CCM walienda kufanya "show off" na uvunjifu wa Katiba Yao wenyewe, haukua mkutano!

Tunashanga judge mtungi yupo wapi? Sheria inataka mgombea anatakiwa apate Saini za wanachama kila mkoa kabla mgombea hajatangazea na chama ila mwaka huu imezimwa
Huo Ni Mtungi Wa Maji, Sasa Kakaa Kimya Kama Hayupo
 
Tunashanga judge mtungi yupo wapi? Sheria inataka mgombea anatakiwa apate Saini za wanachama kila mkoa kabla mgombea hajatangazea na chama ila mwaka huu imezimwa
Wajumbe waliokuwepo walitoka mikoa ipi?? Ili tujue Kuna mikoa hakukuwa na wanachama kama Sheria inavyosema??
 
Huna hoja na mgombea Urais ni Samia,imekwisha hiyo mwambie ajipange 2030.

Mpuuzi mmja huyo,ni lini CCM iliwahi sema itakuwa na mgombea Urais tofauti na Samia?
 
Tunashanga judge mtungi yupo wapi? Sheria inataka mgombea anatakiwa apate Saini za wanachama kila mkoa kabla mgombea hajatangazea na chama ila mwaka huu imezimwa
Mpwa, Mungu akitaka kukuaibisha atakupa upofu na usahaulifu
 
Good analysis
 
Mimi Pia common sense yangu iliona kama vile Kikwete alishtukizwa 😳!
Je ni kweli alishtukizwa ???!
Na kama kweli alishtukizwa na akatoa baraka ina maana kwamba kumbe jamaa yupo weak sana kwa sasa !
Je angekuwepo Che Nkapa akashtukizwa vile angefanya kama alivyofanya Kikwete ???!
Hoja yangu ni kwamba kama kile kilichofanyika sio sahihi wa kulaumiwa pale ni nani ???!
Je bado tuamini bado wapo Wazee wa kutuvusha kama tukikwama ?!!
 
hii inatusaidia vipi kupata mwenyekiti mpya CHADEMA?
Hio ni thread tofauti na hii. Tujadiliane hili Kwanza then otherwise anzisha thread yenye maudhui hayo, kuanzisha thread ni bure.
 
ni kifungu kipi cha katiba ya ccm kilichovunjwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…