ndolelejiUduhe
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,837
- 3,027
Jamaa huwa wanajinasibu kuwa wao siku zote ni wamoja kwa hali na mali. !Ukitulia na kuangalia mambo yanavyoenda, yanaogopesha.
Mwenyezi Mungu atunusuru. Tuendelee kubaki salama
Jamaa huwa wanajinasibu kuwa wao siku zote ni wamoja kwa hali na mali. !
Na huo ndio ukweli wenyewe uliochanganyika na Uoga kwa sababu Mkuu ameshika Hatamu zote Chamani na Serikalini na ndivyo Katiba inavyomruhusu!
Hakuna mahali amevunja Katiba 😄🙏🙏
Wenye maumivu watakuwa wanalilia Tumboni ili wasijulikane kuwa hawakupendezewa na yaliyotokea !
Huku uraiani it’s business as usual ,
Hakuna shida hakuna matata maisha yanasonga 😄🙏🙏🙏 !
Tanzania raha sana 🙏🙏 !
Au nasema uongo ndugu zanguni ????!!! 😂😂😂
mkapa angefanyajeCCM sasa imeshaishiwa wazee wenye nguvu na utashi wa kusimamia principles. Hakuna ambaye angediriki kufanya huo unyambilisi mbele ya Mzee Mkapa (RIP)!
Katiba ya nchi mliambiwa ni "kijitabu" tu, sasa hiyo ya chama jaribu kupiga mahesabu.Kwa MTU yoyote mwenye akili timamu ambazo haziongozwi na mihemko atakubaliana na habari hii.
Mkutano ulijaa "show off" KULIKO maana halisi za mkutano. Walienda kutuonyesha uwezo wao wa kutumia resources Vibaya. Kwa mfano, Nani mwanachama mwandamizi wa CCM anayefahamu mabasi Yale, baskeli, Boda bado (with individual branding) yalipatikanaje? Ni kweli Yale mabasi ya Ile mojawapo ya state apparatus yaliepenyezewa humo? Tuliache hilo.
Angalia jinsi agenda za mkutano zilivyokua za kijanjajanja, kila MTU anamlia timing mwenzake, kila MTU hajiamini wala hamuamini mwenzake. Huu haukua mkutano wa kupendekeza wagombea.....JK kastukizwa ili kuleta justification ya kilichofanywa... Baraka fake.
Wajumbe wengi wameenda kwa malengo binafsi ya kupata "maisha" na Burudani kutoka kwa wasanii waliokusanywa kila mahali, na wapiga zumari. Ukiwauliza kilichowafanya washangilie kwa kuvunja Katiba Yao wenyewe, watakwambia hawajui..
View attachment 3208215
Katiba ya nchi mliambiwa ni "kijitabu" tu. Sasa hiyo ya chama jaribu kupiga mahesabu inachukuliwaje.Kwa MTU yoyote mwenye akili timamu ambazo haziongozwi na mihemko atakubaliana na habari hii.
Mkutano ulijaa "show off" KULIKO maana halisi za mkutano. Walienda kutuonyesha uwezo wao wa kutumia resources Vibaya. Kwa mfano, Nani mwanachama mwandamizi wa CCM anayefahamu mabasi Yale, baskeli, Boda bado (with individual branding) yalipatikanaje? Ni kweli Yale mabasi ya Ile mojawapo ya state apparatus yaliepenyezewa humo? Tuliache hilo.
Angalia jinsi agenda za mkutano zilivyokua za kijanjajanja, kila MTU anamlia timing mwenzake, kila MTU hajiamini wala hamuamini mwenzake. Huu haukua mkutano wa kupendekeza wagombea.....JK kastukizwa ili kuleta justification ya kilichofanywa... Baraka fake.
Wajumbe wengi wameenda kwa malengo binafsi ya kupata "maisha" na Burudani kutoka kwa wasanii waliokusanywa kila mahali, na wapiga zumari. Ukiwauliza kilichowafanya washangilie kwa kuvunja Katiba Yao wenyewe, watakwambia hawajui..
