CCM wanaishi kwa Uongo, Na hii ndo laana Kuu itakayoliandama hili Taifa milele CCM likiendelea kuwa chini ya CCM

CCM wanaishi kwa Uongo, Na hii ndo laana Kuu itakayoliandama hili Taifa milele CCM likiendelea kuwa chini ya CCM

mwanzo hadi mwisho wa hoja yako ni upotoshaji mtupu, tena wakiwango kibaya mno, usio vumilika ni bahati ustaarabu, ustahimilivu na subra za wadau na wana ccm ni wa kiwango cha juu sana Africa na duniani kote na ndiyo maana wanaendelea kutawala nchi kwa amani na utulivu wa kiwango cha mfano wa kuigwa na dunia nzima :pulpTRAVOLTA:
Hata maneno yako yanaendelea kuthibitishs hoja kuu kuwa mnaishi kwa uongo
 
ni kweli

sii kweli

CCM haiwezi kuondoka,labda iondoshwe,its very unfortunately bado hakuna wa kuiondosha!。

Si kweli

sii kweli

ni kweli

ni kweli

Sii kweli

ni kweli

sii kweli

ni kweli

sii kweli

Sii kweli,Oscal Kambona,John Lifa Chipaka,Michael Kamaliza,Kanyama Chiume,Abedi Amani Karume,Mtawali,na wengine wengi tuu sio true sons of Tanganyika,hawa ni Wamalawi!。

Ni kweli na sii kweli

utasubiri sana!

naunga mkono hoja
P
Kwani ni kipi unachokikubali pale inapizungumzwa ccm. Ccm wanaishi kwa uongo na ndio tiketi yao.
 
kama hayo ulioyaandika yana ukweli wowote, kwa nini China inaendelea kwa kasi kwa maana aliyoyafanya Mwalimu Nyerere ni copy&paste kutoka nchi kama China, makampuni makubwa yote ya China ni state owned hata BYD ya magari serikali imo hilo unalielezeaje? mbona Vietnam communist country kama tanzagiza leo inafanya vizuri na kampuni zake zina global presence? Viettel ni 100% state owned company ya Vietnam ni success story revenues ni 7 billions dollars company ( check it out Viettel) imeinvest Dunia nzima na Vietnam haina tofauti na tanzagiza kimfumo viwanda vyote vietnam ni state owned, leo hii vietnam wanaongoza duniani kwa kutengeneza na ku export viatu, textiles, electronics na vyote ni state owned, how do you explain that? tanzagiza tumeshindwa vipi kuigeuza ttcl kuwa kama viettel ya Vietnam? tumeshindwa kuitumia tanesco kuwa big multinational company, evn tanesco ya Vietnam ni state owned inazalisha 25 000 MW of electricity vs tanesco tanzagiza <2000 mw kafulila kaenda kuiuza tanesco yetu india tena kwa criminal ambaye arrest warrant imekuwa issued against him na USA, soma kuhusu evn ya Vietnam inaendeshwa na serikali, tumeshindwa hata kuendesha bandari, Singapore bandari ni state owned ni success story, tanzagiza tumeigawa bure halafu tunasifia big ships zinazoleta imports kuuwa viwanda vya ndani bado unamlaumu tu Mwalimu Nyerere ambaye ameondoka 1985 madarakani?

isitoshe kenya haikutaifisha kiwanda chochote kile leo hii viwanda vyote vya unilever vilivyokuwepo vimesepa how do you explain that?

