Nani anayetaka mifarakano kati ya :-Fanya kazi ndugu yangu. Hii tabia ya kutaka mifarakano haina faida kwako wala kwa nchi. #Umoja wa kitaifa ndiyo silaha ya ushindi ktk kuleta maendeleo🙏🙏🙏
Wana CCM wanajuana wenyewe.Ingawa Bashiru alijisahau baada ya "kugawiwa" madaraka makubwa enzi za jiwe za kale.Halafu,akumbuke aliibuliwa tu from no where!Akawabana watu fulani na kuwaumbua.Hivi sasa wanataka kum-outsmart aonekane mkebe.Agangamale hivyohivyo ili tuone panapo vuja.Nani anayetaka mifarakano kati ya :-
-mm na Lusinde (Kibajaji)?
-mm na Kigwangalla (HK)?
-mm na UVCCM Kihongosi?
Dr. Bashiru katoa maoni yake wao wanamkoromea
Kwa mfano wewe binafsi Ulitaka iweje ?
Siti za Mbele kabisa tukichochea KuniNdugai alipotoa TAHADHARI kwa serikali ya wamu ya 6 kuwa nchi yetu itapigwa mnada endapo itaendelea kukopa fedha hovyo toka nje, CCM na jumuiya zake zote walimjia juu. Na hata siku anamwapisha mrithi wa Ndugai mama aliwashukuru wanaccm wa ngazi zote wakiongozwa na wenyeviti wa mikoa kwa kumpigania.
Hali imekuwa tofauti sana kwa Dr. Bashiru. Hatuoni matamshi ya kitaasisi, bali watu binafsi wanaosukumwa na ama kujipendekeza, njaa au chuki binafsi.
Hapa ndipo najiuliza kwann hali hii? Je:-
(a) CCM imemchoka mama?
(b) Dr. Bashiru Ally ana watu (kama mzee Mpili) kiasi cha kumtisha mama na chawa wake?
(c) Dr. Bashiru ni akili kubwa kiasi kwamba viongozi wa ccm wameufyata?
Kuna watu wana roho mbaya mkuu, inawezekana kabisa kuwa anamaanishaNimeupenda uandishi wako ingawa naamini unatania tu.
True huo ndo ukweliMama kawapuuzia, huenda ametambua chuki dhidi yake inatokana na wale walioathirika na tume aliyoiongoza wakati wa ule wa kuhakiki mali za chama.
Dr. Bashiru ameshaandika twitter hataomba radhi kwasababu anaamini hakuna kosa lolote alilofanya, wala hajavunja sheria, na zaidi amesema anajua wapo waliotumwa kumshawishi afanye hivyo lakini anawapuuza.
Kuhangaika na mtu wa aina hii ni sawa na kuzidi kujidhalilisha tu, kwasababu chawa wanatumia mahaba kuhukumu jambo ambalo lipo wazi kisheria, wanaojielewa watazidi kuwadharau, kama wanajiamini wamfukuze huko chamani kwao wazidi kujivua nguo.
Ndugai alikua ni kiongozi mkubwa (Spika wa bunge) ambae kama yeye hapatani na Rais ina maana bunge halipatani na Rais! Na mnajua kinachoweza kutokea kama bunge halipatani na Rais. Ila Dr Bashiru yeye ni mbunge tuu tena wa kuteuliwa na hana uongozi wowote, hana jimbo analoliongoza wala hana ofisi anayoiongoza kwahyo Rais na CCM wameona haina haja kupoteza nguvu kwa mtu asie na makali
Bashiru ana watuHana makali?!! Jiongeze kidogo tu alipataje lile jukwaa alilosemea aliyosema?
PhD ya siasa bila pesa mfukoni ni kazi bure. Siasa inaenda na pesa miaka hii. Bashiru hamna kitu.Jamaa ana PhD ya siasa na ameandika vitabu kadhaa vya Siasa.Hapo vip?
PhD ya siasa bila pesa mfukoni ni kazi bure. Siasa inaenda na pesa miaka hii. Bashiru hamna kitu.
Yaan ww ndio haujui kitu kabisa kuhusu watu na nchi hii.Yaan katibu mkuu wa CCM miaka takribani minne unajilinganisha nae ?Yaan senior lecturer wa miaka mingi unajilinganisha nae.Kakojee ulale hujui kitu .PhD ya siasa bila pesa mfukoni ni kazi bure. Siasa inaenda na pesa miaka hii. Bashiru hamna kitu.
Kwahiyo mwenye pesa zaidi ndani ya ccm ni rais Samia?PhD ya siasa bila pesa mfukoni ni kazi bure. Siasa inaenda na pesa miaka hii. Bashiru hamna kitu.
Wewe sukuma gang wacha uwongo. Hakuna namna Bashiru akamtetesha Rais Wa nchi hata angeongea nini. He is simply nothing.Kwani hujaona matokeo ya kauli ile. Malkia wa nyuki alianza safari saa sita mchana kwa gari kwenda arusha badala ya ndege kama alivyozoea huku jua likiwa kali na akawa anasimama njiani kusikiliza kero akiwa na mawaziri.