Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umegeuka toka ulichosema mwanzo umeparamia kitu kingineKwa hiyo mkuu kinachotokea CDM ni Cha kupendeza na Cha kuigwa na wanachama mnakifurahia Kwa sababu tu CDM inasemwa!!!!!
Ni mchakato wanaopitia katika kukiimarisha chama chao lakini pia wapo katikati ya uchaguzi, tunategemea haya kutokea... huwezi kusema haya si ya maana kwakuwa tu wengine wanafanya kitu kingineHaya ni maajabu. Kwani wajumbe hawajahudhuria? Kipimo cha mkutano kudoda kimewekwa kwenye nini wakati mkutano haujafanyika wajumbe ndio wanaelekea Dodoma?
Mkutano ni wa tarehe 17&18 nafikiri kwa kutazama siku hizo ndio itakuwa sawa kusema jambo lolote kuhusu matokeo na mwitikio wa wanaccm

Mkuu bana, unajifanya huoni tashtiti na hizo amsha amsha macho yote yawe huko, maigizo, nyimbo, kutuonesha magari, wasanii huwa moto kweli... leo ndio mnaona hamna haja ya attention yetu kuwa huko? Si msingepiga domo, msingetangaza mngeenda huko kimya kimya? MMEDODA, muda wa kunyooshwa tu saivi


nyie endeleeni na trend zenu, ila kumbuka ule mstari "mpaka waisome namba eee" tukutane OctoberKweli kabisa.
Ccm ukiwaondolea wasanii na policcm, hakuna kitu
Bado unadhiilisha Ujinga wako hapaYeah, sababu andiko liliwahusu wapumbavu......yaani nyumbu wa mbowe na lissu
Aibu sana!Wakuu,
Safari hii CCM imedoda, Watanzania wako bize na mkutano wa CHADEMA.
Mlianza na kiki ya mabasi ambayo tunajua ni upigaji, watanzania wamechamba kizungu halafu wamerudi kwenye jambo la maana kwa sasa.![]()
Hilo limebuma eti mnaigiza kama bongo movie kujipa umuhimu! Mdogo mdogo watanzania wanaamka
tukutane OctoberNoma sana, wameita hadi yule msanii wa Kongo sijui, bado na yenyewe imebuma![]()
![]()
Buhahahaaa.... bana weeee wapi wameijadili CCM bana, wapo kwenye media kuwajadili ninyi, si mngetamba saivi mngekuwa hamuhangaiki na wasanii kuotoa nyimbo ili tuwafatilie.... safari hii mmepewa mkausho wa maana, yaani shwaaaaa. Raia wanaamka bana, unga wa ndele unatapikwa sasa akili zinarudiKinachonichekesha ni kwamba cdm muda wote wanaijadili CCM. Yaani Wana hofu haoooo, wakati huo CCM wako kimyaaa wanaendelea na mambo yao Huku wakiwa hata hawajui kama Kuna cdm.
Kule Dodoma Kuna watu wenye akili, ueledi, waliostaarabika na wasio washamba wameyapangilia mambo yao vizuuuuuuri kabisa yanaendelea kwa ustadi wa Hali ya juu.........hakuna vichambo Wala utafutaji wa sifa.
Enyi nyumbu msio na maono, kinachoendelea ni chengesha bwege. Hao wachache wanaowafuatilia na kuwaandika wapo kwa ajili ya huo mvutano na hivyo vijembe vinavyoendelea huko na si nini' kinajadiliwa. Ni kawaida hiyo kwa maisha yetu ya uswahilini. Kuwe na shughuli muhimu hapa, halafu wapite bodaboda weeengi na mahoni yao, watu watasimamosha masikio kwanza kuangalia tu kina nini', wakishapata jibu basi wanarudi kuendelea a shughuli zao. Huko Kuna chengesha bwege la kufa mtu kwa taarifa yenu. Issue ni nini kinafuata baada ya hapo, na hicho ndicho wenye akili kule Dodoma wanakisubiri.
Kila siku mpo kituo hiki, kituo kile. Mmewaona kule Dodoma wanahangaika kwenye media?!!!! Kuna maana kubwa kwa mwenye akili.........nyie endeleeni tu kufunga vibwebwe mkichekelea kutrend sababu ya ugomvi. Mlitarajiaje kwani?!!!! Kwanza kuchekelea kutrend ni ujinga. Chekelea mikakati. Mnaenda kupigwa pigo Moja takatifu kwa nguvu ndogo kabisa hamtoamini. Kalagha bao.
Ccm hawana mvutiWakuu,
Safari hii CCM imedoda, Watanzania wako bize na mkutano wa CHADEMA.
Mlianza na kiki ya mabasi ambayo tunajua ni upigaji, watanzania wamechamba kizungu halafu wamerudi kwenye jambo la maana kwa sasa.![]()
Hilo limebuma eti mnaigiza kama bongo movie kujipa umuhimu! Mdogo mdogo watanzania wanaamka
Hata sielewi unazunguzmiwa anayenyooshwa nani? Mkutano wa CDM au Ccm unamnyoosha nani? Hivi CCM wakitoka kwenye mkutano huo wa Dodoma wanaweza kusema wamewanyoosha CDM? Utakuwa ni ujinga my lovely cute wifeMkuu bana, unajifanya huoni tashtiti na hizo amsha amsha macho yote yawe huko, maigizo, nyimbo, kutuonesha magari, wasanii huwa moto kweli... leo ndio mnaona hamna haja ya attention yetu kuwa huko? Si msingepiga domo, msingetangaza mngeenda huko kimya kimya? MMEDODA, muda wa kunyooshwa tu saivi
![]()
Wewe hujaona barabara zote zimejaa magari ya kazi iendelee yakienda "chimwaga"?????tuoneshe basi hiyo hamasa, mmebuma hadi maigizo hayasaidii, hadi imebidi Kiba atoe wimbo lakini wapiiiiii
![]()
Chahovyo ndio ila kimekujengea barabara+hospitali +shule +etcCCM chama cha hovyo kabisa.
Hizo barabara zingejengwa nyingi na nzuri zaidi chini ya CDM.Chahovyo ndio ila kimekujengea barabara+hospitali +shule +etc
Kumbuka hata hayo
usiwaseme watu sema we uko bize na chadomo wanavyoparuana. Kile siyo chama ni kikundi cha wahuni, hakuna nidhamu, hakuna mkubwa, wote kambale. CCM kuna nidhamu ya hali ya juu sana huwezi utovu wa nidhamu k, wa chadomoWakuu,
Safari hii CCM imedoda, Watanzania wako bize na mkutano wa CHADEMA.
Mlianza na kiki ya mabasi ambayo tunajua ni upigaji, watanzania wamechamba kizungu halafu wamerudi kwenye jambo la maana kwa sasa.![]()
Hilo limebuma eti mnaigiza kama bongo movie kujipa umuhimu! Mdogo mdogo watanzania wanaamka
Kwa wizi sawa.nyie endeleeni na trend zenu, ila kumbuka ule mstari "mpaka waisome namba eee" tukutane October