KNCU was the largest cooperative union in afrika a success story, imejenga mkoa wa klm leo hii imekufa, how do you explain that?
 
kama hayo ulioyaandika yana ukweli wowote, kwa nini China inaendelea kwa kasi kwa maana aliyoyafanya Mwalimu Nyerere ni copy&paste kutoka nchi kama China, makampuni makubwa yote ya China ni state owned hata BYD ya magari serikali imo hilo unalielezeaje? mbona Vietnam communist country kama tanzagiza leo inafanya vizuri na kampuni zake zina global presence? Viettel ni 100% state owned company ya Vietnam ni success story revenues ni 7 billions dollars company ( check it out Viettel) imeinvest Dunia nzima na Vietnam haina tofauti na tanzagiza kimfumo viwanda vyote vietnam ni state owned, leo hii vietnam wanaongoza duniani kwa kutengeneza na ku export viatu, textiles, electronics na vyote ni state owned, how do you explain that? tanzagiza tumeshindwa vipi kuigeuza ttcl kuwa kama viettel ya Vietnam? tumeshindwa kuitumia tanesco kuwa big multinational company, evn tanesco ya Vietnam ni state owned inazalisha 25 000 MW of electricity vs tanesco tanzagiza <2000 mw kafulila kaenda kuiuza tanesco yetu india tena kwa criminal ambaye arrest warrant imekuwa issued against him na USA, soma kuhusu evn ya Vietnam inaendeshwa na serikali, tumeshindwa hata kuendesha bandari, Singapore bandari ni state owned ni success story, tanzagiza tumeigawa bure halafu tunasifia big ships zinazoleta imports kuuwa viwanda vya ndani bado unamlaumu tu Mwalimu Nyerere ambaye ameondoka 1985 madarakani?

isitoshe kenya haikutaifisha kiwanda chochote kile leo hii viwanda vyote vya unilever vilivyokuwepo vimesepa how do you explain that?

KNCU was the largest cooperative union in afrika a success story, imejenga mkoa wa klm leo hii imekufa, how do you explain that?
Kuna mahojiano alifanyiwa aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini China kama sikosei jina lake ni kama Sanga.

Kwa maelezo yake anadai kuna mwaka wachina walikuja Tanzania kwa nia ya kuifanya China kuwa kama nchi yao ila wenyewe walishangaa kuona tunayoyafanya as waliona tumezidi kuliko walivyokuwa wanafanya wao.
 
Kuna mahojiano alifanyiwa aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini China kama sikosei jina lake ni kama Sanga.

Kwa maelezo yake anadai kuna mwaka wachina walikuja Tanzania kwa nia ya kuifanya China kuwa kama nchi yao ila wenyewe walishangaa kuona tunayoyafanya as waliona tumezidi kuliko walivyokuwa wanafanya wao.

umeisoma na kufwatilia nchi ya Vietnam lkn? achana na China, angalia walipotoka hata walipigwa vita na USA, walikuwa one of the poorest communist countries, leo hii wanafanaya vizuri sana tu na kuongoza sectors nyingi duniani, wako competetive kila mahali na hata hawajui english language watanzagiza wanajua english klk Wavietnam.

tanzagiza tuliongoza duniani kuzalisha maharage, korosho, hata kahawa tulikuwa mbele leo hii hakuna kitu, india inaongoza ku export korosho za tanzagiza, tanzanite mpaka leo hii wanufaika ni india, sisi tunapewa phds za heshima na tunasaini mikataba …
 
umeisoma na kufwatilia nchi ya Vietnam lkn? achana na China, angalia walipotoka hata walipigwa vita na USA, walikuwa one of the poorest communist countries, leo hii wanafanaya vizuri sana tu na kuongoza sectors nyingi duniani, wako competetive kila mahali na hata hawajui english language watanzagiza wanajua english klk Wavietnam.

tanzagiza tuliongoza duniani kuzalisha maharage, korosho, hata kahawa tulikuwa mbele leo hii hakuna kitu, india inaongoza ku export korosho za tanzagiza, tanzanite mpaka leo hii wanufaika ni india, sisi tunapewa phds za heshima na tunasaini mikataba …
So uelewe kuwa shida hapa kwetu ni CCM hii aliyoiasisi Nyerere
 
CCM itaondoka madarakani kwa kupasuka vipande vipande yenyewe.
 
