubaki salama
Jamaa huwa wanajinasibu kuwa wao siku zote ni wamoja kwa hali na mali. !
Na huo ndio ukweli wenyewe uliochanganyika na Uoga kwa sababu Mkuu ameshika Hatamu zote Chamani na Serikalini na ndivyo Katiba inavyomruhusu!
Hakuna mahali amevunja Katiba 😄🙏🙏

Wenye maumivu watakuwa wanalilia Tumboni ili wasijulikane kuwa hawakupendezewa na yaliyotokea !
Huku uraiani it’s business as usual ,
Hakuna shida hakuna matata maisha yanasonga 😄🙏🙏🙏 !
Tanzania raha sana 🙏🙏 !
Au nasema uongo ndugu zanguni ????!!! 😂😂😂
 
Kwa kweli chadema are very smart.
Huko ccm ni aibu tupu.
 
Jamaa huwa wanajinasibu kuwa wao siku zote ni wamoja kwa hali na mali. !
Na huo ndio ukweli wenyewe uliochanganyika na Uoga kwa sababu Mkuu ameshika Hatamu zote Chamani na Serikalini na ndivyo Katiba inavyomruhusu!
Hakuna mahali amevunja Katiba 😄🙏🙏

Wenye maumivu watakuwa wanalilia Tumboni ili wasijulikane kuwa hawakupendezewa na yaliyotokea !
Huku uraiani it’s business as usual ,
Hakuna shida hakuna matata maisha yanasonga 😄🙏🙏🙏 !
Tanzania raha sana 🙏🙏 !
Au nasema uongo ndugu zanguni ????!!! 😂😂😂

Ndio ukweli wenyewe 😂😂😂😂
 
SAMIA anafahamu hamumpendi, halafu mlitaka awape nafasi mumgalagaze kabisa.

Akaamua awe kipa akajaa golini, akawa refa yeye, alianzisha mechi yeye na kuimaliza yeye, na kamisaa wa mchezo yeye.

Hakutana VARS wala video, mnaimba wenyewe kila siku, "hamywi sumu na hsmjinyongi, ccm mbele kwa mbele"

Alisema ccm chama kikubwa, ukiondoka chawa wanakaba nafasi yako.

Amueni sasa, muondoke au mbaki, bi chura kasema na kamaliza.
 
Kwa MTU yoyote mwenye akili timamu ambazo haziongozwi na mihemko atakubaliana na habari hii.

Mkutano ulijaa "show off" KULIKO maana halisi za mkutano. Walienda kutuonyesha uwezo wao wa kutumia resources Vibaya. Kwa mfano, Nani mwanachama mwandamizi wa CCM anayefahamu mabasi Yale, baskeli, Boda bado (with individual branding) yalipatikanaje? Ni kweli Yale mabasi ya Ile mojawapo ya state apparatus yaliepenyezewa humo? Tuliache hilo.

Angalia jinsi agenda za mkutano zilivyokua za kijanjajanja, kila MTU anamlia timing mwenzake, kila MTU hajiamini wala hamuamini mwenzake. Huu haukua mkutano wa kupendekeza wagombea.....JK kastukizwa ili kuleta justification ya kilichofanywa... Baraka fake.

Wajumbe wengi wameenda kwa malengo binafsi ya kupata "maisha" na Burudani kutoka kwa wasanii waliokusanywa kila mahali, na wapiga zumari. Ukiwauliza kilichowafanya washangilie kwa kuvunja Katiba Yao wenyewe, watakwambia hawajui..

View attachment 3208215
Katiba ya nchi mliambiwa ni "kijitabu" tu, sasa hiyo ya chama jaribu kupiga mahesabu.
Kwa MTU yoyote mwenye akili timamu ambazo haziongozwi na mihemko atakubaliana na habari hii.

Mkutano ulijaa "show off" KULIKO maana halisi za mkutano. Walienda kutuonyesha uwezo wao wa kutumia resources Vibaya. Kwa mfano, Nani mwanachama mwandamizi wa CCM anayefahamu mabasi Yale, baskeli, Boda bado (with individual branding) yalipatikanaje? Ni kweli Yale mabasi ya Ile mojawapo ya state apparatus yaliepenyezewa humo? Tuliache hilo.

