Pre GE2025 CCM wamefanya mpaka maigizo ya kaole lakini bado mkutano wao umedoda! Watanzania wako bize na CHADEMA

Pre GE2025 CCM wamefanya mpaka maigizo ya kaole lakini bado mkutano wao umedoda! Watanzania wako bize na CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wakuu,


Safari hii CCM imedoda, Watanzania wako bize na mkutano wa CHADEMA.

Mlianza na kiki ya mabasi ambayo tunajua ni upigaji, watanzania wamechamba kizungu halafu wamerudi kwenye jambo la maana kwa sasa. :BearLaugh: :KEKLaugh:

Hilo limebuma eti mnaigiza kama bongo movie kujipa umuhimu! Mdogo mdogo watanzania wanaamka
Chama Cha fomu moja,nani ahangaike nacho?😂😂
 
Wakuu,


Safari hii CCM imedoda, Watanzania wako bize na mkutano wa CHADEMA.

Mlianza na kiki ya mabasi ambayo tunajua ni upigaji, watanzania wamechamba kizungu halafu wamerudi kwenye jambo la maana kwa sasa. :BearLaugh: :KEKLaugh:

Hilo limebuma eti mnaigiza kama bongo movie kujipa umuhimu! Mdogo mdogo watanzania wanaamka
Haya ni maajabu. Kwani wajumbe hawajahudhuria? Kipimo cha mkutano kudoda kimewekwa kwenye nini wakati mkutano haujafanyika wajumbe ndio wanaelekea Dodoma?

Mkutano ni wa tarehe 17&18 nafikiri kwa kutazama siku hizo ndio itakuwa sawa kusema jambo lolote kuhusu matokeo na mwitikio wa wanaccm
 
Kinachonichekesha ni kwamba cdm muda wote wanaijadili CCM. Yaani Wana hofu haoooo, wakati huo CCM wako kimyaaa wanaendelea na mambo yao Huku wakiwa hata hawajui kama Kuna cdm.

Kule Dodoma Kuna watu wenye akili, ueledi, waliostaarabika na wasio washamba wameyapangilia mambo yao vizuuuuuuri kabisa yanaendelea kwa ustadi wa Hali ya juu.........hakuna vichambo Wala utafutaji wa sifa.

Enyi nyumbu msio na maono, kinachoendelea ni chengesha bwege. Hao wachache wanaowafuatilia na kuwaandika wapo kwa ajili ya huo mvutano na hivyo vijembe vinavyoendelea huko na si nini' kinajadiliwa. Ni kawaida hiyo kwa maisha yetu ya uswahilini. Kuwe na shughuli muhimu hapa, halafu wapite bodaboda weeengi na mahoni yao, watu watasimamosha masikio kwanza kuangalia tu kina nini', wakishapata jibu basi wanarudi kuendelea a shughuli zao. Huko Kuna chengesha bwege la kufa mtu kwa taarifa yenu. Issue ni nini kinafuata baada ya hapo, na hicho ndicho wenye akili kule Dodoma wanakisubiri.

Kila siku mpo kituo hiki, kituo kile. Mmewaona kule Dodoma wanahangaika kwenye media?!!!! Kuna maana kubwa kwa mwenye akili.........nyie endeleeni tu kufunga vibwebwe mkichekelea kutrend sababu ya ugomvi. Mlitarajiaje kwani?!!!! Kwanza kuchekelea kutrend ni ujinga. Chekelea mikakati. Mnaenda kupigwa pigo Moja takatifu kwa nguvu ndogo kabisa hamtoamini. Kalagha bao.
 
Haya ni maajabu. Kwani wajumbe hawajahudhuria? Kipimo cha mkutano kudoda kimewekwa kwenye nini wakati mkutano haujafanyika wajumbe ndio wanaelekea Dodoma?

Mkutano ni wa tarehe 17&18 nafikiri kwa kutazama siku hizo ndio itakuwa sawa kusema jambo lolote kuhusu matokeo na mwitikio wa wanaccm
Ukweli ni kuwa cdm wanaweweseka na ccm kuliko kawaida. Nilikuwa sijawahi kukua hili mpaka Sasa.
 
Wakuu,


Safari hii CCM imedoda, Watanzania wako bize na mkutano wa CHADEMA.