View attachment 3208215
nimekuelewa ndugu yangu, asante sana kwa kumbusho hili zuri sanaKatiba ya nchi mliambiwa ni "kijitabu" tu, sasa hiyo ya chama jaribu kupiga mahesabu.
Wapinzani gani hao, hawa hawa akina Lissu na Mbowe waliotuonyesha Watanzania kwamba kuanzia kesho tarehe 22/01/2025 tunaanza upya kuutengeneza upinzani? Maana tumezijua sura zao halisi kwamba hawafai kuongoza nchi.Kama kungekuwa na tume huru ya uchaguzi ndiyo ilikuwa muda mzuri wa wapinzani kuchukua Nchi.
Mm nilijua eti wanaume ndio wahuni kumbe hata wanawake ni wahuni wakubwa na hatari.Kwa MTU yoyote mwenye akili timamu ambazo haziongozwi na mihemko atakubaliana na habari hii.
Mkutano ulijaa "show off" KULIKO maana halisi za mkutano. Walienda kutuonyesha uwezo wao wa kutumia resources Vibaya. Kwa mfano, Nani mwanachama mwandamizi wa CCM anayefahamu mabasi Yale, baskeli, Boda bado (with individual branding) yalipatikanaje? Ni kweli Yale mabasi ya Ile mojawapo ya state apparatus yaliepenyezewa humo? Tuliache hilo.
Angalia jinsi agenda za mkutano zilivyokua za kijanjajanja, kila MTU anamlia timing mwenzake, kila MTU hajiamini wala hamuamini mwenzake. Huu haukua mkutano wa kupendekeza wagombea.....JK kastukizwa ili kuleta justification ya kilichofanywa... Baraka fake.
Wajumbe wengi wameenda kwa malengo binafsi ya kupata "maisha" na Burudani kutoka kwa wasanii waliokusanywa kila mahali, na wapiga zumari. Ukiwauliza kilichowafanya washangilie kwa kuvunja Katiba Yao wenyewe, watakwambia hawajui..
View attachment 3208215
Hao majaji maafisa vipenyo wanaoapa kwa rais ndio wajitokeze kumpinga?Tunashanga judge mtungi yupo wapi? Sheria inataka mgombea anatakiwa apate Saini za wanachama kila mkoa kabla mgombea hajatangazea na chama ila mwaka huu imezimwa
Mkuu ngoja tumalize uchaguzi kwanzaKwa MTU yoyote mwenye akili timamu ambazo haziongozwi na mihemko atakubaliana na habari hii.
Mkutano ulijaa "show off" KULIKO maana halisi za mkutano. Walienda kutuonyesha uwezo wao wa kutumia resources Vibaya. Kwa mfano, Nani mwanachama mwandamizi wa CCM anayefahamu mabasi Yale, baskeli, Boda bado (with individual branding) yalipatikanaje? Ni kweli Yale mabasi ya Ile mojawapo ya state apparatus yaliepenyezewa humo? Tuliache hilo.
Angalia jinsi agenda za mkutano zilivyokua za kijanjajanja, kila MTU anamlia timing mwenzake, kila MTU hajiamini wala hamuamini mwenzake. Huu haukua mkutano wa kupendekeza wagombea.....JK kastukizwa ili kuleta justification ya kilichofanywa... Baraka fake.
Wajumbe wengi wameenda kwa malengo binafsi ya kupata "maisha" na Burudani kutoka kwa wasanii waliokusanywa kila mahali, na wapiga zumari. Ukiwauliza kilichowafanya washangilie kwa kuvunja Katiba Yao wenyewe, watakwambia hawajui..
View attachment 3208215
Habari, kuna jambo nimekuPM , naomba uchungulie PM yako.Lilikuwa tamasha la ngono, muziki, pombe na nyama choma