Angalia jinsi agenda za mkutano zilivyokua za kijanjajanja, kila MTU anamlia timing mwenzake, kila MTU hajiamini wala hamuamini mwenzake. Huu haukua mkutano wa kupendekeza wagombea.....JK kastukizwa ili kuleta justification ya kilichofanywa... Baraka fake.

Wajumbe wengi wameenda kwa malengo binafsi ya kupata "maisha" na Burudani kutoka kwa wasanii waliokusanywa kila mahali, na wapiga zumari. Ukiwauliza kilichowafanya washangilie kwa kuvunja Katiba Yao wenyewe, watakwambia hawajui..

View attachment 3208215
Katiba ya nchi mliambiwa ni "kijitabu" tu. Sasa hiyo ya chama jaribu kupiga mahesabu inachukuliwaje.
 
Kama kungekuwa na tume huru ya uchaguzi ndiyo ilikuwa muda mzuri wa wapinzani kuchukua Nchi.
Wapinzani gani hao, hawa hawa akina Lissu na Mbowe waliotuonyesha Watanzania kwamba kuanzia kesho tarehe 22/01/2025 tunaanza upya kuutengeneza upinzani? Maana tumezijua sura zao halisi kwamba hawafai kuongoza nchi.
 
Kwa MTU yoyote mwenye akili timamu ambazo haziongozwi na mihemko atakubaliana na habari hii.

Mkutano ulijaa "show off" KULIKO maana halisi za mkutano. Walienda kutuonyesha uwezo wao wa kutumia resources Vibaya. Kwa mfano, Nani mwanachama mwandamizi wa CCM anayefahamu mabasi Yale, baskeli, Boda bado (with individual branding) yalipatikanaje? Ni kweli Yale mabasi ya Ile mojawapo ya state apparatus yaliepenyezewa humo? Tuliache hilo.

Angalia jinsi agenda za mkutano zilivyokua za kijanjajanja, kila MTU anamlia timing mwenzake, kila MTU hajiamini wala hamuamini mwenzake. Huu haukua mkutano wa kupendekeza wagombea.....JK kastukizwa ili kuleta justification ya kilichofanywa... Baraka fake.

Wajumbe wengi wameenda kwa malengo binafsi ya kupata "maisha" na Burudani kutoka kwa wasanii waliokusanywa kila mahali, na wapiga zumari. Ukiwauliza kilichowafanya washangilie kwa kuvunja Katiba Yao wenyewe, watakwambia hawajui..

View attachment 3208215
Mm nilijua eti wanaume ndio wahuni kumbe hata wanawake ni wahuni wakubwa na hatari.
 
Kwa MTU yoyote mwenye akili timamu ambazo haziongozwi na mihemko atakubaliana na habari hii.

Mkutano ulijaa "show off" KULIKO maana halisi za mkutano. Walienda kutuonyesha uwezo wao wa kutumia resources Vibaya. Kwa mfano, Nani mwanachama mwandamizi wa CCM anayefahamu mabasi Yale, baskeli, Boda bado (with individual branding) yalipatikanaje? Ni kweli Yale mabasi ya Ile mojawapo ya state apparatus yaliepenyezewa humo? Tuliache hilo.

Angalia jinsi agenda za mkutano zilivyokua za kijanjajanja, kila MTU anamlia timing mwenzake, kila MTU hajiamini wala hamuamini mwenzake. Huu haukua mkutano wa kupendekeza wagombea.....JK kastukizwa ili kuleta justification ya kilichofanywa... Baraka fake.

Wajumbe wengi wameenda kwa malengo binafsi ya kupata "maisha" na Burudani kutoka kwa wasanii waliokusanywa kila mahali, na wapiga zumari. Ukiwauliza kilichowafanya washangilie kwa kuvunja Katiba Yao wenyewe, watakwambia hawajui..

View attachment 3208215
Mkuu ngoja tumalize uchaguzi kwanza
 
Back
Top Bottom