So uelewe kuwa shida hapa kwetu ni CCM hii aliyoiasisi Nyerere

sijaelewa bado, kwa maana hakuna tofauti kati ya ccm ya tanzagiza na cpv communist party of vietnam, sasa iweje wao (Vietnam) waweze sisi tushindwe? kwa maana hata katiba ya Vietnam ni kama (karibia) ya tanzagiza, mfumo wa kisiasa wa tanzagiza na vietnam ni 1-1, sasa kwa nini kwetu iwe shida lkn kwingineko iwe success? hata coommunist party of China haina tofauti na CCM kumfumo lkn kwa nini imesaidia China lkn kwetu ishindwe?
 
sijaelewa bado, kwa maana hakuna tofauti kati ya ccm ya tanzagiza na cpv communist party of vietnam, sasa iweje wao (Vietnam) waweze sisi tushindwe? kwa maana hata katiba ya Vietnam ni kama (karibia) ya tanzagiza, mfumo wa kisiasa wa tanzagiza na vietnam ni 1-1, sasa kwa nini kwetu iwe shida lkn kwingineko iwe success?
Sie tumefanya zaidi ya wanavyofanya nwenzetu
 
Sie tumefanya zaidi ya wanavyofanya nwenzetu

kivipi una m(i)fano labda ambapo ni tofauti? isitoshe vipi khs nchi nyingine za kiafrika ambako “CCM aliyoianzisha Nyerere” haipo, kna success story yoyote?
 
kama hayo ulioyaandika yana ukweli wowote, kwa nini China inaendelea kwa kasi kwa maana aliyoyafanya Mwalimu Nyerere ni copy&paste kutoka nchi kama China, makampuni makubwa yote ya China ni state owned hata BYD ya magari serikali imo hilo unalielezeaje? mbona Vietnam communist country kama tanzagiza leo inafanya vizuri na kampuni zake zina global presence? Viettel ni 100% state owned company ya Vietnam ni success story revenues ni 7 billions dollars company ( check it out Viettel) imeinvest Dunia nzima na Vietnam haina tofauti na tanzagiza kimfumo viwanda vyote vietnam ni state owned, leo hii vietnam wanaongoza duniani kwa kutengeneza na ku export viatu, textiles, electronics na vyote ni state owned, how do you explain that? tanzagiza tumeshindwa vipi kuigeuza ttcl kuwa kama viettel ya Vietnam? tumeshindwa kuitumia tanesco kuwa big multinational company, evn tanesco ya Vietnam ni state owned inazalisha 25 000 MW of electricity vs tanesco tanzagiza <2000 mw kafulila kaenda kuiuza tanesco yetu india tena kwa criminal ambaye arrest warrant imekuwa issued against him na USA, soma kuhusu evn ya Vietnam inaendeshwa na serikali, tumeshindwa hata kuendesha bandari, Singapore bandari ni state owned ni success story, tanzagiza tumeigawa bure halafu tunasifia big ships zinazoleta imports kuuwa viwanda vya ndani bado unamlaumu tu Mwalimu Nyerere ambaye ameondoka 1985 madarakani?

isitoshe kenya haikutaifisha kiwanda chochote kile leo hii viwanda vyote vya unilever vilivyokuwepo vimesepa how do you explain that?

KNCU was the largest cooperative union in afrika a success story, imejenga mkoa wa klm leo hii imekufa, how do you explain that?
Thanks for this,watu wenye uwezo kuhoji hayo humu jf wanahesabika na hakuna wa kukujibu!Tanzania bado tuna tatizo la upangaji vipaumbele vyetu, baada ya Elimu, Afya na kilimo, ilipaswa ije nishati!. Ni aibu na hatari kupikia kuni na mkaa!
Tumesema humu Tuna Tatizo la Uwezo wa Uendeshaji Uchumi Wetu?. TAZARA Asante Mchina, Vipi Mingine? Hatutafika Mahali Tukahitaji Kusaidiwa Hadi Ikulu Yetu?.
na Watanzania tutajifunza kwa makosa hadi lini? Hivi TRC hawa wanaoshindwa vitu vidogo hivi wataweza ku-run SGR yetu effectively & efficiently?
P
 
Back
Top Bottom