Mlianza na kiki ya mabasi ambayo tunajua ni upigaji, watanzania wamechamba kizungu halafu wamerudi kwenye jambo la maana kwa sasa. :BearLaugh: :KEKLaugh:

Hilo limebuma eti mnaigiza kama bongo movie kujipa umuhimu! Mdogo mdogo watanzania wanaamka
Hivi huo mkutano umeshaisha au ndo unaenda kuanza?
 
Tuliojenga lodges Dom huu ni wakati wa kuvuna pesa, lakini pia mbaya zaidi ndio wakati ambao maambukizi ya VVU huwa ni makubwa sana.
Mdomo wa binadamu haujaumbiwa kusema positives and negatives kwa muda mmoja.

Hauwezi kuzungumzia biashara ya Lodge wakati huo huo ukaongelea maambukizi ya Vvu vinavyosababishwa kupitia biashara yako hiyo ya 'gesti'!

Kwa hiyo u ataka kusema watu wasifanye uasherati kuepuka Vvu, ili kipato cha 'shoo taimu' unachovuna likauke?
 
Kinachonichekesha ni kwamba cdm muda wote wanaijadili CCM. Yaani Wana hofu haoooo, wakati huo CCM wako kimyaaa wanaendelea na mambo yao Huku wakiwa hata hawajui kama Kuna cdm.

Kule Dodoma Kuna watu wenye akili, ueledi, waliostaarabika na wasio washamba wameyapangilia mambo yao vizuuuuuuri kabisa yanaendelea kwa ustadi wa Hali ya juu.........hakuna vichambo Wala utafutaji wa sifa.

Enyi nyumbu msio na maono, kinachoendelea ni chengesha bwege. Hao wachache wanaowafuatilia na kuwaandika wapo kwa ajili ya huo mvutano na hivyo vijembe vinavyoendelea huko na si nini' kinajadiliwa. Ni kawaida hiyo kwa maisha yetu ya uswahilini. Kuwe na shughuli muhimu hapa, halafu wapite bodaboda weeengi na mahoni yao, watu watasimamosha masikio kwanza kuangalia tu kina nini', wakishapata jibu basi wanarudi kuendelea a shughuli zao. Huko Kuna chengesha bwege la kufa mtu kwa taarifa yenu. Issue ni nini kinafuata baada ya hapo, na hicho ndicho wenye akili kule Dodoma wanakisubiri.

Kila siku mpo kituo hiki, kituo kile. Mmewaona kule Dodoma wanahangaika kwenye media?!!!! Kuna maana kubwa kwa mwenye akili.........nyie endeleeni tu kufunga vibwebwe mkichekelea kutrend sababu ya ugomvi. Mlitarajiaje kwani?!!!! Kwanza kuchekelea kutrend ni ujinga. Chekelea mikakati. Mnaenda kupigwa pigo Moja takatifu kwa nguvu ndogo kabisa hamtoamini. Kalagha bao.
Umeandika Pumba
 
CCM ni chama cha ulaghai, watu sita wanajifungia wanachagulia mtu afu wanakusanya wajumbe 2000 nchi nzima kuja kutembea Dodoma na kula posho ambazo kiuhalisia ni hela za walioa kodi - aisee
 
Wakuu,


Safari hii CCM imedoda, Watanzania wako bize na mkutano wa CHADEMA.

Mlianza na kiki ya mabasi ambayo tunajua ni upigaji, watanzania wamechamba kizungu halafu wamerudi kwenye jambo la maana kwa sasa. :BearLaugh: :KEKLaugh:

Hilo limebuma eti mnaigiza kama bongo movie kujipa umuhimu! Mdogo mdogo watanzania wanaamka
 

Attachments

  • IMG-20250117-WA0007.jpg
    IMG-20250117-WA0007.jpg
    108.8 KB · Views: 1
  • IMG-20250117-WA0011.jpg
    IMG-20250117-WA0011.jpg
    38.8 KB · Views: 1
CCM ni chama cha ulaghai, watu sita wanajifungia wanachagulia mtu afu wanakusanya wajumbe 2000 nchi nzima kuja kutembea Dodoma na kula posho ambazo kiuhalisia ni hela za walioa kodi - aisee
Haahaa ni zaidi ya maigizo, wenyewe wanaita uchaguzi😂😂
 
Back
Top Bottom